Pole sana, mimi binafsi nimeguswa sana na uo msiba, niko nalia apa, ila akikisha uyo mtoto wake wa nje apewe aki yake, apo mungu atawaonekania katika familia yenu, ila mkithubutu kumtenga, mtakua mnajitafutia matatizo makubwa, sana katika familia yenu na ukoo wenu wote.
Daaaah😢😢😢😢😢😢kifo ni fumbo pumzika kwa amani marco tutaonana tena badae katika haya maisha😢😢😢😢 ratiba zako zote usisahau na ratiba ya kifo nyie kifo kinauma sana asikuambie mtu 😢😢😢
Wew acha tuuu me tangy nisikie kifoo Cha huyu kaka ata furaha sina yan najikuta tu nalia na kuanza kuwakumbuka ndugu zangu waliotangulia mbele za haki 😢😢
Mwenyewe huwa najiuliza kuna muda natamani nisingelizaliwa😢😢, yani maumivu yake huwa ni makali sana,yanakata tumboni,ROHO INAUMA sana,MUNGU atureheme.😢😢😢