Wamekufunga na Umisheni wa Taifa kidini, Mzee chomoka ! Hatukusikii uwanja wa lnjili.Ask wa kifremnson hawataki lnjili; tunaiga Joka dhidi yako. We are all to get her Ukerewe voice.Amen
Sijapenda hiyo Tittle ya hii clip, maana ilipaswa kuwa "Uamsho au Changamoto za Uomgozi katika Kanisa la Africa, Baba Mchungaji Magembe ni Muhubiri na Mwl mzuri sana na tunabarikiwa na mafundisho yake, hakuna sababu ya kuweka heading za ajabu ili watu wavutike kusikiliza, Mbarikiwe
Unadhani Yesu hakusoma? Alizungumzwa hadi alipotimiza miaka 12,then biblia ikakaa kimya hadi alipofikisha miaka 30,je unajua miaka hyo 18 ya ukimya alikuwa wapi na alikuwa anafanya nn
Umisheni Taifa wa kidini na Utume,huduma yako si ya dini ni ya Mungu na watu wake,hatukusikii tena as a remain of big three and five,where are you Man of God! Ukerewe voice.Amen
Unasema kweli kabisaaa mtumishi tukonao huku mtaani. Lakini Ni biashara ya kuzimu kufungua makanisa ili kuua makanisa ya kweli. Na kuua nguvu ya maombi kwa wanamaombi. Wao Ndio wanapiga kelele mtaa mzima kwamba wanasifu na kuomba. Ni shetani yuko kazini sio watumishi wa MUNGU ni watumishi wa kuzimu
Kuna lugha ambazo Zina ukakasi unatumia jifunze zaidi kwa yesu example litoto wendawazimu ninakushauri usome mathayo 11:28 pia Kuna tofauti ya kusimamisha huduma ya kichungaji madhabahuni na taaalumu ya kichungaji madhabahuni
Kweli Askofu Maghembe unafikia mahali pa kuwaita waumini walioshudiwa injili wakampokea Yesu kuwa ni wendawazimu? Baba hili neno limenishtua sana. Pia ministry zikiwa nyingi kama zinamhubiri kristo na watu wanaokoka, Paul anasema Yadhuru nini ikiwa kristo anahubiriwa? Hapa mtaani kwangu tabata kuna bara na vibaar vidogo na vigrossary ambavyo havina hesabu na watoto wanavaa uchi kazi ni kulewa na kufanya uchafu wa kila namna. Lakini ministry na makanisa yaliyopo hapa na wachungaji hawajafika hata matatu. Hivyo tunamwomba Mungu kila siku atupe huduma na wachingaji wengi ili wazidi kuiharibu kuzimu. Lakini maghembe neno wendawazimu sio zuri ila nakuombea Mungu ili Roho wa Mungu akupe macho ya kuweza kuwatambua na kuwadhamini wachungaji na watumishi wenzako walioitwa na Mungu kama wewe. Pia uweze kuwatambua watu waliookoka hata wakiwa wawili watatu ni wakubwa sana katika ufalme wa mbinguni na ya kwamba Yesu aliwafia msalabani. Na sio wendawazimu. Asante sana Baba. Kama nimekukwaza au nimewakwaza waumini wako naombeni mnisamehe sana. Maranatha - Yesu anakuja.
Mchungaji hewa kabisa eti kuanziza kazi ya Mungu ukamsomee hee hio umetumwa na watu MUNGU akikutuma anakufundisha mwenyewe sijui unasoma wapi hayo unayoongea mzee ..sasa kanisa lako unawasema tu tangu umeanza ni kuwasema tuu masengenyoo ibada iko wapi hapo au wewe komedia
@@emmanuelymamba7594 shule anakufundisha mwenyewe sio unaenda kusomea kwa wazungu waliomkataa Mungu anakufundisha anaweka maaneno ya kusema ..mfano MUSA alipotumwa aliambiwa na cha kusema na cha kufanya
Maana ya huyo mzeee ni kwamba watu wengi wanaanzisha makanisa bila kujua maana ya kuongoza kanisa mbali na kwamba unasema roho atakuongoza sawa biblia unatakiwa kuielewa kwa sababu Kuna mafundisho unayo wafundisha waumini wako ni muhimu ukayajua
Majumba sita- Unashuka Njia panda ya segegerea (kwenye mataa)kama unatokea Airport, then unavuka upande wa pili njia ya lami unanyoshaaa, utakuta reli, mbele kidogo ni njia ya Vumbi ifate hiyo ukitembea hatua kidogo utaona geti la kanisa limeandikwa MAJUMBA SITA GOSPEL CAMPAIGN CENTER.
Huyu jamaa yupo kanisani au kwenye darasa la kidunia. Mbona hajataja jambo lolote la kumuweka mtu karibu na mungu hajataja mstari wowote wa kwenye biblia? Mbona wakristo mnachezewa sana kuna nini?
Yesu akasema,ole wenu mnao cheka sasa maana baadae mtalia nakuomboreza,Hapa aliwasema watu moja kwa moja.Namahuburi yoyote nilazima yaguse maisha ya watu moja kwa moja.
Sipendi kusema Neno juu ya hili? Ila maandiko yalisema wazi ili watu wapotoshe ukweli wa Neno la Mungu ambayo ni biblia ..watatumia migezo cha elimu zao kuuwa watu wa Mungu..huyu mzee anatukana makanisa madogo..kwa kiburi ya Elimu yake..ila hajui kuwa kanisa la kwanza lilianza kwenye nyumba za watu..roho mtakatifu alikuta watu wakiabudu ndani ya nyumba zao na kuwajaza roho..ila kwakua pesa inatangazwa sio Yesu kristo wacha tuone uko mwisho itajulikana..Maana Yesu alisema wanapokusanyika watu wawili or watatu yeye yupo nao..huyu mzee anawaita wenda wazimu..inamaana na Yesu ni mwenda wazimu sindio or? T.A.G ilianza watu wa ngapi mwanzo je? Walikuwa wendawazimu sio? Aisee Mungu yupo wacha tusubiri final