Тёмный
No video :(

Tazama Gari La Laki Saba Lilivyompa Sheikh Walid Gari Aina Ya V8 Na ZX Asimulia Mwanzo Mwisho 

QIBLATEIN ONLINE
Подписаться 46 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RU-vid @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 60   
@hanspop6961
@hanspop6961 Месяц назад
Mufti Allah akulipe kwa kumuona Shekh Walid Hakika tunanufaika na ndio Bakwata yetu inatakiwa ielekee
@mrishoali1755
@mrishoali1755 20 дней назад
MasshaAllah Shegh Walid Usichoke na sisi InshaAllah hatutochoka kufatlia na kuijua dini yet wanazuon wanapungua na sisi tulionyuma yao tunapaswa kukamat ufmbo mkono kwa mkono hadi pepon InshaAllah
@abdullakhalfan31
@abdullakhalfan31 Месяц назад
Nakukubali Sheikh Walid Mashaa Allah.
@Majhidymhessa
@Majhidymhessa Месяц назад
Ma Sha Allah Mollah akuzidishie umri,kweli wewe ni kichwa kwa hesabu hizo na tukiamua kwa yakini waislam tunaweza fika mbali
@user-hk4ub8sy3z
@user-hk4ub8sy3z Месяц назад
Mashallah shekh Walid mola akulinde na hasad za watu na majini.
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 Месяц назад
MASHALAH SHEKH WALIDI NAKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH
@MAIMUNAABDALA-m4u
@MAIMUNAABDALA-m4u 16 дней назад
Nakupenda San shekh waldy
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 Месяц назад
Mashaallah Sheikh Walid, sio yule mtu wa michapo ya kinadada
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Месяц назад
Mashaa Allah Allha akulipe tutumie mda vzr fursa zipo ilituendelez dini na maisha kwaujumla.
@abbasmungia266
@abbasmungia266 17 дней назад
Hikma kubwa Masha Allah
@ladooladoo1285
@ladooladoo1285 Месяц назад
Huyu shekhe Maa shaa Allaah napenda uongeaji wake ni mtu simple ukimuona, uongeaji wake taratibu na mwingi wa hekima kuongea kwa mifano halisi kunafahamika zaidi wala hana usabii Allaah Akuhifadhi na Aturuzuku na sisi Lakini niwaambie siri ya mafanikio mnajua ni nini? Kumpa mtoto elimu ya kumtambua Mungu kwanza kwa hiyo safari inayobakia inakuwa nyepesi Allaah Atupe hekima ya ulezi kwa vizazi vyetu
@shabanmohamed7071
@shabanmohamed7071 29 дней назад
Daaahu hyu sheikh Allah amemjaalia hekma mno,uwezo mkubwa wa kuzungumza
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 Месяц назад
Uchumi, uchumi wa waislam uanzie kwenye madrasa/misikiti . wakati watoto wanasoma dini basi wafundishwe pia namna ya kujipatia kipato. Hii inawezekana kama madrasa ikiwa na maeneo ya adhi wakatumia kufuga( kuku, mbuzi, ngombe,) ama kufanya kilimo kwa mazao ya chakula na biashara (mahindi alizeti, maharage,nk) . Vilevile wafundishwe ujuzi wa computer, mechanics, umeme nk. Hii inawezekana ikiwa watawatumia/kuwaalika wataalam mbalimbali wa Kiislam hata wasio waislam. Kupelekwe mafungu ya fedha kila madrasa iweze kufanya mradi wake, ili wanafunzi wakihitimu wasiwe tegemezi na kudhalilika mtaani ama kujiingiza kwenye mikopo yenye riba, kamati na kujiuza. Inshaallah kila kitu kinawezekana tukitafakari na kuja na fikra za kujiinua kiuchumi. Allah awabariki, na Awatimizie malengo haya mazuri masheikh wangu.
@gharibsomali4595
@gharibsomali4595 Месяц назад
Hapo umeongea ukweli kutafakari muhim na nyinyi mjitambue munaendeshwa kwa misingi gani au munaenda tu kwa vile mumepata sehem ya kula ongea ukweli yasiyo faa
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Месяц назад
Allah azid kkuhifadhi kwa kheri alhamdulilah nakupenda kwa ajili ya Allah. Na ssi yuko tayari kuchangia kwa ajili ya maendeleo ya uslam daima
@jemrezeejemrezee9451
@jemrezeejemrezee9451 Месяц назад
Huyu jamaaa nifaswaha sana kwenye kuongea mashaAllha
@salimabdul4424
@salimabdul4424 29 дней назад
Mashaallah masheikh zetu kwa kikao kizuri....
@athumansaid796
@athumansaid796 Месяц назад
Walid wamuache kabsaaaa
@KhalidMzala
@KhalidMzala Месяц назад
Mashaallah Allah awape kiongozi wetu wadini umri mrefu wenye manufaa na afya njema
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b Месяц назад
Mabadiliko ya ante na kuwalipa Mishawaka mizuri waalimu wa vyuo na masheikh kazi kubwa sana wanaifanya. Itapunguza kuombaomba na majungu. Wendi siku hizi wamekuwa waganga
@HapsaHaji-bg5jk
@HapsaHaji-bg5jk Месяц назад
Maashaallah lazima tuwe na uchumi wetu
@marijanmussa
@marijanmussa 27 дней назад
Mashaallah
@mohamedimuhinga9064
@mohamedimuhinga9064 Месяц назад
Maneno ya shekh Wald kama kila kiongozi wa kiislamu atayafata waislamu tutakua mbali sana duh!! Ameongea vizuri sana
@athumanzanangwa4477
@athumanzanangwa4477 Месяц назад
Nasaha nzuri sana. Tuunge mkono kivitendo katika maeneo yetu kwa fursa zilizopo!
@allykama3352
@allykama3352 Месяц назад
Jitambuwe.+badilika+ aca mazoweya=mafanikiyo😊
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 Месяц назад
Mashaallah, Allah akuhifadhi kipenzi chetu shekh Walid Alhad Omar Kawambwa Kinyamkinda😀, hakika wewe ndiyo mtoto wa mjini hasa, tunawaombea na wale ndugu zetu waliokuja mjini awaondoshee husda na roho mbaya tuwe nao pamoja mjini
@mussabendera1751
@mussabendera1751 Месяц назад
Mashaallah umepataja kwetu lusanga.
@kapayaone748
@kapayaone748 25 дней назад
My role model -Masha Allah
@AmriMzeru
@AmriMzeru Месяц назад
Hili somo nimelipenda
@seifusengondo9170
@seifusengondo9170 Месяц назад
mufti ajaye Shekh Walid
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 Месяц назад
inafaa tupate mtu mwenyebmaarifa mengi sana. ya dunia na dini ... hawa wanafaa kuwa washauri wa mufti katika maeneo fulani fulani....., kwa uelewa wao kuhusu dunia na mambi hayo ndio maana hauwaoni bakwata wakiwa katika shuguli za maendeleo zaidi ya kufungisha ndoa
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Месяц назад
Safi sana shekh umeongea kweli sisi waisilam tumejaa majungu sana
@SulumaSwaleh
@SulumaSwaleh Месяц назад
MASHALLAH BIN GHAMMY , ALLAH AKUPE PEPO KWA HURUMA ZAKE.
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 Месяц назад
Amin🙏
@athumanzanangwa4477
@athumanzanangwa4477 Месяц назад
Mashaallah. Shukran sana Sheikh. Tuingie kwenye utekelezaji!
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 Месяц назад
Yaani huyu Sheikh ni hazina hasa
@abdallahferouz9238
@abdallahferouz9238 Месяц назад
ماشاء الله وجزاك الله خيرا 🤲❤
@user-tj5bf4yy3e
@user-tj5bf4yy3e Месяц назад
Imenisisimua sana Shekh hongera
@hashimrwegasira3790
@hashimrwegasira3790 28 дней назад
Ta sheikh walid okugamba amazima omukama akubele edini ogishomile nefaida ntugipata kulaba aliwe
@shabanikitogo6613
@shabanikitogo6613 Месяц назад
Hiki kichwa sio yule aliyekuwa kila siku ikulu kuomba msaada .
@user-ow6fw2lw7n
@user-ow6fw2lw7n Месяц назад
Soini ata nn nachangia kwa furaha allh akbar jambo ambalo ni kiu yetu siku nyingi
@user-zj2xq1od5l
@user-zj2xq1od5l Месяц назад
Mashaallah man'jan'da wajadah
@mj.tv.forpeople992
@mj.tv.forpeople992 Месяц назад
Umenijenga
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Месяц назад
Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚
@kivatirokitojo657
@kivatirokitojo657 Месяц назад
Walidi ni hazina ya koa wa darsalama na Tanzania angalia tafakkuri hiyo
@muhsinchambega
@muhsinchambega Месяц назад
Jazakallah kheir
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Месяц назад
Maasha allah
@nuhubashiramubashira7233
@nuhubashiramubashira7233 Месяц назад
Maashalaah maashalaah
@HapsaHaji-bg5jk
@HapsaHaji-bg5jk Месяц назад
itolewe namba ya kuchangia
@mwajohari4385
@mwajohari4385 Месяц назад
Alhamdulillah
@hawa6052
@hawa6052 Месяц назад
Baraka llahu fik
@SelemaniSelemani-bw4ps
@SelemaniSelemani-bw4ps Месяц назад
Mashaa allah
@shabanmohamed7071
@shabanmohamed7071 Месяц назад
Masha Allah
@Munatiyahilwa
@Munatiyahilwa Месяц назад
ALLAHUMA BAARIK❤
@GiftKivevele
@GiftKivevele Месяц назад
Mashallah
@majaliwaking4500
@majaliwaking4500 Месяц назад
mashekh hayo ndio yanafanya kupindisha haqqi
@majaliwahassan2555
@majaliwahassan2555 29 дней назад
Masha allha mungu awasimamie kwenye mawazo hayo hakuna kinacho shindikana kwenye maamuzi
@Sajotommy-w1l
@Sajotommy-w1l Месяц назад
Mashaallah
@AffectionateFood-rz5sv
@AffectionateFood-rz5sv Месяц назад
Mashaallah
Далее
ПОЁМ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
2:04:11
Просмотров 1,1 млн