Ahsante uncle joel ipo siku hata iwe miaka mitano ijayo kuna siku nitakupa ushuhuda wang jinsi unavyonisaidia, naomba Mungu atujalie neema zake na tufanye yale yaliyo sahihi na atujalie umri mrefu. Ubarikiwe tena na tena 🙏🙏🙏
Joel hakika toka nianze kufatilia 2021 mpaka mwaka uu umenipa nguvu kubwa yakujiamini na kusonga mbele kwakidogo npatacho hakika kinanijenga vyema Allhamdullhai ..ntakutazama kila asubui kama mila na desturi yangu
Kwa kweli katika orodha ya marafiki zangu wote niliokuwa nao hapo awali wamesha kuwa na maisha yao katika sector tofauti tofauti lakini sikuwahi kujiona kama nimecherewa hata kidogo kwenye maisha kwa sababu nilipo ni njia sahihi na naamini itanipeleka kukamilisha malengo niliyojiwekea na nathamini vyote vilivyo navyo.. **Ahsante kwa advice nzuri Broo na nimejifunza mengi sana kwenye video hii
Mungu anakutoa kama ningejiunga nawe mapema huenda leo ningekuwa mbali ila insha Allah bado sijachelewa nakubali sana kazi yako kaka mungu awe nawe insha Allah by Zambiko jr
nimekuwa mfatiliaji mzuri wa kozi zako unazozitoa katika mtandao wa youtube. Mwenyezi mungu akubariki sana kwa kuzidi kutuongezea maarifa ambayo yanatusaidia tunapokumbana na mitihani mbalimbali katika maisha yetu. See you at the top
Bro Nanauka umenifanya ni kumbuke andiko kutoka kitabu cha psalm 90:12 Inasema basi na utukumbushe tujifunze kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo wa hekima na akili; ubarikiwe sana
Ahsante coach Somo nzuri sana kaka angu.. Mungu akubariki, Hakika mafanikio ni mrorongo mrefu thax y inafikia hatua Mtu anaona kama vile amechelewa au amekosea njia kabisa
Asante Sana brother maana mi nilikuwa siweki akiba nikiamini ninachofanya ndio aKiba yangu lkn kumbe nilikuwa na feli Sasa nimeanza kuweka akiba nilikuwa naona nimechelewa natamani ningepata hili somo mapema lkn nashukuru nimepata kitu kwenye kutokuona umechelewa
Kaka Nanauka niwakati Sasa wa kuzisoma ebook zako na kuzielewa.. hua najfunza mengi kwa maana hua unanirudisha kwenye mstariwangu wa maonoyangu,, Sina neno zaidi ya kusema endelea kutuvusha Kaka. Mungu akubarki Sana