Тёмный
No video :(

TUMAINI ALIYEFUNGWA MIAKA60 JELA KWA KUSINGIZIWA KUMBAKA MWANAFUNZI AACHIWA BAADA GLOBAL TV KURIPOTI 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 26 тыс.
50% 1

TUMAINI ALIYEFUNGWA MIAKA60 JELA KWA KUSINGIZIWA KUMBAKA MWANAFUNZI AACHIWA BAADA GLOBAL TV KURIPOTI
Simulizi ya Kijana Tumaini Mfinanga aliyefungwa mwaka 2018 katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi aliyefungwa miaka 60 kwakosa la kumpa mimba mwanafunzi ameachiliwa huru Baada ya siku chache zilizopita taarifa zake kuripotiwa na GLOBAL TV...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

3 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 126   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Pole sana mdogo wangu , msamehe huyo msichana na endelea na plan zako za maisha
@nackymrutu1869
@nackymrutu1869 Год назад
Huyu kijana😭😭,da!mamake alihangaika saana ila mpaka amekufa dunia,dunia,dunia,x3 Mungu awalipe wote waliiwaumiza familia hii,da,babaake Mungu akupe nguvu,kiatu chako kigumu akivyaliki kwa mtu mwingine,
@mdta8161
@mdta8161 Год назад
Huyo maria na wazazi wake walitaka kumkatisha ndoto mtoto wa watu, ila Asikari wetu acheni rushwa muwe na huruma
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 Год назад
Wewe baba wewe kwanini kumfanyia mtoto wa mwenzako hiyo?Mungu atakulaani wewe mzee sanga wewe mchaga unaroho mbaya sana..Mungu mlaani huyu baba nimeumia sana..mdogo wangu rudi shule na Mungu atakuinuwa
@petercostakisoka
@petercostakisoka Год назад
Hongerani sana global tv mumechangia sana kuachiwa uyo jamaa
@buharimwanga284
@buharimwanga284 Год назад
Dah mungu ni mwema dogo karibu kwenye familia ya mama ako mwanga tupo pamoja.
@mdta8161
@mdta8161 Год назад
Serikali na viongozi wetu mrudisheni shule kijana wa watu atimize malengo yake
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Kuna jambo nyuma ya hii 2 family's but mungu ajalala hongera umetoka pambana jitafutie siku yatawarudia
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Pole sana mdogo wangu Glory to God 🙏🙏
@ismailnahato657
@ismailnahato657 Год назад
Pole mdogo wangu Mungu mwema kila jema kwako litapata muafaka Wasamehe waliokukosea sana.
@DeborahMrema
@DeborahMrema Год назад
Mm najiuliza sana kama mtu kapewa mimba na ni mwanafunzi kwa nini anafungwa moja tu wanatakiwa wafungwe wote ili na hao watoto wa kike watulie maana na wao hawasikii
@johnsulle4679
@johnsulle4679 Год назад
Baada ya hapo uyu mwanamke alomsingizia mwenzake mlifanyaje maana kesi kama hii iliwahi kunikuta mpk leo nmepoteza ndoto zangu zote kwa kusingiziwa tu
@Official83640
@Official83640 Год назад
Jaman jela wapo wengi waliofungwa bila ya hatia yaani Mungu atahukumu kesho dah
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Tena wengi
@mayramayra7945
@mayramayra7945 Год назад
Kijana wawatu mtanashati jamani alikua anapotelea jela bila hatia 😢😢 Asante mungu
@saitawilson7307
@saitawilson7307 Год назад
Pole Sana tumaini .. hapa cha kujifunza chonde chonde epuka kusaini bila kusoma unachosainishwaa😭😭
@seneu.2128
@seneu.2128 Год назад
Ukikataa kusign wanakupa mateso mpaka ukubali watu wengi sana wameishia gerezani na ulemavu wa kudumu kutoka chumba cha mahojiano ya polisi.
@mayramayra7945
@mayramayra7945 Год назад
​@@seneu.2128😢😢
@marykmbogo7589
@marykmbogo7589 Год назад
Mzee huyo aombe Rehema Kwa Mungu pamoja na aliokula nao njama, la sivyo vizazi vyao watalia mbele ya safari
@lameckbuya7569
@lameckbuya7569 Год назад
Daaaah hii kitu almanusra inikute mwaka huu mungu atuepushe na watoto waongo
@shanifesto9037
@shanifesto9037 Год назад
Pole sana,,wapo wengi sana waliofungwa Kwa kutokuwa na hatia ila mungu hachelewi Wala hawahi kutenda muujiza dahh ila inasikitisha sana
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Год назад
Kuna watu wana roho mbaya sana loh ! Ila mungu mkubwa
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 Год назад
Kwaalifa hii inaonesha vyombo vyetu haviwez kutafuta ushahid wakutosha pak inatokea mahaka inahukum mmtu wakat kumbe ni masingizio selikal niyakwaza kuwajibika kumpa mtu kosa asilo nalo pil wazaz wamtoto walio mlazimisha mtoto wao kisema uongo afya ya saikolojia yahuyu kijana hawajuwi wameihalibu paka Sasa
@margarethshirima5654
@margarethshirima5654 Год назад
Hii ni laana kwa hao wazazi. Siwaombei mabaya ila Mungu ni wa haki. Sio vyema, ila angalau ingekuwa ni watoto walisingiziana wao kwa wao. Ila wazazi kumshawishi mtoto, hiyo gharama yake ni kubwa sana. Inabidi aangalie jinsi ya kutengeneza, na hao maaskari pia wanalo. Hakimu labda awe hajua. Hao wote vizazi vyao vitateseka sana. Mungu ni Mungu wa haki
@fahadbabuy
@fahadbabuy Год назад
Im bursting into tears😭😭
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Ingepigwa faini kubwa hio familia ikakoma na wengine wapate funzo
@shadyambarukumunguatamfany6291
Pole sana baba mungu mungu yupamoja nawe
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Год назад
Leo kijana yupo uraiani yaani hapa nawaza vipi kuhusu wazazi wa yule binti wanaiangaliaje hii familia ya huyu kijana pamoja na majirani wote ila hata hii serikali yetu kwa kukurupuka ndio wenyewe.
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Год назад
Hyo Askari Mpelelezi alitakiwa akamatwe Mara Moja. Semi Hii Nchi bado sana. Wizara ya Mambo ya Ndani inajidhalilisha kwa hili,Jeshi la Polisi pia linajidhalilisha
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Год назад
Pole mdogo wangu hakika mungu ni mwema ametenda
@dppd4219
@dppd4219 Год назад
😢😢 lengo ni kumkatisha ndoto zake mtt wawatu, muachieni MUNGU atawalipia akuna ubaya usirudi
@almachiusndibalema7764
@almachiusndibalema7764 Год назад
Hapo somo kubwa askari inabid watambue kuwa Kuna maisha baada ya uaskar
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Год назад
Dunia haina Amani 😭😭😭😭
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Год назад
Mungu ndye mwenye haki kijana kashukulu Mungu kwa kutoa sadaka
@jemsamtz8411
@jemsamtz8411 Год назад
This is bless this is magic we thank god welcome our home boy
@violetmunuo5053
@violetmunuo5053 Год назад
so sad k😢kwakwelifungua Kes ya madai ulipwe Na huyo Baba kukaa jela miaka 5bila kosa
@leticiakomba6695
@leticiakomba6695 Год назад
Msaidie kupata haki yake please globo
@dppd4219
@dppd4219 Год назад
Inauma sana usikute mamaake kafa kwa msongo wa mawazo
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Год назад
LAZIMA,HUSICHEZE kabisa mama na mtoto wake WA kiume,wanatupenda sana mama ZETU,kuliko hata baba,huyo mama msongo WA mawazo
@elishajoshua4892
@elishajoshua4892 Год назад
Asee 😣😖 Natamani hao askari wangejulilkana, wachukuliwe hatua. Halafu unamkamataje mtu bila kujieleza wewe ni nani? Yani askari hao hawana ufahamu wa kazi yao, huko ni kujenga uoga kwa wananchi wanaotakiwa kulindwa nao.
@farajasallah2338
@farajasallah2338 Год назад
Umaskini mbaya sana, pata picha kuna wanyonge wangapi gerezani
@karimukalema4613
@karimukalema4613 Год назад
Inauma sana hii 😮😮
@sophiekindem9071
@sophiekindem9071 Год назад
Inasikitisha sana 😢 Pole sana. I hope serikali itamsaidia huyu kijana kimaisha! Sad!
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 Год назад
Kweli bongo bado huonevu bado upo mtu wakukumiwa miaka 60 Aiwezekani kusikilizwa chemba cort 🙆‍♂️🇹🇿
@Bikhafija
@Bikhafija Год назад
Pole sana
@ashuuabdu1638
@ashuuabdu1638 Год назад
Amina mapenzi n hisia na km hazipo ata utembee uchi mbele yake utajichosha
@rayahamisi118
@rayahamisi118 Год назад
Kusaini bila kujuwa 😢😢 mm waniuwe tu we tulibishana na mwarabu sikusaini wee
@saitawilson7307
@saitawilson7307 Год назад
😭😭😭😭😭 duuuuuuu inaumizaaa
@annamroso5299
@annamroso5299 Год назад
Lakini Tanzania nchi yangu tuna ushamba na uonezi sana watu wengi wako jela kwa ujinga na upuuzi Kama huu mtu anakaa jela miaka yote hiyo Kwa nini mtoto alipozaliwa asipimwe DNA huo ni ushamba sana na unyanyasaji unamuhukumu mtu miaka 60 bila kua hata na uhakika Kama mimba yake na wakati wanawake wengi wa Tanzania hawajui baba za watoto wao ni ujinga Kabisaaaa
@husseiniddy5401
@husseiniddy5401 Год назад
kwanza inatakiwa tujiulize hao polisi wanaofanya huu uchunguzi wapo maana kama wapo mpaka leo wangekuwa wameishamjua kigogo😅😅😅
@margarethshirima5654
@margarethshirima5654 Год назад
Bwana Yesu, nguruma, usiponguruma haya yataendelea
@lilianpuka218
@lilianpuka218 Год назад
Daaah pole sana kaka
@senseiamani4684
@senseiamani4684 Год назад
Poleni saana kwakweli so naikumbuka hii taarifa
@olivernyange2349
@olivernyange2349 Год назад
Naamini waliohuskika na hili serikali imesikia tunasubiri majibu kama serikali maana mnatuambia serikali yetu lnaongozwa kwa sheria na haki.
@samludo5435
@samludo5435 Год назад
Ndomana unambiwa ukiskia mtu kafanya jambo la kustajabsha usijngze kushabkia kumuuwa kumdhuru wala kumchukia mtu uyo kabla hujathbsha ukweli utakuja mwaga damu isyo na hatia na kwa Mungu hutasamehewa
@JokhaSalehv
@JokhaSalehv Год назад
Yani maria na wazazi wake wafugwe. nafaini watowe
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
Wangekua ulaya lazima wangelipa kumsingizia mtu hivi pole
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
Nimeikumbuka hii jaman Mungu ni mwema katoka
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 Год назад
Huyu mjinga maria wapelekwe wote na huyo mbwa wake magereza wote au walipe huyu kijana milion30 kwakuwahurumia maana masikini au wakatumikie hicho kifungo miaka 60
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Allah awalipe kheri inshallah
@user-gv1op1oh2c
@user-gv1op1oh2c Год назад
Pole sn mungu yupo na ww
@rispermbwambo7804
@rispermbwambo7804 Год назад
dah pole sanaaa
@pendondulilo7871
@pendondulilo7871 Год назад
Daah inasikitisha sana Pole sana ila Mungu wetu alali wala asinzii
@dottohami
@dottohami Год назад
Pole sana mdogo wangu😭
@rweyemamualbert9932
@rweyemamualbert9932 Год назад
Afisa upelekezi aliye usika afukuzwe kazi si vema kumfunga mtoto wa mtu bila kosa miaka 60 ili afie gerezani
@edgarelikana7204
@edgarelikana7204 Год назад
Hii Dunia Acha Tu Nilikuwa nayasikia tu lkn hata mm niliyaona mahakamani aisee yan hakuna Haki 😢😢😢😢
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 Год назад
Hapo nimeelewa. Kuyamaliza kinyumbani. Mda wote wa mahusiano
@Eliza84833
@Eliza84833 Год назад
Polesana
@bintiwayesu2226
@bintiwayesu2226 Год назад
Amina Yesu hashindwi na chochote
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Год назад
Jamani vijana kuna kitu cha kujifunza hapa...mzazi ni mzazi,nani kama nzazi. Mungu awabariki wazazi wote wenye mapenzi kwa watoto wao🙏🙏 huyu baba wa kijana,amempanbania sana kijana wake
@kdloon2030
@kdloon2030 Год назад
Yaani kwa mimi,kwa kua nimetoka jela na hali ya kua nimefungwa kwa kusingiziwa.Lazma niwauwe mmoja wapo,eidha baba wa huyo binti au huyo jirani kimbelembele,lazma niwafyeke na panga,ili nikafungwe sasa kwa kua nimefanya kosa wallah.Hayo ni maamuzi yangu.
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Год назад
Aisee M/MUNGU mwema pambana na maisha
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Год назад
Huyo askari alaaniwe na upelelezi unaweza ukamtaja huyo police
@n.dvillagirl3272
@n.dvillagirl3272 Год назад
Kwani sheria inasemaje kwamtu alie mzingizia mwenzie jamani uyu kaka apate haki yake
@keifatuke99
@keifatuke99 Год назад
INABIDI NCHI YA TANZANIA IFUNDISHE WANANCHI KWENYE TV KUHUSU SHERIA ZA NCHI ESPECIALLY UKIWA POLICE NA MAHAKAMANI.
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Ni kwa uweza wa mwenyez mungu tu
@antonynhungo8641
@antonynhungo8641 Год назад
Hongera kijana dunia ndiyo hii
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Год назад
Jeshi la Polisi linanuka Rushwa sana. Hii kesi hata Polisi wameshiriki,Hivyo ilipaswa hao Askari kukamatwa. Pia nadhan kuna haja ya kulivunja jeshi la Polisi na kuliunda Upya. Liundwe na Watu wasomi na wenye Akili Timamu
@Expedito2512
@Expedito2512 Год назад
Hivi na hili suala nalo tunahitaji mzungu aje atufundishe kwamba inabidi kabla ya kumfunga mtu inabidi mimba ipimwe kwanza?
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Yaan vyombo vyetu hivi kazi kweli unamhukumu miaka 60 kwann wasipime DNA na huyo mtoto mwee,kweli sio waliomo gerezani wote wanahatia.
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p Год назад
Pole sana kijana
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Год назад
AKI TUZIDISHE DUA KWA WATOTO WETU WA KIUME JAMAN HII FAMILIA WALIOMUONGOPEA KESI HUYU JAMAA MUNGU ITAWAHUKUMI NA ISISAMEHEWE 😢😢😢
@mkombozsanga
@mkombozsanga Год назад
Watu wengi wanafungwa bila hatia ila mungu nimwema zaidi
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Год назад
True but wenye hatia wako huru
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Nimefurahi jamani kumuona japo simjui
@boazambokile2587
@boazambokile2587 Год назад
😢😢😢😢😢 tunaonewa sana police changamoto
@stevenhassan269
@stevenhassan269 Год назад
Mungu ni mwema
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 Год назад
Hii😢
@nakilingwembele9504
@nakilingwembele9504 Год назад
Jesus Jesus thank you for this guy❤❤❤❤❤
@aishachambo8663
@aishachambo8663 Год назад
Walio usika washtakiwe wajinga sasa kwanza kwanini hawakupima DNA
@shufaaabdulatif3086
@shufaaabdulatif3086 Год назад
Hii ndio Tanzania nchi yangu mimi
@samludo5435
@samludo5435 Год назад
Iv Tz mtu akpotezewa mda iv jera bila hatia hawez kudai fdia???
@IsraelKisaila
@IsraelKisaila Год назад
Jamani na majirani wote wamekusanyika wanaupendo sana,Mungu awabariki
@lusekelokamola3699
@lusekelokamola3699 Год назад
Pole ndugu ya dunia ni mengi
@elishajoshua4892
@elishajoshua4892 Год назад
Asee 😣😖
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Mtihani jamani kwa nini binaadamu tunapenda kuwakandamiza watoto wa wezetu
@andreachalee1209
@andreachalee1209 Год назад
Huyo asKali mpelelezi nae akamatwe
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Год назад
Siameshajifunguwaa wakapime DNA ikisema hapana aiseh wachukuliwe hatuaa kali
@ggfffhii4706
@ggfffhii4706 Год назад
Dunia hii dahhh halafu mtu akichukua panga akienda kuua anaitwa muuaji inaumiza bhana
@SesyVisent-et4sq
@SesyVisent-et4sq Год назад
Mungu asante kwa yote
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
Kesi km hiyo mtoto akizaliwa hua hawapimi DNA????????? au wanatoa hukumu bila kujiridhisha ?? Mnatuchanganya ila km huyo mwanamke alimsingizia mwenyezimungu atawahukumu
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 Год назад
Askal wa Tz ni ubwa sana walaaniwe kabisa
@PascalinaMushi-je9jn
@PascalinaMushi-je9jn Год назад
Tabia ya askari.kukmata watu bila kufuata taratibu tutakuja kuuwana. Wanaviherehere sana.
@nyax777
@nyax777 Год назад
part2?
@joantharajab4583
@joantharajab4583 Год назад
nimefurahi sana
@Thecrownchurch
@Thecrownchurch 11 месяцев назад
Tunahitaji serikali mpya na bora zaidi ya hii iliyopo
@sophiajonas2090
@sophiajonas2090 Год назад
Ila jmn Mambo mengine acheni tu
Далее
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Просмотров 1,3 млн