Habari za kazi ndugu, mi nataka unifahamishe kuna gari nalipenda ambalo ni Toyota mark 2 grande hivyo nahitaji ushauri Kwani ninatarajia kumiliki gari kwa mara ya kwanza. Nielimishe juu ya uimara na matumizi ya mafuta ikoje. Ahsante kwa msaaada
Engineer Kyando Hongera Sana we ni mwalimu mzuri sana nimeanza kukufuatilia huu ni mwaka wa nne naomba uendelee tu kutupa masomo kama haya maana tuko tunaopenda sana kazi yako na naamini ipo siku utafurahia kupata mhitimu ambae umemfundisha kupitia Online TV yako Please ongeza masomo, pia share na mimi email yako na namba ya WhatsApp nina jambo la kusema na wewe. Respond kupitia mbiajijoh@gmail.com simu +255762878306 Asante!