Hii ndio tafsiri halisi nilio sikia kwenye wimbo ulio kua kwenye album ya Macho ni Ngumu Kuona ilio fanya na Dambwe La Hip Hop mwaka 2016 kuna wimbo unaitwa Baraka za wakongwe ukipata muda sikiliza utaelewa nini Q chief anasema.
Hao bila hata kuandikiwa wakiamua kufanya mziki rahisi kama Amapiano wanafanya, sasa ngoma kama Tshwala Bami kuna ufundi gani, pale producer tu atoe dundo kali na dancers wabunifu, promo kali baas.Wanaweza bana
Hawana akili unga mwingi kichwani mlipata pesa mka shindwa kufanya maendeleo ss leo Diamond maendeleo yake mnaya chukia tajiri ni tajiri tu kueni na akili
Kipind kile mziki wa tz ulikua burudan na sio biashara,hvyo hawakuwa wanapata pesa km sasa,maana hata platform hazikuwa km hz walikua wakiuza kwa kusambaza maeneo yote lkn leo mtu akiwa geto anasambaza worldwide