Тёмный
No video :(

Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka 

Hamasika Tv
Подписаться 41 тыс.
Просмотров 57 тыс.
50% 1

.
#joelnanauka #mafanikio #malengo #focus #newsupdate #inspiration
#motivation #swahili

Опубликовано:

 

24 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 84   
@GORETHKALEMERA
@GORETHKALEMERA 13 дней назад
Huko sawa
@JastinSichilamba
@JastinSichilamba 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉 nakubali sana joel
@judithsilayo9776
@judithsilayo9776 2 месяца назад
Nikwli kaka watu wengi wako hivyo Mimi nimeteseka sana ,Mungu akubari kwa elimu unayotupa.
@speciozakaloli
@speciozakaloli 2 дня назад
Uko sawa kabisa
@masterkey536
@masterkey536 10 дней назад
Uhakika 💯💯
@DianaMwacha
@DianaMwacha 4 месяца назад
Asante kaka umenifanya nijitambue mungu akubariki sana
@mkilimamoses2311
@mkilimamoses2311 4 месяца назад
Mwalimu wa kweli kabisa.Upo duniani kwaajili yetu.Napenda sana mafundisho yako kwani ubongo wako ni kubwa mnooo.The happiest person is that who do things for others.Ubarikiwe sana Joe👍🏻👍🏻👍🏻.
@juniorkamwela6434
@juniorkamwela6434 5 дней назад
Long life sir I appreciate you
@anselemimchulo4084
@anselemimchulo4084 24 дня назад
Hakika nafarijika sana na maneno kuntu unayoyazungumza kaka Mungu akubarik na siku moja tutaonana nitoa ushuhuda wa namna nilivyotumia mafundisho yako kupiga hatua
@janethdavidsanga5999
@janethdavidsanga5999 26 дней назад
Asante sana kaka joel,umenisaidia sana nitakurudia hapa Mungu akinipa uzima baada ya mwaka mmoja
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w Месяц назад
Amen Utukufu kwako YESU
@mwambasaguda9655
@mwambasaguda9655 4 месяца назад
Ubarikiwe Kaka ujumbe mzurii umenifungua
@MasungaGahima-es5ei
@MasungaGahima-es5ei 26 дней назад
Nimevuna kitu hapa
@ISDORICHAVALA
@ISDORICHAVALA 2 месяца назад
Ahsanteh kaka joel kwa mafunzo unayoendelea kunipa naendelea kuyatumia maarifa yako 🎉
@GeorgeMakanza
@GeorgeMakanza 2 месяца назад
Mtumishi sjawah kutoka moyon kumwelewa mtumishi wa Mungu kama wewe ukwel wewe ni mwalimu nimekuskiliza, ninakuelewa sana Mungu akubariki nipo mwanza
@eselinabibuka9610
@eselinabibuka9610 4 месяца назад
I appreciate your presentation. God bless you abundantly!
@fadhilimwamgiga2614
@fadhilimwamgiga2614 4 месяца назад
Yes
@dicksonmgoga-hj4im
@dicksonmgoga-hj4im 4 месяца назад
Good job!
@naomisiha4919
@naomisiha4919 4 месяца назад
Nashukuru umeniponya
@RaikoWkt
@RaikoWkt 3 месяца назад
Nakukubal sana mzee mungu ata kulipa
@FikiriPhilipo
@FikiriPhilipo 3 месяца назад
Asantesana mwalimu umenibaliki Kwasomo zuri sana God bless you
@christinechambuni9060
@christinechambuni9060 3 месяца назад
Mungu akubariki sana mtumishi Amen and Amen
@user-xz9wx8hq7e
@user-xz9wx8hq7e 3 месяца назад
Ubarikiwe sana kaka
@julioclauditayaye9368
@julioclauditayaye9368 2 месяца назад
Barikiwa sana
@EMANUELMWAKITINYA-vr4ge
@EMANUELMWAKITINYA-vr4ge Месяц назад
Hakika kweli kabisa Coach life
@petermsangi2701
@petermsangi2701 3 месяца назад
Ur such a genius brother...
@user-ue3uu1eh8n
@user-ue3uu1eh8n 4 месяца назад
MaashaAllah nashukuru sana
@user-zl2cp8ws8r
@user-zl2cp8ws8r 4 месяца назад
Really said brother
@salhakyande3905
@salhakyande3905 2 месяца назад
Nice having u!
@stanleytoo2028
@stanleytoo2028 4 месяца назад
God bless you joel Nanauka
@hafidhhamad5732
@hafidhhamad5732 3 месяца назад
Thank you very much for this
@neemaemanuel7715
@neemaemanuel7715 4 месяца назад
I'm proud of your lectures 😊
@fadhilimwamgiga2614
@fadhilimwamgiga2614 4 месяца назад
You play a great role to me
@AwidiMwafongo
@AwidiMwafongo 3 месяца назад
mungu akubariki sana
@user-ih1ib9kc5j
@user-ih1ib9kc5j 4 месяца назад
Thanks alot brother... God bless you...!
@lilianmjema3205
@lilianmjema3205 4 месяца назад
Asante sana umenisaidia
@victormusoga4136
@victormusoga4136 2 месяца назад
Unapendeza kwa mafundisho
@LengishonMepukori
@LengishonMepukori 4 месяца назад
Big up mwalimu una content me nafurahi sana kukusikiliza
@user-dr1qd7bu7e
@user-dr1qd7bu7e 4 месяца назад
Good advice.
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 4 месяца назад
Kweli shukran
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 4 месяца назад
Kabisa
@user-qn3jg1um7f
@user-qn3jg1um7f 4 месяца назад
Uko sahh
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 4 месяца назад
Mwalimi kwakweli hapo kwasoda yani pameninghusa sana.ilanimelipendha sana funzo hili limeninghusa sana
@HenryAlinda
@HenryAlinda 4 месяца назад
Mimi niko Congo na furaia mafundisho sana yesu aku bariki
@user-pz3dx8wn3j
@user-pz3dx8wn3j 3 месяца назад
Tujuane bc
@AthanasioDungumaro-rj4bc
@AthanasioDungumaro-rj4bc 4 месяца назад
Very nice story.
@sammwakalinga2705
@sammwakalinga2705 4 месяца назад
Kweli kabisa wengi wetu tunashindwa kufanya maamuzi🎉🎉
@TinaKisomba-jt6yr
@TinaKisomba-jt6yr 4 месяца назад
Amen
@leonidaskalumuna
@leonidaskalumuna 4 месяца назад
Joel,Joel leo umenisema nakushkr sana Mungu akulinde uendelee kunisema ahsante
@EdmundAssenga
@EdmundAssenga 3 месяца назад
Asante kaka
@MbarakaMasharubu
@MbarakaMasharubu 4 месяца назад
Amin
@bonnyjessy9657
@bonnyjessy9657 4 месяца назад
🙏🙏🙏🙏🙏
@user-xv6lq2st1p
@user-xv6lq2st1p 4 месяца назад
Asante sana🙏
@user-ih4mp1ds8k
@user-ih4mp1ds8k 2 месяца назад
Sawasawa
@anatoryjames4128
@anatoryjames4128 2 месяца назад
Exactly
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 4 месяца назад
Huwezi kuchagua soda😂. Big up brother. We are together Sir
@bettymvanga3273
@bettymvanga3273 3 месяца назад
Truly
@user-su8po8yr4m
@user-su8po8yr4m 4 месяца назад
Kaka niyo kweli kabisa
@DuraMuhenga
@DuraMuhenga 2 месяца назад
Jaman me nan biashar ya dagaa nyama npatkan dar es salaam mbagala nauz jumla nfnya derivary kam unawtka nifhamishe tfdhal
@daynessmarcel958
@daynessmarcel958 4 месяца назад
👏👏👏
@realemma2312
@realemma2312 4 месяца назад
🙏🙏
@user-qu6gp6zx3l
@user-qu6gp6zx3l 4 месяца назад
Axante mungu akulinde
@bonnyjessy9657
@bonnyjessy9657 4 месяца назад
😢😢 so touching 😔😔😔
@Sangaligospel
@Sangaligospel 4 месяца назад
Kweli
@ApostleMwl.IsayaIaiser
@ApostleMwl.IsayaIaiser 4 месяца назад
Ukweli mtupuu 😢😢
@suleimanhakimu2543
@suleimanhakimu2543 4 месяца назад
Umeniongezea kitu.
@BalekeleBanga
@BalekeleBanga 4 месяца назад
fact
@HappynessKinawa-ol4qr
@HappynessKinawa-ol4qr 4 месяца назад
@MapesamsodokiJr
@MapesamsodokiJr 2 месяца назад
Nimejifunza kitu
@harunaselupanga2146
@harunaselupanga2146 4 месяца назад
nakushukuru sanaa
@KukuVillage
@KukuVillage 4 месяца назад
Hapo kwenye cheat day ya diet. Dah! Ni kweli nilikwishaaaa
@mosesfrancis8495
@mosesfrancis8495 4 месяца назад
👊
@daudymbukwa5495
@daudymbukwa5495 4 месяца назад
Naona mwanga kak tokea nimeanza kuku skia na yote niliyo yaskia kwak k Yamesha nitoa hatua moja naeleke A hatua nyingine
@mojafaster96
@mojafaster96 4 месяца назад
Hapo ni wafanyakazi wanao jiendeleza kwa ajili ya kazi na baada ya hapo tukistafu mambo yanakuwa mengi
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 4 месяца назад
Ok
@evamarua4998
@evamarua4998 4 месяца назад
Mume wangu amekua akinirudisha nyuma kila wakatia unafanyaje na ndio mume
@mwajumayunus2041
@mwajumayunus2041 4 месяца назад
Fanya maamuz magum utanishukuru❤
@elisannko5892
@elisannko5892 2 месяца назад
Ongea naye japo kabla ya maongezi Fanya naye sala then atakuelewa tu
@BapileMeshack
@BapileMeshack 2 месяца назад
Samahani sir vp Kwa yule anayefanya kazi ili alipe fees I mean ni mwanafunzi.
@yusuphsteven260
@yusuphsteven260 2 месяца назад
Samahan kaka naomba msaada wako Mimi ni meneja wa bar nimeanza kazi hii nikiwa Sina uzoefu nayo lakin nikajitaidi kwasababu nilikua nashida Sana nakaz pia nilikua nataman Sana kufikia Zaid yamalengo ya ofisi nikakabiziwa mzigo wa laki tano ta 2300, baada yamiez 4 nikaanza kushuka wateja weng vinywaj vinadoka sana ila pesa haionekani nauz at cret 7 ila mda wakufunga ofis nafanya esabu nakuta pesa iliopo niyakret 2 tu nikaogopa kutoa taalifa nikaona kwanza niilipe hio pesa iliopotea ili nifatilie nijue nn tatzo baada yahapo nikajua niushilikina ambao boss wangu anaugomvi namt yule Mt ndio anafanya yote hayo yakupotea pesa huyo Bibi aliniita akaniambia niache kufatilia vitu vusivyonihusu nikamshilikisha boss ili afanye kitu akasema atafanya ila hakufanya nimeshuka kimauzo nakubaki mzigo wa laki na nusu tu boss kasema nilipe hio pesa iliopotea mwezi huu kagoma kunipa mshahara nimeongea nae nakumuelewesha ila kagoma japo kasema atalifanyia kaz lakupotea pesa ila pesa iliopotea lazma niilipe Mimi yote nimeshawaza Sana nimeshindwa nifanye Nini maan sihusiki nayeye anajua hiko kitu
@leahilom-o7206
@leahilom-o7206 Месяц назад
Nakushauri mlipe , acha kazi, tafuta nyingine
@godibless3700
@godibless3700 4 месяца назад
Bro naomba uniunge kweny magroup yako
@alexmwalingo5020
@alexmwalingo5020 4 месяца назад
🙏🙏🙏🙏
@lilianmjema3205
@lilianmjema3205 4 месяца назад
Kweli
Далее
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Просмотров 119 тыс.
Будзек и рецепт🐝
00:25
Просмотров 109 тыс.
AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA
17:14
Просмотров 98 тыс.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
KUIPAMBANIA NDOTO YAKO - JOEL NANAUKA
13:57
Просмотров 8 тыс.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
UBONGO WA MWANADAMU - JOEL NANAUKA
13:23
Просмотров 69 тыс.