Ukitaka ujue anaeleweka kwa watu ambao hawajui. Mweke sulle na ndacha ndo uwone. Mazinge alikubali kwa ndacha bado dr sulle anajifanya mkaid. Atabatizwa so mda.
Isaya 9:6 Yohana 1: 1 Yohana 5:20 Yohana 20: 28,29 Warumi 9:5 1Timotheo 3: 16 ufunuo 1:7,8 ufunuo 22:13 Mathayo 18:20 filipi 2:5,6,7 usipoona kuwa Yesu ni basi utatimiza andiko wanaona lakini hawaoni ni vipofu wasikia lakini ni viziwi
Hakika hapo ukweli upo wazi na uongo upo wazi , dr sule anayekusikiliza ili aelewe anakuelewaa vizuri asiyetaka kukuelewa basi , Allah akulipe khery shekh wetu
Jina la yessu sio Jina la mungu nyie wakristo hayo maandiko hamuyaoni mnalazimisha mtu awe mungu mwenyewe anasema ametumwa nyie mnasema sio kweli najiitq mtu mnaamwata mungu
Jamani Hawa watu mnaowauliza juu ya lmani ya Kikristo(NENO) Hawa wako mwilini na sio wa Rohoni. Ni vigumu Hawa kulielewa neno. Mnatwanga maji kwenye kinu. KuLIFAHAMU NENO MPAKA UFUNULIWE NA YESU MWENYEWE.Luka 24:44-45
Mjiulize swali fupi kwanini jina La Yesu lina nguvu mno,na kuonekana na mamlaka sana,msichokijua Mungu ni roho,ila katika mwili utamuona Yesu ambae roho ile inakaa ndani ya mwili,ndio maana halisi ya kusema mimi na baba tu umoja,Mungu ni mwenye wivu ,msichoekewa Yesu alikuwako tangu agano la kale,ila alijidhihirisha katika mwili ili tukombolewe,fikiria angekuja na utukufu ule wa mbinguni wanadamu wangeogopa na kumkimbia.. YESU NI MUNGU MKUU
Unayo taarifa kuwa viongozi wa dini wanatumia nguvu iliyopo nyuma ya pazia? Jina la Yesu lina nguvu namna gani iwapo muhusika atatumia nguvu kutoka kuzimu?
Tatizo munayo munataka Mungu abaki vile nyiye waeslamu munakusudia, Mungu wetu ni umoja na anawo uwezo wakuonekana katika mtazamo tofauti naakabaki anajiita Mungu yule yule , Alikua NENO akajiita yeye ni Mungu, Aliuvaa mwili akajita Yesu-Kristo = Emmanuel Mungu kati watu; akaondoka kimwili akarudi tena kwetu ulimwenguni kwa mutazamo wakisicho onekana kwamacho yakibinadamu akajiita Roho mtakatifu = Roho wa Mungu ambeye ni uyu uyu Mungu mzima. Inginekitu munatakiwa kujua, hakuna angaliweza kuukomboa ulimwengu usipokua yeye Mungu mwenyewe kuuvaa mwili akajiita Emmanuel ambaye ni Yesu-Kristo, manaabii wametabiri ujio wake kama Mungu mwenyewe na mwenye utukufu wote wa Mungu, hakungelikua mwengine wakuikomboa dunia pasipo yeye Mungu mwenyewe sabu sote wanadamu tulihesabiwa kuwa wazaifu mbele ya Mungu, njo kwamana ilibidi Mungu kuuvaa mwili na kuitwa Yesu-Kristo ili kila mwenye atamuamini apate kuokolewa na awe nauzima wa milele, Amen ! Sasa siku nyiye waislam mutatambua ya kwamba Mungu anauwezo wakua na mtazamo kavile jinsi yeye mwenyewe alipendelea njo pale hamuta changanyikiwa kwakujipatia idadi ya wa Mungu.
5:46 Quran, na tukawafatishia, elewe kauli ya wingi katika utatu MTAKATIFU, angekuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja Hana utatu katika nafsi asingetumia hiyo kauli. Yohana 1:1-18Hapo alkuwako neno naye neno alkuwa Kwa MUNGU naye neno ni MUNGU. Huyo neno alifanyika mwili akaja kwetu akakaa kwetu nasi tukauona utukufu. Na wote waliaminilio jina lake alipa uwepo wa kufanyika Wana wa Mungu hao waliozaliwa si Kwa mapema ya mwili... Kasome vzur Bado sana. YESU AKUREHEMU.
Kiru nilichokiona kwaSule ni kwamba, alipenda kumjua YESU KRISTO ili aweze kupotosha ukristo kwa maneno,sasa anawapotosha watu na wengi hasa wale wa upande mwingine maana anatafsiri Biblia kama gazeti la nipashe kumbe anatakiwa awe anapewa tafsiri na Roho Mtakatifu kwa kumfunulia kwenye ufahamu wake sule anatafsiri kwa akili zake na hata sheria za ukoo wa Yesu, sule ametafsiri kiakili tu. Na YESU hajawahi kuwa mwislamu kwa YESU alipokuwa duniani uislamu ulikuwa haupo, uislamu ulianza miaka 600 baada ya YESU KRISTO kupaa mbinguni, hivyo Sule ni mwalimu wa vipofu
Ni kweli kabisa kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na Mungu ni mmoja tuu hakuna mwingine kote duniani na mbinguni,lakini Wakristo tunasema Yesu ni Mungu kwa sababu ya jina lake Yesu kwa maana kutokana na maandiko mengi yanamaanisha kuwa Yesu ni jina lingine la Mungu ambalo Yesu alipewa/alilithishwa na Mungu na ndio maana tunasema Yesu ni Mungu kwa sababu ya jina Yesu,na katika maandiko hakuna mahali Yesu alisema ni jina lake pitia maandiko haya na mengine mengi kuhusu jina la Yesu. Yohana 5 43. Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo. Yohana 10 25. Yesu akawajibu, Naliwaambia, lakini ninyi hamsadiki. Kazi hizi ninazozifanya kwa jina la Baba yangu ndizo zinazonishuhudia. Yohana 17 11. Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. Yohana 17 12. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Yohana 17 6. Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika. 12. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Waebrania 1 4. amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
@@martinmligo302 wewe mwenyew umeliandika umeanza na herufi ndogo Mimi sijaandika jina nime reply Text kwhyo km umeona limetokea jina lako basi ujue ndo ulivyoandika wewe mwenyewe
Unasema mengi ila mwisho wa saa auelewi hata unayo yasema kwa mtu ambaye anajazwa Roho mtakatifu unasikilika kama mtu ambaye anapiga kelele pasipo kuongea kitu. Siyo kila mtu ambaye iko nanehema yakujua ya kwamba Yesu-Kristo ni Mungu njo kwamaana aliambia hata petro siwewe ila ni Mungu kakunulia hayo ili upate ku nitambua. Yesu-Kristo anabaki Mungu wamilele zote ! Ivi nyiye waeslamu nabii gani munajua ambaye alisha wayi kujiita Mungu na akabaki mzima,... Je kama munajua niyeye Kristo atahukumu mwanadamu pia na mu hamed wenu akiwemo sababu gani hamutaki kuelewa kama yeye siyo wakawaida, ukumu ni wa Mungu peke yake nayeye Yesu-Kristo njo atahukumu dunia ivo amuone kama Yesu-Kristo niuyo uyo Mungu Yesu-Kristo mwenyewe amejiita Mungu kati watu, na sababu kubwa ya Yesu-Kristo kusulubushwa ilitokana na yéyé kujiita Mungu nakunyoosha mafarisayo. Yesu-Kristo Kristo jina zote nzuri ni zake yeye ni Nabii mkuu, Yeye ni Mwana wa damu sababu ilipashwa Mungu auvale mwili ili aikombowe dunia akajiita Emmanuel maana yake Mungu kati watu, Akajiita mlango wa mbiguni, Yeye ni Mungu mzima , Yesu-Kristo mwenye alijiita Baba ndani yangu namimi ndani yake kama ulisoma hesabu utafaamu a=b nikusema a ni b na b ni a .
Mungu anakufa?mungu anaomba mungu?mungu anapigwa na viumbe alio waumba? Mungu alienga kumiliya mungu mwengine amuokowe na kifo?alipo kuwa msalabani akamlalamikiya mungu eti.mbone kamuaca? Mungu Hana tabia yakubadiika badiika soma
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA MTU HATAFIKA KWA MUNGU PASIPO KUPITIA KWAKE
Swali LA pili, km Uislam ni dini ya kweli, Kwa nini hauna uwezo wa kujitegemea km dini yenyewe, bali inatafuta uhalali wake kutoka kwenye Ukristo kwa madai mbalimbali: oh Mohammed ametabiriwa kwenye biblia, oh biblia imebadilishwa alafu hamuoneshi ambayo haijabadilishwa, oh wakristo wanaabudu Mungu mitatu, na madai mengi ya uongo na kishetani.
Uislamu hautafuti uhalali wake katika Ukristo .. Kwakuwa; 1) YESU kristo hakuacha imani ya UKRISTO ulimwenguni .. (Bali alikuja kuendeleza ya mitume waliopita kabla yake) 2) Wakristo hawaamini Qur’an, kumpeleka kwenye kitu asichokiamini ni kupoteza muda.. ndio maana tunahoji katika kile anachokiamini 3) Ukiamini katika unachokiamini basi usiwe na nidhamu ya uoga wanapokuja wanaotaka kuhoji hicho unachokiamini
USITUZULIE: 1) Muhammad hajatabiriwa kwenye Bibilia, ametabiriwa kwenye INJILI. 2) "....Tazama, Kalamu ya Uongo ya Waandishi imeifanya Torati kuwa Uongo" .. Bibilia yenu ndo inayosema hivyo, sio sisi 3) Mnasema Mungu ni Mmoja katika Nafsi Tatu .. Ndivyo mnavyotuhubiria kila siku (Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu) ... Hivyo, Msilalamike 😄
Upeo wako ungetuliza kichwa ungemuelew sule punguza mihemko uislam haukuja na muhammad uislam ulikuwepo tngu enzi za ibrahim na kila nabii alikuja na kitabu na muhammad alikuja kuendeleza walipoishia wengne naye alikuja na Qur an kitabu kilichokamilika kilichobeba vitabu vya manabii wengne yaan ni sawa na mtu aliyenunua cm bila charger na yule aliyekuja na cm na charger earphone zake huyo yupo complete
13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Tito 2:13 14 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema. Tito 2:14
Dr-Sulle mimi napenda kumuita Simba Anayejuwa kujipambania na kuipambania dini Yetu ya kiislam-huyu ni Mwalim mzuri | nakupenda sana Dr Sulle ongela Mwalim
Shehe Sulle, anatupanga. Haiwezekani unasema mitume wote wa nyuma walikuwa waislaimu wakati uislamu umekuja miaka zaidi ya 600 baada ya Yesu. Huo ni uwongo mweupe. Yesu ni Mungu full stop. Nikushauri weka effort kubwa kuhubiri uislamu achana na ukristo ambao hauelewi.
@@ramadhanitwahili6837 Tuambie wewe, unayejua maana! Kwanini msijitahidi kuhubiri dini yenu ya uislamu, mnakalia Yesu si Mungu,Yesu hakufa msalabani nk, haiwasadiii badala yake mnauhubiri zaidi ukristo. Sasa hapo Sulle kasoma vitabu vyote vya Biblia.
Dariri za uyu mwalim wenu ninamfatilia sana kwanzia kwa ndacha mpaka apa na hutuba zake zotee anahashilia kuitwa na MUNGU alie hayi kwajili yakazi yake amin
Kwani ikianza Iphone4 na ikifika Iphone14 Hii iphone14 inakuwa sio iphone? Muhammad ameleta full version ya uislam yaan full package ndio maana hakuna Mtume mwengine aliekuja baada yake
wewe ndio mana kama ungekua mwanafunzi mzuli ungesikiliza vizuli harafu ukabaki nakile ambacho ww umekiamini usiwe mshabiki kushabikia watu siku ya mwisho utakua peke yake ndio mana mm nasoma kote na sikosoi chochote kwasababu vitabu hivi wili vyote naviamini ila mwanadam anafanya ya hovyo
Ukisikiliza mafundisho Kama haya utahama reli, Shika Sana ulichonacho...hata Shetani aliwazidi Eva na Kisha Adam kwa maneno pale Edeni hadi wakamuasi Mwenyezi Mungu. Jihadharini na Roho ya mpinga Krisho... Adui 👿 hutafuta elimu Kila Kona ili awe fundi Sana wa maneno, ukimpa nafasi aongee utahisi ni zaidi ya mtu yoyote uliewahi kumsikiliza. Mungu atusaidie...😭
Tatizo dr Sullę unaiponda bible kwamba si kitabu cha Mungu Leo unatumia kitabu hicho hicho kufundishia unapata shida sana mkuuu jambo usilolijua Achana nalo
Nyie mnaelewa au ndio vuchwa fuvu kwan mwanzon amesemaje icho kitabu anchzngmzia yey n injil n bibilia kitabu kishatiwa mikono n warumi ht aelezw vp huwez kuelewa tumia akil sio ubish ndg yng
Yesu ni mungu fungua ,yohana 14:9 kama sivyo fungua yohana 14:6 yesu anasemamimi ndimi njia nakweli nauzima mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi anamaanisha kama huja mkubali yeye kuwa Bwana na mwokozi wako hufiki mbinguni yani wewe utakuwa wa kuzimu kubali kuna maana gani maana ya kumkubali ni kuokoka yani kuwa mkristo ambaye kapata ubatizo wa maji mengi kama alivyo batizwa yeye mwenyewe
@@RedBelt-m2kKatika Biblia, neno “nafsi” limetafsiriwa kutoka kwa neno la Kiebrania neʹphesh na neno la Kigiriki psy·kheʹ. Katika Kiebrania neno hilo kihalisi linamaanisha “kiumbe kinachopumua,” na katika Kigiriki linamaanisha “kiumbe kilicho hai.” a Kwa hiyo, nafsi ni kiumbe chenyewe, si kitu fulani kilicho ndani ya mtu ambacho huendelea kuishi mwili unapokufa. Hebu ona jinsi Biblia inavyoonyesha kwamba nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu mwenyewe
Kabla Yesu hajasema wakujue wewe Mungu wa pekee na wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma, (Yohana 17:3) Kwenye mstari wa 2 yaani (Yohana 17:1,2) Yesu anamuambia Baba Yake unitukuze katika utukufu niliokua nao kando yako kabla ya ulimwengu haukuwako, sasa ujue Yesu ni zaidi ya nabii au zaidi ya mtume
We we sule, humjui Yesu hata kidg. Hata Mungu wa kweli humjui. Unajichanganya kwa mambo mengi. Issa wa Korani sio Yesu, huo ni upotoshaji wa kishetani. Allah sio Mungu, Allah ni mpinzani wa Mungu.
Uyo yesu wa qur ani ndio huyo wa biblia mana waislamu wamemtowa katika injili na kinacho waponza nyie kusoma biblia yenye historia ya yesu hamusomi kitabu cha injili mnasoma akili za mapapa wa uingeleza subirini toleo jipya la biblia muingiziwe na kanuni za ushoga 2025
@@abdulrazack9577 Kasome na hii najua hamuwezi fundishwa mnafichwa tu, mnachofundishwa ni chuki tu dhidi ya wakristo Reference; sunan an-Nasa'i 4061 In book reference Kasome hiyo mlishaambiwa mkibadili dini muuliwe It was narrated that Ibn A'bbas Said "The Messenger of Allah (SAW) said: Whoever changes his religion kill him
@@abdulrazack9577 Acha ubishi aya zipo kibao mnafundishwa chuki juu ya wakristo na ndio maana toka mpo madrassa vitoto vidogo vinachukia wakristo, au husomagi quran
@@Naw89 Endeleeni kumsikiliza huyo Sheikh wenu aliowadandanya kwamba kuna mlango wa kwenda mbinguni uko Macca na India. Njia ya kwenda mbinguni ni Kristu pekee hata Quran yenu inalitambua hilo... Shida yenu wengi ni Waislamu wa Eid tu...
Braza acha kua mjinga kuelewa biblia ni very easy kwa sababu imeandikwa kwa kiswahili na kiswahili kinaeleweka vzur. BIBLIA iyo iyo unayosoma yesu mwenyewe anakanusha yeye sio mungu, wewe bado unafosi mungu, huo ni msiba😢😢Polee sana ndugu yng mungu akunusuru utumie akili yako kujua ukweli katka iyo iyo biblia unayosoma ukisoma kwa akili zko timamu utajua ukweli kama yesu si mungu.
Endelea kufuata dini kipofupofu bila kutafakari, endekeza wajuu wanaolenga sadaka yako kwa kukumbaza na kukuambia lazima uwe na roho matakatifju, utachelewa, na kuna siku utang'ata kidole kwa majuto makubwa.
Mathayo 11:29 - Chukueni nira yangu, mkajifunze kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika. Huyu Sheikh anadanganya kama alivyodanganya kuna mlango wa Mbingu uko India. Pili Yesu Kutairiwa ni kutokana na tamaduni za Kiyahudi ilikua lazima Yesu aishi tamaduni za kiyahudi, maana Yesu alikuja Duniani kama mwanadamu kweli.
Kuongezea kwenye mstari uo uliotaja 11.29 Chukueni nira yangu mkajifunze kutoka kwangu. Mimi ni mwema mnyenyekevu katika roho. Kwa maneno hayo tu Yesu anasema yeye ni mwislam. Ndugu neno Unyenyekevu ni kiswahili kwa kiarabu ni Islam. Ivyo yesu yeye ni mwislamu kwa sababu yeye ni mnyenyekevu.
Yohana 21:25 NEN Lakini kuna mambo mengine mengi ambayo Yesu alifanya. Kama yote yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa. Amen.Mt 22:29Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
😂😂kweli iman upovu yani mnaongea vitu ambavyo aviingii akilini sema ata akili ya darasa la 3 c mnashindwa kuitumia. Umesema Yesu ni roho wa mungu. Ili ni neno WA..Maanake kuna Mungu. Mnaongezea Yesu ni mwana wa Mungu..maanake ni vitu viwili tofauti Hapo hapo tena Yesu ni mungu..😢😢Jaman kishwahili ni lugha nyepes sana aitaji mathematics.😅😅
@@superhemed7590Wewe nawe ndio hujui kitu kwani hata quran sianatambua kuwa Mungu ni roho, acheni kufundishwa na hawa walimu someni wenyewe wanawapoteza 😂
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi mungu wa kweli n mmoja2 wao makafir waache wangaike2 mpaka moton hao wakristo hawaelewi sijui hawa wana nn jameni njooni katika haki ambayo n dini ya uislam
Umesema mitume wapo 25,sasa kwa nini kati ya hao mitume wote YESU ndo atengenezewe mazingira? Kwa nini YESU??? Na si hao mitume wengine??? Mnaongea msichokijua na wala hamtajua. Msije mkaongoka Mungu akawaponya
Mungu WA kwenye biblia ni Baba mungu WA kwenye Quran sio baba mbona sulle anamfananisha Allah Hana mwana kwaiyo hawezi Kuwa Yehova milele na issa sio mwokozi Yesu ni mwokozi yeti Yesu ni mwislamu uongo uliokwenda shule kutoka kwa ibilisi
Yesu yu hai mpa saiv anafanya kazi ukimkataa huna Mungu 3:9-19 ,36 Yesu ni Mungu ,alifanyika mwili ili kutukomboa baada ya Adamu kutuingiza dhambin, Yesu alikuja kufuta au kukosoa mapungufu ya Adamu Mathayo 4:1... Ukimwamin Yesu kunakitu unapewa ili umwabudu Mungu katika Roho ma kweli Mwisilsmu huwezi elewa kazi ya Yesu hata maandiko me gine huwezi kuyaelewa mnahitaji msaada waislamu Huna Yesu huna Mungu ,Kumwamin Yedu laxima ubarizwe, msijifariji eti tunamwami,Yesu. Hujabatizwa hujamwamin manabyake umemkataa Yesu Umemkataa Mungu
kwa hiyo Mungu kamshindwa shetani ambae ndio tatizo kaamua kuja mwenyewe kumuokoa mwanadamu? Mungu wa namna gani huyo?Lengo la kumuumba mwanadamu na kumleta duniani ni nini? kazi na lengo la kuumbwa shetani nini ?
Shebby hii topic huwezani nayo huyu bwana atakudangaya na unaitikia tu.... ungemwitia Shehe Omar au Mchawi Hassan kutoka Kigoma ....hawo ndio wanaelewa uislamu na ukristo. Kwanza Yesu ni Mungu...na Yesu na issa bin maryam ni watu wawili tofauti kabisa. Without lies Islam dies!! Yohana 17:3 Yesu anaongea baada ya kufanyika mwili- akawa binadamu, mwana, mtume nk... Kwa hiyo 17:3 inataja Mungu NA YESU uliyemtuma kwa uzima wa milele....mitume ni wengi.....lakini aya inasema Mungu na Yesu. ..... sio Mungu na Ibrahim, Mungu na Musa au Mungu na muhammad.
kwenye biblia Mungu kamwita yesu n mwanae na pia yesu mwenyewe kakubali , na Mungu alimuita Musa nabii, elia alimuita nabii. ila huyu kamuita mwanaungu manake n zaidi ya nabii , ila wewe unasema haiwezekani n sawa ila haiwezekani n kwasababu sio kwamba iko hvy ila n kwasababu Quran yenu imeandikwa hvy kama ingeandika vyengine mngeamini pia.
@@SaidFupi biblia n biblia na Quran n Quran tusichanganye mambo sisi Mungu wetu haoni sababu yakuwadanganya watu hatujasahau nyinyi mmesema yesu hakusurubiwa ila Mungu alimuweka m2 mwengine asurubiwe badala ya yesu!!! Je kwann Mungu awadanganye watu au amtoe yule m2 afe wakati hana hatia !!! Mnasema yesu alimuomba baba au aliwaombea watu kwa baba sawa ss tunasema yesu n Mwana wa Mungu je Allah wakwenye Quran hakumuombea Muhammad ?? Kamwombea kwanani kama yeye ndio Mungu !!! Acha kusema maneno ya biblia n Quran bwana kwasabb sio kweli kunautofauti Mwingi sana !!!!!
Hakuna matumizi ya majini mzee. Sijajua ww majini unawachukulia je lakin majini na sisi wote ni viumbe tumeumbwa na mungu mmoja. Ila wao wamepewa uwezo wao binafsi na mungu ametukataza kushirikiana nao. Ivyo ukiona mwislam yoyote anayetumia majini uyo ni mwislam jina. Quran ijaacha kitu mzee ata viumbe vyote unavyojua ww ata sisimiz kaongelewa katka quran ivyo majini nao ni viumbe nao wameongelewa. Aimaanishi waislam wanashirikiana na majini iyo dhana potofu ondoa kichwan mwako
@@impeccablerito7922 Ni kweli Majini yameumbwa na Mungu. Unataka nikuwekee link hapa Dr. Sule Akiongelea faida za kuwa na mahusiano na majini, ambapo unaweza kuyatumia kwa mambo mazuri kama kukupa mali, Sule anasema Majini yana hazina kubwa binadamu hatufiki hata robo kwa utajiri walionao majini. na unaweza kuyatumia majini vibaya kufanya mambo maovu kwa wengine. Kwahiyo kichaka anachojificha ni kwamba yeye anatumia majini kwa nia njema
@@impeccablerito7922Allah sio Mungu wa kweli ni muongo na mtume wake ndomaana wakristo tunawakatalia Allah na mtume wake marehemu Muhammad mpinga kristo
Na ndio maana yesu alikuwa akifundisha kwa mafumbo na ndio maana imeandikwa watasikia lakini hawataelewa Mungu awafumbue macho ya roho ili waweze kuona ukweli
Quran..Mungu anasema akupata tabu kuumba mbingu na ardhi pamoja na viumbe vyake, wakristo wanadai yesu ni mungu kwa sababu ya nguvu na uwezo wa maajbu aliopewa yesu na njia ya kuletwa kwa yesu bila baba.Wanasahau mungu alishafanya maajabu ayo kwa Adam ambaye hana baba wala Mama ila yesu anaye mama. Kwa mantikii kwanin msiseme Adam ni mungu kwa sababu ajazaliwa ila yesu kazaliwa. Wakristo mnatakiwa mfungue ubongo wenu mjue kuna mungu na wala yesu sio mungu bali yesu ni nabii..Na waislamu wote atumpingii yesu tunamwamini kama nabii ila sio mungu
Kinachomfanya Yesu kua Mungu sio kwa sababu ya kuzaliwa bila baba, wala si mayendo mengi ya miujiza aliyoyafanya noo, Kinachomfanya kua Mungu ni kwa sababu yeye ni Mungu kabla hata ya kabla yenyewe kuwepo.
sasa nawewefunguka pia yesu s nabii ni mwana wa Mungu!!!! halafu unaanza kwakusema Quran inasema sio biblia inasema hiyo inamaanisha huamini kama yesu n mwana wa Mungu kwasabb Quran imekataa na ingekubali wewe pia ungeamini sindio??
Lazima ujue nini maana ya njia unazunfumzia dini hata kweli haimo moyoni mwako umebeba sauti za wageni wasio jua kweli watakufuata ila sio wanaoonzwa na Roho Mtakatifu
Mungu ametupa akili tumujuwe Mungu wa kweli Sasa nyie endeleeni kusinzia usingizi wa mauti. ISAYA 9 6 MAANA KWA AJILI YETU MTOTO AMEZALIWA, NA UWEZA WA KIFALME UTAKUWA BEGANI MWAKE, NAYE ATAITWA JINA LAKE, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE MFALME WA AMANI. AMEN!!!❤❤❤
Joh 17:5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako. Dr. Sulle, unaposoma Biblia usitumie mstarimmoja.... Mbona huo mstari wa 5 hujawasomea hawa watu . 🥲
Kuna wkt nilikuwa na maswali kuhusu Yesu na Mungu ikanibidi niombe na hata kufunga sana ili Mungu ajidhihirishe kwangu na ninamshukuru alijidhihirisha kwangu kupitia maono na hata Mikasa ya maisha yangu to the point that hata malaika aje aniambie Leo hii Yesu si Mungu ama yeye ni binadamu wa kawaida siwezi kumwamini jamani wapendwa majibu yetu hayapo kwa viongozi wa kidini ukitaka kujua ukweli mtafute Mungu kwa bidii atajidhihirisha kwako yeye ni mwaminifu
Niko na maswali mengi yasiyojibika lkn itoshe kusema hivi, Yesu ni Mungu wa kweli ndo maana anafanya kazi hadi leo, kwa maneno mengine anajitetea na kujipigania mwenyewe, tofauti na Allah ambaye anatetewa na kupiganiwa na waislam duniani kote. Ukristo ni udhihirisho wa upendo na nguvu za Mungu aliye hai bali Uislam ni udhihirisho wa chuki, hasira na nguvu za kibinadamu.
Yesu hawezi kujitete ndiyo maana alipigwa sana na kugongwa misumali na kufa nakuzikwa kwa mujibu wa maneno yenu ;Huyu atakuwa ni Mungu gani?Kwanza kumlinganisha Allah na Yesu hiyo ni dharau ,Allah ndiye Mwenyezi Mungu aliyemuumba Yesu.
@@ramadhanwilbard8196 ndugu yangu ogopa sana kitu usichokijua na ukaamini unavyoamini wewe mimi naweza kukuuliza je? Umewahi kusoma biblia? Na je? Unajua dhumni la kuja na kufa kwa kristo msalabani? Bila shaka hujui, Busara ni kuwa ujifunze pande zote na kuuliza maswali kwa lengo la kujifunza Acha kuridhi Dini mtafute Mungu wa kweli na pia kama Unaona yesu ni wa kawaida je? Kazi alizozifanya kuna mtume au Nabii yeyote amewahi kufanya hivo? Je? Unamjua Allah!
Dr Sulle anasema Luke 4:16 kwamba yesu aliswali msikitini ,...Je sinagogi ni msikiti????..kama yesu alienda sinagogi siku ya sabato mbona waislam mnaswali ijumaa??
Walimu wa kiislamu hutumia luka 4:16 kuhalalisha dini yao au kudanganya eti Yesu ni muislamu....ukisoma aya ifwatayo ya 17 inasema Yesu alipewa kitabu cha nabii Isaya asome.....swali ni..kitabu cha nabii isaya kinapatikana kwa Biblia au korani? Without Lies Islam dies!!
"Utukufu Ule ulionipa".. 🤔 ... Aliempa Utukufu YESU ni nani..!??? 😃 .. (John 17:22) I have given them the glory that you gave me, that they may be one as we are one. (One in Purpose) Umeelewa Mzungu..!??? 😂
Weye kama mwalimu wakislamu kusema yesu si mungu haimufanyi kutokuwa mungu kwasababu yéyé alikuwako kablayako nausi sahaukwamba utahukumiwa n'a huyohuyo unayesema simungu
Watuwengne bwana yesu alizaliwa bila mapenzi yamtu namtu we we wazaziwako wamejamiana ndio ukapatikana unasemaje unafanana nayesu jaribuni kusoma vitabuvyamungu kuliko kukosoa nawakati hamjui lolote yesu nimungu asilimia 100 nanimwanadamu asilimia 100 soma yohana 14:9_ nakwendelea utajua ukwer maswali unayo yauliza Leo ndio utajua naujue yesu amekuwapo tangu kuumbwa kwadunia nakabra ya Ibrahim
Mungu aliuvaa mwil ili aupeleleze ubinadamu maana toka amemuumba mwanadamu alikua anawaua wakikosea lakini toka katua duniani ndioleo tumepata Uhuru wakumuomba mungu bila kumtumia mtu yoyote maana zamani hakukua nauwezo wakumuomba mungu bila kutuma kwamtu
@@shirrangimedia4570 hii ni uwongo na umesema nakuamini kitu huna ushahidi nayo wala ukijui pengine2 umefunzwa hivyo na unashikilia Tu Ivo pole Sana lkn chance bado ipo
Dr Sulle je ushapata kusoma kitabu cha Yohans 21:25 - kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu ambayo yakiandikwa moja moja nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vitabu vitakavyoandikwa. (Kwa hivyo Wacha porojo za ati Yesu Kristo kuanzia miaka kumi na mbili hakufanya kitu mpaka 30) Rudi shule ukasome vizuri.
Allah akujaliee kheri na baraka sana na akukingi na shari zote za duniaa akupe afya njema tuendelee kuneemeka na elimu yako dr.sule wewe ni mwalim mzuri alhamdullah. Na mungu akujaliee watoto wako wapate elimu kama yako ikiwezekana wakuzidi kabisa zaidi yako aminiiii😊
SHEIKH SAMAHANI: Eti kuna ukweli Waislamu hatupendi kuusikia. 7:52 Kwanza Paulo hakuandika Waraka kwa Waebrania. Kingine mheshimiwa Sheikh: kubalini Q'uran ilikopiwa kutoka kwenye Biblia na walikopi walikosea vitu vingi. Vitabu vya kwanza kwenye Biblia zimeanza kuandikwa karne ya 13 BC, Q'uran imekopiwa kutoka kwenye Biblia Karne ya 6 AD tena kubadilisha vitu kibao. Mohamedi katuambia tukikwama popote tuwaulize waliowatangulia ndio maana mtasoma Biblia sana tu, Wakristo hawaangaiki na Q'uran. Yesu alikuwa myahudi halafu alikuwa mwislamu!😂😂😂