Тёмный

Maisha na vifo vya mitume wa yesu 

Shane Tv
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 140 тыс.
50% 1

#HISTORIA YA MITUME #VIFO VYA MITUME #HISTORIA YA KANISA #MASALIO #SDA @MahubiriPrMmbaga @HopeChannelTanzania

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 142   
@EmmaChanga-h2n
@EmmaChanga-h2n 3 дня назад
Nimeipenda ubarikiwe
@CannRay
@CannRay День назад
Jamn barikiwa sana mm
@geofreyKigola
@geofreyKigola Месяц назад
Historia inabariki sana ✅
@JoyceMalogoi
@JoyceMalogoi 2 месяца назад
Ahsante Kijana Kwa historia hizi,zituimarishe maana yajayo haya hayaoni,Mimi na wewe tujihoji yatakua je?(2),unajua wakristo wengi shina ni moja,ispokua mwana wakuasi alituvuruga sana.wapenda watu Wa Baba aliveziumba Mbingu na inchi,twende tujifunze historia ya Manisa katika ukristo wetu wote hata Rafiki zangu Sana waisla tena kruhani ikovizuri Sana.❤❤❤ wote,muwe na maandalizi ya kiroho.siku njema.
@simontamba1285
@simontamba1285 28 дней назад
Asante dada J
@XaveryKayombo
@XaveryKayombo 2 месяца назад
Amina Amina Mungu nimwema mapemzi yake yatimizwe.
@patrickgeofrey5116
@patrickgeofrey5116 Месяц назад
Hata mm nampenda sana Yohana kitabu chache kitamu sana asante kwa simulizi
@UpendoDaudi-iq6hy
@UpendoDaudi-iq6hy Месяц назад
Ubarikiwe sana mpendwa
@silasmwakibinga1432
@silasmwakibinga1432 8 дней назад
Amen!
@kombibora
@kombibora Месяц назад
Ubarikiwe mpendwa kututolea historia nzuri , Bwana na akuzidishie maarifa yakulitangaza nenolake.
@edwinjhilbajojo2429
@edwinjhilbajojo2429 2 месяца назад
Asante sana,,,ila hujatuambia❤kuhusu Mathias aliyechaguliwa kureplce nafasi ya Yuda Iskarioti.
@frankmoses1479
@frankmoses1479 2 месяца назад
Asante sana kwa Historia nzuri ya Maisha ya Wanafunzi wa Yesu.
@AnsilaAnorld-tk7vy
@AnsilaAnorld-tk7vy Месяц назад
Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana na mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu hasa katika kuineza injiri yake
@henrysizya239
@henrysizya239 2 месяца назад
Amina, japo picha ulizotumia si picha halisi za mitume hao
@RobertMashaka-t1o
@RobertMashaka-t1o 21 день назад
Asante sana mkuu
@Lawrence-l7r
@Lawrence-l7r Месяц назад
Asant kwa historia nzur
@DeniseKarafuli-fn2qb
@DeniseKarafuli-fn2qb Месяц назад
nashukuru sana kwa mafasirio zaidi ubarikiwe na mwenyezi Mungu
@Charitémapendo-c3j
@Charitémapendo-c3j 26 дней назад
Asante mutu waMungu. Nisaidie n'a shairi ndani ya biblia. Ambako wana zungu muzia vifo vya mitume. Kwelihii ina nijenga kiroho.
@PeterKaroli-m7i
@PeterKaroli-m7i Месяц назад
Nimeipenda sana
@DaudiMtewele
@DaudiMtewele Месяц назад
Mungu akubaliki sana
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 Месяц назад
Watumish wa Sasa ni mteremko tu yaan hawana hofu ya Mungu wanamiliki mpaka ndege raha sana
@ElizabethMedard
@ElizabethMedard Месяц назад
Ubarikiwe sana
@ISSACKNTACHO
@ISSACKNTACHO Месяц назад
Ameeeen,nmebarikiwa Jumapili hii na habar tam
@conceptarann
@conceptarann Месяц назад
Ni kweli ubarikiwe sana
@DodomaNebrix
@DodomaNebrix 2 месяца назад
Asante kwaku ihuisha imani zetu kwa kutukumbusha maisha ya mitume wetu🙏
@MichaelIbrahimu-cr4fl
@MichaelIbrahimu-cr4fl 2 месяца назад
Amina kwakua mapenzi ya MUNGU yametizwa kwa upendo wake yeye
@juliuskubai9294
@juliuskubai9294 Месяц назад
I need this
@JosphatJohana
@JosphatJohana 2 месяца назад
amen ubarikiwe sana
@mulwalivu5778
@mulwalivu5778 Месяц назад
Ee babaMUNGU wa MBINGUNI uturehemu MILELE dhambi zetu amen
@Janetmoraa-t8f
@Janetmoraa-t8f Месяц назад
Sorry ni judas nice story be pleased ❤❤
@ChristinaMaganga-i3u
@ChristinaMaganga-i3u 2 месяца назад
Asantee barikiwa sana
@amanimakombe7141
@amanimakombe7141 2 месяца назад
Amina mtumishi wa Mungu
@EvangelismTv-n4i
@EvangelismTv-n4i 2 месяца назад
Be blessed servant of God
@DirielMariel
@DirielMariel 7 месяцев назад
Nice illustrations in deed I love your wonderful work❤😊
@LeoncCosmace
@LeoncCosmace 27 дней назад
Amin
@GeorgeShirima-h9m
@GeorgeShirima-h9m 2 месяца назад
Mungu mwenyewe atuimarishe ktk imani yetu
@HatangimbabaziSenzoga-f9i
@HatangimbabaziSenzoga-f9i Месяц назад
God bless you
@dunstankihaa2383
@dunstankihaa2383 Месяц назад
Nimebarikiwa sn na historia hii
@Stephano-x2b
@Stephano-x2b 2 месяца назад
Amina
@brotherdaniel2112
@brotherdaniel2112 3 месяца назад
Amen amen glory be to God for rever
@madamneema7626
@madamneema7626 Год назад
AMEEN SANA🙇🙇🙇🙌
@CatherineLubela-sb1fb
@CatherineLubela-sb1fb 2 месяца назад
Amina saana
@RastaSuma
@RastaSuma Месяц назад
Huu ni uongo na mapokeo wanaoaminishwa wakristo baadaye wanasema amina,mmmm someni
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 Месяц назад
Pole
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 Месяц назад
Amina❤
@isaackmwakapala8663
@isaackmwakapala8663 Месяц назад
Amina.
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 2 месяца назад
Eee yesu utuhurumie
@joshuaJoshua-b7y
@joshuaJoshua-b7y 2 месяца назад
God is everything
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 2 месяца назад
Watu wa mungu tuiombee yerusalem alioililia yesu. NA ISRAEL KWAUJUMLA
@damasmayanja2930
@damasmayanja2930 Месяц назад
Huu ni ujinga na upuuzi wa kiwango cha mwisho
@damasmayanja2930
@damasmayanja2930 Месяц назад
Kwani unajua aliililia kwa Sababu aliipenda? Aliililia kwa Sababu wokovu ukifika kwake na ukaikataa na hasira ya Mungu ya kukataaa wokovu ilishuka juu yake Mji ukavamiwa na watendaji na watesi wake ukaangushwa vibaya mnooo hata sasa.
@NatanaelKilenga
@NatanaelKilenga Месяц назад
Ameni ameni
@baltazaljohn9958
@baltazaljohn9958 Год назад
Amina
@MeresianaJacobo-o5u
@MeresianaJacobo-o5u Месяц назад
Meresiana jacobo muungu aibrik kaz ako
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 Год назад
Amen
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад
SyoMitumewaYesu.niwanafunzi.wayesu.Yesu.mwenyewe.ndye.MtumeWeVipi
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 месяца назад
Ni wanafunzi ambao walikuwa mitume baadaye.. Yesu aliwatuma ulimwenguni kuihubiri Injili.
@frankchipasura1814
@frankchipasura1814 Месяц назад
NI mitume wa Yesu, waisilamu bwana, mnadanganywa Sana, Yesu alikuwa na mitume mmojawapo NI Paulo, biblia ilianza kuandikwa kabla ya vitabu vyenu
@protv2627
@protv2627 Месяц назад
Vipi kuhusu stephano
@FranciscoOresteBernabé
@FranciscoOresteBernabé Месяц назад
Aminaa😢
@chrispinuswekesa8093
@chrispinuswekesa8093 Месяц назад
.Amen 😅
@felicianmapunda856
@felicianmapunda856 2 месяца назад
Hii historia inapatikana kwenye vitabu vya kanisa katoliki nyinyi mmekopi kutoka kwao?
@jonasjackson1056
@jonasjackson1056 Месяц назад
Kwan kuna ubaya kushare na kujifunza historia ya mitume au hii historia ipo kwaajili ya watu fulan au din fulan..? Hapan kila mmoja wetu anahitaji kujifunza haya haijalish yanapatikana wap
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 Месяц назад
The masonic bible inayo mengi zaidi ya haya
@JustusNgonyo
@JustusNgonyo Месяц назад
It is the way in world there is war victory to heaven fight to heaven
@Charitémapendo-c3j
@Charitémapendo-c3j 26 дней назад
Kweli hizo shairi kumi nambili zavifo vyamitume vitani Saidia. Mimi ni mkongo mani. Naishi Kivu ya kaskazini. Yani Nord-Kivu.
@shanetv4894
@shanetv4894 25 дней назад
Nitafte what's app 0626630162
@jk7445
@jk7445 Месяц назад
Ni wayahudi si wazugu
@jamesshirimo
@jamesshirimo 2 месяца назад
Thanks
@alfoncekasanyi6584
@alfoncekasanyi6584 Месяц назад
Unaposema alizaliwa mwaka wa kwanza baada ya Kristo wakati huyo mtume alifanya kazi na Kristo Naomba ufafanuzi hapo sijaelewa
@tevelamayaJr
@tevelamayaJr Месяц назад
mfano, mmoja alizaliwa 2020 na mmoja alizaliwa 2021. hawa wote watakua kwa lika moja na uwezekano wa kufanya kazi kwa pamoja ni mkubwa.
@peterkolam8193
@peterkolam8193 29 дней назад
Baada ya kristo, Haina maana baada ya Yesu kuondoka Bali baada ya Yesu kuzaliwa na nyakati zote. Yes, alianza kazi akiwa na Mika 30,lakini je kunayakati zilianza kuhesabika katika kipindi flani hata kabla ya kuzaliwa au alipozaliwa ndio ikawa zama baada ya kikristo?
@judithnzisa-ii7kg
@judithnzisa-ii7kg 28 дней назад
Ni marika
@pizzarofeint1000
@pizzarofeint1000 17 дней назад
Yesu alizaliwa miaka mi3 kabla ya mwaka wa 2000 kutimia ili kuanza kuhesabu mwaka 1 kwahiyo akisema waliozaliwa mwaka wakwanza baada ya kristo anamaanisha alizaliwa miaka mi3 baada ya yesu
@MedronundersonMkuyu
@MedronundersonMkuyu 2 месяца назад
Wazungu walitulubuni sana hakuna Cha yakobo Wala nani niungo tu wawazungu
@jaffarmohamed6859
@jaffarmohamed6859 Месяц назад
Mitume ama wanafunzi
@peteruzia8313
@peteruzia8313 16 дней назад
DINI ILIANZIA AFRICA NA YESU ALIKUWA MTU MWEUSI HYO YOTE TUNAYOIONA NI MICHAKATO IMECHAKATWA NA WAZUNGU WAKACHUKUA MICHOLO YOTE WAKAENDA NAYO WAKAICHAKATA HALAFU WAKATULUDISHIA
@EdwinKabasa
@EdwinKabasa 2 месяца назад
Lakin ata sasa asema Bwana
@officials.r.k5493
@officials.r.k5493 2 месяца назад
So wote walikua wazungu?
@AlfonceGabriel
@AlfonceGabriel Месяц назад
Wote ni wayahudi ndimaana ni wazungu
@mjeshimsofe9730
@mjeshimsofe9730 Месяц назад
Walikuwa weupe kumbe
@mosesmbeke6137
@mosesmbeke6137 2 месяца назад
Umejitahidi sana but ilitakiwa uainishe kwamba picha hizi sio halisi
@JonasMathias-s6m
@JonasMathias-s6m 2 месяца назад
Kwani ninyi mnafuata mafunzo au picha,je miaka elf2000,iliyo pita kulikuwako,na kamera hazikuwepo,ila walikuwa na technolojia ya uchoraji tu,wa sula za manabii,HIVYO kwakutumia ucholaji unaweza pata picha ya mtu alivyo kuwa,
@DanielMwakalinga-d2n
@DanielMwakalinga-d2n 2 месяца назад
Yaan wabongo ni shida mradi tu akosoe​@@JonasMathias-s6m
@MwalindeJackson
@MwalindeJackson Месяц назад
Kwanini huku muelezea mtume aitwaye matia aliye chukua mafasi ya yuda?
@MussaBuppuna
@MussaBuppuna Месяц назад
Mbna wote ni wazungu ndo kusema kizazi Cha wau weusi walikuwa wap , hakika tunapigwa vibaya sana
@LauMagwaja
@LauMagwaja Месяц назад
Nikwel mungu aliwatuma mitume wake kwenye mataifa ya watu waliotenda zambi nying nakupitiliza kaka ona mpka leo mataifa yaliopita mpk leo wanachangamoto misr nabii musa , pastina nabii mohamed na yesu nazalet kaka
@josephatmwema561
@josephatmwema561 Месяц назад
Walikuwa weusi wote hata Yesu. Raisi wa Rassia aliseme
@clintonmwaisaka-zd7dh
@clintonmwaisaka-zd7dh Месяц назад
Kwani wana israel ni weusi nchi tofauti na israel tuliitwa mataifa na hao ni weupe sababu ni kutoka nchi ya israel
@Njia-ya-Haki2007
@Njia-ya-Haki2007 Месяц назад
Mitume wote walikuwa watu weusi hamuna hâta mmoja aliekuwa mzungu
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 Месяц назад
elewa maana ya chimbuko, rangi sio usawa wa ufalme wa Mungu ila ni nani amekusudiwa awe nani
@ChrismasaweChris
@ChrismasaweChris Месяц назад
Na hii ndio dhiki kuu msijidanganye kuwa kuna dhiki kuu nyingine
@Janetmoraa-t8f
@Janetmoraa-t8f Месяц назад
Kwani mbona najua petero alijinyonga inakuaje tene kusurupiwa😢
@AgnessMpanduka-l5g
@AgnessMpanduka-l5g 24 дня назад
Petro hakujinyonga alisulubiwa miguu juu kichwa chini. Alie jinyonga ni Yuda Iskalioti Alie msaliti Yesu.
@juvenalMuyomba
@juvenalMuyomba Месяц назад
Kwanini sehem walo uliwa mitume wayesu mbona ndio inchi tajiri leo nani wakunijibu swali hilo?
@ramahzedon6688
@ramahzedon6688 Месяц назад
Utajir wa Nchi unapimwa na nn? Unajua kuwa bara la Africa ndo bara tajir kuliko yote dunian na Ndo bara kubwa kuliko yote dunian?
@evaristoaidan2690
@evaristoaidan2690 2 месяца назад
Sijaelewa Petro alizaliwa kabla miaka mingap ndipo alizaliwa kristo?
@Charitémapendo-c3j
@Charitémapendo-c3j 26 дней назад
Kweli mimi ninge tamani kiongozi unitumiye Misha hiri hizi ziko wapi ndani ya Biblia. Maana kwangu itanipa kitu kingine rohoni mwangu.
@florianmjwahuz2710
@florianmjwahuz2710 6 дней назад
Ndugu siyo yote yameandikwa ili mpate kusadiki yangeandikwa yote hicho kitabu kisingebebebwa ndiyo maana kanisa katoliki linatumia biblical na mapokeo maana mapokeo yanaeleza upana na chimbuko
@KAIPAAA3211
@KAIPAAA3211 Месяц назад
Hauji mbona unaweka picha za watu wenkhundu wakati hao wote walikuwa watu weusi
@nelsonamani9489
@nelsonamani9489 Месяц назад
Yakobo nae alikatwa kichwa
@SelinaDorcas
@SelinaDorcas Месяц назад
Mbon mm najua mitume wa yese ni wale wazee ishirin n wanne..hao sio mitume ni wanafunzi wake
@userKAZIEYENDELEE
@userKAZIEYENDELEE Месяц назад
suwala linakuja hivi kwa nn wanafunzi wa yesu wengi wao wameuliwa au kuuwawa . walikuwa wanafundisha kinyume na yesu mwenyewe na kumsaliti
@enockmasigwa
@enockmasigwa Месяц назад
Walikuwa wafundisha kulingana na mafunzo kutoka kwa Yesu ila wale waliokuwa wanafunzwa hawakutaka ukweli kwa maana uliwapa vikwazo kinyume na yale waliokuwa wakitenda
@Jackline-gb1vc
@Jackline-gb1vc Месяц назад
Walifundisha vyema ili kuleta wengi kwa Yesu ila wakapata upinzani mkubwa.
@emmanuelmayila5700
@emmanuelmayila5700 25 дней назад
Mtumishi palestrina unayoisema sijawahi kuisoma popote kwenye maandiko ya biblia
@richardmugacostantine2791
@richardmugacostantine2791 Месяц назад
Uongo mtupu puzieni
@MorrisGitonga-v2h
@MorrisGitonga-v2h 6 дней назад
If Jesus is with as all,I can't see any black among them?
@abdoumadiousseni4835
@abdoumadiousseni4835 Месяц назад
Yesu alikuwa na mitume kweli nynyi akili zenu sema wana fudzi
@frankchipasura1814
@frankchipasura1814 Месяц назад
CHIZI wewe, mwezi MCHANGA
@PAULVICENT-ne5gh
@PAULVICENT-ne5gh Месяц назад
Amina
@Ester-f8d
@Ester-f8d 2 месяца назад
Amina🙏
@EnesiaMwagala
@EnesiaMwagala 2 месяца назад
Amen 🙏
@NatanaelKilenga
@NatanaelKilenga Месяц назад
Ameni ameni
@EdithaMethod-v6c
@EdithaMethod-v6c 2 месяца назад
Amina
@EnesiaMwagala
@EnesiaMwagala 2 месяца назад
Amen 🙏
@christophermlwilo9185
@christophermlwilo9185 5 месяцев назад
🙏🙏
Далее
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн
HISTORIA YA WIMBO MWAMBA WENYE IMARA
4:21
Просмотров 34 тыс.
HISTORIA  HADI KIFO CHA MTUME PAULO
4:25
Просмотров 6 тыс.