Тёмный

TUFUNUWE KITABU (SILSILA 2): Mafunzo kutoka The Partner-ship cha Mzee Jumbe 

Gumzo la Ghassani
Подписаться 20 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Marehemu Aboud Jumbe Mwinyi ndiye aliyekuwa rais wa pili wa Zanzibar baada ya Mapinduzi ya 1964 na akaja kuondolewa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1984 katika kile kinachoitwa "Kuchafuka Hali ya Hewa ya Kisiasa Zanzibar". Miaka 10 baadaye alichapisha kitabu chake kinachozungumzia sakata zima la yeye kuondolewa madarakani na kuelezea msimamo wake juu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ismail Jussa anatupitisha kwenye kurasa zake kuchota mafunzo yaliyomo.

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 79   
@abdullkhamis5406
@abdullkhamis5406 3 года назад
Muheshimiwa Jusa yuko vizuri kabisa. Kipindi kizuri kwa kweli.
@hazimboy114
@hazimboy114 2 года назад
Natoa ushauri tu, hivi vipindi vingeliandikiwa kitabu ili kizazi kijacho wapate kufaidika.
@rastafare878
@rastafare878 3 года назад
Ahsante Kwa kutuelimisha sisi vijana wa Zanzibar .musichoke kutuelimisha Na kuitetea Zanzibar
@nailamohd7693
@nailamohd7693 3 года назад
Asante muheshimiwa jussa yaani tunakufahamu vzur km mwalimu na wanafunzi wake nakufatilia kila siku asante my brodher Moh'd kwa kipindi kizur.
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 3 года назад
Elimu kubwa sana hii. Asante Jussa na Ghassani 🙏
@GumzolaGhassani
@GumzolaGhassani 3 года назад
Shukrani nawe
@hamadrajab8042
@hamadrajab8042 Год назад
Santeni sana, hakika kazi yenu tunaithamini hatuna cha kukulipeni, Allah akuhifadhini, such a priceless programme
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 3 года назад
Chambueni na kitabu cha Mwinyi. Huyu babake Rais a Hussein Mwinyi. Natamani kujua mtazamo wa Jussa kwa alichokiandika Ali Hassan Mwinyi. 🙏
@GumzolaGhassani
@GumzolaGhassani 3 года назад
Shukrani kwa ushauri. Tunakiweka kwenye orodha
@hamzarijal9093
@hamzarijal9093 3 года назад
Tukitoka hapo twende Conflicts and Harmony in Zanzibar. na Ali Muhsin Barwany kisha Sowing the Wind: Zanzibar and Pemba Before the Revolution na Maulidi Mshangama.
@abdullahomarabdullah6921
@abdullahomarabdullah6921 3 года назад
Ahsanteni Mwalim Mohammed na kiongozi wetu Ismail hakika twapata faida mno kwa hiki kipindi kizuri na kwa hakika huu ni ufunuo mzuri wa vitabu allah akufanyieni sahli ktk mambo yenu...
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 года назад
Asante sana Mhe Ismail Jussa tupo pamoja hatuto pitwa na kipindi Insha Allah.
@GumzolaGhassani
@GumzolaGhassani 3 года назад
Shukrani sana
@ashaibrahim1786
@ashaibrahim1786 2 года назад
Jussa Maasha Allah upo vzr kwenye uchambuzi.Allah amrehem maalim Aboud Jumbe.Niliku najiuliza kwa nini AboudJumbe aishi uhamishoni,?
@Awatee
@Awatee Год назад
Amiin Yarabby
@jaanjaan111
@jaanjaan111 3 года назад
Kusema kweli hawa ccm zanzibar unajua na kufahamu kila majadiliana ya muungano katika baraza la wawakilishi linatupa usahidi hawa watu wanasamini vyeo wanavyopewa tanganyika ndio wanauza utu wao
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 3 года назад
Hilo lipo wazi ,ccm Zanzibar hawana uchungu na maendeleo ya Zanzibar isipokuwa wanajali tupo tu ndio tatizo lao hata pale Zanzibar inapodhalilishwa hawaoneshi kuchukizwa na kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya Zanziba.r
@rastafare878
@rastafare878 3 года назад
@@jumamohamed3168 ni kweli yaani hii inatia uchungu Kwa kweli viongozi wa Tanganyika kama kabudi ,lukuvi Na wengine wameisema sana vibaya Zanzibar Na viongozi wa Zanzibar kimnyaaaaa , sijui hii inatoa sura Gani Kwa wazanzibari . Lakini iko siku Inshallah Mungu atatupa nguvu ya kushinda juu ya nchi yetu ya Zanzibar
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
@@jumamohamed3168 vibaraka hao wimbi likibadilika wanaruka chombo hao..
@samirynasry5725
@samirynasry5725 3 года назад
Asanteni San kwa kutuekea kumbukumbu saw vizazi vitajifunza kupitia kwnu
@laylayahya24
@laylayahya24 3 года назад
Bismillah Masha Allah this is incredible ❤️.. tumejifunza mengi..Allah awaheefadh na awabareek. Amin
@shaqsyonlinetv3669
@shaqsyonlinetv3669 3 года назад
Asante sana Sh Mohamed kwa ubunifu wako mkubwa sana wa Tasnia yetu hii ya Uandishi wa habari .. kwa kweli kipindi kimenifunza mingi sana nsiyoyajua.. ombi langu kama Mheshimiwa Jussa atapata wasaa naomba UCHAMBUZI wa vitabu hivi 1) Why nations fail by James Robinson
@GumzolaGhassani
@GumzolaGhassani 3 года назад
Shukrani Maalim. Tunashukuru sana na ushauri wako tunaupokea
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад
Ismail Jussa, umekisoma hicho kitabu cha mzee Jumbe, ambao hatukuelewa sasa tumeelewa. Lakini swali ni moja, tutawezaje amini upande mmoja bila kusikia pande wa pili? Je, waweza kututafutia nukuu za Mwl. Nyerere alichokuwa ametuvunga kwamba Mzee Karume ndiye alisema kwamba, waungane mara moja. Tunahitaji maelezo hata kama ni kurasa mbili.
@nak3477
@nak3477 3 года назад
Mashaallah kazi nzr mungu akulinden na mahasidi nyny
@omarkombo3474
@omarkombo3474 Год назад
Jussa mtu na nusu aisee , kongole nyingi
@ilyaaswambi1622
@ilyaaswambi1622 2 года назад
Ahsate,inafurahisha sana, maana Mzanzibari bali hata Mtanzania atapata uelewa wa ukweli halisi wa yepi yaliojiri katika jamii yetu na historia yazanzibari, Mola ibariki Zanzibar
@saidalkiyumi9270
@saidalkiyumi9270 2 года назад
Kutoka Oman nawafatilieni Sana. جزاكم الله خير الجزاء
@nanguniMtaita-hz4zt
@nanguniMtaita-hz4zt 3 месяца назад
Wewe wa Oman kaa huko huko kula tende zako na kunywa maziwa ya Mgamia, wewe sio mwenzetu tuache.
@bilalmtinda1172
@bilalmtinda1172 2 года назад
Mashaalah shekhe jusa gesan
@nak3477
@nak3477 3 года назад
Ahasantu...endeleeni kutufumbuwa macho...ila mm napendekeza mtafute tv...muwe nnarusha yaha mambo ila watu wajitambue na watowe tongo..asisikilize propanganda
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 3 года назад
Asallam allekum, tunawezaje kuvipata vitabu hivyo huku dar au kuna Appy yenu ambayo tunaweza kusoma vitabu hivyo . Shukran
@habibumsasu4481
@habibumsasu4481 3 года назад
Wakati ujao tunaomba mchambue kitabu "KWA HERI UKOLONI KWA HERI UHURU"
@ibnubakar2235
@ibnubakar2235 3 года назад
Mm nasema tunaomba darsa maalum la kuwez kusomesh hstoria sahh.y nch yetu
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 2 года назад
Big up for Mr jussa & Mr Muhammed ghassan
@kassimmbwana7
@kassimmbwana7 3 года назад
Nkubali tu jamma fundi ismail jusa
@ahmedissa7882
@ahmedissa7882 3 года назад
Safi sana
@nassorali4564
@nassorali4564 2 года назад
Tubaki na mapinduzi daima na ccm
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Zanzibari imetekwa kijeshi
@salee1226
@salee1226 3 года назад
Assalamualaikum mimi nina suala. Ilikuaje baada ya muungano kujichuklia nguvu mwaka 1965 vipi mzee wetu mrhum Abood Jumbe alikubali kuuwa ASP mwaka 1977?
@solomonadams6337
@solomonadams6337 3 года назад
Hakuna Muun'gano hapo kuna utawala hapo mpaka maiti wanajua sawa¿thanks
@faridmohammad3801
@faridmohammad3801 3 года назад
Nice one broo
@saidsfaudh4336
@saidsfaudh4336 3 года назад
Sasa vitieni kwenye silabasi za skuli
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Watavitiaje wakti wao sio wenye Siri-kali?
@moxasaidi3398
@moxasaidi3398 8 месяцев назад
Hivi raisi Mwinyi na mama samia wanafanya jitihada gani kwa sasa kurejesha haki ya wazanzibar?
@111dudi
@111dudi 3 года назад
Znz wanasherehekea uhuru? Ilivyo wanasherehekea mapinduzi ya serikali iliyotawala mwezi tuu kuliko kujitoa kwemye ukoloni wa karne nyingi wa muingereza
@hilalal-busaidi4007
@hilalal-busaidi4007 Год назад
Wapii tulikosea ismail?
@mudathirhussein9557
@mudathirhussein9557 7 месяцев назад
Watatufanya kama Palestine 🇵🇸 hawa watanganyikaa
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 2 года назад
Kuna mlevi mmoja anasema Eti barua iliibiwa na maalim seif Nimemuita mlevi kwa sababu Ni akili za kilevi kipindi hicho maalim seif alikua hana uwezo tena wa kwenda ikulu pili Mzee jumbe ikiwa kaweza kutaja uchafu wa nyerere tena akiwa hai kwanini asiseme kua Maalim seif ndio aliichukua baru??
@rrrhhhsssal1617
@rrrhhhsssal1617 2 года назад
Kitabu cha kwaheri uhuru kwaheri ukoloni
@rrrhhhsssal1617
@rrrhhhsssal1617 2 года назад
Tungependa tufafanuliwe kitabu cha KWAHERI UHURU KWAHERI UKOLONI
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Kitabu kimeandikwa kwa kiswahili hakihitaji ufafanuzi labda kama hujaenda skuli..
@salukanambali7009
@salukanambali7009 3 года назад
Hebu zungumzieni mafanyikio vijana wa sasa hatutaki hadidhi za Alfa ulela
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 3 года назад
Hayo mapungufu yanayosema yanachangia kwa kiasi kikubwa kwa upande wa Zanzibar kuwa na maendeleo madogo ukilinganisha na hali halisi.
@saidmohammed9832
@saidmohammed9832 3 года назад
Aliekuwa hajaalkwa kwenye shughuli asituharibie shughuli
@nak3477
@nak3477 3 года назад
Tafuta chanel nyengine sio lazima ufungue hii account...tafuta chanel nyengine fisad ww
@pongwebeachhotel2806
@pongwebeachhotel2806 2 года назад
Kawaida ya mchawi akikuroga anakuwa anaumia pindi ukienda kutafuta tiba haha ake uendelee kuumia tuu.roho inakuuma ila ukweli ndo huo piga kwenye mshono Bila ganzi mw.ghasani na prof.jussa.well done salute.
@Awatee
@Awatee Год назад
@@nak3477 🤣🤣🤣🤣
@iddyramathan4507
@iddyramathan4507 3 года назад
Dukani hiki kitabu kipo au hamna???
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Vipo bookshops Dar au Unguja..
@iddyramathan4507
@iddyramathan4507 2 года назад
@@kamanyolabilajasho3833 Asante!
@mohammedkhamiss5387
@mohammedkhamiss5387 3 года назад
Kitabu hiki kinapatikana wapi?
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Bookshops Dar au Unguja..
@111dudi
@111dudi 3 года назад
Barua iliibiwa na Maalim Seif Sharif Hammad akaipeleka kwa Nyerere katika mikakati yake ili apewe urais wa znz
@sharifjuma1220
@sharifjuma1220 3 года назад
Hayo yakupewa urais naona umechomeka wewe. Sababu ya kupeleka waraka Marehemu kasema please kama hukuwahi kumsikia basi uliza?
@111dudi
@111dudi 3 года назад
@@sharifjuma1220nimetoa kwa wachambuzi, na nikuongeze, Jumbe alivuja ASP ili kumpika Nyerere akitoka amuweke yeye awe rais wa Tanzania. wewe andika unayojua
@sharifjuma1220
@sharifjuma1220 3 года назад
@@111dudi mie naandika waliyosema wenyewe. Kwa MIKONO yao. Hayo ya kutaka urais Jumbe au Seif kupeleka waraka ni Radio kifuwa. Na ukileta tutakwambia umeyaokota wapi. Maana wenyewe wameyaongea na wote wameandika vitabu.
@mangofish9079
@mangofish9079 3 года назад
Hiyo barua iliibiwa kwa njia ipi? Kwenda ikulu kupekua ofisi ya rais au kwa njia ya kimtandao? Ama kwa njia nyengine yoyote ile tafadhali tuelimishe ndugu.
@sharifjuma1220
@sharifjuma1220 3 года назад
@@mangofish9079fish Luna elimu gani kwani si utafuta kitabu usome. Seif kaandika kwenye kitabu alicho andika yeye na Ali SULTAN. Usalama wa taifa aliimpelekea huo waraka. Mtandao au digital ayo sema wewe.
@iddyramathan4507
@iddyramathan4507 3 года назад
Kitabu hiki nitakipataje Cha the partnership???
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Vinapatikana bookshops Dar au Unguja..
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 8 месяцев назад
Ggh
Далее
MWANDISHI WA HABARI WA MZEE KARUME AILILIA ZANZIBAR
36:02
Mashujaa 10 Wasiotajwa: #4 Mufti Hassan bin Ameir
1:22:52
Kumbukumbu ya Sheikh Abeid Karume 2016
1:01:16
Просмотров 33 тыс.