diva kwako ni kuzuri bhana,kwa wanaoponda achen wivu,kupangilia pangilien nyie ukute wengine wapo room moja kila kitu kipo umo afu mko kuponda😀,iyo ni apartment bhana
The end of this interview is the best of the year. He summarized the whole relationship struggles, we are treating each other according to our past traumas, and fear which is not okay and uncontrollable. In fact everyone is playing defensive. Anaensikiliza anajifunza, anae ona anatamani” this Guy is a brain. Much love to you
Tinted hd ndan kwan hy diva uwa kipofu au😮😮 miwan hd anaboah alf tabia ya kugombana kidogo na mumeo kututangazia mitandaon sio vzr unamdharirisha mwenzio alf bd mpo wote
Hakuna binadam aliyekamiloka kila mtu na madhaifu yake kuna watu humu wanatukana tu sababu hawampendi ila wanakoishi kama stool yaani 😂😂😂😂😂 mimi cpendi ila anakaa pazuri acheni unafiki
Ulivo huna adabu na ndoa ukigombana na mumeo unakimbilia mitandaoni kumchafua mumeo kwa sifa chafu hata kama anamakosa hupaswi kuja mitandaoni kumchafua wakati hujiwezi kwa uyo bwana huwezi kukaa nae mbali kwanini umchafue mumeo mpuuzi wee huna lolote kazi kujisifu tu maisha
Mtangazaji hta hpti kzi kubwa yakuulza, diva ywajbu yote bila kuulzw... Its like she waited patiently for this interview au ye ndo altka awe interviewed?! 😊
Umaskini ndio unao waua mapema.tafuteni pesa jamani mfano mimi hapa naangalia for fun siwezi ponda chochote nina kila kitu maishani watu maskini kazi sana
Kafumaniwa kakutwa na mivyombo kibao hata kusafisha meza kashindwa mtu kaondoka ana siku nne sijui tano mivyombo ipo juu ya meza ya kulia na uache uongo kupika hujui tena ulisema mwenyewe usijisahaulishe
Aisee at isha mashauz ajamfikiaa kwa mashauz hyoo mwingerezaa ingekuwa kwa mashauz hayo unaingia mbingun dada ungeshika no moja 😂😂😂punguza bas kujifnya muingereza
Uwalete waingizaji hawa grace mapunda, (odama Jennifer kiyaka,welu sengo,Mimi mars,JB,getruda mwita,riyama ally,Irene paul,mayasa mrisho,ray kigosi,Stanley msungu,hemedy,Luka wa jua Kali, nitafurah sana nikiwaona hawa
Mtoe sadaka jamani hata kama hamuamini mungu ...msiishie majivuno,ungekua na mtoto wewe demu sijui ingekuaje lakini Sisi wanaume wenye malezi ya kweli kwa watoto hatudekezi watoto,kwa sababu ya maisha ya baadaye tunapenda watoto wajue ups and down,hata ukiwaachia Mali watazitunza..
@@SarahKussa-rv5rc ujue nini huyu mwanamme anaona vile vitu vyote anavyoongea mke wake pale ni vya uongo ndio mana anaona haya anatamani amwambie huyo muandishi aondoke lkn anashindwa
Mimi ata sioni kitu cha ajabu hapa😂😂😂ni kama tu nyumba ya mtu anaanza maisha,poor organization, sasa diva vile unajiweka iyo ndo bedroom yako😮😮mashuka ndo hayo😂😂iyo ndo dressing table 😂😂😂mi apa naona vituko tu,maneno tu ndo mengi but hana kitu cha maana apo😂😂😂😂pochi sasa😂😂😂😂viatu😂😂😂mi ni km sielewi kitu 😂😂😂 Eti njoo uone😂😂cha kuona sasa ni hereni 200 mchanganyiko za kariakoo 😂😂😂 Ivo vya UK&US anasema tu kila mara lakini ni vitu ata havina maana😂😂😂😂😂😂ila jamani mashauzi tupunguze
Si juzi tu ulikuwa unasema anafiri na kulawiti vitoto vya kiume wewe leo upo nae? Diva upimwe akili kwakweli maana wewe sio kioo Cha jamii tena hovyooo kabisaa