Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi