Kwa Biden apana ameishakua mzee sana ni muda sasa wa kupumzika na siasa. Nimeangalia hile debate hiko wazi kabisa ni muda sasa trump kumalizia muhula wake wa pili
Uzuri wa Biden ni kwamba amefanya kazi muda mrefu,kwa hiyo anielewe nchi na kazi.Urais anauweza sana. Trump ni mfanyabiashara,kwa hiyo hata akiwa rais ni kwa manufaa yake tu