Ubarikiwe kwa Maneno ulio towa ya kusibitisha kuusu Kitabu cha Mungu, Biblia: Kutoka 31:18; Kutoka 32:15; Kumbukumbu la Torati 31:9; Matayo 23:34; 2 Petro 1:20-21; Ufunuo 22:18-19
Biblia haitambui Mitume wasio jua kusoma na Kuandika YESU anajua kusoma na Kuandika Toa Aya mu Biblia inasema Muhammad namujua nitakupa zawadi Au utatoa YOHANA 16:8-14? Usisome Biblia kama Qur'an hiyo Biblia Ina wenyewe uombe kwanza kabla hujasoma kama sivy itakuchanganya hahahaha
Wala futa kwenye akili zako Bibilia haijui mtu anaitwa Mohamad pole sana waislamu fungueni akili hakuna mahali jina ya marehemu Muhammad imetwajwa Kwa bible njooni kwa Yesu muokoke