Nadhani si sahihi kuwa na uchaguzi Serikali za mitaa, Nashauri watendaji wote wa Serikali za mitaa waajiriwe kwa usaili kama waajiriwa wengine serikalini, kuwa na uchaguzi serikali za mitaa ni kupeleka siasa mitaani wakati WANANCHI MITAANI WANAHITAJI ZAIDI MAENDELEO KULIKO SIASA, pia tuondoe nafasi ya Diwani yaani hii ni pure politics, watanzania mlioko kwenye maamuzi badilikeni kwa mustakabali mzuri wa nchi yetu. Si sahihi hata kidogo kuwa na Mkuu wa Mkoa au Wilaya hizi ni post ambazo ni pure politics yaani ni siasa tu hapo, TUBADILIKE, TUWE NA UPENDO KWA WATANZANIA WENZETU NA NCHI YETU.