*Nina mashaka na Udaktari wake kusukutuwa nisawa namfuwaji nguo anaposuuuza nguo baada ya kufuwa meno hayaharibiki kwakupga mswaki hapa AKILI ZAKUAMBIWA CHANGANYA NAZAKO*
Sio kweli Kwa nn tunashauri usisukutue kwa sababu..Dawa ya meno unayotumia ina madini ya "Floridi" ambayo hutengeneza utando(coat) kulizunguka jino ili kulilinda dhidi ya asidi inayotoka kwa bacteria ambaye husababisha kutoboka kwa meno hivyo basi unaposukutua unaiondoa(wash away) hiyo floridi na kupelekea meno kuwa bila huo utando (coat) kwa ajili ya ulinzi. 🙏
Shukran sana Kwa ushauri Dr Nashukulu nazingatia sna upigaji WA mswaki nipo dada hapa muthiopia daaa Meno yote kamaliza Dubai mvivu kupiga mswaki ana mwkaa WA Saba hapa kapoteza Meno 6 yote magego kila mwkaa anatoa Meno 😅