Amen mm luckson navunjwa zote zaajabu ajabu juu yangu , damu ya Yesu inifunike maisha yangu yote . Na funika mwili wangu wote na damu ya Yesu christ Amen .
Nazifunga nguvu za giza zote kwa damu ya YESU KRISTO,naharibu milango ya shetani na maadau kwa Mamlaka ya damu ya YESU Kila kilichochangu nakiludisha kwa damu ya YESU Amina
Ndoto zote zishindwe kwa jina la yesu ikiwa ni kwangu ,kwa familia na kwa ndugu na jamaa kwa mamlaka ya jina la yesu tutashinda UBALIKIWE sana mtumishi kwa kukubali kutumika juu ya hyo huduma na asante sana kwa kutukumbusha baazi yetu tulio lala wakati huu dunia iliochafukwa hakika yatupasa kuwa macho saa zote.
Kweli kabisa mie niliota hizo doto mbaya zote nikiwa mimba , nakemea zinajirudia, nikachukua sadaka yangu nikaombea na nikapeleka church hizo doto zote zikapotea, aftre apo ata sikukaa sana mimba ikalete shida ikabidi nizae kabla miezi kufika , na mungu akanilidia mtoto wangu now is growing well 🙏🙏,hii maubiri imenikumbusha nilichopitia , kama ningelegeza kw maombi kuna mchawi alikua na bindii y kuniaribia iyo mimba , lakini alishidwa kupitia iyo sadaka , hizi vitu ni serious usipo take action ,na maombi lazima kitu ikutokee mbaya utasemaga badae niliota hivi na hivi , wachawi washidwe mungu utulide
Kuna hii ndoto ya kuongea na maiti Huwa inanikujia Sanaa na nikiongea na Mtoto wa mjombaa wangu alifariki na hii ikiwa nko Kwa mto maji mingii nazamaa Tena nikiwa Shuleni tafadhali paster niombee
Hicho kitu Huwa kinanitokea mara Kwa mara na mm Sema kwajina la Yesu kristo havina nafasi kwangu Wala kwakila mtu wa Mungu amen amen mtumishi wa Mungu hakika yastahili kuabudiwa kuheshimiwa na kutukuzwa MILELE
Mungu wangu damu Yako inigunike naunitenge mbali naizi ndoto kwajina la yesu kwa wotes ambao wanapangamabaya ju yangu bubaya yabo ibarudiye kwa jina la yesu
Nashukuru k mafundisho yako.leo nimekua n ndoto cjui n sauti ya mungu au n mwili.kuota n cousin yangu uxku akiniambia natafuta ile papa yenyu ati imeua kuku yangu.tena due same ndoto ikajirudia asubuhi.ingine nkaona mvua imenyesha n ikanyeshea solar yangu ikiwa k mabati.ya mwisho nkaona mzee mwingine n shaka akakata mti ukaanguka ukaenda chini.na vijiko za kula zimepitana.ukiziangalia xko.x yaani zko ex😮
Avunja nguvu zote zinazonifatilia kuniharibia maisha ziludi kwa aliyezituma zimrudie na zisinifate kwa damu ya yesu iliyomwagika msalabani kwa ajili ya dhambi zangu amen
N mungu anasema hadui atakuja kwa njia moja n watatawanyika kwa njia Saba,lkn kla ukilala unaona unazungumza n mungu n anasema hataki ufanye kazi hapo anataka akutoe,n mungu wetu ana nguvu y kukomesha hii hali sialitoa Wana w Israel huko misiri..watu huota mpka mara kumi kwa usiku mmoja so mambo mengine tumuachie mungu juu unaeza toa sadaka lkn km mungu anataka utoke mahali atakutoa tu,
Apostle please help me understand this, once I think about somebody who died it doesn't take long before I get news that have somebody who has died it's not a dream
Umasikin sio sehemu yangu ufukara na kurudishwa nyuma kimaisha zte zishindwewaganga na wachawi kwangu na nyumba yangu washindwe kafara ishindwe mungu nilinde mtumishi niombee hapa nawindwa na jiran wangu waondowe kwangu na nyumba yangu wote Maovu yao iwarudie
Pastor Mimi naomba unisaidie kufafanua hii ndoto Niliota kua nililalamika sina viatu lakini badaye nakapata vitu nyukundu pindi nilipo rudi mahali baba yangu mzazi alikua nikapata amenitafutia viatu nyekundu lakini wakati nilikangua hizo viatu nikapata vimeraruka nakataa hizo viatu nika mwambia baba yangu kua Mimi nko na viatu alafu baba yangu akaombea hizo vitu na akarudisha kwa mwenye alikua ameomba please pastor make me understand the meaning of is dream
Asante kwa tafsili maana mimi naota sana ndugu zangu upande wa baba waliokufa nilikua simalizi wiki au wiki 2, Kwass kidogo cjaota karibia km mwezi toka nilipoanza kuomba