Тёмный

THE STORY BOOK : Yamepotelea Wapi Mawe ya Amri 10 za Mungu ? 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 896 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@kingpin2511
@kingpin2511 3 года назад
Nipewe Like za The Only Professor We Have In Africa
@gloriaako7225
@gloriaako7225 3 года назад
Umerudi vyema Jamal April nakupata vyema kbs toka 🇹🇿 like 20 jamn km umekubali ujio wa the story book
@abukhaulatibrahim7521
@abukhaulatibrahim7521 3 года назад
Hichi ndio kipindi pekee ninachofuatilia wasafi. Hongera sana Jamal, hongereni Wasafi Media
@peterkipuzi2700
@peterkipuzi2700 3 года назад
Huwa kipo muda gani,na siku gani
@bettymwasa1079
@bettymwasa1079 2 месяца назад
Hivi huwa kinarushwa lini na saa ngapi??
@thearphaxadstv
@thearphaxadstv 3 года назад
nimeishi kuombea the storybook kurejea na ama kweli maombi yangu ni ya hakika SIJAFELI😍😍✔
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 года назад
Kbisa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9VINaNBAlFU.html
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 года назад
Unaombea ujinga badala kuombea Wazazi wako dahh Innalillah wainaillah rajuun
@thearphaxadstv
@thearphaxadstv 3 года назад
@@nissarhussein4887 ama kweli unadhihirisha ulemavu wa ubongo wako samahani maombi yangu kama hayakupendezi omba yako
@fredyefd8116
@fredyefd8116 3 года назад
@@nissarhussein4887 fikra zako cyo zetu shugulika na yako
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 года назад
@@nissarhussein4887 kwa hiyo unajaribu kutuaminisha nini sasa kwa mfano...? Kwamba wewe tangu uzaliwe hujawahi ombea chochote wala mtu yeyote chini ya jua tofauti na wazazio sio..?
@oscarsabin3561
@oscarsabin3561 3 года назад
Leo nimeflai sana imanijenga sana kwenye imani yangu amen tunamsubira bwana yesu kisto amen
@mwarabumbarak4342
@mwarabumbarak4342 3 года назад
Huyo unaye msubiri mwisho atakukana. Luka 13:25-28 Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako; 26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu. 27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu. 28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.
@samuelmuhina3186
@samuelmuhina3186 3 года назад
Usimsikilize m2 yeyote iwe Mimi huyu Jamal na hata wasomi.....muombe Mungu akutie maarifa ya kumjua....Soma neno mwenyewe
@Pro_Hacker99
@Pro_Hacker99 2 года назад
@@mwarabumbarak4342 maandiko ya kwenye kitabu Cha biblia na ata Qur'an ni mazito Sana, hayana tafsiri sisisi yaan hayatafsiriwi Moja kwa moja kama yalivyoandikwa, yahitaji akili ya Iman ili kujua nn kinachokusudiwa kwenye andiko....mfano ww sheikh hapo umetafsiri Moja kwa moja Yan umenukuu na kichwani umeweka kama ilivyo......muache mtu na Iman yake
@denismugisha2
@denismugisha2 Год назад
Jina la BWANA huandikwa kwa herufi kubwa
@anastaziamruma3775
@anastaziamruma3775 3 года назад
Hatimaye kipindi changu pendwa 💕💕💕kimerudi 🙏
@alphahappy3501
@alphahappy3501 3 года назад
Hapa sawa sasa, sio storybook inapotea mpaka tunataka kuchanganyikiwa.
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 3 года назад
😁😁
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 3 года назад
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mjuzi. Sio yote tunatakiwa kuyajua mengine ni kumuachia mwenyezi Mungu pekee Asante Jamal
@lujenjejr3628
@lujenjejr3628 3 года назад
Wazungu walitupiga tu na hadithi zao ili watukoloni...
@swagatdebracy6447
@swagatdebracy6447 3 года назад
Imeandikwa yachunguzeni maandiko tena ikaandikwa usimuache elimu aendezake.
@allymajeba4211
@allymajeba4211 3 года назад
JJ
@seasonepisode3328
@seasonepisode3328 3 года назад
@@lujenjejr3628 ukifa utaelewa tuuu kila ndimi itakiri
@lujenjejr3628
@lujenjejr3628 3 года назад
@@seasonepisode3328 nani alikifa akawaambia kua huko kila ndimi zinakiri...
@hassanyussuph4407
@hassanyussuph4407 3 года назад
Jamal unafanya kazi kubwa sana kutengeneza thestorybook kazi nzuri sanaa
@officialprincebaro6983
@officialprincebaro6983 3 года назад
The story book huwa inatusaidia kujuwa na kutaka kufatiliya jambo.. Nakubali Mzee wa zamaniiiiiiii Zamani sana Welcome
@LilfourEmpire
@LilfourEmpire Год назад
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with looove
@antonynyerere4347
@antonynyerere4347 3 года назад
Jamali April....hongera sana unatufanya tujue mambo ya siri sana ya dunian mungu na azidi kukubariki kaka yang binafsi nakupenda sana
@boscomtani1006
@boscomtani1006 3 года назад
Jamal April a.k.a. Jamal Mustapha a.k.a. Professor unajua sana, nikiona the Story Book Umeandaa na kusimulia najua kwamba hicho ni kitu makini kilichofanyiwa utafiti wa kutosha na kuwasilisha kwa ustadi wa kuvutia kwa njia ya simulizi. Hakika wewe ni tunu kwa taifa, dunia na ulimwengu. Ubarikiwe.
@annastaciangau9004
@annastaciangau9004 3 года назад
Jamal april pamoja na the story book mungu akubariki zaidi kwa bidii yako ya kutuelimisha, karibu tena na tena kwa story zako zenye mafunzo mazuri siku zote
@frankkondo5198
@frankkondo5198 3 года назад
Wewe unatakia upewe p.hd ya heshima
@neemamiruho2096
@neemamiruho2096 3 года назад
@@frankkondo5198 qqqqqqq
@neemamiruho2096
@neemamiruho2096 3 года назад
@johnsonkatembo7207
@johnsonkatembo7207 3 года назад
Story book nashuku rusana Mimi naichi Congo ila nakufata vizurisana n'a kulomba namba yako ya WhatsApp
@ahmedabdirustu2193
@ahmedabdirustu2193 3 года назад
A2
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 3 года назад
Neno la Mungu ni taamu
@ledamussa30
@ledamussa30 3 года назад
Sanaa
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 3 года назад
Toka kenya kila siku naingia you tube kuangalia kama the storybook ipo.. Nashukuru umerudi baba
@samuelmweipongwe140
@samuelmweipongwe140 3 года назад
Watu ni wavivu wa kufikiri na ni wavivu wa kujituma kuyajua mambo. Ufunuo wa Yohana 11:19 [19]Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.
@JuliethAron-x4x
@JuliethAron-x4x 4 месяца назад
Ahsant sana ndug Jamal kwa story nzur naomba utusaidie kujua historia ya bustani ya heden
@evancepatrice1114
@evancepatrice1114 3 года назад
Dah ahsante sana wasafi media kusema kweli wasafi ni media iliokuja kupindua radio zingine watasubili sana
@willywox5040
@willywox5040 3 года назад
My brother from another mother! tulikumis san kaka 🙏
@aishwiihbeauty9912
@aishwiihbeauty9912 Год назад
🥰🥰🥰🥰. Nakupenda ww
@nurdinhussein
@nurdinhussein Год назад
Leo wa kwanza naombeni like zangu
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 3 года назад
Walokuwa wanamgonja Jamal kwa hamu gonga like twende pamoja.
@isaackmboma72
@isaackmboma72 3 года назад
Sija amini yanikama Jamal kaludi I'm so happy
@mwiguluzabron1414
@mwiguluzabron1414 3 года назад
Nmemsubiri sanaa
@njoylee225
@njoylee225 3 года назад
@@isaackmboma72 J
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 года назад
Sjaamini kumckia Jamal again jmn ninakupenda Sana Jamal km washkaji zangu waliolike
@aminaathuman2917
@aminaathuman2917 3 года назад
We miss you Professor Jamal
@asaa3219
@asaa3219 3 года назад
Aziji bure hizi story tujifunzeni kitu guys 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
@margaretmahege7948
@margaretmahege7948 Год назад
Kazi nzuri sana Jamal
@HusseniHashim
@HusseniHashim 5 месяцев назад
Mungu akubariki kwa kutupa ushuhuda Jamari nitafutie stori ya kisa cha wakristo na waislam hata kdog jinsi ilivyo kua
@thabitiajibu4404
@thabitiajibu4404 3 года назад
WCB4life kimeludi tena kipindi changu pendwa @the story book tujuane hapa wote tunaopend the story book like k10
@cleverofficial5500
@cleverofficial5500 3 года назад
Kabisa kaka
@simondangote3245
@simondangote3245 3 года назад
Nimefurahi kusikia kuwa na ww unamsubiri yesu na unaamini atarudi cku ya mwisho asante sana professor kwa kuwafungua wenzko ambao awahamini kwl hyo kuhsu kurudi kwa mwana wa Adam, YESU
@murshidjamshid6758
@murshidjamshid6758 3 года назад
Yesu atarudi sio kwamba hakuna muislamu asiye tambua kua hatarudi. Ila sisi na nyinyi tunakinzana issa/yesu hakufa kabla ya kupaishwa kwake kwenda mbinguni Wala issa/yesu si MUNGU kama msemavyo. Wala MUNGU -hana utatu mtakatifu (hapana)
@ruqayissa4207
@ruqayissa4207 2 года назад
Na issa hakusulubiwa mapimbi hawa
@ommymbalikila4034
@ommymbalikila4034 3 года назад
Leo nmekuwa wa Kwanza jamani like zenu ata 50
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 года назад
Kbisa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9VINaNBAlFU.html
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 года назад
M acha ushamba na ww kbisa ndo nn huelewek fala ww
@ommymbalikila4034
@ommymbalikila4034 3 года назад
@@nissarhussein4887 kwani umelazimishwa kukoment c ukaushe tu
@KAKAKUONATV
@KAKAKUONATV 3 года назад
Hoja ya dini na dini
@msafirizakayo539
@msafirizakayo539 Год назад
Uko vizuri
@twenzetumbuganitanzania1260
@twenzetumbuganitanzania1260 3 года назад
Daah!! Nimekuwa wa mwisho ku view....🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍
@midoboytz2248
@midoboytz2248 3 года назад
Jaman April alikuwa kimy San Kama ulikuwa una mmic Kama mim gonga like
@royalityjunior210
@royalityjunior210 3 года назад
We kaka story Yan tanguh nimeanza kuangaliah story book nafanya poa kwene somo la history munguh akubalikih maanah sikuh hizih imani yanguh pia imekuah Long life to you
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 года назад
Usihofu sanduku lipo soma maandiko haya. Bibilia ni jibu "yenye chetezo cha dhahabu, na sanduku la agano lililofunikwa kwa dhahabu pande zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vile vibao vya agano; Waebrania 9:4 Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana." Ufunuo wa Yohana 11:19
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 5 месяцев назад
Kihistoria sanduku la agano lilipotea kule lilipokua lakini lipo Ethiopia sehemu moja ambapo ndio Malkia wa Sheba alipokuwa anatokea,katika mji wa Axum.
@allymanjano698
@allymanjano698 3 года назад
Aise umeifanya siku iishe vizur,nakubar kamanda👍👍
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 3 года назад
Finally story book is back 👏👏👏👏👏congrats Jamal April
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 3 года назад
Kumbe uko uku pia my dear
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 3 года назад
@@selfaakinyi7824 🤣kabisaa
@asmaomary1880
@asmaomary1880 3 года назад
@@nzisakasau8234 ,🙄😉🙄
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 3 года назад
@@nzisakasau8234 i knew you at milele FM all the plat form za Jalango.
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 3 года назад
@@selfaakinyi7824 woow 😊
@impixelmusictz3044
@impixelmusictz3044 2 года назад
Kaz nzur kak endelea kutuelimisha
@godfreymtazama4581
@godfreymtazama4581 3 года назад
Daaah proffersor nilikuwa nasubiri simulizi zako kwa hamu maana nimemaliza zote kuzifatilia as historian
@pungopungo411
@pungopungo411 Месяц назад
Jamari Mungu akupiganie unatula raha wewe ni pasuapasu na Yesu akija hatakuacha bigup jamal
@thobiasmgimwa6794
@thobiasmgimwa6794 3 года назад
Asante #the storybook imekuwa ikinisaidia kujuwa mengi Sana duniani
@bettybetty8717
@bettybetty8717 3 года назад
Thanks for coming back @Jamal
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 3 года назад
Huwezi kwenda kwa Mungu ila kwa njia yake yy Yesu Kristo, ...bas subirn sana aje kusema mala ya pili kuwa yy ndiye njia ya kweli na uzima juu
@prayerchamber1600
@prayerchamber1600 3 года назад
Dini ya kweli ni roho yako... Kuwepo kwa lugha tofauti duniani ni mipango ya Mungu pia kuwepo kwa imani tofauti ya dini ni mipango yake...
@idungaphotostudio3576
@idungaphotostudio3576 3 года назад
Hongera sana jamal unafanya kazi nzuri sana sijuti kukufahamu kaka tunasubiria tena kwa mara nyingine the story book
@suzanaissa3146
@suzanaissa3146 2 года назад
Mungu akuzidishie maradufu.
@Paplick9
@Paplick9 3 года назад
Jamal April the master miind professor una akili sana weka like apa
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 года назад
Zinakusaidia nn izo like
@Paplick9
@Paplick9 3 года назад
@@nissarhussein4887 ata nikikujibu inakusaidia nini wewe
@12322879
@12322879 3 года назад
Muache uvivu wabongo,muwe mnafuatilia vitu youtube na google kama yeye.Unamsifia kwa kukutafsiria!
@ldguo3702
@ldguo3702 3 года назад
Sanduku laagano liko D.R.Congo ,maana ndo inci inautajiri mingi pia umaskini kwasababu ya vita
@venzotiger1792
@venzotiger1792 3 года назад
Mungu ndie muumbaji wa kila kitu"i love your story jamaly"
@stanleymathenge3257
@stanleymathenge3257 11 месяцев назад
Mimi utazama nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 jina langu ni Stanley mathenge ❤ mnipee likes 🎉🎉🎉
@winniethuo9736
@winniethuo9736 9 месяцев назад
Wīmwega mŭndŭ Mathenge. Haya ni magumu sana sijui wewe umefikishwa na hizi habari mbali mbali za hali na mali na mengineo ya Kiroho.
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 8 месяцев назад
Haya tumekupea
@stanleymathenge3257
@stanleymathenge3257 8 месяцев назад
@@daisynyerere5730 thanks
@stanleymathenge3257
@stanleymathenge3257 8 месяцев назад
@@winniethuo9736 nekwega muno Winnie
@johnlahai-loy2601
@johnlahai-loy2601 6 месяцев назад
15:08
@barbarajoh316
@barbarajoh316 8 месяцев назад
the best story teller
@farajajoseph2971
@farajajoseph2971 3 года назад
Nilikua nime miss makala zako, punguza ukimya kaka mkubwa tunakukubari sana The Story Book utabakia kua juu wengine wakasome
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 года назад
Achana na wanaodhani ati majini yaliwahi kushirikishwa kumjengea Mungu hekalu takatifu.na sanduku la agano likawekwa katika hekalu hilo na Mungu ati akalitumia sanduku la agano kuzungumza na Waana wa Isrsel! Mungu na majini wapi na wapi? Jini na patakatifu pa Mungu ni wapi na wapi Jamani wanadamu Yesu aliwahi kusema " enyi kizazi cha nyoka........". Tumchagulie Mungu maneno jamani.
@mg_og4185
@mg_og4185 3 года назад
Nakubalii san the story book🔥🔥🔥
@raminsaid8921
@raminsaid8921 3 года назад
Mama
@eliasturwa9858
@eliasturwa9858 3 года назад
Safi bro tupe na historia ya mathehebu
@kingnoebamikwa373
@kingnoebamikwa373 3 года назад
Umemaliza bwana jamal. Tume miss kipindi boss wangu nilitafuta nipingiye CEO Platnumz ju ya ufafanuzi zaidi
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 года назад
😂😂😂ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9VINaNBAlFU.html
@stivejdamosjd1857
@stivejdamosjd1857 3 года назад
Jamali baki kuandika nakala tu. Ila kuhus kusimria abaki mtiga abdalah. Ww hii fani ya kusimria hauiwezi. Yaan sauti yako hamati kabsa kumshawishi mtu kuskilizika The story book. Kwa ushaur wangu Tena na Tena Murudishe mtiga abdalah abaki hapo hapo kwenye kusimria. Naamin ushaur wangu utaufanyia kazi.. Asante
@shabanishila3961
@shabanishila3961 3 года назад
Wewe kweli msomi, ahsantee kwa the story book
@hemedysaidy972
@hemedysaidy972 2 года назад
i like it the story books ningepend jamal wakup tuzo unanifanya nifatilie vitu kwa uwangalifu
@disantojevnco2718
@disantojevnco2718 3 года назад
Hi I am watching from Buguruni city centre Tz Dar
@mbonayobabyjoe
@mbonayobabyjoe Год назад
thanks for this information is correct and necessary
@jacquesmmassa5589
@jacquesmmassa5589 3 года назад
Mda mrefu kidogo kaka tulikuwa tume ku miss kweli
@annamalingi1855
@annamalingi1855 3 года назад
Yesu akija hakuna wakati wakujirekebisha.
@georgebataze6625
@georgebataze6625 3 года назад
Karibu tena kaka, nakubali kazi yako sana
@mapalwa-online-tv
@mapalwa-online-tv 3 года назад
Tupe Mambo jamal nilikuwa nimemic Sana the story book
@jamesmachibya6532
@jamesmachibya6532 3 года назад
Miss this a lot. Safi sana Jamal
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 года назад
Kbisa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9VINaNBAlFU.html
@mrchazzy6551
@mrchazzy6551 3 года назад
Amina tumungojee bwana wetu yesu kristo tu
@emmanuelanthony3496
@emmanuelanthony3496 3 года назад
Ngoja na mimi ni comment tu niongeze comment
@harmonitz9964
@harmonitz9964 3 года назад
Dini safi ni kutenda mema
@martinchabi3029
@martinchabi3029 3 года назад
Waooh naipenda saaana hii story jaman🥰🥰❤
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 года назад
Jamar Happ umenena nami niliwahi jiuliza
@haafidhaboubakary3097
@haafidhaboubakary3097 3 года назад
Our beloved have back again
@husseinhincha1846
@husseinhincha1846 3 года назад
Karibuni ktk UISLAM dini pekee ambayo kitabu chake kimehifadhiwa chote vichwani mwa wengi
@lakasid3860
@lakasid3860 3 года назад
Yesu anakuja kuhukumu ulimwengu na kuchukua watu wake..
@husseinhincha1846
@husseinhincha1846 3 года назад
Yesu ni mtume yeye ashafikisha yake na mtume Muhammad peace be upon them and jesus ndo mtume wa mwisho hukumu ni yakwake pekee mungu mmoja tu
@harunaramadhani7764
@harunaramadhani7764 3 года назад
Mwisho Leo nmetoka kumkumbuka professor Jamar na the story book yake, welcome back chief
@ireneassey753
@ireneassey753 3 года назад
Tusubir yesuu akirud tutajua yote...AMEN
@hamdanmrisho4606
@hamdanmrisho4606 3 года назад
Mambo
@ireneassey753
@ireneassey753 3 года назад
@@hamdanmrisho4606 powa
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 3 года назад
Akirudi atasema na watakatifu watu walio mpenda na kumwamini Mungu
@nkomyajohn4271
@nkomyajohn4271 3 года назад
Jamal April PROFESSOR, nakubali Sana , Good story
@florancebidogo4310
@florancebidogo4310 3 года назад
Big up sana Professor Jamal,Mungu akulinde siku zote
@mosesmoses1429
@mosesmoses1429 3 года назад
Hongera Sana kijana kwakuwafumbua wenge the story book
@jembe34
@jembe34 3 года назад
Ulikua wapi mwanangu napenda story zako sana lakini ngepeenda ue unafululiza ukimya wa muda mrefu unapoteza washabiki pia napenda nkushauri soma sana quran ina hadith nyingi sana za mambo ya kale mfano ni wale vijana wa pangoni waloishi miaka mingi sana wakiwa wamelala bila kujua wao wakajua wamelala usiku mmoja tu pia kuna habari za watu wa adi wakubwa wenye nguvu sana
@chiefaroun
@chiefaroun 4 месяца назад
Asante simulizi nzuri
@mc_mrope
@mc_mrope 3 года назад
I really appreciate Professor Jamal🎓
@sophianzali6818
@sophianzali6818 3 года назад
Itakuw mungu alilichukua sanduku lake weee !!!!
@esthernyinza9123
@esthernyinza9123 3 года назад
Your stories always give me goosebumps much love from 254 kenya
@ramadhaniramadhaniridhiwan6975
@ramadhaniramadhaniridhiwan6975 3 года назад
unakipaji kikubwa sana mbali naelimu yako
@christinejave1923
@christinejave1923 2 года назад
Welcome back jamaaaaaaal
@fredKiprop-vt8bz
@fredKiprop-vt8bz 11 месяцев назад
I love his stories
@MuhamedHamad-jk7bp
@MuhamedHamad-jk7bp 10 месяцев назад
Kaka unajuw san mungu akupe umri mrefu uzidi kutufunza
@johnkishiwa8904
@johnkishiwa8904 3 года назад
Hatimaye the story book hewani tena woooow
@rehemafredrick7794
@rehemafredrick7794 3 года назад
Asante kwa story book Jamal
@ibrahkadabrah7001
@ibrahkadabrah7001 3 года назад
Kama unasikiliza huku unasoma comment gonga like twende sawa WCB 4 Life
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 года назад
Zinakusaidia nn izo like acha ujinga tafuta ela sio like
@RukaraSaruvatori-xd6dj
@RukaraSaruvatori-xd6dj Месяц назад
​@@nissarhussein4887😊😊😊
@RukaraSaruvatori-xd6dj
@RukaraSaruvatori-xd6dj Месяц назад
​@@nissarhussein4887😊😊😊😊😊😊😊😊
@RukaraSaruvatori-xd6dj
@RukaraSaruvatori-xd6dj Месяц назад
​@@nissarhussein4887😊😊😊😊
@sharonnasambu6753
@sharonnasambu6753 3 года назад
Elimu ya bure nashukuru mungu kwa kukuletaa utuelimishe
@Special4uTV
@Special4uTV 3 года назад
Is back
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 года назад
Kbisa ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9VINaNBAlFU.html
@FrankRafael-u1f
@FrankRafael-u1f 3 месяца назад
Kazi nzuli sana👍👍
@rehmydee28
@rehmydee28 3 года назад
Thankful Professor we had missed this.Love from Kenya
@jumahatib23
@jumahatib23 2 года назад
Allah bless you jamal
@Mr.Breakdown
@Mr.Breakdown 3 года назад
Tunaombq na story ya bustani ya Eden
@rehemamathew2456
@rehemamathew2456 3 года назад
Ahsante kwa stori nzuri
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 года назад
Ndugu zangu wakristo tuwe makini na kumuomba Roho mtakatifu usikivu juu ya hizi simulizi zilizopo kwenye kitabu chetu
@sylvesterlosuru9826
@sylvesterlosuru9826 3 года назад
The man is always correcting the Bible...kidogo Judah Leo amri kumi na naona Mzee cjui tusifuate bible
@stevewanga957
@stevewanga957 3 года назад
Israel Mbali na upendo kutoka Kwa Mungu mpka Leo wanampinga Mwenyezi Mungu ...wanazidi kumkufuru Mungu ....
@amanibwire4423
@amanibwire4423 3 года назад
Ntaanza kulipia wasafi sasa hichi ni kipindi pekee nakipenda
@deborayunucy4791
@deborayunucy4791 3 года назад
Kazi nzuri uzidi kubarikiwa
@eliaalex8118
@eliaalex8118 3 года назад
Tuletee story ya bustani ya eden iko wapi mpaka sasa hivi
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 года назад
Ubarikiwe kwa kutuletea story nzuli nimejikuta nikitaman Sana kujua biblia kuliko kitu kingine
@enessisosten2976
@enessisosten2976 3 года назад
Kama mm
@joycekathambi3072
@joycekathambi3072 3 года назад
May the lord bless you
@kitumainiluc8952
@kitumainiluc8952 3 года назад
Hongera sana wasafi media. Nawapenda sana kabisa! Mutujulishe majina 99 za MWENYEZI MUNGU kama zilizo na maana zake.
@monicabh1668
@monicabh1668 2 года назад
Pole ndugu 😢unaamini na kuomba usichokijua.Mungu aliye hai na wakweli hana majina 99 ...jina lake ni moja tuu na ni JEHOVAH.
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 года назад
Bravo bro @jamal for the story book
@mourineblessed3245
@mourineblessed3245 3 месяца назад
You deserve a crown 👑 professor, your analysis is top notch
@tawaloharuna4885
@tawaloharuna4885 3 года назад
Am really glad for storybook to back on air..........
@djlovekimati7931
@djlovekimati7931 3 года назад
Ubarikiwe sana mkuu
Далее
DIY Pump Solutions
00:18
Просмотров 1,6 млн
Jomireso voices Tz - Sheria (Official Video)
3:52
Просмотров 103 тыс.
Mji wa yerusalemu unatambulika kama mahali patakatifu
5:01
The Story Book : Ukweli Usioujua kuhusu  YUDA MSALITI
30:48
KILICHOMPONZA YONA KUMEZWA NA SAMAKI : THE STORY BOOK
29:26