Тёмный

TIN WHITE KAKA WA RICH MAVOKO ,ATANGAZA VITA,SITOKUBALI RICH MAVOKO KUWA HIVI 

BONGO 24
Подписаться 118 тыс.
Просмотров 215 тыс.
50% 1

#bongo24 #harmonize #diamondplutnumz

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 187   
@jescakahangwa5224
@jescakahangwa5224 Год назад
Mavoko Yuko vizuri asikate tamaa anakubalika sana maneno ya watu acha iwe story kama wimbo wake.❤️❤️❤️❤️
@daynesakulu3169
@daynesakulu3169 Год назад
Imebaki story ni wimbo nzuri , ana nyimbo nzuri nyingi tu, Mavoko ni mwanamuziki mzuri sana.
@MBATINOFILMS
@MBATINOFILMS Год назад
Tin we ni msaada mkubwa sana sana katika sanaa yetu ya Tz 💥
@ManG-ru1km
@ManG-ru1km Год назад
Safi sana kaka wa Rich kumtia moyo ndugu yako
@tabiangonyani3526
@tabiangonyani3526 Год назад
😂
@brendankatha8038
@brendankatha8038 Год назад
cha muhimu maokoto bro ukipata riski ya siku inatosha💪💪👍💯 much love from Messi kadenge 254🇰🇪🙏 big up mavoko Kwa upendo Kwa watu bila kiburi au maringo.🙏🙏
@avidiuselias4126
@avidiuselias4126 Год назад
Natamani Rich Mavoko awe kwenye competition ya Kina Kiba, Konde na mondi. Namkubali sana Mavoko. Big up sana Tin white
@user-eo5ku4ce7t
@user-eo5ku4ce7t Год назад
Kwenye maisha kila mmoja ana njia zake za kupita
@ashuramhandoashuramhando6798
Mavoko kote anakubalika mi napenda sana nyimbo zake mpk Sasa ni Nzuri hazichuji ❤❤
@WiselightOfficial
@WiselightOfficial Год назад
Kabisa aendeleee hivo hvio
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 Год назад
Mavoko ana kipaji kikubwa 🎉
@draxlerjunior1882
@draxlerjunior1882 Год назад
Chaka tuchaka salute tin white napenda kuwaona p1 na mkojani
@salimkibwana4189
@salimkibwana4189 Год назад
😂😂😂kingwendu ameenda chaka 2 chaka akarud na mtoto😅😅😅
@salomecomedyofficial
@salomecomedyofficial Год назад
Chaka 2 chaka itakuja kua show kubwa hatari, next time mjumulisheni na 20 percent,, pia na Best nasso ikiwezekana,,
@alimasha7017
@alimasha7017 Год назад
God bless your progress ❤❤
@EzzyEddy-il3ce
@EzzyEddy-il3ce Год назад
Mje na Tunduma border hakuna wasafi festival Wala fiesta huku but Kuna watu wakutosha na mafans wenu wakumwaga wapo huku so muwe mnaangalia pande zote
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Год назад
Kabisa
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Год назад
Tunduma 😂😂😂 wakinga kutosha
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Год назад
Hizi shoo amnazo piga rich mavoko ndio zinahela kama hamuamini umuulize h baba
@shykohjopa7518
@shykohjopa7518 Год назад
Atamim namupenda mavko
@oneboytzoneboytz6789
@oneboytzoneboytz6789 Год назад
Waje TUNDUMA
@reginamanyangu7258
@reginamanyangu7258 Год назад
Namkubali sana mavoko kigwendu mbona anamawazo sana jmn ila nimependa ubunifu wenu🎉🎉🎉🎉
@richardromo1547
@richardromo1547 Год назад
Pia mavoko alete show Kenya fundi mwenye 🔥🔥🔥💪💪💪
@makejaffar8119
@makejaffar8119 Год назад
Ameanzisha ili tamasha la chaka to chaka..Kesho utaona mabwenyenye wengine wanaiga... Respect Rich Mavoko
@eduardomala150
@eduardomala150 Год назад
Hongera sana, huo ni uvumbuzi mkubwa sana. Mnastahili kuingia kwenye "Guiness book". Wanatoa dhihaki watakoma
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Год назад
Hii nchi ngumu yaani waingie kwenye guines book kisa show za vumbi😂
@Shekalagekassim
@Shekalagekassim Год назад
Namkubari sana rich mavoko big up kwake .....upo na mashabiki wa kutosha broo
@izzahboe1442
@izzahboe1442 Год назад
Namuona Samofi kwa nyuma😂🥰🥰🥰🥰❤❤❤
@christinembeye5489
@christinembeye5489 Год назад
Safi kabisa Tin White umewajibu Vizuri sanaaaa👍 Mhimu Mkono uende Kinywani kuliko Msanii anae Lala na Kunywa au Kuvuta. Big up Mavoko’s Brother. Mavoko asisikilize Maneno ya Watu achape Kazi tu❤🤝
@mussasalimomuarabo7259
@mussasalimomuarabo7259 Год назад
Mavoko anajulikana adi Moçambique UP mavoko!
@KassimSiri
@KassimSiri 11 месяцев назад
Og
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Год назад
Nimependa hi ya kumnyanyua rich atasimama in sha allah kweri allah kareem uyo mond sio allah wara atoi ridhiki yye nani kwa mfano mbaka ashudiwe hongeren tin wainti na mkojani pambaneni na washiken mkono wario didimizwa kimsiki na kuigiza mrad ridhiki ingie maokoto ndio kira kitu sio mbaka mtu afanye sho mjin hata vijijin ni utafutaji na vijijin ndio kunapesa sana kuriko mjini sema waja wariozoeya mji hawaerewi?
@user-dt4wx3nd7t
@user-dt4wx3nd7t Год назад
+254 mm nakubali xana Richie mavoko God bless him❤❤❤❤❤❤❤
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
Duuh yani VOKO kawa sawa na kina Best Naso 😂😂😂😂😂 Chaka tu Chaka for every body😂😂
@rasmbegu
@rasmbegu Год назад
Heshima kwenu damu zangu mmetisha sana nipo upande wenu
@mweroruwa6339
@mweroruwa6339 Год назад
Chaka 2 chaka big up sanaaaaaa tine white
@edwinelias8554
@edwinelias8554 Год назад
Mkojani 😂eti tutaanza kulinga hapa karibuni
@PamelaJonas-dh6lg
@PamelaJonas-dh6lg Год назад
Yani nikiangalia wote hapo naona komedia tu 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nawapenda sana yana mpo services lakini surazenu zinakaa kuchekesha tu😂😂😂😂❤❤❤
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 Год назад
Wapili mm
@Mr_maamen360
@Mr_maamen360 Год назад
Lao mmeniwahi
@RamadhanBasha
@RamadhanBasha Год назад
wazee wa bariad chaka to chaka saf sana mshiko upo mpka chaka ni mikazo tu
@fidemgonja1966
@fidemgonja1966 Год назад
Xafi sana wazee achanane nayule paka maringo wa tandale
@MusaDadi-pd3jd
@MusaDadi-pd3jd Год назад
Mtanga angekuwa na bambo ingekuwa poa sana
@AbdulhakimAbdala-qc5pj
@AbdulhakimAbdala-qc5pj Год назад
Kingwendu anaitamani hii hiyo maiki
@matabishipatrick3965
@matabishipatrick3965 Год назад
Hongera kwahio mawazo mazuri saaana yani chukuweni wale wasanii wote waliyo jificha muwazungushe African zima tunatani kuwaona kabisa, karibuni Uvira,kalemie,Lubumbashi,Bukavu,Goma,Bujumbura huko kote mutatoboa
@demolenebooysen2085
@demolenebooysen2085 11 месяцев назад
Piga kazi sana
@Lovenesszani
@Lovenesszani 9 месяцев назад
Team rich ❤💪💪💪💪💪
@AllenMwakabana
@AllenMwakabana 11 месяцев назад
Me siwapingi brothers... Mapambano yaendelee
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Год назад
mavoko sio freemasoni hamasharti
@tigejuma9865
@tigejuma9865 Год назад
Imekua konde gang 4everybody😅😅😅
@SizaAdolph
@SizaAdolph Год назад
Kazi Kaz
@suleimanjuma1872
@suleimanjuma1872 Год назад
Mavoko kafungua fursa kwanza haina gharama
@princehalawa_official7980
@princehalawa_official7980 Год назад
Yani Tin ukimuona ata akiwa serious basi utacheka tu 😂😂😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Год назад
😂😂😂
@PamelaJonas-dh6lg
@PamelaJonas-dh6lg Год назад
Nikwel😂😂😂😂
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 Год назад
Nikimwona kingwendu na jicho lake la khila 😂😂😅nachekaga sana
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Год назад
😂😂😂😂
@janifferkavutu7484
@janifferkavutu7484 Год назад
😂😂😂😂😂
@samsonmwingwa364
@samsonmwingwa364 Год назад
Ok fine
@-ex5ig
@-ex5ig Год назад
Sna sna mnafanya poa snaa njooni narombo tarakea nyie ndiyo wasanii wakubwa kilakijj wanahamu yakuwaona sana
@mashalamusicempire1158
@mashalamusicempire1158 Год назад
Nakubali nakubali karibuni sana kwakitolyo
@KitangaliMaster
@KitangaliMaster Год назад
Voko Ukovizuli mwanangu endelea nashoo shabikizako tunakusapoti By kitangally
@chiefnyanda3260
@chiefnyanda3260 Год назад
Good idea
@kisebwaanord1787
@kisebwaanord1787 Год назад
Acheni uongo kashuka kiwango ila sisi bado tunampenda akaze ❤❤❤
@D_50886
@D_50886 Год назад
Sanaaaa nasis tufaidike bana
@user-lp7wq4lp3v
@user-lp7wq4lp3v Год назад
Brother .K.
@magulumakenzi
@magulumakenzi Год назад
Kwa hyo kumbe huyu mtanga anasauti ya hivyo?
@SaidiAbdalah-y4h
@SaidiAbdalah-y4h 11 месяцев назад
brodhe mond nakuomba uweke ofisi yoyote ile songea meneja niwe mimi atupigiela kafungue labo kule
@superhemed7590
@superhemed7590 Год назад
Big up sana wazee
@SalehSaleh-yr7ce
@SalehSaleh-yr7ce Год назад
Kingwendu kitambo sana alikuwa na kofia yenye mwamvuli kazuramimba kigoma
@lugakajohn4509
@lugakajohn4509 Год назад
Hii comedy inaemdelea
@kherizambo420
@kherizambo420 Год назад
Long time pacha wangu
@thumy0926
@thumy0926 Год назад
Pigeni kazi
@AishaTarimo
@AishaTarimo Год назад
Mbona Mkojani analegeza macho 😅😅😅😅
@HISEXCELLENCEFAMILY
@HISEXCELLENCEFAMILY Год назад
Natamani wampe nafasi kingwendu😅
@SufoWazir-s4q
@SufoWazir-s4q 11 месяцев назад
Kkkk😂😂😂 kingwendu ariludi na prado. Na sio prado tuu ariludi pia na mtoto wa kiume
@ibnayub2374
@ibnayub2374 11 месяцев назад
Mtanga akili zako mbovu 😂😂😂
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk Год назад
Mkojani na kingwendu wako radar
@meshack3266
@meshack3266 Год назад
Ila kamkojani bhana utazani sio kenyewe kanakosumbuaga kwenye muvi😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 Год назад
#kwer kabis
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 Год назад
Hapo kingwendu yupo kama nani? Maana sio kwa umakini huo
@chiconinde8135
@chiconinde8135 Год назад
😅😅😅😅😅
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk Год назад
Counter attack Kwa Wasafi festival.hii ni poa kabisaa.
@seifmiraji43
@seifmiraji43 Год назад
​@wisedupshop2731ndo uhalisia usiminyane
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig 11 месяцев назад
Chaka to chaka
@ricklandennis
@ricklandennis Год назад
Chaka tu chaka zina faida kubwa ukitolea pesa watu wanaona fursa kibao huko ndichi kwa uwekezaji wa pesa kidogo, ila kwa mpumbavu anayehisi maisha ni mjini tu na kuwa chawa hawezi kuelewa
@2ndbornmc582
@2ndbornmc582 Год назад
Rich mavoko haja anza leoo. Kuna show akipiga malawi ilikua Loko sana lakini ndiyoaliingiza pesa freshi .
@roseney5779
@roseney5779 Год назад
Nice aidia
@exsavermateus2670
@exsavermateus2670 Год назад
Wakwanza Mimi Leo nipeni maua yangu wadau🎉
@Mr_maamen360
@Mr_maamen360 Год назад
Huna baya 🎉🎉
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 Год назад
🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🌷🌷🌷😊
@brazilsanga7978
@brazilsanga7978 Год назад
hakuna Cha kishuka brandi mashabiki ni Hawa wa chini wa juu wapo wangapi mavoko nakukubali sana njia hii ukiiheshimu itakutoa zaidi usiangalie machawa wanasemaje
@kadito-o3j
@kadito-o3j Год назад
Kikubwa mtonyo uzame mfukoni mengine tumuachie Allah
@milliardere9177
@milliardere9177 Год назад
Mavoco
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 Год назад
Pesa bongo zipo ndiyo maana wazungu wanakuja kuwekeza
@jessicanchimbi9419
@jessicanchimbi9419 Год назад
Mkojani ametulia kama mtu kweli
@مونيكمونيك-ع1غ
@مونيكمونيك-ع1غ Год назад
😂😂😂😂😂😂
@wiseman-or8xv
@wiseman-or8xv Год назад
Hahahaha mutajibiwa kila swali lenu na hao watu
@paulalove1223
@paulalove1223 Год назад
😂😂😂
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 Год назад
Tin White na Mkojani nataka umfanye TIN White awe mlinzi wa Kasri
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 Год назад
Sema kubwa kuliko season 5.
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Год назад
Tuache ushamba wasanii Wana mashabiki hata vijijini swali kwani walio vijijini sio binadamu nitahira pekee anaye kataa kufanya kazi kisa kijijini
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Год назад
Point
@GunFire-dm5fl
@GunFire-dm5fl Год назад
Usanii popote siyo lazima jukwaa kubwa ukishindwa huku kushoo hata jukwaani hutoweza kushoo 🔥🔥
@ChrisMwambeje
@ChrisMwambeje Год назад
Nendeni morogoro vijinini
@kitapondatv8709
@kitapondatv8709 Год назад
Mtanga anatetemeka akiwa kwenye vyombo vya habari
@Saginimokaya-rp5cg
@Saginimokaya-rp5cg Год назад
Mziki wa Vijana ukahi mavoko achanza Leo kuimba anakubalika kimziki
@suleimanmohamed111
@suleimanmohamed111 Год назад
Hawakawii kuiga sasa hapo halafu wajifanye kuboresha mafisadi
@RichardMlaguzi
@RichardMlaguzi Год назад
Kaz Kaz ilimradi maokoto yako vizuri iyo festival yao yenyewe pia wengine wamekataa laki tano sio kisa umepanda jukwaani
@JumaSalum-r3g
@JumaSalum-r3g 11 месяцев назад
Atar
@fatmanadia1357
@fatmanadia1357 Год назад
Kumbe tin white ni kaka yake mavoko
@DaniKasa-en4kt
@DaniKasa-en4kt Год назад
Samofi namuona nyuma
@abrahamtitusi8967
@abrahamtitusi8967 Год назад
nivizuli sana kunamashabiki wapo wametulia huko mikoa wasanii muwemnaenda jaman mashabiki wapowengisana wanawapenda msanii kioo cha jamii
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 Год назад
Hii itakwenda itakuja kuwa ndio style.. Chaka to Chaka watu wanapiga pesa sana Ila wakina stuka wenzao wako mbali tu
@user-xn6ki7hd1z
@user-xn6ki7hd1z Год назад
Mje na kasulu
@sayimadaha4988
@sayimadaha4988 Год назад
Nawakubali sana mwanangu kwaujumla wenu
@HalidiMbonde-jn4hi
@HalidiMbonde-jn4hi Год назад
Mikoa ya kusini pia
@JazamuKadogo
@JazamuKadogo Год назад
Bwana mkojani tumekumiss kitama tandahimba chaka tu chaka iibukie tandahimba kipind hichi cha msimu wa korosho maokoto yake usipime ndio maan mwenyeji konde boy atakuja miezi hii
@Mswahili-12
@Mswahili-12 Год назад
Ila kwenye ile clip muliyoonesha pesa, kwa mimi nimeziona elfu 30 tu.
@makischocho4613
@makischocho4613 Год назад
Kingwendu anavyokasirika Mondi kumroga mavoko 😁😁😁😂😂
@victorbwisso
@victorbwisso Год назад
Njoo Eni na mbingaa ruvuma uku
@isayakatuwa9482
@isayakatuwa9482 Год назад
Huyu kigwendu sura yake tu mi nacheka kinoma
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
Nendeni mwakaleli
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 Год назад
Safi
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Год назад
😂😂😂 acheni uongo atapataje Hera show ya uwazi vile au tunzo za buku mbili mbili ndio maokoto acheni uongo mavoko kashuka nanyie mmeona ndio pakupatia ishu
@47rewind68
@47rewind68 Год назад
Ukiielewa hela hutadharau hela
Далее