Тёмный

#TBC1 

TBConline
Подписаться 414 тыс.
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@SalumuChikoi
@SalumuChikoi 3 месяца назад
Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu
@LugomeRisasi
@LugomeRisasi 29 дней назад
Hongera sana kaka
@mathiasmichael9915
@mathiasmichael9915 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM
@mimiraia2531
@mimiraia2531 3 месяца назад
MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI
@francomwacha2262
@francomwacha2262 3 месяца назад
Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali
@magorymara5515
@magorymara5515 3 месяца назад
Mbona wanatuonyesha sehem moja tu na si kote kulikojaa maji
@AlfredthomasMagaka
@AlfredthomasMagaka 3 месяца назад
Kazi nzuri op
@erickmollel-zv2eu
@erickmollel-zv2eu 2 месяца назад
Asnte kwa utumishi wako kwa kujenga nchi yetu
@johanesemmanuel4655
@johanesemmanuel4655 3 месяца назад
Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen
@zawadimwangupili4518
@zawadimwangupili4518 3 месяца назад
Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki
@anastazialushika
@anastazialushika 3 месяца назад
Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,
@JohanessMarwa
@JohanessMarwa 3 месяца назад
Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍 Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@GilbertKhitambala
@GilbertKhitambala Месяц назад
Fikra za mwalimu Nyerere muanzilishi wa mradi huu na JPM aliye thubutu kuendeleza mradi huu hakika waliona mbali.
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 3 месяца назад
Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 2 месяца назад
HAKIKA NI FURAHA Kubwa kuona jinsi Taifa letu likipiga hatua kuuuuubwa tangu tupate uhuru hadi Leo. Wazazi wetu na waasisi wa Taifa hili, pamoja na viongozi wote, Wabarikiwe sana. Pongezi nyingi Kwa JPM na Kwa mama Samia Aliyeachiwa kijiti na kukimbiza Kwa mbio zoote hadi hapa. Mama Samia Suluhu Hassani Ubarikiwe sana. 🙏🙏🇹🇿🤠
@MkungwaNgwarumbwa
@MkungwaNgwarumbwa 3 месяца назад
Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 3 месяца назад
ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...
@dahirgaraar360
@dahirgaraar360 3 месяца назад
Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.
@shaibchigwere4645
@shaibchigwere4645 3 месяца назад
Engineer wa power house yuko good kwa kuyelezea
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc 2 месяца назад
Alhamdulillaih...Allahu Akbaru....
@LuckymusykiLuckymusyoki
@LuckymusykiLuckymusyoki 3 месяца назад
Dada unajua kazi yako
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 3 месяца назад
Asante Kwa kuendelea kufatilia Wekeza Tanzania
@kanoleausi4204
@kanoleausi4204 2 месяца назад
Msisahau kumshukuru , na kumpongeza Mama Samia pia. haikuwa rahisi kukamilisha hiyo KAZI.
@simulizitanzania2571
@simulizitanzania2571 2 месяца назад
Karibu zimekuwa Nyingi mno aseeee
@AloneChuga
@AloneChuga 3 месяца назад
Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako
@stevensosipita
@stevensosipita 3 месяца назад
R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI
@oscarfilimbi3282
@oscarfilimbi3282 2 месяца назад
Hakika mungu ampe pumziko la milele yule kiumbe wake JOHN POMBE MAGUFULI,uthubutu na kulisimamia aliloamini bila hofu.
@khamissaleh921
@khamissaleh921 2 месяца назад
Jpm ashukuriwe alikubali kuvunja UJINGA WA WAZUNGU NA AKARHIBUTU KUJENGA DAM YA SELOUS .
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw 3 месяца назад
Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 3 месяца назад
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@joachimluhamo3042
@joachimluhamo3042 3 месяца назад
Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone
@daslamonline4665
@daslamonline4665 3 месяца назад
Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa
@vinenswilliam3534
@vinenswilliam3534 3 месяца назад
Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅
@WilliamSamwel-vh5op
@WilliamSamwel-vh5op 2 месяца назад
Nyinyi ni matapeli tu miaka minga yapita mnatengenezatu
@emmanuelmalifedha3391
@emmanuelmalifedha3391 3 месяца назад
Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo
@matheobaha773
@matheobaha773 3 месяца назад
Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia
@magorymara5515
@magorymara5515 3 месяца назад
Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 2 месяца назад
HIYO ASILIMIA 2 MWAKA UTAISHA
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 3 месяца назад
Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 3 месяца назад
mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza
@ZeProDJay
@ZeProDJay 3 месяца назад
Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..
@MussaJabiri-l5y
@MussaJabiri-l5y 3 месяца назад
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@MussaJabiri-l5y
@MussaJabiri-l5y 3 месяца назад
Nafuu ip​@@killy_hoffman2698
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 3 месяца назад
Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 месяца назад
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 3 месяца назад
AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 месяца назад
Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.
@vumiliamwasha191
@vumiliamwasha191 3 месяца назад
Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw 3 месяца назад
@@vumiliamwasha191 Asante dadayangu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 месяца назад
Wewe ni Mwisilamu wake wanne ruksa
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 месяца назад
@@edsonnelson4464 acha izo bana.
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT 2 месяца назад
​@@vumiliamwasha191Ubarikiwe sana sana. Unatufikisha mbali tusikofika Kwa macho TU tunaona mengi viganjani na SEBURENI... 🎉🎉❤
@khamissaleh921
@khamissaleh921 2 месяца назад
Hawa wasemaji sio type ya wanawake wenye mvuto kwa kuleta mvuta wa biashara Nb tafuteni wanawake walio na nguvu ya kumvutia mtu sio hawa hata sauti sio NZURI
@wilcoxdaniel9825
@wilcoxdaniel9825 2 месяца назад
Who writes this kind of nonsense ? This is an engineering project. Not a beauty contest
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 месяца назад
Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 3 месяца назад
Jpm
@Madizizi
@Madizizi 3 месяца назад
Kila siku 98% tumechoka kusubiri
Далее