Тёмный
No video :(

VITU VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO | DALILI ZAKE | DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO 

EastAfricaRadio
Подписаться 508 тыс.
Просмотров 47 тыс.
50% 1

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
#OngezaBando

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@enezaelinnko-gr5cp
@enezaelinnko-gr5cp 4 месяца назад
Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 4 месяца назад
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Год назад
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
@user-gy1lb9fo2b
@user-gy1lb9fo2b 11 месяцев назад
😂nimecheka
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 месяцев назад
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
@BintShaban
@BintShaban 17 дней назад
mimi nimeelewa kasema mafuta ya nazi kijiko cha chakula asubuh na jioni kila sikuvila kwa muda gani ndo najiuliza
@hatmanjema
@hatmanjema 11 месяцев назад
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
@user-ky9be8mp5i
@user-ky9be8mp5i 8 месяцев назад
NAMBA Yake Kuwasiliana
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 4 месяца назад
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
@user-wt1in2kz6z
@user-wt1in2kz6z 5 дней назад
Changanya Asali mbichi na maziwa ya mbuzi mabichi kunywa utapona
@aminachiziamina
@aminachiziamina Год назад
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
@user-qr8fb7kc1u
@user-qr8fb7kc1u 11 месяцев назад
Tutftane jmn😢
@mdathirhassan2187
@mdathirhassan2187 7 месяцев назад
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
@JoyceSama-bo7jv
@JoyceSama-bo7jv 15 дней назад
Watangazaji wapunguze midomo tusikilize
@user-nz3rd2zn6g
@user-nz3rd2zn6g 9 месяцев назад
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
@BethaKululinda
@BethaKululinda Месяц назад
Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.
@aminachiziamina
@aminachiziamina Год назад
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
@danielamosi6871
@danielamosi6871 2 месяца назад
Ulizia huko kwenu kenya
@Jacklin-bt3ic
@Jacklin-bt3ic 3 месяца назад
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
@user-ty1tp8ly8q
@user-ty1tp8ly8q 2 месяца назад
Km mm yaan
@dominickjonas5423
@dominickjonas5423 18 дней назад
Je dawa za hospital atumii
@matildamati9222
@matildamati9222 6 месяцев назад
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
@user-wk8wu3hd9d
@user-wk8wu3hd9d 7 месяцев назад
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
@praxedarutaselw4076
@praxedarutaselw4076 8 месяцев назад
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Год назад
Asali unatumiaje
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Год назад
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
@innocentmmary6441
@innocentmmary6441 10 месяцев назад
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
@archkeels3753
@archkeels3753 9 месяцев назад
Sawa mkuu
@abdallahfurah238
@abdallahfurah238 2 месяца назад
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
@user-up1fi9ce9n
@user-up1fi9ce9n 5 месяцев назад
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
@bmbabaima1506
@bmbabaima1506 Месяц назад
Kuna shida gani tukila maharage maana ndiochakula chetu
@phidonphillibert1504
@phidonphillibert1504 9 месяцев назад
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
@user-zq4yl6zw5j
@user-zq4yl6zw5j 8 месяцев назад
Umepata dawa ndugu
@mohamedsalum6045
@mohamedsalum6045 3 месяца назад
Namba ya simu
@user-up1fi9ce9n
@user-up1fi9ce9n 5 месяцев назад
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
@MudyNkofia
@MudyNkofia Месяц назад
Mundy nkofia 1:25
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 4 месяца назад
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
@piasonsolomon9886
@piasonsolomon9886 Месяц назад
Kijiko cha chai
@SaibShaib
@SaibShaib 5 месяцев назад
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 4 месяца назад
Ndio vidonda hivo
@suniahjerry5985
@suniahjerry5985 Год назад
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
@mahijaspear4648
@mahijaspear4648 Год назад
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
@GiftMaiko
@GiftMaiko 4 месяца назад
Nimeelewa dockita
@mwanakomboomary7609
@mwanakomboomary7609 6 месяцев назад
😢😢
@neemamwijage
@neemamwijage 3 месяца назад
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
@user-du7be4fb6s
@user-du7be4fb6s 7 месяцев назад
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
@user-hm1ml8kh8f
@user-hm1ml8kh8f 10 месяцев назад
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
@user-xg8nc5nb2s
@user-xg8nc5nb2s 7 месяцев назад
Naomba namba ya dokta mwaka
@NasibuJuma-zv5ox
@NasibuJuma-zv5ox 6 месяцев назад
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
@christinajohn3718
@christinajohn3718 Год назад
Asali mbichi unaitumiaje
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n 3 месяца назад
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
@user-fo4gf6my1n
@user-fo4gf6my1n 8 месяцев назад
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
@ShigongoMahuma-jv6hm
@ShigongoMahuma-jv6hm 10 месяцев назад
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
@gracekavishe9823
@gracekavishe9823 7 месяцев назад
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 3 месяца назад
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
@NasibuJuma-zv5ox
@NasibuJuma-zv5ox 6 месяцев назад
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 11 месяцев назад
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
@muadhmirza
@muadhmirza Год назад
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
@margaretbarasa1627
@margaretbarasa1627 Год назад
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
@AngelineSaidi
@AngelineSaidi 2 месяца назад
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
@piasonsolomon9886
@piasonsolomon9886 Месяц назад
Dawa zinapatikana arusha
@rebeccapallangyo
@rebeccapallangyo Год назад
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
@user-ry3fi8vl3c
@user-ry3fi8vl3c 10 месяцев назад
dokta nina asidi nitapata tiba
@Atb300
@Atb300 8 месяцев назад
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
@user-vx8vv8ft2i
@user-vx8vv8ft2i Год назад
Mim vimeisha niasiri sana
@mohammedathumani7639
@mohammedathumani7639 Год назад
Nisaidie dawa
@user-ie1rh2lb5g
@user-ie1rh2lb5g Год назад
Nisaidie dawa
@user-qr8fb7kc1u
@user-qr8fb7kc1u 11 месяцев назад
Tuambie daw
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 6 месяцев назад
Niambie dawa
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 6 месяцев назад
Nisaidie dawa
@VeronicaSisimbi-dv3bn
@VeronicaSisimbi-dv3bn 5 месяцев назад
Mimi tumbo linavuta
@PerisiperisiKingi
@PerisiperisiKingi 6 месяцев назад
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
@user-jn9cx7zh1j
@user-jn9cx7zh1j 5 месяцев назад
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
@user-dm2gn7rb1s
@user-dm2gn7rb1s 11 месяцев назад
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo
@husnasaeed6353
@husnasaeed6353 8 месяцев назад
Nenda hospital kapime
@yeanyaen3663
@yeanyaen3663 11 месяцев назад
Dr.naomba no yako
@muadhmirza
@muadhmirza Год назад
Mimi hd ganzi mkononi
@omanoman4313
@omanoman4313 Год назад
Unatumia. Dawa. Gani. Nijuze. Mwenzio. Nasumbuka
@milkaondimu1684
@milkaondimu1684 Год назад
​@@omanoman4313aki pia mimi 😢😢
Далее
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦
22:33
Как дела перцы?
00:25
Просмотров 55 тыс.
FAHAMU MADHARA YA TUMBO KUJAA GESI.
8:17
Просмотров 8 тыс.
ЭТО мне КУПИЛИ ПОДПИСЧИКИ 📦
22:33