Serikali ya Samia inafuatilia sana matumizi ya pesa... Kama wapigaji wapo, ni wachache... Na mradi wa daraja hili umeanza kwa miaka minne lakini mpaka sasa haujakamilika! Mama Samia hajatimiza hata mwaka mmoja tu akiwa madarakani! Je, wapigaji wameanza leo au walikuwepo hata Enzi za Magu?
Contractor s wanaochelewesha ujenzi wawe wanatozwa fine kwa kuharibu Vyombo na muda wa wananchi Kwa sababu ya Uzembe wao. Hata kama ni TARURA walipe fidia kwa wananchi ndio watajua maana ya kumaliza projects Kwa wakati.
Wapigaji walikuwepo hata Enzi zile. Watz tuwe Wazalendo... Tunajichelewesha wenyewe... Hii ni aibu... Nchi si ya Rais pekee yake... Kila mmoja awajibike katika kujenga Taifa letu...
Viongozi wanaangalia 2 wako kimya rais yupo na safari zake mradi akope pesa anawapa mafisadi rais hana muda wa kufuatilia shughuli za nchi yake yupo bize kufuatilia nchi za watu (R.I.P. MAGUFULI )
Hili daraja limeanza kwa miaka 4, lakini bado halijakamilika... Samia amekaa madarakani kwa miaka mingapi sasa? Mbona upigaji ulikuwepo hata Enzi za Magu?! Huu mradi ni thibitisho tosha kuonesha hili... Acheni kuilaumu Serikali ya Samia, Wapigaji imewakuta, lakini imefuatilia sana... Kila mtu awajibike, tunajenga Nchi yetu, tusijikwamishe sisi wenyewe...
Comments za kijinga kabisa... Rais anafanya kazi nzuri na kubwa... Ninyi endeleeni kujihujumu wenyewe na kuponda vya kwenu... Samia atakamilisha mihura yake miwili kwa heshima na maisha yake ya baadaye yatakuwa mazuri sana, yy na familia yake! Lakini ninyi na vizazi vyenu mtabaki kuozea kwenye umasikini huo mliojisababishia wenyewe... Shame on you!
Hi watu wa Mungu. Naomba sana support this gospel artist Vaileth. Bonyeza link hii kusikiliza nyimbo yake ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-4NJlyOmIlk4.html
mfuatiliaj wa haya madudu alikuw Magufuli huyu mama hajui chochote ila chaajabu ikfka 2025 utashangaa majinga yanampigia kura na anapta tena kwa kishindo cha ajabu
nadudu yapo ya kutosha na hayaishi haswa kina mama wenzangu wanaodanganyiwa vikanga vya njano na vitishert ndo wanaotidinganya mambo, kitu kingine haohao wanaojifanya ngazi ya juu ndo wapitishaji wa rais wamtakao sasa unafikili tutafanyaje? ila mie huwa nachukuwa cardi ya kura tu mengine wasiniulize
Wakati wa Mwendazake haya madudu hayakuwepo? Ujenzi wa daraja hili umeanza kwa miaka miine, na bado haujakamilika... Enzi za nani hizo ? Acheni unafiki...
Madaja gani. Sasahivi vifaa vya ujenzi vinauzwa na mafundi Hakuna mfuatiliaji. Anakuta cement na nondo zinauzwa mtaani Kama karanga na wananchi wajinga wana nunua kwa bei chee. Bila kujali wao ndio watakao athirika
Ww sio mfuatiliaji, pengine hauna bando la kutosha! Barabara ngapi zinazojengwa vijijini sasa? Madaraja mangapi yanayojengwa mikoani leo? Vituo vya afya vingapi vinavyojengwa Nchi nzima? Miradi ya maji mingapi inaosambaa Tanzania nzima? Madarasa mangapi yamekamilika siku za nyuma Nchini kote? Niishie hapo tu! Labda ww ni kipofu, maana huoni au hutaki kuona ?! Nchi yako imejengwa, ndugu ! Ungekuwa mzalendo, ungejivunia hilo!