@@nissarhussein4887 kwa hiyo unajaribu kutuaminisha nini sasa kwa mfano...? Kwamba wewe tangu uzaliwe hujawahi ombea chochote wala mtu yeyote chini ya jua tofauti na wazazio sio..?
Huyo unaye msubiri mwisho atakukana. Luka 13:25-28 Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako; 26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu. 27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu. 28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.
@@mwarabumbarak4342 maandiko ya kwenye kitabu Cha biblia na ata Qur'an ni mazito Sana, hayana tafsiri sisisi yaan hayatafsiriwi Moja kwa moja kama yalivyoandikwa, yahitaji akili ya Iman ili kujua nn kinachokusudiwa kwenye andiko....mfano ww sheikh hapo umetafsiri Moja kwa moja Yan umenukuu na kichwani umeweka kama ilivyo......muache mtu na Iman yake
Jamal April a.k.a. Jamal Mustapha a.k.a. Professor unajua sana, nikiona the Story Book Umeandaa na kusimulia najua kwamba hicho ni kitu makini kilichofanyiwa utafiti wa kutosha na kuwasilisha kwa ustadi wa kuvutia kwa njia ya simulizi. Hakika wewe ni tunu kwa taifa, dunia na ulimwengu. Ubarikiwe.
Jamal april pamoja na the story book mungu akubariki zaidi kwa bidii yako ya kutuelimisha, karibu tena na tena kwa story zako zenye mafunzo mazuri siku zote
Watu ni wavivu wa kufikiri na ni wavivu wa kujituma kuyajua mambo. Ufunuo wa Yohana 11:19 [19]Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.
Nimefurahi kusikia kuwa na ww unamsubiri yesu na unaamini atarudi cku ya mwisho asante sana professor kwa kuwafungua wenzko ambao awahamini kwl hyo kuhsu kurudi kwa mwana wa Adam, YESU
Yesu atarudi sio kwamba hakuna muislamu asiye tambua kua hatarudi. Ila sisi na nyinyi tunakinzana issa/yesu hakufa kabla ya kupaishwa kwake kwenda mbinguni Wala issa/yesu si MUNGU kama msemavyo. Wala MUNGU -hana utatu mtakatifu (hapana)
We kaka story Yan tanguh nimeanza kuangaliah story book nafanya poa kwene somo la history munguh akubalikih maanah sikuh hizih imani yanguh pia imekuah Long life to you
Usihofu sanduku lipo soma maandiko haya. Bibilia ni jibu "yenye chetezo cha dhahabu, na sanduku la agano lililofunikwa kwa dhahabu pande zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vile vibao vya agano; Waebrania 9:4 Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana." Ufunuo wa Yohana 11:19
Kihistoria sanduku la agano lilipotea kule lilipokua lakini lipo Ethiopia sehemu moja ambapo ndio Malkia wa Sheba alipokuwa anatokea,katika mji wa Axum.
Achana na wanaodhani ati majini yaliwahi kushirikishwa kumjengea Mungu hekalu takatifu.na sanduku la agano likawekwa katika hekalu hilo na Mungu ati akalitumia sanduku la agano kuzungumza na Waana wa Isrsel! Mungu na majini wapi na wapi? Jini na patakatifu pa Mungu ni wapi na wapi Jamani wanadamu Yesu aliwahi kusema " enyi kizazi cha nyoka........". Tumchagulie Mungu maneno jamani.
Jamali baki kuandika nakala tu. Ila kuhus kusimria abaki mtiga abdalah. Ww hii fani ya kusimria hauiwezi. Yaan sauti yako hamati kabsa kumshawishi mtu kuskilizika The story book. Kwa ushaur wangu Tena na Tena Murudishe mtiga abdalah abaki hapo hapo kwenye kusimria. Naamin ushaur wangu utaufanyia kazi.. Asante
Ulikua wapi mwanangu napenda story zako sana lakini ngepeenda ue unafululiza ukimya wa muda mrefu unapoteza washabiki pia napenda nkushauri soma sana quran ina hadith nyingi sana za mambo ya kale mfano ni wale vijana wa pangoni waloishi miaka mingi sana wakiwa wamelala bila kujua wao wakajua wamelala usiku mmoja tu pia kuna habari za watu wa adi wakubwa wenye nguvu sana