JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Ni vema kusikiliza hizi kesi za kisheria hata ukipata muda hudhuria mahakamani kuona mwenendo wa kesi. Utajifunza mengi, hongera brother kwa ujasiri. Pole pia
Mgemuliza kutokana na miaka Aliyo fungwa ndio lazima wafungwa wenzako wakueshimu na yeye Alipata kueshimiwa na kupata kuelekeza watu kama nyapala Alipata kwa ndagani??
Yaani ningekuwa mimi wanipige miaka 30 halafu waniachie baada ya miaka 6 halafu nishangae mtaani. Haiwezi kutokea. Tena nianze kuzubaa zubaa mbele ya kamera, HAITATOKEA. Hapo mwanzo ni Kibera, kuelekea Machakos.
angekuwepo hai mwenye awam yake walifunga watu bila ushahid kamili nadhan hao majaji na mapolice waliokuwa wakihusika na swala hili wangekua hawana kazi sema sasahiv awam hii inalea majinga yaliyopo kwenye mfumo wa serkalin ila magu asingekubali hao walihukim huyu kijana wabaki kazin tena walikua wanamchafulia uongozi wake ambao alikua hataki kumdhulum mtu yeyote zaid ya kuwajibisha waizi na wahalifu wa mitaan
DUUUUH, KUMBE HATA YALE YANAYOSEMWA JUU YA AKINA BABU SEYA KUMBE NIYA KWELI EEEEH.. 🙄TUME YA HAKI ZA BINADAMU HIVI MNAYASIKIA HAYA 👆☝️ 🙄KWANINI MKO KIMYA HIVI JAMAANI, KWANINI HII TUME ISIWE CHINI YA VIONGOZI WA DINI, NAHISI HAO WANAWEZA KULIA NA WANAOLIA KWA USAHIHI