Тёмный

Ukraine: URUSI yadai kuidungua Drone ya MAREKANI, RQ-4 Global Hawk yenye thamani ya Bilioni 353! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@josephkostans9128
@josephkostans9128 3 месяца назад
Israel ukiipiga Lebanon nitakupa zawadi. Haiwezi kutokea kamwe bali Israel ndio mwisho wake unakuja sasa itachomwa moto haijawahi kutokea toka dunia ianze . Sibishani na yeyote mwenye maono tofauti bali nakupa muda tu ushuhudie makubwa
@Jurbeg
@Jurbeg 3 месяца назад
Maisha yako yenyewe yaku mlilia samia iyo zawadi ya kumpa tajiri wapi rabda kuku wakienyeji yaani jogoo la Africa
@hamisisalum6116
@hamisisalum6116 3 месяца назад
Nakubaliana nawe, wale Hizbullah siyo hamas, wamejiandaa kwa muda mrefu na viwango bya juu sana labda Israel itumie bomu la nuclear ambapo ndiyo itakuwa mwisho wake pia maana haitavumiliwa kabisa hapo.
@hunstonjuliusmkonyionlinetv
@hunstonjuliusmkonyionlinetv 3 месяца назад
Sasa hizbullah hawana mabomu ya nyuklia hawana air system diffence ya kutungua makombora hawana makombora mazito kama ya ATCMS ya kutungua na kushamburia ambayo mabomu haya ndiyo ya marekani yamefumua crimea kwa mifumo ya system ya airststem ya urusi na kuna tofaut kubwa sana ya uwelewa nenda kaangalie rank ya majeshi bora duniani israel yupo kwenye saba bora ya dunia au sita hizbullah sijui hayupo hata kwenye 100 bora hayupo hao ni kama jeshi la afaganistani tu. maana wanaishi kwa nguvu za kigaidi hawajawai fanya maajabu yoyote. israel kapiga nchi 5 kwa wakati mmoja sembuse hicho kichaka cha hizbullah hakuna kitu msidanganyike nyie vita sikia tu wenzako kombora moja sawa la israel sawa na milion 400 long range sasa ndugu yangu hizbullah anatumia rocket ambazo hata tanzania tunazo nyingi na tulitumia hadi vita vya iddy amini tena sirahi hizo toka enzi za soviet mpaka leo
@ManyaSumaili
@ManyaSumaili 3 месяца назад
@@hamisisalum6116 wewe Israel ina uwezo uwezo mukubwa Sana kivita
@BernadPeter-q2o
@BernadPeter-q2o 3 месяца назад
Nenda shule ukasome ujifunze kuandika
@AdamHamis-s2o
@AdamHamis-s2o 3 месяца назад
Vitu kama hivyo vinafichwa kwa sababu ni aibu kwa taifa teule la mashoga duniani lazima waangalie namna ya kuchuja habari
@youssefsanje8743
@youssefsanje8743 3 месяца назад
Hiyo drone lran imewahi kuitwanga kiulaini sana
@hunstonjuliusmkonyionlinetv
@hunstonjuliusmkonyionlinetv 3 месяца назад
Wangeweza kutungua hata rais wao asinge kufa. unazani rais wao kapata ajari kwa taarifa yako watu wametungua ndege na wakaficha ushaidi.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
@@hunstonjuliusmkonyionlinetv toa uwo ushahid choko ww acha mawazo ya kishoga
@bakarimakomola
@bakarimakomola 3 месяца назад
Tunaomba habari ya kuthibitisha taaarifa ya NASA kwenye ukweli kuhusu dunia. Maswali yanakua raised now days 1. Ni kweli dunia ni Duara au tulipumbazwa na taarifa za NASA? Kwa maana kwamba NASA walifoji? 2. Pia mtuchambulie ukweli kuhusu uwepo wa Firmanent ukingo wa dunia ambao hautuhusu mtu yeyote kwenda nje ya dunia. 3. Uongo kuhusu uwepo wa space na baadhi ya mambo ambayo wanadai kua wanasayansi wameyafanya kama kwenye kwenye space na kwenye mwezi pamoja na baadhi ya sayari
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 3 месяца назад
umoja wa mashoga wamekutana na kidume
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 3 месяца назад
Tena vidume haswaaa
@jumaseif7514
@jumaseif7514 3 месяца назад
Sikuhizi mmekuwa wavivu sana kutupa habar za vita mpaka naanza kuwachukia.. Juzi bolvia kumetokea mapinduz nyiye hamjatuchambulia ilikuwaje.. Lebanon na israel hamtujuzi kunaendeleaje mnachelewa kutupa update ya vita ya urus na ukren .. Kazi yenu kutuwekea dimond wenzake sisi hatufatilii mambo ya dimond .. Fanyen kama mwanzo hakuna kupoa kweny vita
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 3 месяца назад
Usimlaumu wakati mwingine wanachoka wanahitaj kupumzika
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 3 месяца назад
Hii Kazi sio ndogo
@jumaseif7514
@jumaseif7514 3 месяца назад
Nikisikia kuna jambo lavita limetokea huwa sina wasiwasi kwani naamin chanel hii itachambuwa lakni ukifunguwa hakuna jambo.. Kazi kurusha mambo yakiumbea sie wengine tumeioenda hii kwa mambo ya vita
@FeruziIsa-nc5vo
@FeruziIsa-nc5vo 3 месяца назад
ALLY unawasifia sana wamarekani kwenye makala zako nyingi. Lakini jua ya kwamba, huu ndio mwisho wa MAREKANI ndugu.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
Hapo unajidanganya
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 3 месяца назад
Hii ni riport .zinakuja.
@ManyaSumaili
@ManyaSumaili 3 месяца назад
Wewe Utawala wa marekani ni mungu ndiyo ata Kaye iangusha
@Gulfnas1
@Gulfnas1 3 месяца назад
Ikiwa houthi wanawexa, basi sina shaka na uwezo wa urusi
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
Hizo zinadunguliwa na kila nchi zenye mfumo wa radar
@viootanzania9080
@viootanzania9080 3 месяца назад
From dodoma ❤
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua 3 месяца назад
Ebu mtupatie hint kuhusu Lebanon na Israel kunaendaje
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 3 месяца назад
Kweli pigo hawa jamaa wanapiga sehemu mhimu mikakati mikali
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 3 месяца назад
Kiama cha Marekani na mtoto wake Israel kimefika, Viva Putin, viva Russia.
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 3 месяца назад
Hio drone ni nzuri sanaa ila tu wamarekani wamefeli kuto kuipa uwezo wa kujilinda na makombora
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 2 месяца назад
Tangu zimitunguliwa mpaka leo hamna global hawk imirushwa tena 😂
@jefjigaz7684
@jefjigaz7684 3 месяца назад
We classmate mwanangu
@MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq
@MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq 3 месяца назад
wewe muongo roporopo nyingi maneno mengi siwenzio tunazama tunakugea afu unajikanyaga
@MahmudHakizimana
@MahmudHakizimana 3 месяца назад
Thx young bro Unajuwa kuchambuwa sijui kama ni ufanisi was lugha ya kiswahili Mrci beaucoup
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 3 месяца назад
Bienvenue mon petit.
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ 3 месяца назад
Sinza madukani #ndovudentalclinic
@HusseinMohamad-pl2cf
@HusseinMohamad-pl2cf 3 месяца назад
Leo sihitaji likes
@AzizihFarijala
@AzizihFarijala 2 месяца назад
Urusi hii ni ya pili kutunguliwa na warusi
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 3 месяца назад
Murusi kibokoooooo,,,awatwange tu Hao mashoga....naamin kuwa urus inauwezo wa kuiteketeza Ukraine kwa siku 3...anachokifanya ni kudhoofisha uwezo wa marekani na ubabe wake..ndo maana anawachapa taratiiiiiiibuuu..mungu msaidie putin...ikiwa wataweza kumuua dunia imekwishaaa
@reginaldmasato9932
@reginaldmasato9932 3 месяца назад
Ally Masubi bhana, Eti wewe huogopi? 😂😂 Mrusi ndo kashaitungua bila kuogopa
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 3 месяца назад
Drone bora kwa matango sio kivita.
@DismasMaturine
@DismasMaturine 3 месяца назад
Hizo drone hamna kitu wahouthi wanazidungua zile nyingine ni mbwembwe tu
@maroahkissiry4863
@maroahkissiry4863 3 месяца назад
Hiyo ni ndoto. Mpaka leo Russia hawana uwezo wa kudeal na RQ-4
@Jonathankwizera-sl9pi
@Jonathankwizera-sl9pi 3 месяца назад
Iran walishaga itungua
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 3 месяца назад
Uyu jamaa anajuwa kuchambuwa vzr sn uyu inatakiwa asiishi apa Aishi marekani au uingereza namkubali sn
@MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq
@MUSTAPHAMCHUCHA-sp3tq 3 месяца назад
kudungua
@JoelFortunatus-du8ww
@JoelFortunatus-du8ww 3 месяца назад
Drone za marekan waga anazisifia sana lkn zinakuwa zinadunguliwa mpaka na makundi ya wapiganaji wayemen🇾🇪 mfano MQ-9 mbili zilisha pigwa chini
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
Zinasifiwa kwenye ukusanyaji data. Kwenye kuidungua ni kawaida maana hizo sio stealth aircrafts
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 3 месяца назад
Sio poa hio dron
@BernadPeter-q2o
@BernadPeter-q2o 3 месяца назад
Uongo
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk 3 месяца назад
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 3 месяца назад
Asante sana Ally
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 3 месяца назад
From Arusha ❤
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 2 месяца назад
Good urus
@Gody360
@Gody360 3 месяца назад
Hatari sana
@jefjigaz7684
@jefjigaz7684 3 месяца назад
Ww allly masoud we username yak ya ig mwanangu
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 3 месяца назад
Soon utaipata.
@Gody360
@Gody360 3 месяца назад
Chaghaboy
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 3 месяца назад
Et we uwogopi HApo 😅😅😅
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 3 месяца назад
Mjomba mbona unazunguka sana kueleza kitu kimoja!!
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 3 месяца назад
Uanze kutangaza
@ShehaHaji-k8t
@ShehaHaji-k8t 3 месяца назад
Anasubiri nini urusi
@jumashedafa
@jumashedafa 3 месяца назад
Sasa ndugu yang kumbe haijathibitishwa usingetuletea
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 3 месяца назад
Vyombo vikubwa vyote vimeripoti na ww unahaki ya kujua.habari hii haijaokotwa.au kutungwa.
@jumashedafa
@jumashedafa 3 месяца назад
@@thefactbook...1607 saw rafik yang ahsant kunifahamisha
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
Ulitaka nani ndio athibitishe?
@jumashedafa
@jumashedafa 3 месяца назад
@@rumdeesonsoa1811 ukijibu tizama kwanz jibu la mwisho lina mantiki gan au msimamo gan; ule ule au umebadilika then jibu sasa
@mudybaaroo4540
@mudybaaroo4540 3 месяца назад
good
@Gamba177
@Gamba177 3 месяца назад
Ikiwa wenyewe na vyombo vya dunia hawajatangaza sasa wewe umezipata wapi ?
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 месяца назад
Uwe unasikiliza vizuri kabla ya kuuliza taarifa zilipotolewa kaeleza rudia kusikiliza
@uwimana6533
@uwimana6533 3 месяца назад
Hao niwale majirani zenu wanaosumbuliwa na kiswähili kinawapa shida kuelewa 😂😂
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 месяца назад
Sikiliza upya
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x 3 месяца назад
Kutungua ndio nini tena??
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 3 месяца назад
Shoot down!
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x 3 месяца назад
@@SimuliziNaSauti 👍
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv 3 месяца назад
Tungua -Tundika . Mama katungua nguo juu ya msumari Huelewi nini mtoto wa kishua 😂😂😂
@hassanmlawa-o6s
@hassanmlawa-o6s 3 месяца назад
Kiswahili kinakupiga cheng's nn? Mbona kaeleweka
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 3 месяца назад
Hahah😂😂
Далее
Dnevnik u 19/Sarajevo/1.10.2024.
38:09
Просмотров 950
БЕЛКА ЗВОНИТ ДРУГУ#cat
00:20
Просмотров 788 тыс.
Лайфак года 😂
00:12
Просмотров 93 тыс.
# Rural Funny Life Wang Ge
00:18
Просмотров 750 тыс.
Nenad Čanak gost u Jutru za sve
20:08
Просмотров 61 тыс.
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Просмотров 957 тыс.
БЕЛКА ЗВОНИТ ДРУГУ#cat
00:20
Просмотров 788 тыс.