Тёмный

NYUMBANI KWA DIVA THE BAWSE AONYESHA MAWIGI YAKE/MIWANI ZAIDI YA MIA /BAFUNI KAMA CHUMBANI 

ZamaradiTV
Подписаться 241 тыс.
Просмотров 109 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

30 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 331   
@colethamkasa5821
@colethamkasa5821 8 месяцев назад
diva kwako ni kuzuri bhana,kwa wanaoponda achen wivu,kupangilia pangilien nyie ukute wengine wapo room moja kila kitu kipo umo afu mko kuponda😀,iyo ni apartment bhana
@user-xs6vo1ur7w
@user-xs6vo1ur7w 8 месяцев назад
Hongera kwa,saleh anaweza kukiendesha kipindi
@faidhacute
@faidhacute 8 месяцев назад
Nakupenda diva wangu❤❤❤❤ mdhungu yaan diva ni mimi kabsa i love it❤❤
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 8 месяцев назад
Yani comment nyingi ni za makasiriko 😂😂😂😂si mtafute pesa jamani kaah❤❤❤ati nyumba ya kawaida. Wee uko nayo😂😂😂😂😂😂
@mweshaosako2011
@mweshaosako2011 8 месяцев назад
The end of this interview is the best of the year. He summarized the whole relationship struggles, we are treating each other according to our past traumas, and fear which is not okay and uncontrollable. In fact everyone is playing defensive. Anaensikiliza anajifunza, anae ona anatamani” this Guy is a brain. Much love to you
@vero57
@vero57 8 месяцев назад
Miwani ya jua mpaka ndani ya nyumba khaaa!! We dada wee!!!😂😂
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 8 месяцев назад
ana haibu sana kwaiyo ana jifichia miwani😂
@faidhacute
@faidhacute 8 месяцев назад
Kama una akili timamu huwezi kukoment ujinga but mutafute pesa tuache makasiriko ambayo hayatokusaidia chochote😂
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 8 месяцев назад
Umeona eeeh! Tutafute pesa aiseee
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 8 месяцев назад
Kweri kabisa
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 7 месяцев назад
😅😅😅Haswaa
@HusseinAhmada-ir6ne
@HusseinAhmada-ir6ne 6 месяцев назад
😅Vc. 😅😅'😅'c😅😊 be😅 by😊 na😊
@sharaharith7953
@sharaharith7953 8 месяцев назад
Nahis Diva you are impressed with this man's confidence
@Neema92
@Neema92 8 месяцев назад
Watu acheni wivu jamani ndani kwake kuzuri kajitahidi na nyie weken magheto yenu hapa kama hatujakimbiana.
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 8 месяцев назад
Hana kitu hata kimoja cha kwake hapo parm village kila kitu unak8kuta humohumo ukishindwa kodi unabeba begi lako unasepa
@Neema92
@Neema92 8 месяцев назад
@@user-vv1te9fu8q Duhh! Hatari 😂😂🏃🏃
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 8 месяцев назад
mume anajisikia vibaya kwa sifa za mkewe yaani anamshangaa anavojisifia
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 8 месяцев назад
Mhh hayo mawig sio classic 😊
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 8 месяцев назад
Tinted hd ndan kwan hy diva uwa kipofu au😮😮 miwan hd anaboah alf tabia ya kugombana kidogo na mumeo kututangazia mitandaon sio vzr unamdharirisha mwenzio alf bd mpo wote
@marciawambui1965
@marciawambui1965 16 дней назад
This girl is funny,she loves herself. But i can tell she has a good heart. you have a beautiful home diva
@user-yq4sn6cq1l
@user-yq4sn6cq1l 8 месяцев назад
Mbona mnamukera jamani muwaceni Diva na mambo yake kwanini munaroho mbaya
@husnarashid7849
@husnarashid7849 8 месяцев назад
Hakuna binadam aliyekamiloka kila mtu na madhaifu yake kuna watu humu wanatukana tu sababu hawampendi ila wanakoishi kama stool yaani 😂😂😂😂😂 mimi cpendi ila anakaa pazuri acheni unafiki
@faridahalil4456
@faridahalil4456 5 месяцев назад
Naona uislam bado hajakuwa nao vizuri nashangaa mumewe hamkatazi asiwe akivaa mawigi 24-7, inambidi avae" hijab"
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 8 месяцев назад
Muacheni mdada wa watu aishi maisha yake
@safiyanirram-pf3sv
@safiyanirram-pf3sv 8 месяцев назад
Sema kwa kawaida sana tu sema anavyo jishauwa ss maana akustui na mumewe wa wote😂😂
@ZolufaMas-ie4un
@ZolufaMas-ie4un 5 месяцев назад
WOW pazur sana hongera diva 🎉🎉
@rukiayasuleyman2900
@rukiayasuleyman2900 3 месяца назад
Diva Masha Allah! Allah akuhifadhi pamoja na mume wako! Nakupenda sana❤
@user-pg3pu4jk9f
@user-pg3pu4jk9f 8 месяцев назад
Abduli hajapenda hizo sifa jamani
@nuruosward8161
@nuruosward8161 8 месяцев назад
Ndiyo lkn yeye analelewa na diva hana ata chake kitu hapo zaid ya maneno ya janja janja sema diva hapo sipo kbsaaaaaa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 8 месяцев назад
Kbs hapend
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 8 месяцев назад
Ulivo huna adabu na ndoa ukigombana na mumeo unakimbilia mitandaoni kumchafua mumeo kwa sifa chafu hata kama anamakosa hupaswi kuja mitandaoni kumchafua wakati hujiwezi kwa uyo bwana huwezi kukaa nae mbali kwanini umchafue mumeo mpuuzi wee huna lolote kazi kujisifu tu maisha
@flackomasterbaddest4155
@flackomasterbaddest4155 8 месяцев назад
Olewa na ww
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 8 месяцев назад
​@@flackomasterbaddest4155😂😂😂😂😂😂 wabongo kwani majibu uwa mnakuwa nakitabu
@chany9950
@chany9950 8 месяцев назад
Safi👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
@Daniella249
@Daniella249 8 месяцев назад
Mm mwnywe nashangaa kumbe wako pamoja xx mdomo ule wote ulikua wann Ila wanawake Sisi 😂😂
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 8 месяцев назад
ile ilikuwa kiki
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 8 месяцев назад
Huyu ni too materialistic yan kila Saa when we moved out when we moved out vitu vingi vimearibika khaaa mfuniko an kisoda Mume na mke wote wehu
@AdoAshu80
@AdoAshu80 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@patriciapastory324
@patriciapastory324 8 месяцев назад
😂😂😂😂 this made me laugh so hard
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂mbona mawigi😂😂😂sasa 2023 bado wamama watu wazima wanaringia mawigi😂😂😂😂😂
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 8 месяцев назад
Icho kizungu mda wote cha nin 😏hatufaham😅 eti napenda kupika lkn kwny friza hamna kitu😅😅😅
@keyla3641
@keyla3641 8 месяцев назад
Diva sasa kila unakohamia unahojiwa kaa kimya ufanye mambo yako
@cyahmkanile8587
@cyahmkanile8587 8 месяцев назад
For real can inspire sana❤
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 8 месяцев назад
Huyu mzee Abdul ni Sheikh tu kwenye Camera, behind the scenes ni Mfirahuni.. Ooooh my goodness 😢 #FreeDivasMind 🌟
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 8 месяцев назад
Unamaanisha nn😮😮😮
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 7 месяцев назад
Umeshawahi kufiraini naeee au
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 8 месяцев назад
Diva akigombana na muganga wake wanahama nyumba ingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 8 месяцев назад
Vioo vya Balkon pia vichafuuuu sijui usafi gani unazungumzia unapenda uonekane unamaisha mazuri hunaga kazi kujikweza tu unapenda sifaaa
@ramlaramadhan4206
@ramlaramadhan4206 8 месяцев назад
Mtangazaji hta hpti kzi kubwa yakuulza, diva ywajbu yote bila kuulzw... Its like she waited patiently for this interview au ye ndo altka awe interviewed?! 😊
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 8 месяцев назад
ila diva kiboko😂😂😂😂😂😂🙌🏻tambo nyingi
@queenandchill91
@queenandchill91 8 месяцев назад
Nyumba kama pamepigwa bomu 💣
@aminakasim1198
@aminakasim1198 8 месяцев назад
Wiki vyombo vipome zani😢aibu
@Official83640
@Official83640 8 месяцев назад
Huyu ana ubalozi wakutangaza apartment za watu eeh sijui yy atajenga lini ili azidi kuringa maana hajiamini ht uso wake kutwa miwani km mchomea mageti
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 8 месяцев назад
Minywele mpaka ndani miwani mbona hauko comfotable na mijakert mwanamke ndani vaa dira mwili uwe mwepesi umejijaza mikorokoro kibao
@Zainab_salat
@Zainab_salat 6 месяцев назад
Hata mume akivunua dira mara moja😂😂😂😂😂anagusa
@hannansaidahmed1943
@hannansaidahmed1943 8 месяцев назад
Hujui kupangilia nyumba bado makorokoro yamejaa mezani pangilia vizur
@zabubamudy126
@zabubamudy126 8 месяцев назад
mhh kuwa mpole
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 8 месяцев назад
Umaskini ndio unao waua mapema.tafuteni pesa jamani mfano mimi hapa naangalia for fun siwezi ponda chochote nina kila kitu maishani watu maskini kazi sana
@yusraramadhan8203
@yusraramadhan8203 8 месяцев назад
Beautiful!😊
@user-fy9pw2zr8l
@user-fy9pw2zr8l 8 месяцев назад
eti miwani jamani 😂😂😂😂 njo mali zake ama sijui wengine wanawake jamani
@HappyAlex-ei6vz
@HappyAlex-ei6vz 5 месяцев назад
Dada hongera umejipata😊😊🎉
@Teddy_jones
@Teddy_jones 6 месяцев назад
Sjuw kwa nn wanampaka make up ya njano jmn make up zinaharibu sana şura see her face having rashes naturally is very cute tho
@user-wh4xi2yi3w
@user-wh4xi2yi3w 7 месяцев назад
Mungu akutunze diva
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 8 месяцев назад
Salehe kakuta wenyeji washakula
@AdoAshu80
@AdoAshu80 8 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@faridapandu7579
@faridapandu7579 6 месяцев назад
Sasa huyu salehe yeye Hana kwake😂😂😂 hatuoneshi kwake
@nasrinasra5472
@nasrinasra5472 5 месяцев назад
Tumewaza wotee😅😅
@user-hn8un5fz2n
@user-hn8un5fz2n 2 дня назад
Yeye zamu yake ifike
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 8 месяцев назад
Kafumaniwa kakutwa na mivyombo kibao hata kusafisha meza kashindwa mtu kaondoka ana siku nne sijui tano mivyombo ipo juu ya meza ya kulia na uache uongo kupika hujui tena ulisema mwenyewe usijisahaulishe
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 8 месяцев назад
Kasema anapenda kupika
@ummySheikh72
@ummySheikh72 8 месяцев назад
Hana Raha. Mumewe unamuona anajilazimisha tu mambo ya ma show off
@yustamshana-sx8dy
@yustamshana-sx8dy 8 месяцев назад
Miwani kama James Bond!
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@maryandason1815
@maryandason1815 8 месяцев назад
Aisee at isha mashauz ajamfikiaa kwa mashauz hyoo mwingerezaa ingekuwa kwa mashauz hayo unaingia mbingun dada ungeshika no moja 😂😂😂punguza bas kujifnya muingereza
@omytifa6403
@omytifa6403 8 месяцев назад
Shekh Abdul kasinywaa
@victoriamuyanzi3862
@victoriamuyanzi3862 8 месяцев назад
Kila saa ooh vitu vilharbika wen we were moving out...nini bana ww😂😂
@aminamwinyi7927
@aminamwinyi7927 6 месяцев назад
😂😂😂
@GloriaMillinga
@GloriaMillinga 7 месяцев назад
Apartment hiyo kila kitu unakuta ndani😂😂 ukitaka kuhama unatoka na mabegi yako tu
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 7 месяцев назад
Miwani ya jua mpka ndani jamani.😂😂😂 Miwani yenyewe kama wachomelea mageti.
@chidymsaficlassic_tz2593
@chidymsaficlassic_tz2593 7 месяцев назад
Abdul kaongea point sana nimependa
@user-sv3jd8in7o
@user-sv3jd8in7o 8 месяцев назад
Miguuu jmn si nyweusi 😂 au
@user-ct3ty7xk5z
@user-ct3ty7xk5z 4 месяца назад
Uwalete waingizaji hawa grace mapunda, (odama Jennifer kiyaka,welu sengo,Mimi mars,JB,getruda mwita,riyama ally,Irene paul,mayasa mrisho,ray kigosi,Stanley msungu,hemedy,Luka wa jua Kali, nitafurah sana nikiwaona hawa
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 7 месяцев назад
Mashallah ila Sofa zijazipenda 😜😜😜😜kama. Magoxi 😅😅
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 8 месяцев назад
Tuliozoea kuangalia majumba ya waarabu hapo kwa diva tunaona kama stoo, tunashangaa akijisifia halafu nyumba ya kupanga
@chaucassim4123
@chaucassim4123 8 месяцев назад
Yani. We acha. Yani Ana taka taka. Sisi. Tunaofanya. Kazi Oman. Tunaonana. Anatuchefua. Tu Bora ata angejenga
@venusbby
@venusbby 8 месяцев назад
Sasa majumba ya waarabu si yatuwashe’ni?
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr 8 месяцев назад
Watanzania bhana kwakuwasifia mataifa mengine yetu yanatushinda muache amsifie achokuwa nacho unataka afake au
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 8 месяцев назад
@@FatmaMwinyi-jt2rr hatutaki majigambo
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 8 месяцев назад
Kiukweli pazuri atakama kapanga then mabye anajenga kidogo kidogo nyumba ya maana wengine hawawezi kukaa uswazi atakam wanajenga
@Onlyserialsaga
@Onlyserialsaga 8 месяцев назад
😂😂😂😂ila diva Ila nampenda ivyoivyo😂😂😂😁
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 8 месяцев назад
Halafu diva wala haringi sana yupo kawaida tu me naona mchesh
@victoriarichard8761
@victoriarichard8761 5 месяцев назад
Haringi ila sema ana uhaya mwingi hata kama kitu hajaulizwa anajieleza sana kama kujihami vile
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 8 месяцев назад
Huyu dada alisema mume wangu anapenda wanawake mbona leo yuko naye 😂😂😂😂
@user-ky9dp3hm6v
@user-ky9dp3hm6v 8 месяцев назад
Me nashangaa kwanza cwaliachanaga na mumewe anapenda majimama
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 7 месяцев назад
Chezeaa aya za Allah ww
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu 8 месяцев назад
Mradi wanapendana ,Wana enjoy maisha yao basi tuwaombee wakae pamoja wafike mbali,Nawapenda jamani
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 8 месяцев назад
Napenda mnavyo ishii ila diva uwe npikia mumeo dda
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 8 месяцев назад
Janaba halitoki mwilini ww mwehu unasuka Rasta Astaghafirullah mke WA Sheikh duh🤔mambo gani haya Allah awaongozee
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 6 месяцев назад
Diva msafi mashallah
@lulugora2712
@lulugora2712 8 месяцев назад
Allah akusaidie upone unachougua it's sad
@BerthaModest
@BerthaModest 8 месяцев назад
😅😅afya ya akil sio
@jesterfredrick9497
@jesterfredrick9497 8 месяцев назад
​@@BerthaModest😂😂😂😂😂😂😂😂
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 6 месяцев назад
Sasa kingeredha chann mawani za nn daa alf umeolew na mislmu hiv mpo serias au 🤔
@thelyrics5165
@thelyrics5165 8 месяцев назад
achen wivu mbona kaongea vizur t
@NanaNana-oe5ft
@NanaNana-oe5ft 8 месяцев назад
Sasa uyu diva nikipofu sijawahi kuona Hana miwani hata nyumban miwani
@fatumamohamed2229
@fatumamohamed2229 8 месяцев назад
😂😂😂😂 miwani ya jua ndani au mi sijaelewa?
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 8 месяцев назад
Mtoe sadaka jamani hata kama hamuamini mungu ...msiishie majivuno,ungekua na mtoto wewe demu sijui ingekuaje lakini Sisi wanaume wenye malezi ya kweli kwa watoto hatudekezi watoto,kwa sababu ya maisha ya baadaye tunapenda watoto wajue ups and down,hata ukiwaachia Mali watazitunza..
@sabihasalim942
@sabihasalim942 8 месяцев назад
Sio kupenda kwake kutokuwa na watoto it's Allah plan....shida iko wapi.
@saumbliz8983
@saumbliz8983 6 месяцев назад
Sasa Kuna binadamu asie amini mungu
@lovenessoscar4102
@lovenessoscar4102 8 месяцев назад
Hamna wigi ya maana hapo hata moja😂😂😂😂😂😂
@bennamush4616
@bennamush4616 7 месяцев назад
Jiamini dada miwani ya mpaka nyumban
@FatumaSalimu-pn4vo
@FatumaSalimu-pn4vo 8 месяцев назад
Yani mm nikioana gana hivi nakuwa nahasla sana yakutafuta pesa napenda sana maisha haya jamani
@saidtembele3070
@saidtembele3070 7 месяцев назад
Allah akutilie wepesi na yawe ya kheri kwako wakati mwingine Allah hatupi tunachomuomba kwa kutuepusha na shari fulani
@dork8749
@dork8749 8 месяцев назад
Kawaida sana yani
@Sarah-tq2vc
@Sarah-tq2vc 7 месяцев назад
Jaman daa miwan had ndani
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 5 месяцев назад
Jamaaa tapeli diva analipa kodi
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 8 месяцев назад
Mwanamme hajapenda kabisa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 8 месяцев назад
Kumbe hata ww umeona nikajua mimi tu
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 8 месяцев назад
@@SarahKussa-rv5rc ujue nini huyu mwanamme anaona vile vitu vyote anavyoongea mke wake pale ni vya uongo ndio mana anaona haya anatamani amwambie huyo muandishi aondoke lkn anashindwa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 8 месяцев назад
Kweli kabisa
@SarahKussa-rv5rc
@SarahKussa-rv5rc 8 месяцев назад
@@user-vv1te9fu8q kweli kabisa ndio waache kuoa wanawake wa mitandaoni
@Beamarco777
@Beamarco777 8 месяцев назад
Usd 1000 per month hapo rent apartment near palm village 😅
@perpetuamagesa2305
@perpetuamagesa2305 8 месяцев назад
wew shehe acha kulelew bwege wew auna ela ya kulipa kodi apo wew tafta ela kenge wew
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 месяца назад
Aisee
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 8 месяцев назад
Kwa status yake wala sio mbaya anaendana na anapoishi wala sio mbaya kwake pazuri tu
@aishamuly466
@aishamuly466 6 месяцев назад
Tanga tujuaneeee ❤❤😂😂
@user-oj9ek2qj3x
@user-oj9ek2qj3x 7 месяцев назад
Kuswaliii n rastaa jamaniiiii😮😮😮😮
@chany9950
@chany9950 8 месяцев назад
Bio vichafuuuu toka
@jenestermerchades9111
@jenestermerchades9111 8 месяцев назад
Huku kwetu zara og elfu 40 mnapunjwaga kwa nini?😅
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu
@AmusedAstronomicalModel-lq3yu 6 месяцев назад
Kafanana na marehemu Defao
@neemamollel840
@neemamollel840 8 месяцев назад
Sasa miwani ya nini nyumbani ila wasaniiii kha😂😂😂
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 месяцев назад
Wig je unaweza kupaka
@felisterben6716
@felisterben6716 8 месяцев назад
Kila kitu kinatoka nje jaman hahahaha
@davinaheven4794
@davinaheven4794 8 месяцев назад
Yaani mashauzi yoote kaishia kwa Mganga.
@maryandason1815
@maryandason1815 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lildraco_k8977
@lildraco_k8977 8 месяцев назад
Diva ni macho magenge
@deboramakala3044
@deboramakala3044 8 месяцев назад
😂😂 hapo kwenye viatu Diva anamjuua Jimmy choo kweli''
@deboramakala3044
@deboramakala3044 8 месяцев назад
Eti expensive 😊
@husnamusa3178
@husnamusa3178 7 месяцев назад
Huyu nae anakera mamiwani hadi ndani ya nn sasa ndo mn mange anakuchamba sana hlf kingereza kiiiiingiii
@bennamush4616
@bennamush4616 7 месяцев назад
Hajiamini mamiwani mpaka nyumban masweta ya kofia na upo ndan way
@nancyg8664
@nancyg8664 8 месяцев назад
Anapenda usafi wakati likioo la jikoni lichafu🤣🤣🤣
@iyabakar3612
@iyabakar3612 7 месяцев назад
Kwann shekheee abdul asimfundikisheee wifiii diniii km yeye
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 8 месяцев назад
Mumewe anaonekana hajapendezewa kabisaaa
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 8 месяцев назад
nimeonaaa mpaka anashangaa
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 8 месяцев назад
Uzuri wamajuana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 месяцев назад
Mimi ata sioni kitu cha ajabu hapa😂😂😂ni kama tu nyumba ya mtu anaanza maisha,poor organization, sasa diva vile unajiweka iyo ndo bedroom yako😮😮mashuka ndo hayo😂😂iyo ndo dressing table 😂😂😂mi apa naona vituko tu,maneno tu ndo mengi but hana kitu cha maana apo😂😂😂😂pochi sasa😂😂😂😂viatu😂😂😂mi ni km sielewi kitu 😂😂😂 Eti njoo uone😂😂cha kuona sasa ni hereni 200 mchanganyiko za kariakoo 😂😂😂 Ivo vya UK&US anasema tu kila mara lakini ni vitu ata havina maana😂😂😂😂😂😂ila jamani mashauzi tupunguze
@immah_deo19
@immah_deo19 8 месяцев назад
Muache aishi maisha yake acha wivu aisee...wabongo tunasumbuliwa sana na CHUKI WIVU NA NYEGE.
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 8 месяцев назад
Mungu wangu kheeee sio kwa wivu huo punguza 👌👌👌👌👌👌
@latifaroro877
@latifaroro877 8 месяцев назад
Me mwenyee cjaona maajabu kwakwel ila kuna watu hawajui na hawaja tembea na hivo vtu hawana wanamuona tajir kwel😂😂😂
@SalhaFadhili-xr3ey
@SalhaFadhili-xr3ey Месяц назад
Pakawaida sanaaaa mm mwenyew nimewazid nnaish pazur hatareee
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 8 месяцев назад
Mashauzi tupu
@PriskilaMajengo
@PriskilaMajengo 8 месяцев назад
Anapenda miwani shida sijui ni Nini anafichaa
@cocorita8367
@cocorita8367 8 месяцев назад
Anashida ya macho
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 8 месяцев назад
Macho yamevimba😅😅
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 8 месяцев назад
Si juzi tu ulikuwa unasema anafiri na kulawiti vitoto vya kiume wewe leo upo nae? Diva upimwe akili kwakweli maana wewe sio kioo Cha jamii tena hovyooo kabisaa
@user-qm9np2uf9m
@user-qm9np2uf9m 6 месяцев назад
Hasara kitanda chamumeo unawaeka watangazaji
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 5 месяцев назад
❤❤❤
Далее
Qalpoq - Kichkina tabib (hajviy ko'rsatuv)
30:41
Просмотров 285 тыс.
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 31 млн
We will see who will do it better 😂
00:14
Просмотров 2,5 млн
MANENO YA DOKTA SULE BAADA YA MTOTO WAKE KUOLEWA
5:08
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 35 тыс.
Заячий Стон - Рот пятничный
0:55
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
Просмотров 156 млн