Тёмный

TAZAMA MARCOM WA ZABRON SINGERS MWILI WAKE ULIVYOPOKELEWA NA MAMIA NYUMBANI KWAKE KAHAMA. 

iman creation
Подписаться 10 тыс.
Просмотров 99 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 110   
@HelenaMatiasi
@HelenaMatiasi 18 дней назад
Pole sana, mimi binafsi nimeguswa sana na uo msiba, niko nalia apa, ila akikisha uyo mtoto wake wa nje apewe aki yake, apo mungu atawaonekania katika familia yenu, ila mkithubutu kumtenga, mtakua mnajitafutia matatizo makubwa, sana katika familia yenu na ukoo wenu wote.
@stellahwilliam8578
@stellahwilliam8578 16 дней назад
Daaaah😢😢😢😢😢😢kifo ni fumbo pumzika kwa amani marco tutaonana tena badae katika haya maisha😢😢😢😢 ratiba zako zote usisahau na ratiba ya kifo nyie kifo kinauma sana asikuambie mtu 😢😢😢
@mukatukundorosine1745
@mukatukundorosine1745 14 дней назад
Watu wa Rwanda nasi tulikuwa na penda muimbaji Marc Pole kwa Familly
@joyceboniface6107
@joyceboniface6107 19 дней назад
Poleni wafiwa wote MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi, MUNGU ailaze roho ya mpendwa wetu apumzike kwa amani amina 😢😢
@MwajumaRashidy4
@MwajumaRashidy4 17 дней назад
Duh!inauma sana,Mungu ailaze mahala Pema pepen
@antonybusutu6676
@antonybusutu6676 19 дней назад
Farijini katika bwana...mungu alitua na pia ametwaa jina la baba balibarikiwe
@harrietajiambo229
@harrietajiambo229 19 дней назад
Hii si kazi ya Mungu hata Mungu mwenyewe hukasirika kwa kumuwekea lawana kwa lenye hajahusika
@calebmakokha
@calebmakokha 19 дней назад
Si rahisi kukubali eti marko ameaga,bali ni mapenzi yake Mungu.Mungu tujalie mwisho mwema.
@DeogracianaMhagama
@DeogracianaMhagama 18 дней назад
Ee mungu umpokee mtumishi wako, nilikuwa napenda uimbaji wake lakini ameacha alama.
@EsterOmary-w9s
@EsterOmary-w9s 19 дней назад
Jambo hili ni gumu sana kwa namna ya kibinadamu Yesu uliyemfariji wafariji wafiwa hawa
@faidajemsi3769
@faidajemsi3769 15 дней назад
Inauma sana jamn
@JosephMzipila
@JosephMzipila 18 дней назад
Polenta sana Zabroni kwa hili
@joyceabdallah4363
@joyceabdallah4363 19 дней назад
Amekufa akiwa kijana mdogo kabisa eee Mungu
@user-qx2zn8hd4c
@user-qx2zn8hd4c 16 дней назад
Ime niuma san Niki tizam machoz Yan tirirk tuu sijui mke wak na mam yak 😭😭😭
@limymasele21
@limymasele21 19 дней назад
Sielewi hali ya mkewe na wazazi wake kama wapo naumia mie huku wa nje je? Wandani 😢😢😢😢😢😢😢
@SaraUlaya-is2ch
@SaraUlaya-is2ch 19 дней назад
Yaan ni mtihani Kwa kweli😢😢
@lydiakemuntonyabuto7343
@lydiakemuntonyabuto7343 19 дней назад
Yaan mm ata naskia nko mgojwa kabisaa lakini mungu awapee nguvu kabisaa
@user-jn6ec7qv5p
@user-jn6ec7qv5p 19 дней назад
Wew acha tuuu me tangy nisikie kifoo Cha huyu kaka ata furaha sina yan najikuta tu nalia na kuanza kuwakumbuka ndugu zangu waliotangulia mbele za haki 😢😢
@user-hw7kz8rv2c
@user-hw7kz8rv2c 19 дней назад
Mmmmm Anajeyakua maumivu ya mke wa marehemu ni mungu peke yake ,tunamubea kwa mungu amtie nguvu dada yetu 😢😢😢
@user-hw7kz8rv2c
@user-hw7kz8rv2c 19 дней назад
Kifo 😢😢😢😢nakuita Mara mbili 😢😢😢
@gracemsuya8192
@gracemsuya8192 16 дней назад
Mungu akawe mfariji wao maana minimeumia Sana sijuiwao jamani
@user-td9lq1rg8v
@user-td9lq1rg8v 19 дней назад
May God give all strength in this trying moment
@martha4788
@martha4788 19 дней назад
Maumivu nayopata Mungu ndo najua Ee Mungu watie nguvu
@user-sz7ky5wi8w
@user-sz7ky5wi8w 19 дней назад
Poleni wafiwa wote Mungu awatie nguvu katika kipind hiki kigumu
@sofiaoman5901
@sofiaoman5901 18 дней назад
Mungu awe mfariji wenu kwa kuondokewa ni mpendwa Marco
@MacdonaldOtieno-h8j
@MacdonaldOtieno-h8j 19 дней назад
Poleni sana wana benti wa zabron singers-yesuvni mungu awatie nguvu wakti huu ngumu 😢😢😢
@esthermeshack8172
@esthermeshack8172 19 дней назад
Polen Sana mungu awatie nguvu
@keziaonzere3152
@keziaonzere3152 19 дней назад
R.I.P Mwenyezi Mungu aifariji familia
@user-jn6ec7qv5p
@user-jn6ec7qv5p 19 дней назад
Marco umeenda ukiwa bado mdogo sana miaka 32 still young
@njabukampigirwa9938
@njabukampigirwa9938 19 дней назад
Pole sana
@Roze-so4he
@Roze-so4he 15 дней назад
Poleni sana 😢😢
@esthersimiyu2276
@esthersimiyu2276 19 дней назад
Pole sana Kwa familia😢😢
@esterpastory8918
@esterpastory8918 19 дней назад
Tanzania bado hatujawa na madoctor bingwa wa moyo mi naamini niuzembe mtu anakufa hata operation bado haijafanyika kweli daa inauma sana
@happynessmitanda6470
@happynessmitanda6470 18 дней назад
True
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 19 дней назад
Tumeuona mkono wake BWANA🙏🏼🙏🏼
@harrietwaweru9760
@harrietwaweru9760 19 дней назад
It pains, the departure of this servant of God, RIP Marcom, dance with Angels😢
@user-si1gi2ue9u
@user-si1gi2ue9u 19 дней назад
Kesheni kila wakati Ndo maana yake hiyo.
@constanceade5094
@constanceade5094 19 дней назад
Saad pumzika Kwa amani😢😢😢
@annaedward9868
@annaedward9868 19 дней назад
Jamani uuuuwi nabaki kulia tu mwenzenu😢😢
@RedemptaShio-yi9dx
@RedemptaShio-yi9dx 19 дней назад
Kweli si njia rahisi ni adui Yesu achukue nafasi shetani anapepeta uhai
@mcsilandaboy-el2zo
@mcsilandaboy-el2zo 19 дней назад
Poleni sana wanafamilia na Tanzania pia mc silanda by poleni sana😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 19 дней назад
Emoj uliyoiweka unajua maana yake??????
@ChejoBuchejo-mm8bb
@ChejoBuchejo-mm8bb 19 дней назад
Swala la kudanja ni noma sana na halizoeleki✓
@Roze-so4he
@Roze-so4he 15 дней назад
Mimi sina lakusema ni mebaki mudomo wazi
@edinammoji2960
@edinammoji2960 19 дней назад
inauma hakika,pole jirani watanzania
@JulietOnyango-g7z
@JulietOnyango-g7z 18 дней назад
Hakika hii Dunia sisi ni wasafiri.
@janetjerotich-hd8sz
@janetjerotich-hd8sz 19 дней назад
😭😭😭😭so,sad it was so unfortunate 😭
@HappyMonda-h1c
@HappyMonda-h1c 19 дней назад
Dear lord, may you comfort this young family🙏🙏🙏 This is very painful 💔💔💔😭😭
@VAILETMWAMPAMBA-ug9ei
@VAILETMWAMPAMBA-ug9ei 19 дней назад
Inauma sana MUNGU awafunge mkanda family
@bariibokuwamebahatikahaout5277
@bariibokuwamebahatikahaout5277 19 дней назад
Poleni 😂😂 Sana wapendwa
@Tynamnyilis9824
@Tynamnyilis9824 19 дней назад
Dah😢 ni maumivu makali haya yote kwa yote tunamuachia Mungu😢
@LeathNestory
@LeathNestory 19 дней назад
Tunaumia ila mungu amulaze mahar female peponi
@Victoria-bv6xu
@Victoria-bv6xu 19 дней назад
Mungu awatie Sana nguvu🤔🙏
@elizaerikana
@elizaerikana 19 дней назад
Inauma jaman sjui familia yake wana hali gani mungu awapunguzie maumivu
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 19 дней назад
Ila mbona mapema sana 😢
@cheptiyosStellah
@cheptiyosStellah 19 дней назад
Mungu aMlaze mahali pema jamani poleni😪😪😪😪😪😪
@consesaphelician9266
@consesaphelician9266 18 дней назад
Tutaonana asubuhi njema
@EdinaPastor
@EdinaPastor 19 дней назад
Sjawah kumuona ila nimelia sana mungu
@HadijaHango
@HadijaHango 19 дней назад
Sijui kwanini tuliwekewa kipindi hiki kigumu jamani,inauma sana jamani hatuna budi kurudi ni mavumbi na mavumbini tutarudi
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 19 дней назад
Mwenyewe huwa najiuliza kuna muda natamani nisingelizaliwa😢😢, yani maumivu yake huwa ni makali sana,yanakata tumboni,ROHO INAUMA sana,MUNGU atureheme.😢😢😢
@naomikarue6100
@naomikarue6100 19 дней назад
Neema ya Mungu iwatoshe.
@glorybarnaba396
@glorybarnaba396 19 дней назад
Eeh Mungu😢
@user-xx5iy8vo6c
@user-xx5iy8vo6c 19 дней назад
Pumzika Kwa amani
@Cecilia-ld1qb
@Cecilia-ld1qb 19 дней назад
Umetoka nyumbani ukiwa mzima baada ya siku chache unarudi ukiwa kwenye jeneza 😢 ee Mungu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 19 дней назад
Wangeacha TU kumpasuwa 😢😢
@mercychebet3074
@mercychebet3074 19 дней назад
Ni uchungu sana lakini najiuliza mbona hawakumpeleka hospitali ya Kenya 😢😢😢
@RosieNgina
@RosieNgina 18 дней назад
​@@israelkisaila8401hata kama hangepasuliwa bado hangetoboa juu roho ndio Kila kitu na ndio ilikuwa na shinda
@FausitnePonera-fq9pj
@FausitnePonera-fq9pj 19 дней назад
Tuwaombee sana familia
@PaulineGitau-y9c
@PaulineGitau-y9c 19 дней назад
Ooh Mae did I see 1992??too young.
@EmmanuelKipkoech-nt7qw
@EmmanuelKipkoech-nt7qw 19 дней назад
Poleni sana😪😪
@agripinaapolinary1362
@agripinaapolinary1362 19 дней назад
RIP Marco
@user-jn6ec7qv5p
@user-jn6ec7qv5p 19 дней назад
Daaaaah😢😢😢😢😢
@mariammaulaga8204
@mariammaulaga8204 19 дней назад
😭😭😭😭😭duhh ni maumivu yasiyoelezeka haya jaman
@faidajemsi3769
@faidajemsi3769 15 дней назад
Nimeini kwamba duniani 2napita
@faidajemsi3769
@faidajemsi3769 15 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂
@MwitaKihugi
@MwitaKihugi 19 дней назад
Unauma sana ila MUNGU umesema lazima tufe
@euniceatemo5661
@euniceatemo5661 19 дней назад
Makiwa wapendwa tumepoteza ujumbe. wa kiroho,
@EvansCheruiyot560
@EvansCheruiyot560 19 дней назад
Polini sana
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 19 дней назад
So sad 😭😭😭
@NeemaLisu
@NeemaLisu 19 дней назад
😭😭😭😭😭😭hakika inauma sana
@RahabWanyama-yi4qy
@RahabWanyama-yi4qy 19 дней назад
Poleni
@janetcospan1113
@janetcospan1113 19 дней назад
😢😢mung awasimamie katka hili
@EdsonWillison
@EdsonWillison 19 дней назад
Hili Nipigo kubwa kwa Wana wamungu asa
@KikuletwaPump
@KikuletwaPump 19 дней назад
Polen watu wa mungu
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 19 дней назад
Hakika pole kwao😢😢😢😢
@HadijaHango
@HadijaHango 19 дней назад
Inauma jamani
@user-un7rz8mv6b
@user-un7rz8mv6b 19 дней назад
Daah
@LinetAchieng-xd9bp
@LinetAchieng-xd9bp 19 дней назад
😭😭😭😭
@leilakira
@leilakira 19 дней назад
Rest in peace Marko😭😭😭
@ZxnsWbak-gj1rv
@ZxnsWbak-gj1rv 19 дней назад
Rip bro
@JosephAndreas-dh8hc
@JosephAndreas-dh8hc 19 дней назад
Rip brother
@lydiakemuntonyabuto7343
@lydiakemuntonyabuto7343 19 дней назад
So painful aki 😭😭😭😭
@user-ly9vc5sh5g
@user-ly9vc5sh5g 19 дней назад
Sorry
@DorothyNyangasi
@DorothyNyangasi 19 дней назад
🤦🇰🇪🇰🇪
@MercyMwongeli-q7q
@MercyMwongeli-q7q 19 дней назад
Wah..😢😢
@safinamdingi7912
@safinamdingi7912 19 дней назад
Pumzika Kwa amani
@MarryJacob-w6n
@MarryJacob-w6n 19 дней назад
😢😢😢😢
@violetteniyongabire3859
@violetteniyongabire3859 17 дней назад
😭😭😭😭😭
@salomewandya7257
@salomewandya7257 19 дней назад
😭😭😭😭
Далее
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Просмотров 620 тыс.
MARCO JOSEPH - TOFAUTI (official video)4k
5:00
Просмотров 350 тыс.
zabron sngers hili limeniumiza sana
4:29
Просмотров 4,3 тыс.
Zabron Singers - Hili Limeniliza Sana (Official Video)
4:29