Тёмный

Usikubali kudanganywa kwa kuambiwa Utaletwa Ulaya kwa njia kama hizo☝️❤️🙏☝️ 

Amina Kupila
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Tafathali uwe muangalifu na watu kama hao nao waelezea ukitaka kuja Ulaya💗💗💕💕☝️🙏🙏🙏.

Опубликовано:

 

26 янв 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 397   
@VeronicaJanuary-lf5io
@VeronicaJanuary-lf5io 2 месяца назад
asante naitaji kazi najua lugha ya kiswahili tu
@florathomas6234
@florathomas6234 3 года назад
Asante dada Amina kwa ushauri mzuri,well received and noted
@saidrusuma8523
@saidrusuma8523 3 года назад
Bi. Aminah kwakweli leoo umenikosha saana, kuanzia jinsi unavyoongea hadi pia unavyotufikishia ujumbe Mzuuri kabisa, yaani wewee ni LULU ambayo hatupaswi kuipotezaa!! Namuomba mwenyezi akutunze na akulinde, piaa watu wabaya wakupitie mbaali Mama.!! 🥰😍😘
@paskalishida7525
@paskalishida7525 Год назад
Mi mtanzania naweza pata kazi
@aminakupila3079
@aminakupila3079 11 месяцев назад
Asante sana ndugu yangu Namshukuru MUNGU kwa kukupa moyo ulionao na Samahani sijui a comment yangu ni vigumu kuona zote na kuzijibu nakushukuru sana🥂🥰🥰🥰🙏🙏🙏
@Mosesy_Bright
@Mosesy_Bright Год назад
Ubarikiwe sanaa na Mungu aliye hai.... Na roho mtakatifu azidi kukuongoza....🙏🇹🇿🌦️❤️
@HawaAbell
@HawaAbell 3 месяца назад
Asante sana dada Amina ninandoto yakuja kufanya kazi huko je unaweza kunitajia kazi nakupenda❤
@josephirambona343
@josephirambona343 27 дней назад
Jambo sana
@mugisha580
@mugisha580 3 года назад
Uyu maman ni mungu arimureta nakupenda malaika😍😍😍👍🥰
@shohamuwokovuhalisi.2648
@shohamuwokovuhalisi.2648 3 года назад
Namshukuru MUNGU BABA kwa mafunzo yako. Barikiwa
@jacksonmusimo8355
@jacksonmusimo8355 3 года назад
dada nimekuelewa sana firsttime nakusikiliza kwenye interview yako na sky nimevutiwa sana na wewe kwa maono yako wewe huko very smart nimekukubali na kukupenda bure
@blackninjaentertainmentssh8076
Hongera Sana Amina Kwa mafundisho yako Kwa wengine walio hawajui na mengine hawaja wapata god bless you big thanks Emmanuel from Italy milano
@joycemalisa5703
@joycemalisa5703 Год назад
Amina kama jina lako nakushukulu sana ninataman sana ndgu yangu ila kwa njia sahihi pls na kuna mjane na watoto namwonea huruma lakin uwezo wakumsaidia na watoto wake mungu akusaidie uisome
@deborahrehema5819
@deborahrehema5819 3 года назад
Ubarikiwe sana kweli nipo Miaka 16 ulaya niliishi Holland na hivi naishi Ireland unasema kweli keep telling them the truth wengi sana wana wadanganya na wengine kuwaogopesha wengine sababu hawataki wake nao wa enjoy maisha ya huku 🥰🥰🥰
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Asante sana ndugu yangu 👍☝️💕💕💕💕😘☝️🙏🙏🙏
@lydiagabrielshirima4717
@lydiagabrielshirima4717 Год назад
Waaaoooooo asante dada kwa ushauri wako nitaftie nami kazi huko
@agnescarlos8868
@agnescarlos8868 Год назад
​@@aminakupila3079asante kw ushauli
@frankplatinam
@frankplatinam Год назад
Safi nahogera dada. Pia natamani nihishi ulaya lakini sina njisi please nisahidiyeni
@brownjoseph5154
@brownjoseph5154 Год назад
@@frankplatinam dada ubarikiwe Sana dada nimeipenda maelzo Yako mungu akubariki sana
@zainabibrahim4183
@zainabibrahim4183 3 года назад
Yote uliyosema ni kweli it's not easy than it's look, na sio kukurupuka.Ahsante dada 😍😍❤💕💖👍
@newtonnyembe8228
@newtonnyembe8228 Год назад
Nimekumiss sanaaa nakumbuka tu Mandela 😀
@Francis-kx1sb
@Francis-kx1sb Год назад
Safi sana dada yangu yangu wengi tuna ndondo za kufanya kazi huko asante umetuelimisha
@aishamsandawe3029
@aishamsandawe3029 Год назад
Dada amina nitafutie kazi ya usafi na mumewa.ngu nidereva Dada nifanyie msaadana amini mungu amekusimamisha utusaidie
@clarasima5447
@clarasima5447 3 года назад
Sijutii kukufahamu kupitia mtandao Dada Amina❤️❤️❤️
@kbdesgners
@kbdesgners Год назад
Mungu akuzidishie kwa kila mda unaotenga kwajil yawatu wengine nauzid kufanikiwa
@kisalaTV
@kisalaTV 3 года назад
Asante, kwa ukweli unao tupa, lakini mimi naacha tangazo wara sifanyi next, nakupenda dada unajuwa kufumbua macho ya watu
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 года назад
Shukulan Sana dadangu Unanifurahisha Sana Allah akubaliki
@yusrtv2622
@yusrtv2622 Год назад
Hongera sana dada allah akuhifazi kwa kutuelewesha kwani nna ndoto kuja nje sana
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 3 года назад
Leo umeongea vizuri sana amina,nimekuelewa kuliko siku nyingine,mimi niko ujerumani,waafrika wapo wengi wanaishi kwa tabu mnooo,siyo rahisi kwa kweli,
@gracekaniki789
@gracekaniki789 3 года назад
Tujuane ndugu yangu
@kilimba687
@kilimba687 Год назад
Ahsante Sana sister Amina nimekuelewa Sana me pia nina ndoto ya kuja kutafuta maisha huko nje! Kwa ajili ya kuwasaidia Ndugu zangu na wazazi wangu!
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 года назад
Nakuita Dada wa Ulaya kwa sababu wapo wengi wanafurahi kusifiwa tu ila wewe umejitolea kutueleza uhalisia ...unatusaidia sana coz kuna vingi hujui umuulize nani for better advice...Mungu akubariki sana🙏😍🇩🇪
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Asante ndugu yangu 💗💕☝️🙏🙏
@abdallahmagera9160
@abdallahmagera9160 3 года назад
@@aminakupila3079 MUNGU akulinde sana Dada yangu kwakutueleza ukweli
@Witnessvlog
@Witnessvlog Год назад
Asante dada kutwambia Ukweli. Mwenyew nimewahi kuokota chupa. Walioko ulaya nao wengine wanafeki maisha ndio maana wanaombwa Hela
@mjanaheriyusuph2708
@mjanaheriyusuph2708 3 года назад
Amina nimependa sana ushauri wako sana nina tamani nipate na mba yako lli nipate kuongea na wewe parayiveti nina ona una weza kunisaidia
@samanthalyimo4598
@samanthalyimo4598 9 месяцев назад
Asante sana dada Amina kwa maelezo mazuri na ya uwazi ,ndoto yangu ni kufika ulaya kufanya kazi kwa njia sahihi
@chalzsenior9075
@chalzsenior9075 3 года назад
Asante Mungu wangu kuweza kunikutanisha na uyu Dada... Ntakupenda maisha yang yote
@loirucklaizer52
@loirucklaizer52 3 года назад
Samahani Kuna swali nimekuuliza hujanijibu Dada Amina,swali langu nauli ya kuja na kurudi ni sh ngapi? Pia nyumba ya kulipia kwa miezi mi3 Ina gharimu kiasi gani? Naomba usichoke kutoa darasa.
@mohamedkitwiko3675
@mohamedkitwiko3675 Год назад
Safi kabisaaaaa dada
@baharesavip-yu8zk
@baharesavip-yu8zk Год назад
Dada nimekuelewa
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 3 года назад
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Oga😹😹🚴‍♀️🚴‍♀️🚴‍♀️
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Nakupenda sana my🌹🌹🌹❤️💕☝️🙏😘
@kombohamad5615
@kombohamad5615 Год назад
Heeee Allah akupe kheri na nguvu. Na Imani pia
@alla1325
@alla1325 3 года назад
Nimekupenda dada kwa ushauri wako mungu akubariki sana
@lilliansalvatory8183
@lilliansalvatory8183 Год назад
Asanteh sana dada Amina.. samahani naomba niwaeleze vizuri hiko chuo kipo posta pale karibu na holland house CRDB au ilipokua steers zamani pale posta .
@mathiascharles607
@mathiascharles607 7 дней назад
Asante dada kwa ushauri
@reginaoyugi7283
@reginaoyugi7283 Год назад
Amina nimekupenda Buree. Na pia nakuheshimu. Unaongea mambo muhimu sana kutoka moyoni mwako. Unaupendo Kwa watu wako. Mungu akubariki🙏🙏
@aminakupila3079
@aminakupila3079 Год назад
Asante sana ndugu yangu🥰🥰🥰🙏🙏🙏
@user-vx7cg8vt9o
@user-vx7cg8vt9o 6 месяцев назад
Dada Amina asante sana kwa kipindi chako kizuri na Mungu wa mbinguni akubariki sana
@saumusulaiman4742
@saumusulaiman4742 Год назад
Ubarikiwe dada❤
@allanquaterman98
@allanquaterman98 Год назад
Dada hakika mungu yuko nawe, nakushukuru sana ,umenifundisha kitu kikubwa sana ambacho nimekua naumiza kichwa maana mpaka nikawa naseach nitafute nijue taratibu, nilikua na ndoto kama hizo za kubadilisha maisha yangu, hapo ngoja niendelee kufwatilia umenipa mwongozo mkubwa sana mAana niliona simple
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 3 года назад
Oh hhhhhhhhh my God kila nikisikiza video za huu dadangu nazidi kumupenda mungu akubaliki kwa roho yako nzuri mashallah
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Shukurani ndugu yangu 💗☝️💕💕🙏
@elesiaamasha1429
@elesiaamasha1429 3 года назад
asante mama kwa ushaur hakika umenitoa mahali fulani Mungu akubariki sana
@reginaoyugi7283
@reginaoyugi7283 Год назад
Nashukuru Mungu Kwa kuniunganisha na chanel yako... Amina nitakutafuta maana naitaji sana ushirikiano wako... Naisi moyoni mwangu nimekuelewa sana. 🙏🙏🙏🙏
@SalomeKhalfani-cm9xy
@SalomeKhalfani-cm9xy 3 месяца назад
Amina tumekumusi sana
@ashamtoro6619
@ashamtoro6619 3 года назад
Asante sana bi amina niushauri mzuri sana mungu akubariki
@alexrukundo6048
@alexrukundo6048 3 года назад
Amen ubarikiwe
@asmahtamla4749
@asmahtamla4749 7 месяцев назад
nimekupenda sana dada kwa ushauri wako mzuri ,thanks be blessed sister.
@sarahjohn7772
@sarahjohn7772 3 года назад
Jaman❤️❤️❤️ Nakupenda Sana Na Ntazidi Kukupenda Sana Kiukweli❤️❤️❤️😀🙏🙏🙏🙏🙏
@khadijahmadua4811
@khadijahmadua4811 3 года назад
Leo nimesikializa,nakuwaga siangalii vidio zako mpaka mwisho,wallh leo umeongea point nimesikilza kwa umakin,shukran love you❤❤
@aishaabdalllah4149
@aishaabdalllah4149 3 года назад
Ahsant sana dada mung akujalie kila la kheli nimejifunza kitu kimpya leo
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 года назад
Leo nimependa umeongelea topic moja big up sana. Uzuri wabongo wanapenda udaku saana, hizi story zakufanyishwa umalaya ulaya zipo sana wazitafute RU-vid wadada na wakaka wanalia kwikwi, wamekaa ulaya miaka hawana hata mia wanaishi kama watumwa au wafungwa.
@SofiaMhoma
@SofiaMhoma 6 дней назад
Asante kwa ushauri
@rishidihamza7782
@rishidihamza7782 3 года назад
Amina kupila nataka kukumbusha usiji pasuwe kichwa kuwajibu walala Hoi ambao hawana maisha rasmi. Wengi maisha magumu. Nawa natamani sana wewe uwe kama wenyewe. Kwaiyo usijisimbue Bure. Wooooote Hao ikibidi wa block hawajui Maendeleo. Mimi nipo nawewe team mmoja. All the way Australia 🇦🇺🇦🇺👍👍 take care
@aminakupila3079
@aminakupila3079 11 месяцев назад
Thank you dear 🥰🥰🥰🥰🥂🙏
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 года назад
Asante sana ant somozuli sana mungu atakulipa nimekuelewa vizuli
@evarramdhani539
@evarramdhani539 Год назад
Asante sana dada, nafurahi sana kukutana nawe.naomba ukipata Muda tuongee unisaidie asante sana.
@marthamlove1342
@marthamlove1342 3 года назад
Dada Amina Mungu Mungu akubariki sana kwa kueleza ukweli ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wengi hawaelezi ukweli juu ya Njia za kuja ulaya.Namshukuru Mungu leo nimepata channel yako kwa mara ya kwanza na nimesubscribe channel yako ili nipate mafundisho zaidi.🙏
@T.W3022
@T.W3022 3 года назад
Asante sana Dada Amina, Mimi napambana kutafuta scholarship kusoma nje, hii channel yako inafundisha vingi sana, nakupenda sana.
@emelesianaluambano5900
@emelesianaluambano5900 2 года назад
Amina sijui niseme ninimimi nimekuelewa sanaaa maneno yako ushauli wako nimefika mbali sana
@aminakupila3079
@aminakupila3079 2 года назад
Shukurani ndugu yangu 🥰🥰🥰🙏🙏🙏
@tinayonafoundertinayonafou1927
@tinayonafoundertinayonafou1927 3 года назад
Me nimesoma British council Steg 2 na nime pass lakini nilishindwa kuja kutokana na Baba yangu alifaliki. hila Mungu akupe maisha marefu nimekupenda dada
@fatumafarrah2547
@fatumafarrah2547 2 года назад
Asante sana dada amina ...
@mohammedbonero
@mohammedbonero 5 месяцев назад
Ukwel ni mzur sana mimi nataka kujua kwa mtu akitaka kuja huko kwa ajili ya kutafuta maisha vipi kuhusu vibali vya kuishi huko zinapatikana
@lilliansalvatory8183
@lilliansalvatory8183 Год назад
Mungu akupe nguvu na miaka mingi.
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 4 месяца назад
Kama Kuna Mateso mbona huludi Afrika Mimi Naishi Poland Karibuni sana
@mwajumakitano842
@mwajumakitano842 3 года назад
Asante kweli dear Mungu akubariki🥰😉
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 года назад
"Hakuna kazi ngumu Kama kuwa msema kweli, maana uongo ni bidhaa yenye wateja wengi ili hali ndani yake hamna Faida"" Safi sana dada yangu, tembea kifua mbele kwa kuzidi kutumbua majipu Wala usione haya ikiwa kusema kweli ndiyo Fungu lako salaam toka Mwanza 🐟🇹🇿. Pongezi pia leo kwa vazi rililo kustiri na utulivu wa pekee katika kuzungumza.
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Asante ndugu yangu☝️🙏
@mbekwamughenya9556
@mbekwamughenya9556 3 года назад
Pongezi sana dada kwenye hii Mada umeelezea kwa umakini mkubwa na utulivu wa hali ya juu ,umeeleweka vizuri sana . Usife moyo endelea kuelimisha jamii .sisi tuko pamoja na wewe.
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
@@mbekwamughenya9556 Namshukuru sana ndugu yangu ☝️💕💕💕💕🙏🙏🙏
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 года назад
We dada mungu akujaze afya umeongea kwel
@anitablessing57
@anitablessing57 3 года назад
Mungu akubariki dada🙏🙏
@user-lx3ov9sf4o
@user-lx3ov9sf4o 4 месяца назад
Asante sana Dada Amina
@neemajulius6403
@neemajulius6403 3 года назад
Najifunza, asante sana sis Nakupenda sana
@abdallahmagera9160
@abdallahmagera9160 3 года назад
Dada nashukuru sana Leo Mara yangu yakwanza kuona habari zako nimezipenda sana sijawahi kuona habari za kumjenga mtu kiimani upendo na kutuakikishia namna ya kufika, wengi wametasoeliwa sana
@jacklineurassa6006
@jacklineurassa6006 Год назад
Wewe dada unaakili nyingi sana mungu akuweke
@mjukuuwakabonga2031
@mjukuuwakabonga2031 3 года назад
Amina ,,asante my dear somo zuri
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Thank you 🙏 ❤️☝️🙏
@josephlugala3182
@josephlugala3182 3 года назад
Dada Amina Mimi napenda kufundishwa biashara nisaidie
@philipinagaspar8070
@philipinagaspar8070 3 года назад
Thank you dada Amina You change my life
@ashuraash3680
@ashuraash3680 2 года назад
Nashukuru dada kwa kutuelimisha
@magdalenauronu9279
@magdalenauronu9279 Год назад
Mungu akubariki sana we dada .. umetueleza ukweli 🙏🙏
@piliitelewe2826
@piliitelewe2826 Год назад
Dada Amina nimependa sana kipindi chako!naomba mawasiliano yako
@mohamedsuleiman8991
@mohamedsuleiman8991 Год назад
Ubarikiwe sana usemavyo upo sahihi
@natashaaron8705
@natashaaron8705 3 года назад
Asante Dada kwa kutuelewesha
@getrudamatoto5277
@getrudamatoto5277 3 года назад
Nakupenda dada asante ❤️
@khamisjuma39
@khamisjuma39 2 года назад
dada nakushiru mungu akupe wepesi nitafitie kazitu
@fatmaalrshdii7615
@fatmaalrshdii7615 3 года назад
Pamoja sana dada angu wa ukweli ulipo Nipo
@annexemmanuel7771
@annexemmanuel7771 3 года назад
umesema kwel amina nakupenda😘
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Me to dear💕☝️🙏
@upendolema9809
@upendolema9809 2 года назад
Barikiwa dada Amina🙏
@ameliawayua142
@ameliawayua142 3 года назад
Mungu akubariki Amina nilikua nataka kukuja kutafuta kazi, ila nimeogopa watu wanakatwa kichwa, wacha nikae na umasikini wangu
@aminakupila3079
@aminakupila3079 3 года назад
Kikweli nikipata yule ndugu nitamleta awasimulie.💕💗☝️🙏
@emmanuelamkinga7828
@emmanuelamkinga7828 2 года назад
asante dada nimesikiliza leo lakini nimeona kama umeongea leoivi God bless you
@aminakupila3079
@aminakupila3079 2 года назад
Thank you amen 🙏
@user-df7xo5nu9z
@user-df7xo5nu9z 4 месяца назад
Ni kweli jmn hio nimeiona kwa macho pia pia pia
@marrypius576
@marrypius576 Год назад
Nimekuelew dada Mungu anisaidie kun siku nitafika ulay kwa njia halali kabisaa
@user-ts2yq2jz6x
@user-ts2yq2jz6x 5 месяцев назад
Na mungu akubalik sana
@victoriaandrew9398
@victoriaandrew9398 3 года назад
Dada Amina nimekuwa mlevi wa masomo yako nikianza kuangalia video huwa sitaman kuacha. Ubarikiwe mnooooo
@adammussa2730
@adammussa2730 Год назад
Asante sana Dada asiye kuelewa unayo ongea uyo ni mfu
@tupilikeallan8990
@tupilikeallan8990 Год назад
Asante,kwa maelekezo mazuri,Mungu akubariki sana! natamani sana kufanya kazi ya uuguzi huko Uk, nilifanya IELTS hapa british Counsel Dar es salam nikapata 4,ila pia ilikuwa general training, UK inaitajika UKIV IELTS! so msaada wako please,
@lillianeriksson8183
@lillianeriksson8183 3 года назад
Yaani hii itasaidia sana sana hafadhali umeleta hii topic
@HalfaniChande
@HalfaniChande 11 месяцев назад
Ahsante dada amina
@pueblo148
@pueblo148 6 месяцев назад
Hello Amina.pls we communicate
@SalomeKhalfani-cm9xy
@SalomeKhalfani-cm9xy 5 месяцев назад
Jamani mie nataka kazi mleyeko malekani hata zandani nisaidieni jamn
@Jesca-ti1ms
@Jesca-ti1ms 5 месяцев назад
Kweli kabsa
@deboramhanga914
@deboramhanga914 Год назад
Amina ubarikiwe mnyalukolo wewe
@azizakombo376
@azizakombo376 Год назад
Mungu akubariki cna dada
@mog791
@mog791 Год назад
Mungu atusaidie San kwa vizazi vyetu vya ss
@user-mj4lh3pe6n
@user-mj4lh3pe6n 11 месяцев назад
Ubarikiwe Dada
@mpawenimanacharline5363
@mpawenimanacharline5363 Год назад
Mungu akubariki mamy
@adidjaadidja2578
@adidjaadidja2578 3 года назад
Asante my umependeza
Далее
КАК Я ЭТО СДЕЛАЛА?
00:13
Просмотров 257 тыс.
KUJIFUNZA KULA KWA MKONO.
11:04
Просмотров 7 тыс.
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
Просмотров 4 тыс.
UKWELI WA MAISHA YA CANADA
20:32
Просмотров 19 тыс.