Israel ukiipiga Lebanon nitakupa zawadi. Haiwezi kutokea kamwe bali Israel ndio mwisho wake unakuja sasa itachomwa moto haijawahi kutokea toka dunia ianze . Sibishani na yeyote mwenye maono tofauti bali nakupa muda tu ushuhudie makubwa
Nakubaliana nawe, wale Hizbullah siyo hamas, wamejiandaa kwa muda mrefu na viwango bya juu sana labda Israel itumie bomu la nuclear ambapo ndiyo itakuwa mwisho wake pia maana haitavumiliwa kabisa hapo.
Sasa hizbullah hawana mabomu ya nyuklia hawana air system diffence ya kutungua makombora hawana makombora mazito kama ya ATCMS ya kutungua na kushamburia ambayo mabomu haya ndiyo ya marekani yamefumua crimea kwa mifumo ya system ya airststem ya urusi na kuna tofaut kubwa sana ya uwelewa nenda kaangalie rank ya majeshi bora duniani israel yupo kwenye saba bora ya dunia au sita hizbullah sijui hayupo hata kwenye 100 bora hayupo hao ni kama jeshi la afaganistani tu. maana wanaishi kwa nguvu za kigaidi hawajawai fanya maajabu yoyote. israel kapiga nchi 5 kwa wakati mmoja sembuse hicho kichaka cha hizbullah hakuna kitu msidanganyike nyie vita sikia tu wenzako kombora moja sawa la israel sawa na milion 400 long range sasa ndugu yangu hizbullah anatumia rocket ambazo hata tanzania tunazo nyingi na tulitumia hadi vita vya iddy amini tena sirahi hizo toka enzi za soviet mpaka leo
Tunaomba habari ya kuthibitisha taaarifa ya NASA kwenye ukweli kuhusu dunia. Maswali yanakua raised now days 1. Ni kweli dunia ni Duara au tulipumbazwa na taarifa za NASA? Kwa maana kwamba NASA walifoji? 2. Pia mtuchambulie ukweli kuhusu uwepo wa Firmanent ukingo wa dunia ambao hautuhusu mtu yeyote kwenda nje ya dunia. 3. Uongo kuhusu uwepo wa space na baadhi ya mambo ambayo wanadai kua wanasayansi wameyafanya kama kwenye kwenye space na kwenye mwezi pamoja na baadhi ya sayari
Sikuhizi mmekuwa wavivu sana kutupa habar za vita mpaka naanza kuwachukia.. Juzi bolvia kumetokea mapinduz nyiye hamjatuchambulia ilikuwaje.. Lebanon na israel hamtujuzi kunaendeleaje mnachelewa kutupa update ya vita ya urus na ukren .. Kazi yenu kutuwekea dimond wenzake sisi hatufatilii mambo ya dimond .. Fanyen kama mwanzo hakuna kupoa kweny vita
Nikisikia kuna jambo lavita limetokea huwa sina wasiwasi kwani naamin chanel hii itachambuwa lakni ukifunguwa hakuna jambo.. Kazi kurusha mambo yakiumbea sie wengine tumeioenda hii kwa mambo ya vita
Murusi kibokoooooo,,,awatwange tu Hao mashoga....naamin kuwa urus inauwezo wa kuiteketeza Ukraine kwa siku 3...anachokifanya ni kudhoofisha uwezo wa marekani na ubabe wake..ndo maana anawachapa taratiiiiiiibuuu..mungu msaidie putin...ikiwa wataweza kumuua dunia imekwishaaa