nakuerwa sana doto kuriko mbwa diamond atakufa mapema kama jpm udictetar mungu anawaua mapema kuaribu maisha ya rich mavoko nakina juma na insectar mungu mfanyie unayo weza tukiwa hai tuone
Madalali kwa maneno mengi😂😂😂 hatar sana. Sema gari ya mda mzee it's 2014 vehicle ila fresh tu dalali mwendo wa mazoez tu hata vits itapambwa kama bugatti 😅
Uyu jamaa mshamba kweli gar ya mwaka 2014 unaongea mbele za watu kwa kujigamba ungesema tu nashukuru mungu mepata usafiri wangu bas sio kwa kijigamba uko
Sasa hapa bongo magari tunayo endeshaga miaka nenda rudi unataka kusema kilometa 00? Wanaoendesha kilomea bongo wana hesabika banah we ndo unaonekana unakinyongo sasa. Mwache jamaa ajigambe anamagari ya kizamani sawa lakini anamengi siyo moja. Haya sasa we unagari la mwaka gani mwenzetu?
Wanajeshi gani wa marekani waliomkimbilia unadhani ni hao wetu wa Tz?? Kwanza huyo hajulikani hata kwa watu mia huku alafu ulete pelee zako za wamarekani eti kupiga picha nae 😂😂😂 oyaaa alipiga picha na wale makuruti wa DRCongo😊😅😅