Тёмный
No video :(

TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA KWANZA//SHEIKH ABUU JADAWI 

ZAINAB ONLINE TV
Подписаться 14 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

TAFSIR ZA NDOTO ZA WATU WALIO KUFA // MAJILIS YA KWANZA//SHEIKH ABUU JADAWI

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@user-ce1ly7dl9j
@user-ce1ly7dl9j 2 месяца назад
Nimemuota baba angu alishakufa nimemuota anaumwa sana nami naumwa pia najiandaa niende nikamuone naogopa sana alifariki miaka mingi sana,nimeota anaumwa sana tumbo mpaka kwenye kitovu chake pameoza mm ndo niko sehem tofauti najiandaa nikamuone😢😢
@AthmanMbui-om9nw
@AthmanMbui-om9nw Год назад
shukran wa jazakumLlahi kheiry
@missmoona4497
@missmoona4497 2 года назад
Shukran sheikh, waaleykum msalamu warahmatullah wabarakatuh, sheikh mm nimeota naongea na mtu aliekufa tena anafurah mwenyewe ktk maongez yetu ,naumiza kichwa kujua nn maana yake😩😩
@user-td9tv3xt3f
@user-td9tv3xt3f Месяц назад
Asalam alaikum mimi nineota natoka safarini nimefika nyumbani nikamkuta mama yangu mareemu ame kaa uwanjani kalibu na mpapai nikapita ndani nikamkuta mke wangu ambae nimesha muacha yuko na mwanangu wa kike ila yule mke wangu alikua nikama mgonjwa alipo niona alikasilika sana nika toka nnje nikaenda pale alipo mama nikawa naongea nae nilimsalimia akaitikia akaniuliza kwenye mfuko ume beba nini nikamjibu nimebeba nyama akasema sawa nitaenda kukuombea kule ma nikaanza kulia mala nikashituka naomba niambie maana yake
@yasinikunyuma2168
@yasinikunyuma2168 2 года назад
Ikiwa nimemuita baba sikiwa ana liliwa na wajukuu zake name nipo pemben huku nikimuombea Dua baba mungu ampunguzie adhabu ya kabri nn maana yake hi ndoto
@deodatussalvatory8596
@deodatussalvatory8596 2 года назад
Shehe shukran kwa elim mm newah kuota naongea na mtu alishakufa mara 3 nn maana yake
@amiramukambanza3207
@amiramukambanza3207 2 года назад
Jazakkallah kheri
@omanamenmct1600
@omanamenmct1600 2 года назад
Mungu wangu kwahiyo leo mm jimeota bibi yangu kaja lkn tuko kwenye nyumba isiyojulikana na bibi yangu ameshakufa ,eeh mwenyez mungu nisaidie tena ilikuwa kama kunashuguhuli bibi akaja kulikuwa na furaha tukampokea
@lilianrichard9065
@lilianrichard9065 11 месяцев назад
Nimeota bibi yangu alishakufa lkn nimeota anaumwa sana akaniomba nimsaidie kumunyanyua chini ili atembee nilimshika na kumbeba na nikamfuga kanga began nn maana yake
@kiznationtv8055
@kiznationtv8055 Год назад
Nmeota jananapta sehemu nkakuta waganga sijuw wachawi lakini wale wachawi wakanitumia mbwa weusi wanifukuze nikakimbia sana nimefka nyumbani nikawa naita mama mama nkasikia anaitika kwa mbaali nikaita tena akaitika sasa akaitika akatoka nje aisee mama alikufa akiuwa mtu mzima hivi kiasi lakini nimemuona kama ana miaka 30 Hivi daah aisee 😢 tumeongea sana alafu tukaagana kuwa tutaonana tenah akanambia mungu akipanga inakuwa tu akaniambia wala usiogope alafu nkashtuka usingzn
@user-dl8rg2gm8x
@user-dl8rg2gm8x 9 месяцев назад
Asalam arykum shehe mm nimepata maiti anaoshwa maji yakaanza tupuyama inakinyesi samahani shehe leo sina sadaka inshaala nikipata
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 Год назад
Nimeota kiongozi wangu wa zamani aliyekwisha fariki nikimyoa ndevu na ananiambia wewe uko na ela nyingi na wakati sina
@zainabjuma2405
@zainabjuma2405 Год назад
Asalm alekhum sheick, mm huwa kwa family yetu mm ndio huwa na ota ndoto Sana za ukweli, mutu aki enda kufa kwa family naotesha kabisa flan na tukiamkaamea agha huyo Ata chocho lazima niote. Leo kwa ndoto nimemwota nyanya yangu akini agha kuwa Sasa yeye ana ondoka na yeye Alikufa kitambo Sana aka ni paka mate kwa uso akasema haya kwaherini nenda kaolewe, huwa naota Mara kwa Mara watu wa family walioga Lakini yeye ameni stuwa Sana Sana kuniambiya anaondoka hadi Nika liya.
@zainabjuma2405
@zainabjuma2405 Год назад
Naomba uni add kwa group sheick
@jamillahmussa3775
@jamillahmussa3775 2 года назад
Asalaam Allaykum warahmatullahi wabarakatuh, naam ukiota kupaa angani,, chini Kuna watu wanahitaji kukudhuru, lakini wanapo jaribu kuku Usha hawafanikiwi unazidi tu kupaa zaidi na zaidi,, Cha pili wakati mwengine nikiota kitu au jambo lazima litendeke Sana vifo
@mohamedmtumwa3456
@mohamedmtumwa3456 2 года назад
Jini mahaba uyo
@saidmohamed7578
@saidmohamed7578 Год назад
mimi nimeota nimeenda kuwa uliza wadogo zangu kwa wewe shaban mama alipo kuwa anafaliki alisema nini nanini nikamuka na kuamuka
@AnnaKahimba-bh7kh
@AnnaKahimba-bh7kh 2 месяца назад
Niunge
@saufaHassan
@saufaHassan 11 месяцев назад
Shekh niunge
@user-dl8rg2gm8x
@user-dl8rg2gm8x 9 месяцев назад
Asalam arykum shehe mimi nimepata maiti anaoshwa
@zainabsalim9401
@zainabsalim9401 Год назад
Asalam aleikum warahma tullah,sheikh mimi niliota na babangu marehemu akinipa maagizo nitoe nyoka wakubwa wawili kwa sambani la nyanyangu na huyo huyo nyanyangu naotaga akinifanyia sihir sanasana kwa ndoto zangu,je ina ma'ana hii ama ni fitna za shaitani tu
@muddymandoa8359
@muddymandoa8359 Год назад
Asalamu aleykum mi Nilikuwa naomba kuunganishwa kwenye glop
@shukranijaiton8382
@shukranijaiton8382 11 месяцев назад
Nimeota ndoto Mamaang mkubwa alie kufa nimemwona amekuja nyumbani kwake ameingia na ameshika chungu kipya nn maana yake
@augustinolugagala
@augustinolugagala Год назад
Mimi bado ni mwanafunzi chuo sijamaliza masomo mpaka mwakani
@hekimafashion-ev8nk
@hekimafashion-ev8nk Год назад
Nimeota mtu aliyekufa namjua nijirani napia mtu huyu akafa anapika chakula chakuuza nawatu wakawa wana kula kwake nachakula hicho kwakweli nikichafu sikuzuri sana halafu ndoto ikaendelea kuna mtoto wakiume amabe km ana changa nikiwa hihi sasa tukawa tuna mkombiza ili tumkamate aka kimbilia nyumbani kwenye chumba huku ndani alipo ingia kukawa kuna watu nawajua wengine siwajui sasa yule mtu aka wa ana sumbua kufungwa mikono nyuma mimi nika toka nikaenda kwayule mama nika mwambie Hawa watu muda wote huo hawa mtoi tena chumbahicho kilikua changu kufika pale alipo nilipo muelezea hakujibu akawa yuko bize nawateja wake lakini nikawa nimesahau smyangu palenyumbani kuna kijana mwenzangu ambaye namjua wakawa washaa mtoa yule mtu anye changanikiwa sijajua waliko mpeleka yulekija akaniletea sm yangu niliyo isahau hukua kichwani akiwa amebeba begi languo lakini begihilo nalijua tunalo hapa nyumbani nahuyo mama nikweli ana mtoto ambae akili zake haziko sawa tafadhali ostadhi naomba tafsir yandoto hii
@ThuwaibaShehe
@ThuwaibaShehe 3 месяца назад
A.alykum, mm nimeota nakufa lakin kabla ya kufa ninawausia watu ambao nakaa nao wazidi kufanya ibada,wawe karibu na Allah subhanahuwataala lakin pia nilikuw natoa shahada,hapo hapo nikashtuka,please naomba majibu ya ndoto yangu,kuna mwaka mmoja niliota ndoto kama hii ila nilikuw namuusia mama yangu na dada zangu kuwa karibu sana na Allah subhanahuwataala, na mara hii nimeota tena
@bintathman3926
@bintathman3926 2 месяца назад
Nna shekhe ukiota unafanya tendo la ndoa na bwanako aliekufa inamaana gani
@dashuusaid3412
@dashuusaid3412 2 года назад
Shehkh me naota ndoto nipo na babu yangu tunatembea wote lakini alishafiki
@mozaseifwanatubaniasurayak3974
@mozaseifwanatubaniasurayak3974 2 года назад
Jazakallahu khaira
@kassimkibwe4614
@kassimkibwe4614 5 месяцев назад
Assalamu alayka ustadh, Mwaka 1990 nilioa mke na sikukaa naye muda mrefu nikaacha naye, Mwaka 2001 huyo mwanamke amefariki na Mwaka huu wa 2024 nimemuota tukiwa pamoja na nakuomba unyumba, je! Inaishara gani?!!
@kassimkibwe4614
@kassimkibwe4614 5 месяцев назад
Namuomba unyumba
@augustinolugagala
@augustinolugagala Год назад
Shekh Mimi niliota namuona kaka aliyekufa miaka kumi iliyopita Ananikaribisha nilipokuwa nimeenda kuanza kazi bandarini yeye akiwa mfanyakazi wa muda mrefu katika bandari hiyo,akinielekeza na kunisisitiza Sana kufuata maelekezo ya bosi wetu. Ndoyo hiyo niliiota Mara mbili. Pia naomba uniunge kwenye group
@husseinnuru7544
@husseinnuru7544 4 месяца назад
Xhee Hy ninjema ila jiandae nasafali saw mana nixhelia kuwa mola anakuonyexha
@carolineoyieko4791
@carolineoyieko4791 2 года назад
Nimeota napigana na dada yangu aliyekufa,vita
@idrisaadam4652
@idrisaadam4652 Год назад
Shekhe mm nimeota niko na shangaziangu aliefariki tuko msibani na mm ndo mgawa chakula lkn shangazi yangu anafuraha kweli
@zainabuchingwalu9951
@zainabuchingwalu9951 2 года назад
Mashaallh
@rukianassoro8890
@rukianassoro8890 Год назад
shee mm nimeota bahari alafu imejaa maji machafu nikairuk kwa kipaa kwenda upande wa piri nikakutana na vizee viwir nikawa nakemea kikiristo vikawa haviogop nilivyo visomea kislamu vikawa vinaogop inamaanisha nini iyo alafu badae nikaambiwa maji yameshapungua tuwai kuvuk kivuko kile kizuri lkini sikuwai kuvuk inamaanisha nini
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
@@rukianassoro8890 sina sana utaalamu wa ndoto ila swali sana swala 5 na soma sana Qur an Yaani zidi kufanya kheri njema Hao wazew sio watu wazuri
@user-pz8qk7ke4h
@user-pz8qk7ke4h Месяц назад
Mi niliota nimeshika mbuzi nyeupe nampelekea nayo n vipi sheikh
@samuelmwita6341
@samuelmwita6341 8 месяцев назад
Je ukiwa unakula na nyanya yako aliyekufa inamaanisha nini
@nasraomarry8970
@nasraomarry8970 Год назад
Shekhe mm nime otaa marehem ana nidai deni nika muliza deni gani akasema pesa nika muliza mbona uku ni kumbusha basi nika mlipa nusu nusu nika mwambia nita Kumalizia
@dusengezubeda
@dusengezubeda Год назад
Mimi nimeota nduguyangu alifariki amoananielezea gisi kifo kilimfikiya
@user-sd7vv9ed6t
@user-sd7vv9ed6t Год назад
Mimi nilifiwa namwanangu nimeota nimemkuta anatoka kwenyenyumba kijijini kwetu ananiambia Toka kapelekwa huko ajanjwa maji akitaka maji wanamwambia anywe yakwenyesinki la choo nikamuuliza umekunywa kasema ajanywa nikampa miji ajanywa alafu nikamchuku nikampeleka nyumba nyingine sijui nnini tafsili yake
@AyuniSuedi
@AyuniSuedi 29 дней назад
Asalam aleyk nimeota na mtu alokufa tunapiga stori inajirudia inamaanisha nn
@AnnaKahimba-bh7kh
@AnnaKahimba-bh7kh 2 месяца назад
Sheikh me nimeota Jan usik nimeona mait nyingi. Mochwal zimepangana afu anaesimamia ni rafik angu nin maan ake
@zarinahassan658
@zarinahassan658 Год назад
Allah akran😓😓nimemuota baba yangu ananiomba maji ya kunywa nikampa😭😭😭
@alisaidabdallah1480
@alisaidabdallah1480 Год назад
Mtolee swadaka
@allanjumaa2921
@allanjumaa2921 Год назад
Sadaka kwa wingi
@corandamisi9005
@corandamisi9005 Год назад
Mimi niliota nakula namutu ambaye amesha kufa
@nasraomarry8970
@nasraomarry8970 Год назад
Asalm alkm shekhe niunge kwenye group
@fatmajoza9457
@fatmajoza9457 2 года назад
Asalam alykum shekhe kwa mfano umeota umeolewa na maiti maan yak nin
@luqmanelectricaluqman3043
@luqmanelectricaluqman3043 2 года назад
Assalamualaikum...kuota na maiti akikupea chakula kama mahindi bichi
@hajiratiabdulhajiratiabdul7880
Miminimeota nikomsibani nainajiludia ilawatu siwajui
@kkkm6404
@kkkm6404 Год назад
Asalam aleykum sheh mimi nimeota na marehem kwamtu lakin mimi nakataa kwenda ananilazimisha kisha nikawa nakimbia namuogopa tena ananikimbiza nikawa nasoma sura ndio akapotea nikashituka sasa tisa usiku
@mwanaidibushuti9929
@mwanaidibushuti9929 2 года назад
Shukuran shekhe nimeota ndoto kidogo inafanana na hizi nimeota na mbusu marehemu nyanyangu ila Alisha kufa kitambo karibia miaka kumina na jee hii nayo maana yake nn
@FloraMkango-jj5io
@FloraMkango-jj5io Год назад
Habari mimi nimeota nimekutana namtu aliekufa akanipa sidiria yake nimfulie je shee indoto inamaana gani?
@lusajokajombo1529
@lusajokajombo1529 Год назад
Naota ndoto na waliokufa
@AlhajjhajjAlhajjhajj
@AlhajjhajjAlhajjhajj Год назад
Nimeota namnyonyesha mwanangu mchanga aliekufa... Naomba kujua maana yake
@ndayambajefikirini7252
@ndayambajefikirini7252 2 года назад
Sheikh nimekuamini,kabisa kwatafsiri zako,nimeota nduguyangu kishakufa,tuko ndani ananionesha viatu vyeupe bouti,nakuniambia kua alikua ameviwekesh,nikamjibu uwaminifu nijambo lakheri duniani.2) shemeji yangu mwanamke kaota ananywolewa ndevu na nywele zakichwa ,pia nakatoto kake kakike pia kaka nyolewa nywele nisaidie tafsiri
@mariamraiyane1673
@mariamraiyane1673 Год назад
Mi naota nikipeana chakula Kwa wafu😭😭😭😭😭nisaidie mara Kwa mara
@bakaliniazawadi8880
@bakaliniazawadi8880 Год назад
Asalam aleyku warahmatulallh wabarakatuh mwenyenyumba alishaga kufa nimeota amenipa magimbi nikapika nikayala ilayalikuwamagum mazuri baada yaapo kulikuwa nduguyake naeakanipa magimbi hayohayo nikapita nashituka maanayake nini?
@mwanamisiabdallah5409
@mwanamisiabdallah5409 Год назад
Asalam aleykum Shee Mimi nimtota nimempa mtoto wakakaangu maji na Alisha farika nisaifie
@Prrtyboi_i.n
@Prrtyboi_i.n Год назад
Sheikh mm nawota mandazi yako yanachomwa yako chini yangine yameja jua ya kitanda nini mana yake
@allyshaban4288
@allyshaban4288 Год назад
Asallam aleykum warahmatullah wabarakaatuh naomba niunge shekh wang niunge kwnye group
@edwinsanga6661
@edwinsanga6661 2 года назад
Niliota naongea na kaka aliye kufa nini tatizo Namba uniombee dua.
@lilianrichard9065
@lilianrichard9065 Год назад
Nimeota ananipa kitu cha thaman mme wangu ambaye kwa sasa ni marehem inamaana gani?
@eriqfat-hkimathi5997
@eriqfat-hkimathi5997 Год назад
A.a kama kamuota mke wangu kafa...tafsiri yake nini?
@AnnaKahimba-bh7kh
@AnnaKahimba-bh7kh 2 месяца назад
Niunge
@fatmaalwiy7651
@fatmaalwiy7651 Год назад
Asalam aleikum shukran shekh mm niliota kaka yangu alikufa hivi karibuni ananiomba nimkangie mayai alikua ananjaa nikamkangia nn maana yke pia tunaonba namba yko
@AmisiBaruani-ed3tc
@AmisiBaruani-ed3tc 5 месяцев назад
Niunge
Далее
KUOTA MTU ALIEFARIKI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
5:05
Просмотров 218 тыс.
would you eat this? #shorts
00:29
Просмотров 1,7 млн