Тёмный

THE CLASSIC TAJI LIUNDI PT 1 :MWANZO WA BONGOFLEVA RADIONI/HAKURUHUSIWA KUPIGA/ALIUPAMBANIA USIKIKE 

KuviFacts
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 7 месяцев назад
Saleh Jabir watu hawajui hata sura yake hebu Kuvi fanya maajabu huyo mwamba apatikane watu wamjue.
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 7 месяцев назад
Taji jamaa kichwa anajua kupanga maneno akiongea unajisikia raha big up kwake kuvi Chaka hongera kwa kuwakumbuka wasanii wa zamani na dj na mameneja kwa kazi nziri
@charlesdaniel6212
@charlesdaniel6212 7 месяцев назад
Mpaka sasa nafikiri hii ndo interview yangu bora kabisa kwa vipindi nilivyo wahi kuvisikia afu pia kuna ile ya Inspector 🙌🔥
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 7 месяцев назад
Big Jabir Bora waite wote Kwa pamoja Dj Bony na Taji Liundi litakuwa bonge moja la interview
@samirmswahili
@samirmswahili 7 месяцев назад
#theclassic ndio kipind bora tz tuache ubinafsi kuvichaka noma sana kwenye hizi vitu
@osca_kitomari_journalist
@osca_kitomari_journalist 7 месяцев назад
Bonge la interview!
@mackamehassani201
@mackamehassani201 7 месяцев назад
Kuna haja sasa jmn historia ya muziki huu wa bongo fleva kuwekwa ktk kitabu.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 месяцев назад
Nmekumbka enzi za donbosco
@samchris1914
@samchris1914 7 месяцев назад
Big up Jabir our Sway🙏🏿
@KuviFacts
@KuviFacts 7 месяцев назад
🙏🏾🫡
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 месяцев назад
Kim&boyz
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 6 месяцев назад
Sema temeke ipewe maua yake
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 месяцев назад
Ila wasanii sahv hawa appreciate kbs hustle zenu
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 месяцев назад
Kwa kifupi hawana adabu kabisa na hiyi inatokana sisi wenyewe mashabiki kuwambisha kichwa.
@nehemia397
@nehemia397 7 месяцев назад
wasanii wanatakiwa wafanyaje ili waonekane wana appreciate hustle za ma legend??? pengine hawajui wafanye nini hebu waelezee hapo kiongozi?
@emaneez
@emaneez 7 месяцев назад
Noma sana
@silwanosihha4394
@silwanosihha4394 7 месяцев назад
Big Jabir keep it up Broo…I real appreciate your nich
@jila_legrand
@jila_legrand 7 месяцев назад
Big interview
@guluramadhani1799
@guluramadhani1799 7 месяцев назад
Big Up 🔥🔥🔥🔥
@jumakabota1231
@jumakabota1231 6 месяцев назад
Huyo dada aloimba hapo mwishono kwenye wimbo wa MSELA anaitwa nani na yuko wapi?
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 месяцев назад
Hawa watoto wa 2000/1995 hawaelewi
@salumuseif3324
@salumuseif3324 7 месяцев назад
nmezaliwa 1995 naufaham mziki wa kitambo kuliko ww
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 7 месяцев назад
@@salumuseif3324 sasa we wkt unazaliwa mm nmehudhuria yo rap bonanza
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 7 месяцев назад
2000 ndo hawaelewi not 1995
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 месяцев назад
Nina swali uwanapenda kujuwa maana Ya kuva hizo headfone mtu akiwa ndani Ya studio huwa zinasaidiya nini?
@SAMJIKASSIM
@SAMJIKASSIM 7 месяцев назад
kutosikia makelele mengine, unakuwa unasikia anayeongea kwenye mic
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 месяцев назад
@@SAMJIKASSIM Nashukuru sana brother. Nilikua nashanga tu ila Leo nimeelewa sasa 🙏🏽
Далее
Salama Na TAJI Ep 45 | TABASAMU LA SWAHIBA Part 1
28:16
Rate our flexibility 1-10🔥👯‍♀️😈💖
00:12
Brawl Stars expliquez ça
00:11
Просмотров 7 млн
Rate our flexibility 1-10🔥👯‍♀️😈💖
00:12