Kenya iliwakosea nini jamani. Why are some Tanzanians bitter with kenyan over english issue? dragging kenya in almost all your conversations is quite absurd. wacheni chuka kwa Kenya
Nimeifatilia vizuri hii interview but kitu nilichogundua kwa wote wanaomchukilia poa Master-j ni wale ambao hawaujui muziki vizuri na historia yk kiujumla. Kizazi cha 2000,2005 na kuendelea chote hakiwezi kujua nn alifanya huyu mtu meyb awe mfatiliaji wa muziki sn.
binafsi MJ ni kizazi zaidi nyimbo za diplomatz , Mawingu Band, Nigga 2 Public, KWANZA UNIT, GWM na Gangwe Mobb pindi iyo P Funk bado ajaanza kuzipika tv TV steshen ilikua ITV mtangazaji Othuman Njaidi ambaye alikua ni muimbaji wa Mawingu Band OLD IS GOLD
Leo ndo nimekupitisha mwanangu kuvi...list yako ya current bongo hip hop artist nkajua utaniletea watu wako kina cjui maarifa cjui lunya cjui conboi au hawa kina country boy ....ila umeleta list ya kibabe sana big up
@@samirmswahili.Hiz, alaf, yko, smatiii? Rekebisha kwanza uandishi huo wa kifacebook ndio uje kwenye midahalo hii migumu ya kuchambua mmoja kati ya watayarishaji bora kabisa kwenye historia ya mziki huu wa kizazi kipya #MikaMwamba
Sikua nataka kukujibu ila baada ya kuona unamyeyusha huyu msela hapa nkaona nkujibu leo ,Mika Mwamba amerudi kwao Finland miaka mingi kwa hiyo kumpata nia aidha tuende Finland ama aje yeye Bongo,hivyo usiangalie tu mkuu mpaka moja kati ya hayo mawili yafanyike panapo uzima
Always kila msanii ana ladha yake lakini kinachofanya msanii apewe crown ni album bora kwa mda huo anayo nani, Hit song anayo nani, lakini kwenye tuzo nani yuko nominated zaidi