Kipindi hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa kituo Cha kupokea umeme wa megawati 2115 wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere Mtangazaji - Vumilia Mwasha Mwongozaji - Neligwa Muggitu Mdhamini - AZANIA BANK
Mojawapo ya lengo la kujenga bwawa la umeme la mwalimu nyerere ilikuwa ni kupata umeme kwa bei nafuu ili kuchochea sekta ya viwanda. Serikali isimamie hilo.