Broh mimi sio mtanzania na wala kingereza ispokuwa kireno na kiswahili kidogo. ila neelewa alicho kisema sasa wewe wa wapi tena? Iyo nyimbo Diamond platnumz aja andika ila amefanya flystail yani amerikodi moja kwa moja
Sharti la kuswihi swala mojawapo ni kuwa na udhu sasa na hzo tattoo udhu umapita wapi co udhu hata majanaba hayawatoki na tattoo hzo Labda swala yao ya kimajini🤣🤣🤣🤣