Wananchi wengi wamekuwa wakichanganya kujiandikisha kwaajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 na kujiandikisha kwenye Daftrai la mpiga kura kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025
Afisa Uchaguzi wilaya ya Chunya kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi wa wilaya ya Chunya anafafanua tofauti ya Chaguzi hizo
Endelea kutufuatilia www.chunyadc.go.tz, Ukurasa wa WhatsApp wenye jina "Chunya District Council" na RU-vid channel yetu "Chunya Online TV"
26 окт 2024