Kafiri ni yule ambaye anapinga imani katika Yesu Kristo mwana wa Mungu... Kwasababu either amedanganywa na ibilisi yaani shetani... Kama ulikuwa haujui ni vyema ukajua imani chanzo chake ni kusikia neno la Kristo... Warumi 10:17 [17]Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo. Mathayo 16:21 [21] Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka. We unasikia chanzo kipi je ni cha kweli au bandia kinafanana na ukweli... Matendo ya Mitume 3:18 [18]Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo. Amini neno la Mungu(Yesu Kristo)..