Daaaahh unanikumbusha marehemu baba yangu huu wimbo yupo wapi baba yangu aje ale matundani yangu ya masomo aliyonisomesha babaaa nitakukumbuka daima baba yangu
Baada ya kizazi Cha akina gurumo kikafuata kizazi hiki kwenye dansi baada ya kizazi hiki yakafuata madudu Sasa,gonga like hapa Kama unakubaliana namimi
Enzi hizo Mheshimiwa Mudhihir Mohammed Mudhihir akiwa naibu waziri wa habari na utamaduni. Muumin Mwinyijuma. Rogert Hegga Katapila Rosh Mselela ..... ....
nikilia sana ni kama ninamkufuru mungu eeee. ....nabaki na uchungu mwingi moyoni , pengine nilitaka kuwapa fadhila wazazi wangu kumbe naye mungu alipanga yake .......! Wimbo mzuri , maudhui mengi na sauti nzuri safi sana bwana rogert katapila
Ulazwe mahali pema peponi Mama yangu Mary Joseph. Ulinitoka ungali bado nikitegemea ushauri na nasaha zako.Uliniacha katika wakati mgumu ambao mpaka leo mambo yangu si mazuri . Nitakukumbuka milele mpaka siku tutakapo onana
Hongera sana maana wimbo huu umenilea kimadili mpk leo hii najitambua maana haikuwa rahisi kbs ,kwa kumwachia mama yangu jukumu la kunilea Mungu aibariki kaz yenu hapo hamkupata mafanikio ya kibiashara kama ss lkn malez yenu kupitia wimbo huu umenilea kimaadili
Yaani naguswa na hii wimbo maana nilitamani sana pale kipato changu kinapoongezeka wazazi wangu wote wangekuwepo ili niweze kulipa fazira zangu, lakini mmoja alishatangulia.
Namkumbuka broo wa kitaa Godfrey Milanzi enzi izo anaimba nyimbo yote sisi wadogowadogo tunafurahi tuu daa i wish ingerud Mabibo yetu angarau masaa tuu