SNS is having very talented men starting by the CEO SKY himself but I confess that DJ SMAA is another phenomenon. Kudos to the whole team of SNS. Watching from D.R.CONGO
Mwalimu DJ sma, mwenyez Mungu akujaalie maisha mareefu yenye afya njema, akulinde leo na kesho, akufungulie milango ya rizki na aijaalie familia yako maisha marefu yenye afya njema, aamin
Aisee Wanajua vizuri sana, sema kuna kitu filani hivi kwa ajili ya mambo ya kiusalama. Ila kama wewe unajambo lako linalohusu humu inchini kwetu, wee wafuate private ndiyo utajua kama wanajua. 🤗🤗🤗🤗
Kaka dj smaa naomba utufahamishe kuhusu kenya ...nasikia mambo sio mazuri kabisa nasikia watu wanauwawa ovyo na watoto wanatekwa na watu wananyonywa damu na wanauza viungo eti nikwel kaka dj smaa??naomba utufahamishe kaka..kuhusu kenya nikweli hali ni mbaya sana??? Nataka utufahamushe mim nakuelewaga sana wewe dj smaa ukiwa unaelezeaga
Huyu mzee maadui zake lazima wamo ktk Serikali ya the Democratic. Trump ni tishio kwao kwa uchaguzi wa November. They wanted to accomplish the game early in the morning. Ila tu tukio hilo is a shame to a big Nation as USA. Congrats Dj Smaa!
Nice content, ila its why kuna baadh ya watu wanasema SS na FBI they have a lot to answer to this scenario. Au watu wanasahau issue ya JF Kennedy's assassination, the involvement of the gvt.
Pia kaka huyo mdunguaji alijua vipi kua kwenye lile Jengo hawajaweka ulizi akaenda huko juu haliyakua huwa walizi hawatoi taalifa kua watakaa maendeo gani😊
Kwa maelezo hayo ni wazi kbs ishu imetengenezwa tu kama movie ili apate uruma Kwa watu kwasababu endapo ingelikuwa ni kusudio haswa la mauwaji na watunguwaji wazuri wangepewa kazi iyo asingelikuwa mzima hd leo huo ni mchungo umetengenezwa tu
Dj sma nimependa sana huo uzinduzi wa uchambuzi. Sidhani kama kutakuwa na taarifa tofauti sana na hiyo. Mwenyewe naamini kabisa huo ni mchongo kabisa uliolenga kumuua Trump. Na haujatoka nje ya serikali. Na kuna sababu kwanini kwenye water tower hakukuwa na counter sniper. Na kuna sababu kwanini walipuuza taarifa ya eyewitnesses. Na kuna sababu ya kwanini walidai kwamba ile sehemu ambayo gunman alikaa haikuwa kwenye mamlaka yao. Naomba kuwasilisha.
@@RamadhaniMohamedi-de2vc Shukrani. Dah kuna jamaa mmoja alipanic sana siku moja hapa hapa sns et kwasababu tu mi nlisema leo nmekuwa wa kwanza. Nlimshangaa sanaaa. Vitu vya kawaida kama hivi anapanic. Tuendelee kula madini.