Тёмный

HATIMAE PROPHET IPM AKUTANA NA SHEHE DR SULLE,AJIBU KWANINI ALITOKA KWENYE UISLAM!KIKAO KIZITO 

Davistar Media
Подписаться 241 тыс.
Просмотров 142 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@DadiriRamadhani
@DadiriRamadhani 5 месяцев назад
Mimi ni muislamu Niko Marekani Dr sule automatic computer 🖥️ machi mashaallah
@mylifemyhistory3609
@mylifemyhistory3609 4 месяца назад
Tuongee mzwe
@sadaissa3974
@sadaissa3974 Месяц назад
maashaallah dct mungu akuweke uzidi kutusomesha tusiiyo yajua inshaallah
@MussaLaizer-te4ph
@MussaLaizer-te4ph 5 месяцев назад
Mimi ni mkiristo Ila itabidi ukweli ujitenge na UONGO Dr sule ni mwalimu mzuri Sanaa
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
Big up Brother.. Open minded Bro. 🖊 .. uko vizuri. MUNGU atuongoze sote
@Kachuba-w9p
@Kachuba-w9p 5 месяцев назад
Endelea kusoma bible utajua ukweli
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 5 месяцев назад
mbona nahisi kama wewe muislamu?
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
@@Kachuba-w9p Ukweli gani unakusudia kaka..!???
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
@@herimornchriston6083 Kwasababu ya Jina lake hapo au.‽?! (Mussa Laizer) ..
@alaminomary9586
@alaminomary9586 5 месяцев назад
Dr , unaeleweka sana , maana unajibu kwa facts na reference , fundi sana sheikh Sule Masha Allah
@umdtv2749
@umdtv2749 4 месяца назад
Ukitaka ujue anaeleweka kwa watu ambao hawajui. Mweke sulle na ndacha ndo uwone. Mazinge alikubali kwa ndacha bado dr sulle anajifanya mkaid. Atabatizwa so mda.
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 5 месяцев назад
Maa shaa Allah. Allah akulipe kheir Sheikh. Elimu nzuri na wamekuelewa, hawatokuamini tu, Allah awazindue
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 18 дней назад
❤ Jazakallahu kheir sheikh Dr Suleiman
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 5 месяцев назад
Nilikuwa nakutazama Dr Sule ..vile unavyotetemeka mungu kufananishwa na kiumbe chake alivhokiumba❤
@hamidadaud4797
@hamidadaud4797 5 месяцев назад
SEMA NILITAMANI DR SULLE AFANYIWE INTERVIEW NA DAVISTA wanao nisapot like ziwe nyingi ili wakutane dr sulle na davista
@nindemkeremi3708
@nindemkeremi3708 5 месяцев назад
Hata dogo kaiva sahv
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 5 месяцев назад
Sasa wakutane na dizasta wajadili nn mziki au
@hamidadaud4797
@hamidadaud4797 4 месяца назад
@@ashuramuhammed3257 Umeshindwa kutafakari kiakili ina maana Akili zako hazina Akili
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 18 дней назад
😂​@@ashuramuhammed3257
@elvisnzovu8282
@elvisnzovu8282 6 дней назад
Wajadili Puff Daddy
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er 4 месяца назад
Hakuna kiumbe kusichokua na madhaifu lakin wallah Dr sule ALLAH akupe umri mrefu ili uzid kuwanyoosha hawa mapmbi…dr sule hujawahi kutuangusha❤❤
@pilimusa3217
@pilimusa3217 5 месяцев назад
Shebby unauliza maswali mazuri sana❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 5 месяцев назад
sheikh sule big up sana kwa elmu yako kubwa 🙏🏼🙏🙏🏿
@mamanabdoul4397
@mamanabdoul4397 5 месяцев назад
Maa shaa Allah .nakupenda kwajiri yaa Allah.abo banao sema yesu.ni mungu waace ivo batabiwona siku ya kiyama.hawasikie nahabataki kusikia
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 5 месяцев назад
allah anamuongoza mwenye anataka
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
Dr. Sule Maashaa Allah.. Tunakuelewa Sana Mwalimu
@MariamKhamisi-i3c
@MariamKhamisi-i3c 5 дней назад
Mwenyezimungu akuzidishie kheri Dr sule Allah Karim
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 месяцев назад
Isaya 9:6 Yohana 1: 1 Yohana 5:20 Yohana 20: 28,29 Warumi 9:5 1Timotheo 3: 16 ufunuo 1:7,8 ufunuo 22:13 Mathayo 18:20 filipi 2:5,6,7 usipoona kuwa Yesu ni basi utatimiza andiko wanaona lakini hawaoni ni vipofu wasikia lakini ni viziwi
@BanyangaMohammed
@BanyangaMohammed 5 месяцев назад
Kweli wewe nimsomi wandiko unashinda wanaojita ma dr sule waongo mtupu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 месяцев назад
@@BanyangaMohammedhuyo shekhe majini yamempotosha ndo kazi Yao kuwapotosha watu kama yalivyo mpotosha mtume wao soma quruan 72:1,14
@MohammediRwambo
@MohammediRwambo 19 дней назад
Yesu aliomba alimuomba nani?
@prochesernest5439
@prochesernest5439 18 дней назад
@@MohammediRwambo Allah alimuomba nani Kam yeye ni Mungu? 32:4 anasema mwombezi Allah huyo anawaombea kwanani?
@burhanililumo2215
@burhanililumo2215 4 месяца назад
Allah akubariki sana Doctor Suleiman na akuweke kwa mafanikio ya jamii yenye maadili amiin
@luqmanhaji7537
@luqmanhaji7537 5 месяцев назад
Hakika hapo ukweli upo wazi na uongo upo wazi , dr sule anayekusikiliza ili aelewe anakuelewaa vizuri asiyetaka kukuelewa basi , Allah akulipe khery shekh wetu
@ahmadamigeyo3929
@ahmadamigeyo3929 5 месяцев назад
Wallah M/MUNGU anamnusuru amtakae Alhamdullillah 🙏🙏
@Officialwizzosun
@Officialwizzosun 4 месяца назад
Kaka soma ufunuo utafunuliwa kisha utawaweka salama waumini wako kwajina la yesu amina👃
@AliMsaira
@AliMsaira 4 месяца назад
Wewe nd usome
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 месяца назад
Jina la yessu sio Jina la mungu nyie wakristo hayo maandiko hamuyaoni mnalazimisha mtu awe mungu mwenyewe anasema ametumwa nyie mnasema sio kweli najiitq mtu mnaamwata mungu
@saidsululu8610
@saidsululu8610 16 дней назад
Ufunuo upi sasa si amesoma Yohana? Au ufunuo wako ww unasemaje?
@JosephMadeleke
@JosephMadeleke 5 месяцев назад
Jamani Hawa watu mnaowauliza juu ya lmani ya Kikristo(NENO) Hawa wako mwilini na sio wa Rohoni. Ni vigumu Hawa kulielewa neno. Mnatwanga maji kwenye kinu. KuLIFAHAMU NENO MPAKA UFUNULIWE NA YESU MWENYEWE.Luka 24:44-45
@faridamohamed3561
@faridamohamed3561 3 месяца назад
😂😂😂😂
@SEGGOTV
@SEGGOTV Месяц назад
Toa andiko yesu ni mungu
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 18 дней назад
​@@SEGGOTV😂
@mohdomar6760
@mohdomar6760 5 месяцев назад
Mashallah....tunashkuru sheikh
@SufianiKupaza
@SufianiKupaza 2 месяца назад
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu uendelee kutoa elimu kwa wote.inshaallah
@ireneemmanuel6708
@ireneemmanuel6708 5 месяцев назад
Mjiulize swali fupi kwanini jina La Yesu lina nguvu mno,na kuonekana na mamlaka sana,msichokijua Mungu ni roho,ila katika mwili utamuona Yesu ambae roho ile inakaa ndani ya mwili,ndio maana halisi ya kusema mimi na baba tu umoja,Mungu ni mwenye wivu ,msichoekewa Yesu alikuwako tangu agano la kale,ila alijidhihirisha katika mwili ili tukombolewe,fikiria angekuja na utukufu ule wa mbinguni wanadamu wangeogopa na kumkimbia.. YESU NI MUNGU MKUU
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 5 месяцев назад
😅
@animamichael3968
@animamichael3968 4 месяца назад
Wewe mwanafunz wa paulo
@SwahibuAthuman-yv2mn
@SwahibuAthuman-yv2mn 2 месяца назад
Nakuonea uruma
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
Kama yesu.ni mungu.ilikuwaje akachukuliwa na shetani kwenda Kujaribiwa 🤣🤣🤣
@JamalKishangu-p7w
@JamalKishangu-p7w Месяц назад
​Unayo taarifa kuwa viongozi wa dini wanatumia nguvu iliyopo nyuma ya pazia? Jina la Yesu lina nguvu namna gani iwapo muhusika atatumia nguvu kutoka kuzimu?
@SalumMohamed-m7k
@SalumMohamed-m7k День назад
Dr Allah amlipe kila lakheri mwalimu sule masha allah barakallah fikumuu
@mutombosadiki4809
@mutombosadiki4809 5 месяцев назад
Dr Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu, Nimefurahi sana yani
@georgeslupopo6215
@georgeslupopo6215 4 месяца назад
Tatizo munayo munataka Mungu abaki vile nyiye waeslamu munakusudia, Mungu wetu ni umoja na anawo uwezo wakuonekana katika mtazamo tofauti naakabaki anajiita Mungu yule yule , Alikua NENO akajiita yeye ni Mungu, Aliuvaa mwili akajita Yesu-Kristo = Emmanuel Mungu kati watu; akaondoka kimwili akarudi tena kwetu ulimwenguni kwa mutazamo wakisicho onekana kwamacho yakibinadamu akajiita Roho mtakatifu = Roho wa Mungu ambeye ni uyu uyu Mungu mzima. Inginekitu munatakiwa kujua, hakuna angaliweza kuukomboa ulimwengu usipokua yeye Mungu mwenyewe kuuvaa mwili akajiita Emmanuel ambaye ni Yesu-Kristo, manaabii wametabiri ujio wake kama Mungu mwenyewe na mwenye utukufu wote wa Mungu, hakungelikua mwengine wakuikomboa dunia pasipo yeye Mungu mwenyewe sabu sote wanadamu tulihesabiwa kuwa wazaifu mbele ya Mungu, njo kwamana ilibidi Mungu kuuvaa mwili na kuitwa Yesu-Kristo ili kila mwenye atamuamini apate kuokolewa na awe nauzima wa milele, Amen ! Sasa siku nyiye waislam mutatambua ya kwamba Mungu anauwezo wakua na mtazamo kavile jinsi yeye mwenyewe alipendelea njo pale hamuta changanyikiwa kwakujipatia idadi ya wa Mungu.
@Mwasame_Official1
@Mwasame_Official1 5 месяцев назад
Yesu ni mwana wa mungu tena ni mungu mwenye
@HappyKiteboarder-du9th
@HappyKiteboarder-du9th 5 месяцев назад
Wewe kweli chizi
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 5 месяцев назад
Wewe wawapi acha kufru kasome maandiko
@ahmedkhamis123
@ahmedkhamis123 5 месяцев назад
😂😂😂 umenichekesha sana sasa yesu ni mungu au mtoto wa mungu naona kama umechanganyikiwa
@castorchipalo84
@castorchipalo84 4 месяца назад
Pole
@YusphMashaka
@YusphMashaka 4 месяца назад
Mwenye nn mbona hueleweki mala mungu mala mwana wamungu
@edwardKilogeja
@edwardKilogeja 3 месяца назад
5:46 Quran, na tukawafatishia, elewe kauli ya wingi katika utatu MTAKATIFU, angekuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja Hana utatu katika nafsi asingetumia hiyo kauli. Yohana 1:1-18Hapo alkuwako neno naye neno alkuwa Kwa MUNGU naye neno ni MUNGU. Huyo neno alifanyika mwili akaja kwetu akakaa kwetu nasi tukauona utukufu. Na wote waliaminilio jina lake alipa uwepo wa kufanyika Wana wa Mungu hao waliozaliwa si Kwa mapema ya mwili... Kasome vzur Bado sana. YESU AKUREHEMU.
@Jumaseleman-z2d
@Jumaseleman-z2d 3 месяца назад
Uyo ndo mwamba sule 2naemjua
@marympochela7903
@marympochela7903 21 день назад
Kiru nilichokiona kwaSule ni kwamba, alipenda kumjua YESU KRISTO ili aweze kupotosha ukristo kwa maneno,sasa anawapotosha watu na wengi hasa wale wa upande mwingine maana anatafsiri Biblia kama gazeti la nipashe kumbe anatakiwa awe anapewa tafsiri na Roho Mtakatifu kwa kumfunulia kwenye ufahamu wake sule anatafsiri kwa akili zake na hata sheria za ukoo wa Yesu, sule ametafsiri kiakili tu. Na YESU hajawahi kuwa mwislamu kwa YESU alipokuwa duniani uislamu ulikuwa haupo, uislamu ulianza miaka 600 baada ya YESU KRISTO kupaa mbinguni, hivyo Sule ni mwalimu wa vipofu
@martinmligo302
@martinmligo302 4 месяца назад
Ni kweli kabisa kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na Mungu ni mmoja tuu hakuna mwingine kote duniani na mbinguni,lakini Wakristo tunasema Yesu ni Mungu kwa sababu ya jina lake Yesu kwa maana kutokana na maandiko mengi yanamaanisha kuwa Yesu ni jina lingine la Mungu ambalo Yesu alipewa/alilithishwa na Mungu na ndio maana tunasema Yesu ni Mungu kwa sababu ya jina Yesu,na katika maandiko hakuna mahali Yesu alisema ni jina lake pitia maandiko haya na mengine mengi kuhusu jina la Yesu. Yohana 5 43. Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo. Yohana 10 25. Yesu akawajibu, Naliwaambia, lakini ninyi hamsadiki. Kazi hizi ninazozifanya kwa jina la Baba yangu ndizo zinazonishuhudia. Yohana 17 11. Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. Yohana 17 12. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Yohana 17 6. Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika. 12. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie. Waebrania 1 4. amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
@SEGGOTV
@SEGGOTV Месяц назад
Sasa hapo wap yesu kasema yeye mungu
@martinmligo302
@martinmligo302 Месяц назад
@@SEGGOTV Tafadhali jina la Mungu linaanza na herufi kubwa.
@SEGGOTV
@SEGGOTV Месяц назад
@@martinmligo302 wewe mwenyew umeliandika umeanza na herufi ndogo Mimi sijaandika jina nime reply Text kwhyo km umeona limetokea jina lako basi ujue ndo ulivyoandika wewe mwenyewe
@georgeslupopo6215
@georgeslupopo6215 4 месяца назад
Unasema mengi ila mwisho wa saa auelewi hata unayo yasema kwa mtu ambaye anajazwa Roho mtakatifu unasikilika kama mtu ambaye anapiga kelele pasipo kuongea kitu. Siyo kila mtu ambaye iko nanehema yakujua ya kwamba Yesu-Kristo ni Mungu njo kwamaana aliambia hata petro siwewe ila ni Mungu kakunulia hayo ili upate ku nitambua. Yesu-Kristo anabaki Mungu wamilele zote ! Ivi nyiye waeslamu nabii gani munajua ambaye alisha wayi kujiita Mungu na akabaki mzima,... Je kama munajua niyeye Kristo atahukumu mwanadamu pia na mu hamed wenu akiwemo sababu gani hamutaki kuelewa kama yeye siyo wakawaida, ukumu ni wa Mungu peke yake nayeye Yesu-Kristo njo atahukumu dunia ivo amuone kama Yesu-Kristo niuyo uyo Mungu Yesu-Kristo mwenyewe amejiita Mungu kati watu, na sababu kubwa ya Yesu-Kristo kusulubushwa ilitokana na yéyé kujiita Mungu nakunyoosha mafarisayo. Yesu-Kristo Kristo jina zote nzuri ni zake yeye ni Nabii mkuu, Yeye ni Mwana wa damu sababu ilipashwa Mungu auvale mwili ili aikombowe dunia akajiita Emmanuel maana yake Mungu kati watu, Akajiita mlango wa mbiguni, Yeye ni Mungu mzima , Yesu-Kristo mwenye alijiita Baba ndani yangu namimi ndani yake kama ulisoma hesabu utafaamu a=b nikusema a ni b na b ni a .
@abdulkisome9538
@abdulkisome9538 4 месяца назад
Toa andiko yesu kajiita Mungu acha maneno
@kennodhiambo
@kennodhiambo 4 месяца назад
@@abdulkisome9538 Biblia haiwezi kuandikwa vile nyinyi waislamu mnataka
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 месяцев назад
Hakuna Nabii au Mtume aliyewahi kuwa Mwislamu kuanzia Adamu, Nuhu Musa, Ibrahimu, Daud Yesu, Wala Sinagogi siyo msikiti huo wa Waislamu
@Thruthministry
@Thruthministry 5 месяцев назад
Barikiwaa sana mpendwa kwa kusapoti na kumtangazaa KRISTO katika mwisho wa nyakati
@husseinwaziri227
@husseinwaziri227 5 месяцев назад
Rudi uka some kitabu chako vizuri
@hassanjamaldin632
@hassanjamaldin632 5 месяцев назад
Kasome kwanza
@ramadhanlipendelee3496
@ramadhanlipendelee3496 5 месяцев назад
Kwa hiyo walikuwa ni Wakristo?, au walikuwa dini gani, tufahamishe.
@Thruthministry
@Thruthministry 5 месяцев назад
Tusome wapi tuelekezee
@IdrissaMakange
@IdrissaMakange 4 месяца назад
Dr Sulle Fundi kweli kweli
@sarahabdullatif8556
@sarahabdullatif8556 5 месяцев назад
Mungu wawaisilamu haweni kuwa namwana mana kuruani inasema lazima awe namke poleni ndugu zetu waisilamu
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 5 месяцев назад
Wewe ndo juha lao umesoma wapi ?Toka uko nenda wakakupotoe wenzio
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali 10 дней назад
Dr. Sule, Mwenye Akili timamu, Amekuelewa na ndivyo ilivyo andikwa ktk. Biblia. (Wachungaji wakiwasomea waumini wao ukweli, watapoteza SADAKAAAAA)
@yakobomkristo872
@yakobomkristo872 5 месяцев назад
Asante Bwana Yesu Kwa Neema Ya Ukristo Uliyonijalia.
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 5 месяцев назад
Amen
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
😁🤣 .. Yesu mwenyewe UKRISTO haujui .. Alifundisha watu kumshukuru Mungu, wewe unamshukuru Yesu ... mshukuru MUNGU wa YESU ambae ni Mungu wetu sote
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 5 месяцев назад
@@swafiirbulbul819 sawa ila Mungu wa yesu hajawahi kumuombea m2 yoyote !!! wakwenu kamuombe Mohamad
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 5 месяцев назад
​@@swafiirbulbul819😹😂😂😂🤣
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 5 месяцев назад
Yesu Ni Mungu 100%
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 5 месяцев назад
Mungu alizaliwa na akinyonyeshwa ,akala chakula na akaenda chooni .wewe acha ujinga wako huo.
@omarimhd7716
@omarimhd7716 5 месяцев назад
Kama yesu nimungu alafu mungu ninani
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 5 месяцев назад
Nenda ukasome tena.tatizo unalishwa uongo kwa bibilia hasomeswi ukwelj
@salumkagame509
@salumkagame509 5 месяцев назад
Mungu anakufa?mungu anaomba mungu?mungu anapigwa na viumbe alio waumba? Mungu alienga kumiliya mungu mwengine amuokowe na kifo?alipo kuwa msalabani akamlalamikiya mungu eti.mbone kamuaca? Mungu Hana tabia yakubadiika badiika soma
@kharashbabar7393
@kharashbabar7393 5 месяцев назад
Kwahiyo ww unaesema yesu nimungu....kwahiyo ww unaeijua sura ya Mungu ee?
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 месяцев назад
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA MTU HATAFIKA KWA MUNGU PASIPO KUPITIA KWAKE
@MukulasiKapela
@MukulasiKapela 5 месяцев назад
Yesu sio mungu
@alexkakwaya4383
@alexkakwaya4383 5 месяцев назад
Swali LA pili, km Uislam ni dini ya kweli, Kwa nini hauna uwezo wa kujitegemea km dini yenyewe, bali inatafuta uhalali wake kutoka kwenye Ukristo kwa madai mbalimbali: oh Mohammed ametabiriwa kwenye biblia, oh biblia imebadilishwa alafu hamuoneshi ambayo haijabadilishwa, oh wakristo wanaabudu Mungu mitatu, na madai mengi ya uongo na kishetani.
@adamkamaze9888
@adamkamaze9888 5 месяцев назад
Kwan ni Uongo kuwa wakristo hawaabudu Mungu watatu?
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
Uislamu hautafuti uhalali wake katika Ukristo .. Kwakuwa; 1) YESU kristo hakuacha imani ya UKRISTO ulimwenguni .. (Bali alikuja kuendeleza ya mitume waliopita kabla yake) 2) Wakristo hawaamini Qur’an, kumpeleka kwenye kitu asichokiamini ni kupoteza muda.. ndio maana tunahoji katika kile anachokiamini 3) Ukiamini katika unachokiamini basi usiwe na nidhamu ya uoga wanapokuja wanaotaka kuhoji hicho unachokiamini
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
USITUZULIE: 1) Muhammad hajatabiriwa kwenye Bibilia, ametabiriwa kwenye INJILI. 2) "....Tazama, Kalamu ya Uongo ya Waandishi imeifanya Torati kuwa Uongo" .. Bibilia yenu ndo inayosema hivyo, sio sisi 3) Mnasema Mungu ni Mmoja katika Nafsi Tatu .. Ndivyo mnavyotuhubiria kila siku (Mungu Baba, Mwana na Roho mtakatifu) ... Hivyo, Msilalamike 😄
@zuberimohamed43
@zuberimohamed43 5 месяцев назад
Upeo wako ungetuliza kichwa ungemuelew sule punguza mihemko uislam haukuja na muhammad uislam ulikuwepo tngu enzi za ibrahim na kila nabii alikuja na kitabu na muhammad alikuja kuendeleza walipoishia wengne naye alikuja na Qur an kitabu kilichokamilika kilichobeba vitabu vya manabii wengne yaan ni sawa na mtu aliyenunua cm bila charger na yule aliyekuja na cm na charger earphone zake huyo yupo complete
@yasirhamisi1128
@yasirhamisi1128 5 месяцев назад
Akili huna ww
@FARIJIIDDY
@FARIJIIDDY 16 дней назад
ewe sule hakika mungu akuongoze na elim yako ya ukweli allah akuweke uzidi kuwapa elim wasijua insha'Allah
@alexvenas2699
@alexvenas2699 5 месяцев назад
13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Tito 2:13 14 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema. Tito 2:14
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 5 месяцев назад
Maneno ya Paulo hayo
@ABDULKARLMMWANGELA
@ABDULKARLMMWANGELA День назад
Dr-Sulle mimi napenda kumuita Simba Anayejuwa kujipambania na kuipambania dini Yetu ya kiislam-huyu ni Mwalim mzuri | nakupenda sana Dr Sulle ongela Mwalim
@Moteswa
@Moteswa 5 месяцев назад
Shehe Sulle, anatupanga. Haiwezekani unasema mitume wote wa nyuma walikuwa waislaimu wakati uislamu umekuja miaka zaidi ya 600 baada ya Yesu. Huo ni uwongo mweupe. Yesu ni Mungu full stop. Nikushauri weka effort kubwa kuhubiri uislamu achana na ukristo ambao hauelewi.
@ramadhanitwahili6837
@ramadhanitwahili6837 5 месяцев назад
Lakini unajua mana ya uwislam kwanza mana usimkosoe tu.
@Moteswa
@Moteswa 5 месяцев назад
@@ramadhanitwahili6837 Tuambie wewe, unayejua maana! Kwanini msijitahidi kuhubiri dini yenu ya uislamu, mnakalia Yesu si Mungu,Yesu hakufa msalabani nk, haiwasadiii badala yake mnauhubiri zaidi ukristo. Sasa hapo Sulle kasoma vitabu vyote vya Biblia.
@GiliardKashimba
@GiliardKashimba 5 месяцев назад
Dariri za uyu mwalim wenu ninamfatilia sana kwanzia kwa ndacha mpaka apa na hutuba zake zotee anahashilia kuitwa na MUNGU alie hayi kwajili yakazi yake amin
@nevermind4789
@nevermind4789 5 месяцев назад
Kwani ikianza Iphone4 na ikifika Iphone14 Hii iphone14 inakuwa sio iphone? Muhammad ameleta full version ya uislam yaan full package ndio maana hakuna Mtume mwengine aliekuja baada yake
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад
wewe ndio mana kama ungekua mwanafunzi mzuli ungesikiliza vizuli harafu ukabaki nakile ambacho ww umekiamini usiwe mshabiki kushabikia watu siku ya mwisho utakua peke yake ndio mana mm nasoma kote na sikosoi chochote kwasababu vitabu hivi wili vyote naviamini ila mwanadam anafanya ya hovyo
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 4 месяца назад
Ukisikiliza mafundisho Kama haya utahama reli, Shika Sana ulichonacho...hata Shetani aliwazidi Eva na Kisha Adam kwa maneno pale Edeni hadi wakamuasi Mwenyezi Mungu. Jihadharini na Roho ya mpinga Krisho... Adui 👿 hutafuta elimu Kila Kona ili awe fundi Sana wa maneno, ukimpa nafasi aongee utahisi ni zaidi ya mtu yoyote uliewahi kumsikiliza. Mungu atusaidie...😭
@cosmasmwaitete5004
@cosmasmwaitete5004 5 месяцев назад
Tatizo dr Sullę unaiponda bible kwamba si kitabu cha Mungu Leo unatumia kitabu hicho hicho kufundishia unapata shida sana mkuuu jambo usilolijua Achana nalo
@khalidali1130
@khalidali1130 4 месяца назад
Nyie mnaelewa au ndio vuchwa fuvu kwan mwanzon amesemaje icho kitabu anchzngmzia yey n injil n bibilia kitabu kishatiwa mikono n warumi ht aelezw vp huwez kuelewa tumia akil sio ubish ndg yng
@JosephyMwila
@JosephyMwila 5 месяцев назад
Yesu ni mungu fungua ,yohana 14:9 kama sivyo fungua yohana 14:6 yesu anasemamimi ndimi njia nakweli nauzima mtu haji kwa Baba ila kwanjia ya mimi anamaanisha kama huja mkubali yeye kuwa Bwana na mwokozi wako hufiki mbinguni yani wewe utakuwa wa kuzimu kubali kuna maana gani maana ya kumkubali ni kuokoka yani kuwa mkristo ambaye kapata ubatizo wa maji mengi kama alivyo batizwa yeye mwenyewe
@uwesusaid5334
@uwesusaid5334 5 месяцев назад
Mungu ni mmoja sio Watatu 🗣
@RedBelt-m2k
@RedBelt-m2k 5 месяцев назад
Mungu ni mmoja ila qmejifunua katika nafsi tatu na hana majina 99
@obestone1188
@obestone1188 5 месяцев назад
​@@RedBelt-m2kmungu ana nafsi?
@obestone1188
@obestone1188 5 месяцев назад
​@@RedBelt-m2kKatika Biblia, neno “nafsi” limetafsiriwa kutoka kwa neno la Kiebrania neʹphesh na neno la Kigiriki psy·kheʹ. Katika Kiebrania neno hilo kihalisi linamaanisha “kiumbe kinachopumua,” na katika Kigiriki linamaanisha “kiumbe kilicho hai.” a Kwa hiyo, nafsi ni kiumbe chenyewe, si kitu fulani kilicho ndani ya mtu ambacho huendelea kuishi mwili unapokufa. Hebu ona jinsi Biblia inavyoonyesha kwamba nafsi ya mwanadamu ni mwanadamu mwenyewe
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 5 месяцев назад
Nafsi tatu hizo ni zipi na nani amesema hayo?​@@RedBelt-m2k
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 5 месяцев назад
​@@RedBelt-m2ktoa ushahidi
@jonasmrema8550
@jonasmrema8550 4 месяца назад
Kabla Yesu hajasema wakujue wewe Mungu wa pekee na wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma, (Yohana 17:3) Kwenye mstari wa 2 yaani (Yohana 17:1,2) Yesu anamuambia Baba Yake unitukuze katika utukufu niliokua nao kando yako kabla ya ulimwengu haukuwako, sasa ujue Yesu ni zaidi ya nabii au zaidi ya mtume
@alexkakwaya4383
@alexkakwaya4383 5 месяцев назад
We we sule, humjui Yesu hata kidg. Hata Mungu wa kweli humjui. Unajichanganya kwa mambo mengi. Issa wa Korani sio Yesu, huo ni upotoshaji wa kishetani. Allah sio Mungu, Allah ni mpinzani wa Mungu.
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 5 месяцев назад
Utaenda mbinguni ukiwa hujuiiiii kitu hivo Hivoo 😂💔 na doh
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 месяцев назад
Nifundishe tafadhali nami nimjue huyo yesu alex
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 месяцев назад
Maana inavyoonekana unamjua saana yesu
@burahanimohamedy413
@burahanimohamedy413 5 месяцев назад
Kwa andiko lipi sasa baada ya kujibu hoja mnaleta polojo
@mwanaidisimoni79
@mwanaidisimoni79 5 месяцев назад
Uyo yesu wa qur ani ndio huyo wa biblia mana waislamu wamemtowa katika injili na kinacho waponza nyie kusoma biblia yenye historia ya yesu hamusomi kitabu cha injili mnasoma akili za mapapa wa uingeleza subirini toleo jipya la biblia muingiziwe na kanuni za ushoga 2025
@saidmbonde5358
@saidmbonde5358 4 месяца назад
Maashaallah. Barakallahu
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 5 месяцев назад
Ni kwanini Muhammad alifundisha waislam kuuwa wakristo
@abdulrazack9577
@abdulrazack9577 5 месяцев назад
Lete maandiko yanayosema hivyo
@mobutu3884
@mobutu3884 5 месяцев назад
​@@abdulrazack9577 Kasome na hii najua hamuwezi fundishwa mnafichwa tu, mnachofundishwa ni chuki tu dhidi ya wakristo Reference; sunan an-Nasa'i 4061 In book reference Kasome hiyo mlishaambiwa mkibadili dini muuliwe It was narrated that Ibn A'bbas Said "The Messenger of Allah (SAW) said: Whoever changes his religion kill him
@mobutu3884
@mobutu3884 5 месяцев назад
​@@abdulrazack9577 Acha ubishi aya zipo kibao mnafundishwa chuki juu ya wakristo na ndio maana toka mpo madrassa vitoto vidogo vinachukia wakristo, au husomagi quran
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 месяцев назад
Wewe nae kama huyajui maandiko sio lazima useme
@mobutu3884
@mobutu3884 5 месяцев назад
Waliambiwa hata wakibadili dini pia wauwawe ni msiba
@milanempire4609
@milanempire4609 4 месяца назад
Tatizo la waislamu wanasoma sehemu wanayoona wao inawapa uhakika wa kuikosoa ukristo lakini hawataki kusikiliza ukweli
@allyjuma2088
@allyjuma2088 4 месяца назад
Ebu tuambie ukweli ni upi
@martoo539
@martoo539 5 месяцев назад
Huyu ashajibiwa na NDACHA Wakristu huyu asiwashtue kamwe Kuelewa bibilia unataka kuwa na roho mtakatifu
@Elybwayz
@Elybwayz 5 месяцев назад
Wewe unayo roho Mtakatifu ama una 😅😅😅
@Naw89
@Naw89 5 месяцев назад
Eti roho mtatifu si useme tu roho mtaka vitu
@josephsabuni795
@josephsabuni795 5 месяцев назад
@@Naw89 Endeleeni kumsikiliza huyo Sheikh wenu aliowadandanya kwamba kuna mlango wa kwenda mbinguni uko Macca na India. Njia ya kwenda mbinguni ni Kristu pekee hata Quran yenu inalitambua hilo... Shida yenu wengi ni Waislamu wa Eid tu...
@impeccablerito7922
@impeccablerito7922 5 месяцев назад
Braza acha kua mjinga kuelewa biblia ni very easy kwa sababu imeandikwa kwa kiswahili na kiswahili kinaeleweka vzur. BIBLIA iyo iyo unayosoma yesu mwenyewe anakanusha yeye sio mungu, wewe bado unafosi mungu, huo ni msiba😢😢Polee sana ndugu yng mungu akunusuru utumie akili yako kujua ukweli katka iyo iyo biblia unayosoma ukisoma kwa akili zko timamu utajua ukweli kama yesu si mungu.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 5 месяцев назад
Endelea kufuata dini kipofupofu bila kutafakari, endekeza wajuu wanaolenga sadaka yako kwa kukumbaza na kukuambia lazima uwe na roho matakatifju, utachelewa, na kuna siku utang'ata kidole kwa majuto makubwa.
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 5 месяцев назад
Mashallah uwislam nuru ❤❤
@josephsabuni795
@josephsabuni795 5 месяцев назад
Mathayo 11:29 - Chukueni nira yangu, mkajifunze kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika. Huyu Sheikh anadanganya kama alivyodanganya kuna mlango wa Mbingu uko India. Pili Yesu Kutairiwa ni kutokana na tamaduni za Kiyahudi ilikua lazima Yesu aishi tamaduni za kiyahudi, maana Yesu alikuja Duniani kama mwanadamu kweli.
@rogerssimon9517
@rogerssimon9517 5 месяцев назад
Vizuri kaka kutahiliwa lilikuwa agano la mungu mwenyewe na Ibrahim
@josephsabuni795
@josephsabuni795 5 месяцев назад
@@rogerssimon9517 kweli kabisa, tusikubali kupoteza Imani kisa hawa watu.
@impeccablerito7922
@impeccablerito7922 5 месяцев назад
Kuongezea kwenye mstari uo uliotaja 11.29 Chukueni nira yangu mkajifunze kutoka kwangu. Mimi ni mwema mnyenyekevu katika roho. Kwa maneno hayo tu Yesu anasema yeye ni mwislam. Ndugu neno Unyenyekevu ni kiswahili kwa kiarabu ni Islam. Ivyo yesu yeye ni mwislamu kwa sababu yeye ni mnyenyekevu.
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 месяцев назад
😂😂😂 daah mungu anatahiriwa dah nyinyi mnatafuta laaana​@@impeccablerito7922
@adnanel-islam3291
@adnanel-islam3291 5 месяцев назад
Kwaiyo Mungu katahiriwa na watu wake 😅😅??
@mtimti3912
@mtimti3912 5 месяцев назад
Yohana 21:25 NEN Lakini kuna mambo mengine mengi ambayo Yesu alifanya. Kama yote yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa. Amen.Mt 22:29Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.
@sarahabdullatif8556
@sarahabdullatif8556 5 месяцев назад
Wamejuwa jina la Yesu Lina nguvu wakajiwa itakuwa kishindo wakaliita isa Isa wapi na wapi nayesi mana hata kiarabu Yesu anaitwa Yasuua
@rogerssimon9517
@rogerssimon9517 5 месяцев назад
Quran inajieleza yenyewe kwamba yesu ni roho wa mungu na ni neno la mungu acha kupotosha watu sule.
@impeccablerito7922
@impeccablerito7922 5 месяцев назад
😂😂kweli iman upovu yani mnaongea vitu ambavyo aviingii akilini sema ata akili ya darasa la 3 c mnashindwa kuitumia. Umesema Yesu ni roho wa mungu. Ili ni neno WA..Maanake kuna Mungu. Mnaongezea Yesu ni mwana wa Mungu..maanake ni vitu viwili tofauti Hapo hapo tena Yesu ni mungu..😢😢Jaman kishwahili ni lugha nyepes sana aitaji mathematics.😅😅
@superhemed7590
@superhemed7590 5 месяцев назад
Hlf kumbe Mungu ana roho! Nilikuwa sijui😮
@sundaystanley5322
@sundaystanley5322 5 месяцев назад
​@@impeccablerito7922tatizo lenu kitabu chenu wenyewe kinamuelezea yesu ni nani,ajabu mnakikataa kitabu chenu wenyewe
@mobutu3884
@mobutu3884 5 месяцев назад
​@@superhemed7590Wewe nawe ndio hujui kitu kwani hata quran sianatambua kuwa Mungu ni roho, acheni kufundishwa na hawa walimu someni wenyewe wanawapoteza 😂
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz 5 месяцев назад
Ww matako huyo yesu ashuke leo anakukataa na atawakaa huyo yesu na mtume wetu Muhamad sijui.mtaenda wapi wajinga nyny
@nuramwamedy-yg6sd
@nuramwamedy-yg6sd 5 месяцев назад
Mashaaaallah sule tunakuamin kweny din yetu ya uislam daima mbele hiyo mpk pepon
@ArafaSuleiman-db9pw
@ArafaSuleiman-db9pw 5 месяцев назад
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi mungu wa kweli n mmoja2 wao makafir waache wangaike2 mpaka moton hao wakristo hawaelewi sijui hawa wana nn jameni njooni katika haki ambayo n dini ya uislam
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 4 месяца назад
Unajuaje kamatutaenda moyoni afu Sisi siokafiri ushindwe kwa jina la yesu
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 4 месяца назад
Jirekebishe hiyo tabia
@princembk4899
@princembk4899 4 месяца назад
Umesema mitume wapo 25,sasa kwa nini kati ya hao mitume wote YESU ndo atengenezewe mazingira? Kwa nini YESU??? Na si hao mitume wengine??? Mnaongea msichokijua na wala hamtajua. Msije mkaongoka Mungu akawaponya
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 месяца назад
Swali la kitoto sana
@mbetenijumanne9576
@mbetenijumanne9576 5 месяцев назад
Mafunzo ya Dr.Sule yupo vizuri tena yupo wazi kabisa kweli Islam ni dini ya kweli
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 5 месяцев назад
Dini inatokea wapi Sasa maanake dini lenyu ni la waarabu kisa Muhammad
@mpembaupemban9479
@mpembaupemban9479 5 месяцев назад
​@@whitetigerprincy5882Wew unavita na Mohammad ila ukweli upo pale pale uislam ndio dini ya kweli isome bibilia utajua kua wewe unapelekeshwa tu
@RedBelt-m2k
@RedBelt-m2k 5 месяцев назад
Hamna shehe hapo ni uongo mtupu
@mpembaupemban9479
@mpembaupemban9479 5 месяцев назад
@@RedBelt-m2k tumia akili wacha kubururwa kama mbizi
@OmarySaidi-k7q
@OmarySaidi-k7q 3 месяца назад
Dr sulle allah akupe maisha marefu inshaallah
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 месяцев назад
Mungu WA kwenye biblia ni Baba mungu WA kwenye Quran sio baba mbona sulle anamfananisha Allah Hana mwana kwaiyo hawezi Kuwa Yehova milele na issa sio mwokozi Yesu ni mwokozi yeti Yesu ni mwislamu uongo uliokwenda shule kutoka kwa ibilisi
@khalfanikimanta6663
@khalfanikimanta6663 5 месяцев назад
Unaaelewa maana ya Uislam laakin au unaendeshwa na mihemko ya chuki na ujinga?
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 месяцев назад
@@khalfanikimanta6663 naelewa uislamu ni Dini ya majini quruan 72:14 hona hapo uone ulipo wew unayejitamba na Dini yenu
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 месяцев назад
@@khalfanikimanta6663 hatuna chuki na nyie ndungu WA majini sis tunachukia kuwakubali kwenu mashetani au majini au mapepo wachafu
@muhamadharun9432
@muhamadharun9432 4 месяца назад
Maskini jaribu kukubali kujifunza uje na hoja iliyonyooka ,
@PHILLIMONMBAGA
@PHILLIMONMBAGA 4 месяца назад
Humjui Yesu wewe.
@adamsonkyando-l4i
@adamsonkyando-l4i 5 месяцев назад
Yesu yu hai mpa saiv anafanya kazi ukimkataa huna Mungu 3:9-19 ,36 Yesu ni Mungu ,alifanyika mwili ili kutukomboa baada ya Adamu kutuingiza dhambin, Yesu alikuja kufuta au kukosoa mapungufu ya Adamu Mathayo 4:1... Ukimwamin Yesu kunakitu unapewa ili umwabudu Mungu katika Roho ma kweli Mwisilsmu huwezi elewa kazi ya Yesu hata maandiko me gine huwezi kuyaelewa mnahitaji msaada waislamu Huna Yesu huna Mungu ,Kumwamin Yedu laxima ubarizwe, msijifariji eti tunamwami,Yesu. Hujabatizwa hujamwamin manabyake umemkataa Yesu Umemkataa Mungu
@nevermind4789
@nevermind4789 5 месяцев назад
kwa hiyo Mungu kamshindwa shetani ambae ndio tatizo kaamua kuja mwenyewe kumuokoa mwanadamu? Mungu wa namna gani huyo?Lengo la kumuumba mwanadamu na kumleta duniani ni nini? kazi na lengo la kuumbwa shetani nini ?
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 5 месяцев назад
Alipewa uhai na nani
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
Inabidi mshipa mmoja wa Fahamu ukatike ili uweze kuelewa anachokisema kijana hapo .. 😃
@saphinalutaha9077
@saphinalutaha9077 5 месяцев назад
Kabila hàjazaliwa nabii ibrahm na Nuhu walikombolewa na Nan na watu wema wa mtume mussa wakombolewa na dam ya nan
@danimark3300
@danimark3300 5 месяцев назад
​@@swafiirbulbul819hizo dini zote za kuletewa ni upumbavu tuu hazina maana kabisaa
@Leo-xc1nh
@Leo-xc1nh 4 месяца назад
Mashallah dogita sure ❤❤
@barakalawrence742
@barakalawrence742 5 месяцев назад
Yesu hafananishwi na mitume wala manabii wowote waliowahi kutokea
@ramadhanimpate-yj3qp
@ramadhanimpate-yj3qp 5 месяцев назад
kichwa kigumuu kwei kwli wewee haa
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 5 месяцев назад
Nyiny kujifunza hamutaki chuki tu dhidi ya uislam
@milanempire4609
@milanempire4609 4 месяца назад
Kama anasoma biblia kama anavyosema asome yohana 1:1 na yohana 1:14 inajieleza bila kuhitaji kueleweshwa
@chapchap-oz1ou
@chapchap-oz1ou 5 месяцев назад
Shebby hii topic huwezani nayo huyu bwana atakudangaya na unaitikia tu.... ungemwitia Shehe Omar au Mchawi Hassan kutoka Kigoma ....hawo ndio wanaelewa uislamu na ukristo. Kwanza Yesu ni Mungu...na Yesu na issa bin maryam ni watu wawili tofauti kabisa. Without lies Islam dies!! Yohana 17:3 Yesu anaongea baada ya kufanyika mwili- akawa binadamu, mwana, mtume nk... Kwa hiyo 17:3 inataja Mungu NA YESU uliyemtuma kwa uzima wa milele....mitume ni wengi.....lakini aya inasema Mungu na Yesu. ..... sio Mungu na Ibrahim, Mungu na Musa au Mungu na muhammad.
@filberthenrick
@filberthenrick 5 месяцев назад
Shebby umekurupuka
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 5 месяцев назад
kwenye biblia Mungu kamwita yesu n mwanae na pia yesu mwenyewe kakubali , na Mungu alimuita Musa nabii, elia alimuita nabii. ila huyu kamuita mwanaungu manake n zaidi ya nabii , ila wewe unasema haiwezekani n sawa ila haiwezekani n kwasababu sio kwamba iko hvy ila n kwasababu Quran yenu imeandikwa hvy kama ingeandika vyengine mngeamini pia.
@SaidFupi
@SaidFupi 5 месяцев назад
hayo maandiko ya biblia aliyoyatoa mfano yohana 17:4 ni quran
@chapchap-oz1ou
@chapchap-oz1ou 5 месяцев назад
@@SaidFupi yohana 17:4 Baba nime kutukuza hapa duniani kwa kutimiza kazi uliyonipa niifanye. Tangu lini quran ikamwita allah Baba???
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 5 месяцев назад
@@SaidFupi biblia n biblia na Quran n Quran tusichanganye mambo sisi Mungu wetu haoni sababu yakuwadanganya watu hatujasahau nyinyi mmesema yesu hakusurubiwa ila Mungu alimuweka m2 mwengine asurubiwe badala ya yesu!!! Je kwann Mungu awadanganye watu au amtoe yule m2 afe wakati hana hatia !!! Mnasema yesu alimuomba baba au aliwaombea watu kwa baba sawa ss tunasema yesu n Mwana wa Mungu je Allah wakwenye Quran hakumuombea Muhammad ?? Kamwombea kwanani kama yeye ndio Mungu !!! Acha kusema maneno ya biblia n Quran bwana kwasabb sio kweli kunautofauti Mwingi sana !!!!!
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 2 месяца назад
Unadanganya Dr Sulle, hakuna sehemu imesema Yesu ni muislamu wa moyoni sijuii
@adamcharo9327
@adamcharo9327 2 месяца назад
Jua maana islam.mwanzo ndo ujibu
@michaelbengesi9838
@michaelbengesi9838 5 месяцев назад
Dr. Sule shida unawavuruga waislamu wenzio wengine hawaamini Matumizi ya Majini.😮
@impeccablerito7922
@impeccablerito7922 5 месяцев назад
Hakuna matumizi ya majini mzee. Sijajua ww majini unawachukulia je lakin majini na sisi wote ni viumbe tumeumbwa na mungu mmoja. Ila wao wamepewa uwezo wao binafsi na mungu ametukataza kushirikiana nao. Ivyo ukiona mwislam yoyote anayetumia majini uyo ni mwislam jina. Quran ijaacha kitu mzee ata viumbe vyote unavyojua ww ata sisimiz kaongelewa katka quran ivyo majini nao ni viumbe nao wameongelewa. Aimaanishi waislam wanashirikiana na majini iyo dhana potofu ondoa kichwan mwako
@michaelbengesi9838
@michaelbengesi9838 5 месяцев назад
@@impeccablerito7922 Ni kweli Majini yameumbwa na Mungu. Unataka nikuwekee link hapa Dr. Sule Akiongelea faida za kuwa na mahusiano na majini, ambapo unaweza kuyatumia kwa mambo mazuri kama kukupa mali, Sule anasema Majini yana hazina kubwa binadamu hatufiki hata robo kwa utajiri walionao majini. na unaweza kuyatumia majini vibaya kufanya mambo maovu kwa wengine. Kwahiyo kichaka anachojificha ni kwamba yeye anatumia majini kwa nia njema
@prochesernest5439
@prochesernest5439 5 месяцев назад
​@@impeccablerito7922Allah sio Mungu wa kweli ni muongo na mtume wake ndomaana wakristo tunawakatalia Allah na mtume wake marehemu Muhammad mpinga kristo
@pilimusa3217
@pilimusa3217 5 месяцев назад
​@@prochesernest5439yohana 17:3
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
Natamani niwadundishe Vijana wenzangu wa KIKRISTO wamjue MUNGU ... 😃 .. Nna wasiwasi mpaka leo hawajui wanamuabudu nan
@milanempire4609
@milanempire4609 4 месяца назад
Na ndio maana yesu alikuwa akifundisha kwa mafumbo na ndio maana imeandikwa watasikia lakini hawataelewa Mungu awafumbue macho ya roho ili waweze kuona ukweli
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 месяцев назад
Hapo Sule unapiga porojo. tu Uislamu ni Mafundisho ya Mila za Waarabu Maqureishi wa Makka
@impeccablerito7922
@impeccablerito7922 5 месяцев назад
Quran..Mungu anasema akupata tabu kuumba mbingu na ardhi pamoja na viumbe vyake, wakristo wanadai yesu ni mungu kwa sababu ya nguvu na uwezo wa maajbu aliopewa yesu na njia ya kuletwa kwa yesu bila baba.Wanasahau mungu alishafanya maajabu ayo kwa Adam ambaye hana baba wala Mama ila yesu anaye mama. Kwa mantikii kwanin msiseme Adam ni mungu kwa sababu ajazaliwa ila yesu kazaliwa. Wakristo mnatakiwa mfungue ubongo wenu mjue kuna mungu na wala yesu sio mungu bali yesu ni nabii..Na waislamu wote atumpingii yesu tunamwamini kama nabii ila sio mungu
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr 5 месяцев назад
Nonsense
@bobnthia
@bobnthia 5 месяцев назад
Nakufungua macho kutoka leo, John 14:6
@eezybugeraha7169
@eezybugeraha7169 5 месяцев назад
Kinachomfanya Yesu kua Mungu sio kwa sababu ya kuzaliwa bila baba, wala si mayendo mengi ya miujiza aliyoyafanya noo, Kinachomfanya kua Mungu ni kwa sababu yeye ni Mungu kabla hata ya kabla yenyewe kuwepo.
@impeccablerito7922
@impeccablerito7922 5 месяцев назад
@@eezybugeraha7169 Naomba urudie kusoma tena ulichoandika halaf niambie umeelewa nini
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 5 месяцев назад
sasa nawewefunguka pia yesu s nabii ni mwana wa Mungu!!!! halafu unaanza kwakusema Quran inasema sio biblia inasema hiyo inamaanisha huamini kama yesu n mwana wa Mungu kwasabb Quran imekataa na ingekubali wewe pia ungeamini sindio??
@CostantineMaregesi-jx1vd
@CostantineMaregesi-jx1vd 4 месяца назад
Lazima ujue nini maana ya njia unazunfumzia dini hata kweli haimo moyoni mwako umebeba sauti za wageni wasio jua kweli watakufuata ila sio wanaoonzwa na Roho Mtakatifu
@cyprianchale602
@cyprianchale602 5 месяцев назад
YESU MUNGU MKUU , YESU NI MUNGU Alie HAI Yohana 1:1_14 isaya 9:6
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 5 месяцев назад
HIVI WEWE MPUMBAVU NANI ALIKWAMBIA MUNGU ANAWEZA AKAFA😅😅😅😅
@saleemsuleiman2220
@saleemsuleiman2220 5 месяцев назад
Yesu ni Mtume ameagizwa na Mungu kuja kuleta uokozi
@Elybwayz
@Elybwayz 5 месяцев назад
😅😅😅😅 ukijiona unazambi lakini kunawatu wanazidi zaidi KUKUGURU 😢😢😢
@JumaSuleiman-r1r
@JumaSuleiman-r1r 5 месяцев назад
Kwan umesikia mungu amekufa au atakufa. Yaan ww mpunbavu sana
@fatmaally7252
@fatmaally7252 5 месяцев назад
We kweli zombi zuzu sio mzima yesu mungu na ye mwenyewe anakataa si mungu wala mwana wa mungu sasa cjui wewe na yesu nani mkweli😂😂😂😂
@AmurimatabikaClaude-yy9pm
@AmurimatabikaClaude-yy9pm 5 месяцев назад
Na yesu akisema mimi ndiye njia ya uzima atakaye nifata ataona uzima wamilele
@SalimuMuya-qb6cx
@SalimuMuya-qb6cx 5 месяцев назад
Uzima wa milele ni upi?
@rogerssimon9517
@rogerssimon9517 5 месяцев назад
Wewe sule unaijua kweli ila unapotosha umma unaye mkataa hapa ndiye akimu na mwisho wa yote.
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 5 месяцев назад
Wacha ujinga jifunze ili ujue ukweli utakusaidia.
@abdulkisome9538
@abdulkisome9538 4 месяца назад
Pinga Kwa maandiko sio bla bla
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 4 месяца назад
Allah Akubark Dr Sule MashaAllah,Mafundsho Mazur Anoakl Atafaham
@Isaac_Nehemia
@Isaac_Nehemia 5 месяцев назад
Yesu sio Mtume soma Yohana 8 : 58
@hamisndusu3625
@hamisndusu3625 5 месяцев назад
Hiyo yohana ni kauli ya nan mungu au yohana kuwa mjanja bas
@Isaac_Nehemia
@Isaac_Nehemia 5 месяцев назад
@@hamisndusu3625wewe ni mpumbavu maana Huna hata mda wakusoma
@TheGame-nz7um
@TheGame-nz7um 5 месяцев назад
Ukitaka kujua ni mtume au sio mtume msikilize yeye...anasema ni kuyatenda yake yeye alienipeleka.
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 5 месяцев назад
Unajua maana ya mtume?
@SunguraShabani
@SunguraShabani 4 месяца назад
Mungu ametupa akili tumujuwe Mungu wa kweli Sasa nyie endeleeni kusinzia usingizi wa mauti. ISAYA 9 6 MAANA KWA AJILI YETU MTOTO AMEZALIWA, NA UWEZA WA KIFALME UTAKUWA BEGANI MWAKE, NAYE ATAITWA JINA LAKE, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE MFALME WA AMANI. AMEN!!!❤❤❤
@Gesareh-v4d
@Gesareh-v4d 5 месяцев назад
Mohamad hana lolote hata na hakupewa kazi lolote kuhusu utume...Quran 46 :9
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 5 месяцев назад
Bibilia huijui utajuaje quran
@tuzojohn3581
@tuzojohn3581 27 дней назад
Joh 17:5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako. Dr. Sulle, unaposoma Biblia usitumie mstarimmoja.... Mbona huo mstari wa 5 hujawasomea hawa watu . 🥲
@nickyliz5261
@nickyliz5261 5 месяцев назад
Kuna wkt nilikuwa na maswali kuhusu Yesu na Mungu ikanibidi niombe na hata kufunga sana ili Mungu ajidhihirishe kwangu na ninamshukuru alijidhihirisha kwangu kupitia maono na hata Mikasa ya maisha yangu to the point that hata malaika aje aniambie Leo hii Yesu si Mungu ama yeye ni binadamu wa kawaida siwezi kumwamini jamani wapendwa majibu yetu hayapo kwa viongozi wa kidini ukitaka kujua ukweli mtafute Mungu kwa bidii atajidhihirisha kwako yeye ni mwaminifu
@saidabdurahman9631
@saidabdurahman9631 5 месяцев назад
wew ulitokewa na shetani sio bure 😂😂
@pilimusa3217
@pilimusa3217 5 месяцев назад
Yohana 17 :3
@Ammy_Rain
@Ammy_Rain 5 месяцев назад
Sawa tumekuelewa 🤣🤣
@makamenyikombo4220
@makamenyikombo4220 5 месяцев назад
Mungu akutokee ww fala weeee...
@nickyliz5261
@nickyliz5261 5 месяцев назад
@@saidabdurahman9631 hayo ni maoni yako ikiwa Unamwamini sheitani zaidi ya Mungu hainihusu
@NasekileThomas
@NasekileThomas 4 месяца назад
Asante shehe umevunja mzizi wa ubishi kwahio mzee wa upako yuko sawa yesu siyo mungu ubalikiwe kwa uelewa
@alexkakwaya4383
@alexkakwaya4383 5 месяцев назад
Niko na maswali mengi yasiyojibika lkn itoshe kusema hivi, Yesu ni Mungu wa kweli ndo maana anafanya kazi hadi leo, kwa maneno mengine anajitetea na kujipigania mwenyewe, tofauti na Allah ambaye anatetewa na kupiganiwa na waislam duniani kote. Ukristo ni udhihirisho wa upendo na nguvu za Mungu aliye hai bali Uislam ni udhihirisho wa chuki, hasira na nguvu za kibinadamu.
@samwelimwanja4105
@samwelimwanja4105 5 месяцев назад
Mungu Akubariki sana ndugu yangu kwa kutambua hilo
@ramadhanwilbard8196
@ramadhanwilbard8196 5 месяцев назад
Yesu hawezi kujitete ndiyo maana alipigwa sana na kugongwa misumali na kufa nakuzikwa kwa mujibu wa maneno yenu ;Huyu atakuwa ni Mungu gani?Kwanza kumlinganisha Allah na Yesu hiyo ni dharau ,Allah ndiye Mwenyezi Mungu aliyemuumba Yesu.
@samwelimwanja4105
@samwelimwanja4105 5 месяцев назад
@@ramadhanwilbard8196 ndugu yangu ogopa sana kitu usichokijua na ukaamini unavyoamini wewe mimi naweza kukuuliza je? Umewahi kusoma biblia? Na je? Unajua dhumni la kuja na kufa kwa kristo msalabani? Bila shaka hujui, Busara ni kuwa ujifunze pande zote na kuuliza maswali kwa lengo la kujifunza Acha kuridhi Dini mtafute Mungu wa kweli na pia kama Unaona yesu ni wa kawaida je? Kazi alizozifanya kuna mtume au Nabii yeyote amewahi kufanya hivo? Je? Unamjua Allah!
@Ostica..Omie..junior
@Ostica..Omie..junior 5 месяцев назад
Kama yesu ni mungu wa kweli..toa maandiko kwenye bibilia..sio unaongea tu mawazo yako wewe
@JonathanNelson-l8h
@JonathanNelson-l8h 5 месяцев назад
Yesu ni mtoto wa Mungu
@flexstevin2385
@flexstevin2385 5 месяцев назад
Uislam umenyooka sana,.Yesu ni Mtume na Wala si Mungu.
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 2 месяца назад
Mtakaa na Giza lenu
@Gesareh-v4d
@Gesareh-v4d 5 месяцев назад
Dr Sulle anasema Luke 4:16 kwamba yesu aliswali msikitini ,...Je sinagogi ni msikiti????..kama yesu alienda sinagogi siku ya sabato mbona waislam mnaswali ijumaa??
@chapchap-oz1ou
@chapchap-oz1ou 5 месяцев назад
Walimu wa kiislamu hutumia luka 4:16 kuhalalisha dini yao au kudanganya eti Yesu ni muislamu....ukisoma aya ifwatayo ya 17 inasema Yesu alipewa kitabu cha nabii Isaya asome.....swali ni..kitabu cha nabii isaya kinapatikana kwa Biblia au korani? Without Lies Islam dies!!
@muzzoonlinetv7446
@muzzoonlinetv7446 5 месяцев назад
Asante dr
@Gesareh-v4d
@Gesareh-v4d 5 месяцев назад
John 17:22 ..Utukufu ule ulionipa....ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja ,23 mimi ndani yako na wewe ndani yangu so the word" US" underline it
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 5 месяцев назад
Wewe ndiyo huna elimu ya dini kabisaaa. Na huelewi hata
@ramzanqarim4977
@ramzanqarim4977 5 месяцев назад
Unapotea kwa kuwa hujui maandiko
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 5 месяцев назад
"Utukufu Ule ulionipa".. 🤔 ... Aliempa Utukufu YESU ni nani..!??? 😃 .. (John 17:22) I have given them the glory that you gave me, that they may be one as we are one. (One in Purpose) Umeelewa Mzungu..!??? 😂
@Gesareh-v4d
@Gesareh-v4d 5 месяцев назад
Yesu ako na mamlaka yote mbinguni na duniani ,na yeye ndio atayehukumu ,mohamad hana lolote hata cheo ya security hamna
@mpembaupemban9479
@mpembaupemban9479 5 месяцев назад
​@@Gesareh-v4dwew bado sana nenda ukasome bibilia ili uijue dini acha kiburi
@Putin331
@Putin331 5 месяцев назад
Mwambie huyo dokta sule aachane na uchawi wa manyota nyota
@BanyangaMohammed
@BanyangaMohammed 5 месяцев назад
Weye kama mwalimu wakislamu kusema yesu si mungu haimufanyi kutokuwa mungu kwasababu yéyé alikuwako kablayako nausi sahaukwamba utahukumiwa n'a huyohuyo unayesema simungu
@pilimusa3217
@pilimusa3217 5 месяцев назад
Yohana 17:3
@salummnguruta4518
@salummnguruta4518 5 месяцев назад
Kweli kazi ipo.Mwenyezi Mungu akufungue macho,masikio na moyo kabla haijawa too late
@mariowatz5814
@mariowatz5814 5 месяцев назад
😂😂😂😂😅😅
@AMANIISSA-b5c
@AMANIISSA-b5c 4 месяца назад
Saahii kabisa maelekezo Ayo dr. Sulle
@SuleimanKahangwa-oj9eh
@SuleimanKahangwa-oj9eh 5 месяцев назад
Yesu nimwanadam kama mimi
@DafudaDotto
@DafudaDotto 5 месяцев назад
Umepotea
@Khalid-r6l6d
@Khalid-r6l6d 5 месяцев назад
​@@DafudaDotto haya amepotea nawewe unasemaje Kwa yesu? Sbb yeye kasema ysu siye Mungu akawa mpotevu kwako haya sema wewe ni Mungu aje !?
@shirrangimedia4570
@shirrangimedia4570 4 месяца назад
Watuwengne bwana yesu alizaliwa bila mapenzi yamtu namtu we we wazaziwako wamejamiana ndio ukapatikana unasemaje unafanana nayesu jaribuni kusoma vitabuvyamungu kuliko kukosoa nawakati hamjui lolote yesu nimungu asilimia 100 nanimwanadamu asilimia 100 soma yohana 14:9_ nakwendelea utajua ukwer maswali unayo yauliza Leo ndio utajua naujue yesu amekuwapo tangu kuumbwa kwadunia nakabra ya Ibrahim
@shirrangimedia4570
@shirrangimedia4570 4 месяца назад
Mungu aliuvaa mwil ili aupeleleze ubinadamu maana toka amemuumba mwanadamu alikua anawaua wakikosea lakini toka katua duniani ndioleo tumepata Uhuru wakumuomba mungu bila kumtumia mtu yoyote maana zamani hakukua nauwezo wakumuomba mungu bila kutuma kwamtu
@Khalid-r6l6d
@Khalid-r6l6d 4 месяца назад
@@shirrangimedia4570 hii ni uwongo na umesema nakuamini kitu huna ushahidi nayo wala ukijui pengine2 umefunzwa hivyo na unashikilia Tu Ivo pole Sana lkn chance bado ipo
@michaelkenga9150
@michaelkenga9150 4 месяца назад
Dr Sulle je ushapata kusoma kitabu cha Yohans 21:25 - kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu ambayo yakiandikwa moja moja nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vitabu vitakavyoandikwa. (Kwa hivyo Wacha porojo za ati Yesu Kristo kuanzia miaka kumi na mbili hakufanya kitu mpaka 30) Rudi shule ukasome vizuri.
@cyprianchale602
@cyprianchale602 5 месяцев назад
Qur'an imecopiwa kwa bible hakuna jipya humo janja tyu
@Yusufu940
@Yusufu940 5 месяцев назад
Heshima sio janja bali kaongea kulingana na Uwilamu na ww pitia mahadiko kwenye Biblia ndo mwenye akili kufanya sio kupinga kwa comment
@abdulrazack9577
@abdulrazack9577 5 месяцев назад
Tupe maandiko yaliyokopiwa ambayo ni yaleyale na kwenye Quran
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 5 месяцев назад
Quran na bible kipi kitabu Cha kielimu wewe
@makombaatv3311
@makombaatv3311 2 месяца назад
Ukikemewa kidogo tu hapo kwa jina la Yesu unaanza kulipuka majini alafu unajimwambafai ,,,Yesu ni mwamba imara hafanyiwi dhihaka
@msabilapaul4013
@msabilapaul4013 5 месяцев назад
Sinagogi n mskiti wa wayahud sio mskiti wa waislaam
@HassanSadiki-l5c
@HassanSadiki-l5c 5 месяцев назад
Hapo Inayo zingatiwa ni Tafsir ya neno Sinagogi...Na tafsr ishataja mskiti ....Sasa ww na usomi wako lete Tafsir nyengne isitaje mskiti
@jeiddaryqaissar4029
@jeiddaryqaissar4029 4 месяца назад
Allah akujaliee kheri na baraka sana na akukingi na shari zote za duniaa akupe afya njema tuendelee kuneemeka na elimu yako dr.sule wewe ni mwalim mzuri alhamdullah. Na mungu akujaliee watoto wako wapate elimu kama yako ikiwezekana wakuzidi kabisa zaidi yako aminiiii😊
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 5 месяцев назад
SHEIKH SAMAHANI: Eti kuna ukweli Waislamu hatupendi kuusikia. 7:52 Kwanza Paulo hakuandika Waraka kwa Waebrania. Kingine mheshimiwa Sheikh: kubalini Q'uran ilikopiwa kutoka kwenye Biblia na walikopi walikosea vitu vingi. Vitabu vya kwanza kwenye Biblia zimeanza kuandikwa karne ya 13 BC, Q'uran imekopiwa kutoka kwenye Biblia Karne ya 6 AD tena kubadilisha vitu kibao. Mohamedi katuambia tukikwama popote tuwaulize waliowatangulia ndio maana mtasoma Biblia sana tu, Wakristo hawaangaiki na Q'uran. Yesu alikuwa myahudi halafu alikuwa mwislamu!😂😂😂
@saidabdurahman9631
@saidabdurahman9631 5 месяцев назад
Hujui historia ya mtume wetu muhammad kaa kimya😂😂
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 5 месяцев назад
We nawe hata unachoongea hukijui
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 5 месяцев назад
@@Xuxu-f7j prove I don't know! Don't just console your lack of knowledge because you never do research and wait others to do it for you. Nkt!
@Xuxu-f7j
@Xuxu-f7j 5 месяцев назад
Kwa unavyocheka bas kama unajua unachokiongea 😅😅😅 ila nyie dah haya bhna tutaenda kukutana mbinguni maana mnamanabii mpka wanawake ila bado mmo
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 5 месяцев назад
@@Xuxu-f7j find out knowledge bro.
Далее
PROPHET IPM AWATAJA WANAOTAKA KUMUUA
30:26
Просмотров 4,2 тыс.