Watangazaji nakumbuka wakati mlipo muuliza zari kwanini kawa kwenye mapenzi na diamond alikijibu zari ni kwaajili diamond akili zake nzuri kiuchumi ndo maana zari kamkuli na kumzali.mondi anamalengo na maono ya juu zaidi.ndo maana hapindi kufeli.
Nikwer unachosema kuhusu mafanikio yadaimond...ila why Daimond amefanikiwa Sana kuliko wengine..kwanza ni mungu ametaka daimond awe na mafanikio Yan amembariki pili ndo yeye mwenyewe kwamba anadisplin anajielewa nakazalika ...ila wakwanza ni mungu alafu mengine ndo yanafuata