Bi. Aminah kwakweli leoo umenikosha saana, kuanzia jinsi unavyoongea hadi pia unavyotufikishia ujumbe Mzuuri kabisa, yaani wewee ni LULU ambayo hatupaswi kuipotezaa!! Namuomba mwenyezi akutunze na akulinde, piaa watu wabaya wakupitie mbaali Mama.!! 🥰😍😘
Asante sana ndugu yangu Namshukuru MUNGU kwa kukupa moyo ulionao na Samahani sijui a comment yangu ni vigumu kuona zote na kuzijibu nakushukuru sana🥂🥰🥰🥰🙏🙏🙏
dada nimekuelewa sana firsttime nakusikiliza kwenye interview yako na sky nimevutiwa sana na wewe kwa maono yako wewe huko very smart nimekukubali na kukupenda bure
Amina kama jina lako nakushukulu sana ninataman sana ndgu yangu ila kwa njia sahihi pls na kuna mjane na watoto namwonea huruma lakin uwezo wakumsaidia na watoto wake mungu akusaidie uisome
Ubarikiwe sana kweli nipo Miaka 16 ulaya niliishi Holland na hivi naishi Ireland unasema kweli keep telling them the truth wengi sana wana wadanganya na wengine kuwaogopesha wengine sababu hawataki wake nao wa enjoy maisha ya huku 🥰🥰🥰
Nakuita Dada wa Ulaya kwa sababu wapo wengi wanafurahi kusifiwa tu ila wewe umejitolea kutueleza uhalisia ...unatusaidia sana coz kuna vingi hujui umuulize nani for better advice...Mungu akubariki sana🙏😍🇩🇪
Samahani Kuna swali nimekuuliza hujanijibu Dada Amina,swali langu nauli ya kuja na kurudi ni sh ngapi? Pia nyumba ya kulipia kwa miezi mi3 Ina gharimu kiasi gani? Naomba usichoke kutoa darasa.
Asanteh sana dada Amina.. samahani naomba niwaeleze vizuri hiko chuo kipo posta pale karibu na holland house CRDB au ilipokua steers zamani pale posta .
Dada hakika mungu yuko nawe, nakushukuru sana ,umenifundisha kitu kikubwa sana ambacho nimekua naumiza kichwa maana mpaka nikawa naseach nitafute nijue taratibu, nilikua na ndoto kama hizo za kubadilisha maisha yangu, hapo ngoja niendelee kufwatilia umenipa mwongozo mkubwa sana mAana niliona simple
Nashukuru Mungu Kwa kuniunganisha na chanel yako... Amina nitakutafuta maana naitaji sana ushirikiano wako... Naisi moyoni mwangu nimekuelewa sana. 🙏🙏🙏🙏
Leo nimependa umeongelea topic moja big up sana. Uzuri wabongo wanapenda udaku saana, hizi story zakufanyishwa umalaya ulaya zipo sana wazitafute RU-vid wadada na wakaka wanalia kwikwi, wamekaa ulaya miaka hawana hata mia wanaishi kama watumwa au wafungwa.
Amina kupila nataka kukumbusha usiji pasuwe kichwa kuwajibu walala Hoi ambao hawana maisha rasmi. Wengi maisha magumu. Nawa natamani sana wewe uwe kama wenyewe. Kwaiyo usijisimbue Bure. Wooooote Hao ikibidi wa block hawajui Maendeleo. Mimi nipo nawewe team mmoja. All the way Australia 🇦🇺🇦🇺👍👍 take care
Dada Amina Mungu Mungu akubariki sana kwa kueleza ukweli ni watu wachache sana wenye moyo kama wako wengi hawaelezi ukweli juu ya Njia za kuja ulaya.Namshukuru Mungu leo nimepata channel yako kwa mara ya kwanza na nimesubscribe channel yako ili nipate mafundisho zaidi.🙏
Me nimesoma British council Steg 2 na nime pass lakini nilishindwa kuja kutokana na Baba yangu alifaliki. hila Mungu akupe maisha marefu nimekupenda dada
"Hakuna kazi ngumu Kama kuwa msema kweli, maana uongo ni bidhaa yenye wateja wengi ili hali ndani yake hamna Faida"" Safi sana dada yangu, tembea kifua mbele kwa kuzidi kutumbua majipu Wala usione haya ikiwa kusema kweli ndiyo Fungu lako salaam toka Mwanza 🐟🇹🇿. Pongezi pia leo kwa vazi rililo kustiri na utulivu wa pekee katika kuzungumza.
Pongezi sana dada kwenye hii Mada umeelezea kwa umakini mkubwa na utulivu wa hali ya juu ,umeeleweka vizuri sana . Usife moyo endelea kuelimisha jamii .sisi tuko pamoja na wewe.
Dada nashukuru sana Leo Mara yangu yakwanza kuona habari zako nimezipenda sana sijawahi kuona habari za kumjenga mtu kiimani upendo na kutuakikishia namna ya kufika, wengi wametasoeliwa sana
Asante,kwa maelekezo mazuri,Mungu akubariki sana! natamani sana kufanya kazi ya uuguzi huko Uk, nilifanya IELTS hapa british Counsel Dar es salam nikapata 4,ila pia ilikuwa general training, UK inaitajika UKIV IELTS! so msaada wako please,