Тёмный

ALIKIBA ammwagia sifa DIAMOND baada ya Chris Brown kuicheza Komasava na kuipost TIKTOK 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 29 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

30 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 110   
@user-sn8gg6hf3i
@user-sn8gg6hf3i 7 дней назад
Alikiba❤❤❤❤
@EmanuelMtafya-zw1xm
@EmanuelMtafya-zw1xm 7 дней назад
Alikiba kakuaaa🎉🎉
@alexkenyata
@alexkenyata 7 дней назад
siku zote team kiba wakubwa kiakila
@allahisone6386
@allahisone6386 6 дней назад
​ HHHH NDIOOO_🤦🏿‍♀️
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 7 дней назад
upo live sana kaka fredrick Bundala.. Tupo pamoja dl
@channyanjen9047
@channyanjen9047 6 дней назад
Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤
@husseinbhatia434
@husseinbhatia434 7 дней назад
Kiba amekua sana.this is a kind of king
@queenmariposa799
@queenmariposa799 6 дней назад
Hiyo sio hatua huo ni msamba 😂😂😂 KING ni mmoja tu#long live the King
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 7 дней назад
Saafi Kabisa blood 💥🔥💯⭐
@titoamani-e8b
@titoamani-e8b 4 дня назад
Diamond Platnumz harongwangi....Ujumbe kwa Harmonize😂😂😂😂
@bongobana666
@bongobana666 6 дней назад
Hizi ni strategies za media yake kwenda viral😂
@youngweezy3846
@youngweezy3846 5 дней назад
D mbili☑️😅😅😅
@nsabimanaabedi541
@nsabimanaabedi541 7 дней назад
Kwakeli Alikiba amekuwa
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 7 дней назад
Safi sana🎉❤
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 4 дня назад
👏👏👏
@IbraahKongwizi
@IbraahKongwizi 7 дней назад
mimi wakwanza naomba liké zangu 🎉🎉🎉🎉
@alexkenyata
@alexkenyata 7 дней назад
goog
@DAVID-wp4vc
@DAVID-wp4vc 7 дней назад
Wa kwanza
@hamadihamisiambale8943
@hamadihamisiambale8943 7 дней назад
This is king of bongo flaver❤
@user-om5go9nj6n
@user-om5go9nj6n 6 дней назад
For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
@joyhylton7901
@joyhylton7901 7 дней назад
❤❤❤❤❤Diamond. Haters go to the back. Diamond is the king. 🇺🇸
@mzukaunlocked670
@mzukaunlocked670 7 дней назад
There can never be two kings, only one King Kiba let that sink in
@joyhylton7901
@joyhylton7901 7 дней назад
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
@kenyzach9124
@kenyzach9124 7 дней назад
kweli wabongo hawana jema😂. sifa katoa mmemaind, angekaa kimya mngesema ana kiburi😂
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 6 дней назад
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23 Leo ndo kaongea point Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4 Kunbe ilikuwa hajahipata Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana U are wormly Wellcome
@DorotheiaPafra
@DorotheiaPafra 3 дня назад
Safi sana kiba
@DM_15
@DM_15 6 дней назад
Kupost sio hatua nimsamba,😂😂😂😂
@kilimaentertainment1687
@kilimaentertainment1687 6 дней назад
Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
@gaspergasper9830
@gaspergasper9830 6 дней назад
😂😂WCB inanguvu kubwa tayar kiba kaingia kwenye mfumo Diamond ni kioo mpaka kiba anakitumia kujiangalia😂😂
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 дня назад
Mtego uo
@paschalaldo1476
@paschalaldo1476 5 дней назад
King
@kimah9855
@kimah9855 7 дней назад
King is always a king 🤝🙌🙌
@bensonelisa3225
@bensonelisa3225 5 дней назад
Appreciate King
@jimyjastini9995
@jimyjastini9995 7 дней назад
Acha ushamba wako nawewe mwandishi sifagan arizomwaga zaiditu yakutafuta kiki nahuyo mtangazaji wake eti ange poxti angeonekanaje 😂😂 kwani angeongezann kwa mondi huyo kiba 😂😂😂😂😂😂😂
@officialsbjovea5822
@officialsbjovea5822 7 дней назад
Tafuta hela acha makasiliko
@invocavitykitaly2483
@invocavitykitaly2483 7 дней назад
wa kwanza mm na sitaki like mm
@vanny387
@vanny387 6 дней назад
Safii snaaa Mfalme... Alikibaa
@emmanuelrichard6771
@emmanuelrichard6771 6 дней назад
Hii n kubwa saanah King 🤴 ame appreciate
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 6 дней назад
Simba ndoo Yale majiii
@IsackManene-gt2ym
@IsackManene-gt2ym 5 дней назад
This is what we call maturity.
@Ujuechazi-hb9pc
@Ujuechazi-hb9pc 6 дней назад
Nimekuelewa
@Officialmodel_001
@Officialmodel_001 7 дней назад
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥
@petersynto2043
@petersynto2043 6 дней назад
Safi sana sijawahikukubali Ila leo ❤❤❤❤
@James-sz4ec
@James-sz4ec 6 дней назад
We umebakiza taarabu tu lazma umwongere Ili jina lako liendelee kuwepo maana kama unapotea hv
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 6 дней назад
Kikeke kwawekeza nguvu nyingi,,hongera sana kikeke na ally
@user-sh5gl8tw3w
@user-sh5gl8tw3w 6 дней назад
Kiba ana hekima sana
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 7 дней назад
Wameamua kuikuza radio
@abedysteven4930
@abedysteven4930 6 дней назад
Alikiba xaxa naona umekuwa !! Nliwambia achana na bifu msonge mbele !! Kama Nigeria walivyo!
@irenematari6218
@irenematari6218 6 дней назад
Wow good answer❤
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d 6 дней назад
King's bg up
@wisevictor-xc9ub
@wisevictor-xc9ub 6 дней назад
Alikiba ni mtu sanaaa
@KhadijaZahoro
@KhadijaZahoro 6 дней назад
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
@msafirimiracle6613
@msafirimiracle6613 6 дней назад
Definition of positivity
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 6 дней назад
Ilo swali kajibu basi tu atafanya je Sasa😂😂😂
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l 6 дней назад
Big up kiba
@fatumasaidi2592
@fatumasaidi2592 7 дней назад
Hawa waandishi wa habari nao wanapenda fitna sana
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 6 дней назад
Mtamuelewa polepole ❤️
@trizereve3386
@trizereve3386 6 дней назад
Natamani diamond na Alikiba watoe ngoma
@comics3437
@comics3437 6 дней назад
Kiba is intelligent,
@ibrahimngulungu
@ibrahimngulungu 6 дней назад
nimekuelewa sana tutasonga mbele kimziki
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 6 дней назад
Kiba amekua safi sana
@AmosBenesta
@AmosBenesta 6 дней назад
Alikiba anazingua kwenye mavazi
@hashimuhamisi3182
@hashimuhamisi3182 6 дней назад
kamvalishe
@marlodemarlove9281
@marlodemarlove9281 6 дней назад
Kizazi sana hata kuongea inatosha 🥰
@IsaacParuz
@IsaacParuz 6 дней назад
Jamaa anaongea kama kikwete
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 6 дней назад
His father😂 umechelewa
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 6 дней назад
Hii haitok moyon 😂😂 kiba
@zclassicfashionz1573
@zclassicfashionz1573 7 дней назад
𝐊𝐢𝐧𝐠...
@IbrahDeDonny-lv2lo
@IbrahDeDonny-lv2lo 6 дней назад
Kwan Jomba Nchumali anaxemaje huko?? Mamaeee 😅😅😂
@besteva499
@besteva499 6 дней назад
Nyinaye wana sns niwahovyo ama mumekosa habali sasa unazani alikiba angejibu nini
@BigZhumbe
@BigZhumbe 7 дней назад
Anaanza kumuelewa SIMBA. Amechelewa sana kumuelewa Simba ila sasa anaingia kwenye mfumo. Good one Ali Kiba
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 6 дней назад
Wewe ndo imechelewa kuwaelewa wenzako NI wafanya biashara we endelea na ushabiki mandazi
@KhalidiMtawa
@KhalidiMtawa 6 дней назад
😂😂😂 ndo alivyosema mfumo which where 😅😅😅
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 6 дней назад
Acha uswahili
@Qqambaa
@Qqambaa 6 дней назад
Ali kiba forever inakuuma eeh tafuta ndimu
@BigZhumbe
@BigZhumbe 6 дней назад
@@shwaibukhatibu2838 Akili huna aliyekuambia sijui kama ni wafanyabiashara ni nani? Team Kibakuli mna mihemko ya misamba 🤣🤣🤣🤣🤣
@zamdayusuph858
@zamdayusuph858 6 дней назад
Sns naomba jina la huo wimbo hapo mwishon
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 5 дней назад
Yeye huyo diamond ashawahi kupist wimbo woworecwa Alikiba?
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 6 дней назад
Ukishakua na media lazima ukubali yote
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 6 дней назад
Kwani bila daimond hawezi fanya mambo yake paka ugomvi
@kshayofurniture2941
@kshayofurniture2941 6 дней назад
Amwagia?? 😂 Wapi Sasa nje au ndani
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 6 дней назад
Yamemshinda!!
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 7 дней назад
Eti acheze fallen angel badilika ww imba kimataifa zaidi na sio bongo flava tu eti aimbe nhoma y Alikiba yan aje aimbe bongo flava kwl??
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 7 дней назад
Nitajie chart Gani kubwa komasava imeingia? Mnapelekeshwa tu na upepo nyie, hakuna chart zozote kubwa komasava imeingia pamoja na kelele zote hizo
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 6 дней назад
​@@Oldskulgemini9991umejibu vizuri
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 6 дней назад
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 5 дней назад
@@user-pk1yl7zt8p isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 6 дней назад
Kiba umekua sana
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 7 дней назад
Hypocrite 😅
@Amazinggirl-vd8ub
@Amazinggirl-vd8ub 6 дней назад
You’re hypocrite
@robertkingke5592
@robertkingke5592 6 дней назад
Tanzania jameni sasa Chris kucheza tu nyimbo nikitu yakuongelea kila mahali...sasa akipiga colabo itaongelewa aje
@adamutilar3147
@adamutilar3147 7 дней назад
Umefulia wewe
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 6 дней назад
Kiba achana na huyo domo tena hata ungekataa kujbu tu ni wapuuzi
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 6 дней назад
Una makasiriko ndugu 😂
@user-wt9nd8bh2h
@user-wt9nd8bh2h 7 дней назад
😂😂😂Sio hatua ni msaamba
@MNHAMAOFICIAL
@MNHAMAOFICIAL 6 дней назад
alikiba leo nimeamini kuwa wewe ni mkumbwa
@DorotheiaPafra
@DorotheiaPafra 3 дня назад
Safi sana kiba
@ELIFASMADEBHO
@ELIFASMADEBHO 6 дней назад
King
@DorotheiaPafra
@DorotheiaPafra 3 дня назад
Safi sana kiba
Далее
БЫДЛО НА ПУНКТАХ ВАЙЛДБЕРРИЗ
13:26
The tactic worked 😂#shorts by  Leisi Show
00:26
Просмотров 3,6 млн
Alikiba feat Billnass - Fallen Angel (Visualiser)
4:22
Крутыш на БМВ
0:12
Просмотров 1,1 млн
Кто доливает масло в бензин?
0:59