Amemkataa wapi ila bongo ama wakipigiana cm warecord 😂😂😂tumuombee uzima mtoto na mama ake kama kweli ni wa ki atasaidiana na fei kupiga mashuti kwa timu yetu taifa ⭐
Huyo jamaa atajikuta ameenda bucha usiku anakutana na mgogo mwenye bucha anatoka, mwisho wake, atajikuta anapewa ngwala za ng'ombe na makohozi kohozi ya kwenye shingo ya ng'ombe. Shauri yake.
Na Huyu Hamisa ni kama ile part ambayo Anna wa Jua Kali anaicheza, huyu si alichumbiwa na mtu wa nje ya Tz na wakaenda Muhimbili kutoa msaada sasa inakuaje? Hamisa kimaumbile ni mzuri kwanini hatulii akaolewa? Story ya maisha yake kama ni kweli basi ABADILIKE.
Aneyejua baba wa mtoto siku zote ni mama,,,, na mtoto kuwa mweupe na baba kuwa mweusi si sababu tosha ya kuwa si mtoto wa aziz ki bali aangalie generation yake yawezekana kuna ndg zake ni weupe
Kuna kisa cha kweli kilitokea Uingereza, miaka ya 1970 Mjamaica Mweusi na Msenegali mweusi walizaa pacha ambae mmoja katika pacha hao alitoka mzungu na mmoja mweusi ikatrend sana sana na madaktari wakapasuka vichwa ikafanywa DNA watoto wote wakawa 99.99% wa yule baba wa Ki-Jamaica wazungu wakaendelea kufanya utafiti ikaonekana yule M-Jamaica bibi wa baba yake alikuwa Mzungu, huu ni ufalme wa Mungu asili imejuridia pahali palipotia shaka. TUTAFAKARI KWANZA.
uyo azizi kiiiii amefanya makosa makubwa sana kumkataaa mwanae, isitoshe ataenda kumjibu Nini mungu isitoshe anatakiwa afaham kama dam ni nzinto kuriko maji ndio maana nime sema hivyo kwa sababu amefanya mambo ya ovy
Mapenzi na mpira ni mbingu na ardhi,kama ni kweli haya yanayosemwa kuhusu Azizi Ki ndo mwisho wa ufalme wake kwenye soka. Viongozi wa Yanga kwa nini mmeruhusu mchezaji kuwa huru kiasi hicho ?