#Rugemtahaba #Hatunajambodogo #ChomozaTV Kundi La Muziki Wa Gospel (Tanzania One Soul) Wamekutana Na kutengeneza Wimbo Maalumu Wa Kumuenzi Marehemu Ruge Mtahaba Aliyekua Na Mchango Mkubwa Katika Muziki Wa Gospel.
Gospel singers... Worshipers let's get together like that..... In short nimesikiliza hii nyimbo nakuitazama Mara 10 bado hamu haijakata na mpaka chozi linatoka kwanza I like corporation like that but also this work mbarikiwe Sana.... Tuko wengi underground tunajifunza kwenu Kwakweli...example me there people in this group huwa natamani one day nionane nao just once.... Mnanipa hamasa kubwa saan kwenye kazi ya MUNGU hii tuifanyayo hasa uimbaji..... You 😅😅😅😅😅
Kama kuna kitu kimewekwa kwenye vinywa vya watanzania ni talent ya kuimba. Na ndio the biggest gift in the world. Nami natoa asante kwa kazi hii nzuri. Proudly Tanzanian
God bless you so much!! Pamoja na huzuni ya kuondokewa, lakini siwezielezea furaha yangu jinsi mlivyokuja pamoja na kufanya wimbo huu wa kumuaga ndugu yetu, rafiki yetu na mpendwa wetu Ruge Mutahaba! Nawapenda sana Tanzanian Gospel Singers, tuendeleeni na moyo huo hata kama hatujapatwa na matatizo tusifu Mungu namna hiyo kwa pamoja na tutauona utukufu wa Mungu na kuwa mfano kwa mataifa mengine. RIP Ruge Mutahaba.
R.I.P Boss Ruge...nilikua sijawahi kukuona macho kwa macho lakini nilikua nakufatilia vizuri kwenye vyombo vya habari. Nilipopata taarifa ya kifo niliunguza chapati kwa mshituko. Umeenda baba kazi umemaliza....
Mungu amebariki na kukipokea kilicho cha thamani kama alivyokiumba kimerudi kwake kikiwa na uthamani uleule...kila chozi na neno la faraja Daima vimejenga Utukufu wa Mungu mwenyewe... Dunia na mbingu vimepaza sauti na imepenya mpka viliko vingine vingi vya thamani na viumbe wote wanamtukuza Jehovah...hakika na hali niliyojiona mfiwa nimefarijika sana na watoto wa Mungu hawa waliotumia karama na vipawa vyao Mungu awabariki sana na kuwainua R.I.P RUGE.😢😢😢😢
Ni faraja kubwa sana, nimejisikia kububujikwa na machozi ya furaha kwa umoja huu unaotoa fursa kutumia vipawa vyenu katika kutoa shukrani na faraja. Mungu awabariki sana. Nimeguswa na nimefarajika.
And what's the lesson? Kuimba matangani ama?! When will you people stop comparing everything with tz, they got their own culture & kenyans we got ours... We will never be them.
Kazi nzuri sana, Mungu akawazidishie pale mlipopungukiwa kwa upendo huu mlioonyesha. Maana halisi ya umoja na upendo mmeifundisha kupitia kazi hii. Rest in peace Ruge.
Thanks goes to all musicians (gospel and secular) for the time, effort and strength they have devoted in composing a great song to comfort Tanzanians in this difficult time. Nice song... Safiri salama Ruge, msalimu Maulana... Tutaonana badae.. R.I.P Ruge
Mbarikiwe sana wana wa Mungu kwa wimbo huu unafariji na kutukumbusha pia kwamba Mungu alianzisha na ndie anamaliza ,, wapendwa tuwe tayari maana hatuji siku wa saa
Mungu wetu tunamuabudu na kumuamini, awabariki awatie nguvu na awazidishie msizimie mioyo kuyatenda yaliyo mema ambayo ni dhahiri machoni petu na usoni pa Mungu, Inauma sana. Ila ni ombi Langu Mungu atujalie Mwisho mzuri, tuishi kumpendeza na mwisho tufike kwake Mbinguni. Mungu amkumbuke Ruge na amrehemu.
Kaka jimi najua umehusika asilimia kubwa sana katika kuwaweka karibu hii timu ya Tanzania one soul ila naomba fanyanen bidii muendee kutoa nyimbo nyingi sana ubarikiwe sana
Msikutane kipindi cha majonzi tu....laiyti mngejua jinsi mnagusa mioyo yetu mashabiki zenu mngekuwa mnaimba kwa nyakati za furaha Na majonzi!! Ninashindwa kuzuia machozi
This z sooo touching...Guud job Gospel artists seriously dis z what we call unit...Huu wimbo ni faraja saaaaana kwakwell.....Ni maombi yangu kwa MUNGU aendeleee kuwainua katka kiila sehemu...uwiii wimbo umeshika hisia za wengi kwakweliiii
Among of the word Jesus Christ leave to us as his children ni umoja ...nimepanda hii kwani mmeonesha neno LA Kristo..... Napenda umoja kwenye kazi ya Mungu ........tusizidiwe na mataifa on the issue of togetherness