Wakenya wanapenda sana nyimbooo za Tanzania ukienda kenya ukikaaa asilimia 90 wanapiga bongo flavour Tanzania nyimbo ata za zamani mpya za akina diamond aslay alikiba lina nakadhalika
Tatizo nyie watanzania amuwapendi wasani wenu kila siku diamond alikiba , sahivi mondi amezima anaimba utopolo. Anataka apande ju ya meza 😂😂😂. Uku Mozambique tunawapenda sanaaa wasaniwenu na hata Kenya wanapenda sanaaa wasani wa bongo ila tatizo nyie wenye kwa nyewe ndio amupendani. Kuna interview Mr nice alisema kuwa anapendwa Kenya kuliko nyumbani
Huu ni muda Tid mnyama kurudia girlfriend kwa kupita na mdundo ule ule ila uongezeke ufundi kidogo ktka beat ili kuweza kupata radha ya sumu kutoka kwa Jabar q cheaf,,maana naye anatakiwa aweke ufundi wake kwenye goma hilo remix ya kibabe irukeee mtaani mpaka kuvuka mipaka ya dunia