Ahsante Kijana Kwa historia hizi,zituimarishe maana yajayo haya hayaoni,Mimi na wewe tujihoji yatakua je?(2),unajua wakristo wengi shina ni moja,ispokua mwana wakuasi alituvuruga sana.wapenda watu Wa Baba aliveziumba Mbingu na inchi,twende tujifunze historia ya Manisa katika ukristo wetu wote hata Rafiki zangu Sana waisla tena kruhani ikovizuri Sana.❤❤❤ wote,muwe na maandalizi ya kiroho.siku njema.
Kwani unajua aliililia kwa Sababu aliipenda? Aliililia kwa Sababu wokovu ukifika kwake na ukaikataa na hasira ya Mungu ya kukataaa wokovu ilishuka juu yake Mji ukavamiwa na watendaji na watesi wake ukaangushwa vibaya mnooo hata sasa.
Kwan kuna ubaya kushare na kujifunza historia ya mitume au hii historia ipo kwaajili ya watu fulan au din fulan..? Hapan kila mmoja wetu anahitaji kujifunza haya haijalish yanapatikana wap
Baada ya kristo, Haina maana baada ya Yesu kuondoka Bali baada ya Yesu kuzaliwa na nyakati zote. Yes, alianza kazi akiwa na Mika 30,lakini je kunayakati zilianza kuhesabika katika kipindi flani hata kabla ya kuzaliwa au alipozaliwa ndio ikawa zama baada ya kikristo?
Yesu alizaliwa miaka mi3 kabla ya mwaka wa 2000 kutimia ili kuanza kuhesabu mwaka 1 kwahiyo akisema waliozaliwa mwaka wakwanza baada ya kristo anamaanisha alizaliwa miaka mi3 baada ya yesu
DINI ILIANZIA AFRICA NA YESU ALIKUWA MTU MWEUSI HYO YOTE TUNAYOIONA NI MICHAKATO IMECHAKATWA NA WAZUNGU WAKACHUKUA MICHOLO YOTE WAKAENDA NAYO WAKAICHAKATA HALAFU WAKATULUDISHIA
Kwani ninyi mnafuata mafunzo au picha,je miaka elf2000,iliyo pita kulikuwako,na kamera hazikuwepo,ila walikuwa na technolojia ya uchoraji tu,wa sula za manabii,HIVYO kwakutumia ucholaji unaweza pata picha ya mtu alivyo kuwa,
Nikwel mungu aliwatuma mitume wake kwenye mataifa ya watu waliotenda zambi nying nakupitiliza kaka ona mpka leo mataifa yaliopita mpk leo wanachangamoto misr nabii musa , pastina nabii mohamed na yesu nazalet kaka
Ndugu siyo yote yameandikwa ili mpate kusadiki yangeandikwa yote hicho kitabu kisingebebebwa ndiyo maana kanisa katoliki linatumia biblical na mapokeo maana mapokeo yanaeleza upana na chimbuko
Walikuwa wafundisha kulingana na mafunzo kutoka kwa Yesu ila wale waliokuwa wanafunzwa hawakutaka ukweli kwa maana uliwapa vikwazo kinyume na yale waliokuwa wakitenda