Gari yngu yngu kuna wakati inawaka injini light ya manjano kwa mfano nikitembea zaid ya speed 80 lkn nikipunguza mwendo inaondoka. Naomba ushauri wko fundi
Gari yangu coolant ipo juu kidogo ya minimum kwenye reservoir tank.lakini nikitembea umbali kama wa km Tano maji yanajaa kwenye reservoir tank mpaka maxim mum je? Gari inakuwa na tatizo....nipo makete kata ya Matamba lakini gari haichemshi na milima ni mikari balaa
Huenda ukawa na tabia ya kuongeza maji kila asubuhi au kila unapowasha gari. Hatahivyo, sio dalili nzuri maji kujaa mpaka yamwagike. Mtafute fundi afanye ukaguzi wa kina
Asante sana baba yangu yaan hatimae nimepata mwalimu wa kunifundisha kuendesha gar hivi baba MTU kuja kwako kumfundisha kuendesha mpk KUJUA inachukua mda gan mpk MTU KUJUA kuendesha gar na kujua Sheria zote za balabalan samahani baba naomba kujua
@@kyandotv1468 Tunalo group la Whatsapp ambalo tuko wadau na Wamiliki wa Magari..Nilikuwa naomba kama hutojali tukuunge huko ili tupate faida zaidi kutokana na changamoto wanazokutana nazo Wengine na pia itakuwa fursa nzuri kwako kujitanua na kupata Wafuasi. Natanguliza Shukran