Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.
Hakika nafarijika sana na maneno kuntu unayoyazungumza kaka Mungu akubarik na siku moja tutaonana nitoa ushuhuda wa namna nilivyotumia mafundisho yako kupiga hatua
Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu