Jamal Mustafa leo nakupa sentensi mbili tu nadhani tutajifunza wengi. "Be a hero for one minute or coward for a lifetime"...Bro mwanzo tulikukataa ikiwemo mimi lakini ukakata kua muoga leo tunakuita shujaa. "If you want peace prepare for a war" Ulihitaji amani ,ukajiandaa kwa vita ndo maana kuna muda ulikua kimya kujiandaa na vita leo vita umeishinda na una amani. Hongera kaka
Daima usikubali watu wakushushe! keep fighting and prove them wrong! they will praise you... well done Jamal April....I always believe in Talent and Commitment
My friend nadhani ni bora utafute mada nyingine za kuzungumzia, wakristo wa kweli hamwamini Yesu aliyechorwa kwenye picha au sanamu, waaminio wa kweli hawaamwamini Yesu kwa sura umbo au wajihi wake, tunachoamini ni NENO LAKE. siyo rangi, kimo, wala.sura. na Yesu atakaporudi hatutampokea kwa kumwangalia sura yake wala mavazi, urefu, rangi ya nywele zake au ndevu zake, bali ULIPO MZOGA NDIPO WANAPOKUSANYIKA TAI. Na mwisho kwa taarifa yako YESU KRISTO WA NAZARETI AMEFUFUKA NA YUPO HAI. HAYUPO KABURINI. WALA HAYUPO KATIKA WAFU. Historia yako ni hatari, ya kishetani ya uwongo, isiyorandana na ukweli wa Yesu Kristo kibiblia wala nabii Issa katika uislamu. Pole sana unahitaji msaada wa Mungu kwa kuwa mpotoshaji na mjumbe wa iblis na shetani.
Ndio maana sisi waislamu kweny movie za kiislamu hakuna mtu aliegiza kuwq yy ni mtume Mohammad (s.a.w) kwakuogopa watu kunakili sura....Huyu jamaa ameeleza ipasavyo may be uwe umkoti vibaya
Bwana Mungu wa wote wenye mwili hapa duniani Yesu Kristo, nakupenda Sana, najua siku kazi yangu itakapoisha hapa duniani nitakuona, na nitaweza kujua jinsi sura yako ilivyo. Amen.
Dah.. mzee hongera sana umenifungua kwenye jambo nisilokuwa nalijua ama kweli ww ni genius na naamini kweli una uwepo wa MUNGU ndani yako Asante kwa elimu nzuri na mwenyez MUNGU azidi kukuongoza..🙏🙏
Kipindi jamal alipo weka story yake. Ya kwanza watu mlisema hammtaki wala hammuelewi lkn now karibia wote mnamkubali ..hii inafanya niamin kabisa kwamba ktk kufanikiwa mwanzo huwa mgum sanaa lkn ukijituma mambo huwa yanakja kbadilika
@@ikrissaidrissa8613 Hapana God/Mungu ni wengi, inawezekana ni ng'ombe, mizimu, miti, mawe, moto itategemea na imani nyengine ila Allah ni Mwenyezimungu hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna aliefanana nae, yeye ndie alieumba ulimwengu na kila kilichomo nae ana majina 99
Yesu hatatokea akiwa amevaa mwili kama Jamali anavyodhani ila atakuja kwa roho. Na kitakachomuona sio macho yetu ila ni roho zetu. Na hawa wakina Blayan na Robert woa wanaigiza tu kufwatia maandiko na mtu anacho amini si sura ila ni matendo . Sura haiwezi kutufikisha popote. Okokeni maana hakili Yesu hatumuamini kwa resurch ao kwa archeology bali kupitia Biblia takatifu. Sema Amen kama tuko pamoja
Daima usikubali watu wakushushe! keep fighting and prove them wrong! they will praise you later and be their hero... well done Jamal April....I always believe in Talent, Hard work and Commitment
Hongera sana mwenyezi mungu ata kulinda Niamini lakin watu wabaya wataanza kukupinga na kukukwamisha lakin mungu hashindwi kama ww nini mmoja wa watu ambao mungu amepanga kukutumia kwenye kazi yake amini hamna atakaye zuia japo vikwazo lazma ukutane navyo lakin usiogope wala kukata tamaa HONGERA SANA KUWEKA WAZI UKWERI UNAOFICHWA KILA UCHAO
Watafiti hao ni binadamu kama mm so cwez wahamin kwa makadilio yao iki ni kitendawili kikubwa sana. lakini cwez walaumu bali nawaombea kwa Mungu awabariki sana na waachane na kazi ya kukadilia sura ya Yesu bal wa muombe sana Mungu awabark wafike mbinguni waka muone yesu kwa uhalisia wake, Asante Mungu kwa kuniumba mm na wanasayansi wanao kisia sura ya mtoto wako tubark cc wote na utusamehe kwa dhambi zetu zote
Charity The Golden I wish ungewaeleza watu waliodhania kwamba Jamal anaikashif imani fulani kisa anaongelea rangi ya mwili ya yesu. Hapo ndio unajua mabeberu wanetutawala hadi fikra
MTU MMOJA AKANIAMBIA KWAMBA KWANINI UNAMWAMINI YESU HAUJIU KWAMBA YESU NI MZUNGU NIKAMWAMBIA SIKILIZA NIKWEELEZE HAYOYOTE SITAKI KUJUA NINACHOJUWA AMENIOKOA , NILIKUWA MTUMWA AKANIWEKA HURU NDIO MAANA NINA MWABUDU,
@@ceciliaeleuterymbangile7989 That's crazy me as well before doing my research I used to think that is the real picture of Jesus Christ..but it was damn lie 🤥
The best narrator of how Jesus/ Isa A.S looks like is Mohammed (S.A.W) he narrated how he is, He somehow knew that in later times people will have disagreements about the face of Jesus so He gave us a description.
Ukitaka kuijua Sura ya Yesu wewe zama kwenye imani kwa ndani kabisa utaijua sura yake, ambapo utakavyoiona wewe sivyo watakavyoiona wengine !! Imani ni fumbo ambalo analijua anayeiamini pekee !! Na kama Mungu alituumba kwa mfano na sura yake basi kila mwanadamu anayo sura ya Mungu !!
Hongera umejitahidi kusimulia! Kitu ambacho binafsi yako huamini lakini umesimulia vizuri !! Wewe unaamini kuwa Yesu hakufa alipaishwa mbinguni kutokana na imani yako! Sisi twaamini alikufa akafufuka Swali langu kwako kutokana na simulizi yako Je! Wewe unaamini mwili uliokutwa kwenye jeneza ni wanani? ??
Hajui lolote kuhusu historia za mitume.soma qur an utaelewa kwa umakini.nabii issa hakufa ispokuwa miujiuza y m/mungu tu na kabla ya mwsho wa dunia nabii issa atarud dunian kutoka mbingun.
ACHANA NA IZI IMAGINATIONS PICHA ZA YESU ... AMINI YESU KABLA UFUMANIWE NA MASHIDA ... ACHA SIASA MINGI HAPA KULE 😢😢😢😢 GOD WHO CREATED YOU , YOU WON'T SEE HIM WITHOUT JESUS .. BINADAMU WACHA MAMBO YA MWILI .. SPIRITUALLY , HUWEZI AMINI YESU NI NANI , UTASTUKA SANA KING OF KING ....
Imani yako ndo Allah, Imani yako ndo Yesu , imani yako ndo Mungu, uwe mkristo au Islam , Imani yako , uzuri wako wa kiroho , matendo yako na mengine mengi ndio itakayo kupeleka kwenye ufalme wambinguni.. Quran au Bible ni neno na mafunzo tu mbali ufalme wa mbinguni uko ndani ya roho zetu.. stop judging people
@@dollyesey1478 usipomsadiki Mungu wewe ni motoni tu usijitoe ufahamu Mungu ameweka wazi yepi maneno yake, yepi mabaya na yepi mazuri na zuri linajiweka wazi na baya pia lipo wazi Mungu amekupa akili ipo siku atakuuliza uliitumiaje akili yako
Cha msingi ni kuyaandama aliyo kuja nayo Yesu toka Kwa Mola mlezi wetu. Hii kutaka kujua anafananaje alikuwa mrefu mfupi. Yatatupotosha na yatatutoa ktk njia ya Mungu
Yesu alifufuka hata kitabu Cha Quran surah Al Maryam ilitabiri atazaliwa kufa na kufufuka Mimi ni mkristo nmeshika hio Imani ...mengine Sina haja ya kusikia AMEN
Sifaham kama story ilikuwa inamuhusu jamal(hakuna kinyongo juu yake)..kama ingekuwa ivyo angesema,,,,ni msimuliaji.. Basi tusikilize amesemaje..... *Sura ya Yesu* ndilo alilotaka muwaze lakini hamuoni japokuwa mnayo macho.. Mm naona hivi.. 1. Ilikuwa rahisi sana Yesu kuacha sura yake lkn hakufanya..kwann? Alijua mtaiabudu na nina hakika 100% hakuna aliyeipatia.. ...imeandikwa**anawajua waliowake nao waliowake wanamjua** NA HAWAHITAJI PICHA! 2. Yesu hakuwa na haja ya kushikamana na dini ...wala hakuileta....alifanya kwa wote maana yy ndiye dini...na ukitaka kwenda kinyume kumgawanya basi hunaye tena..
Siku isi watu wameigeuza adi bibilia asifanani ukishoma bibilia kwa umakini bibilia sikona tofauti sana ,yaan ndunia imejawa na Giza sana nivigum kuelewa neno la mungu
Maelezo ya mwisho ndo sahii ila sio kufanana kwa picha ilioigizwa ila kwa sifa ulizotaja mwisho ulivomalizia ni sahihi lakin sio kwa move zilizoigiwa. Ila sipend kuulizwa nimejuaje bali kila mtu kaletwa dunian kwa sababu maalum na kwa makusudio ya Mungu pekee na sio wanadam wala viumbe wowote ila Mungu tu.