For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23 Leo ndo kaongea point Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4 Kunbe ilikuwa hajahipata Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana U are wormly Wellcome
Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@@user-pk1yl7zt8p isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅