Kama mwanao kamaliza Form Four, usianze mambo ya kumpeleka nje ya nchi kusoma degree, na hasa kwa nchi za mataifa ya kimagharibi, na hususani wale wanaotafuta udhamini wa elimu wa juu ughaibuni #masomoughaibuni #udhamini #scholarships
Mimi ninafundisha katika chuo hapa Marekani, tangu mwaka 1991. Vile vile ni mtoa ushauri na mwelimishaji kwa waMarekani na waAfrika kuhusu tofauti za tamaduni ambazo wanapaswa wazijue waMarekani wanaokuja Afrika na waAfrika wanaokuja Marekani. Kwa hiyo, ndugu Makulilo, haya uliyosema hapa mwishoni kuhusu hatari za kumleta mtoto huku Marekani bila maandalizi ya kujua maisha ya Marekani yakoje, ni sahihi kabisa. Kuna kitu kiitwacho "culture shock" ambacho kinaweza kumwathiri kisaikolojia na kitabia mtoto au mtu yeyote ugenini. Wewe ndugu Makulilo unafahamu hata vitabu vyangu, kwani nimekusikia ukivitaja, lakini elimu hiyo waTanzania kwa ujumla hawaiwazii. Wao wameng'ang'ana tu kuleta watoto wao ughaibuni.
Eee Mungu wanguu kwahyo sisi wenye cheti tu ambacho vyuo vya huku tu havitupokei labda college binafsi,unatushauli nini mana tunatamani tuje huko kutafuta maisha huku kama tumefeli na familia zetu uku mbeya ni maskin tumezaliwa hata baba hatuwajui tufanyaje kuja huko kupambana na umaskini huu jamani,tusaidie ata deki na kubeba hayo mabox tutabeba tu Mambo magumu tytajiongezaga tukifika tukijua lugha yahuko
Hapo umetufumbua macho.....! Hata mimi nilikuwa nimeshaanza kuwaza kijana aanze kutafuta scholarship. Sasa basi, apige kitabu hadi University akiwa anaendelea na masomo.Hongera kwa kutuimisha watanzania. Endelea kutafuta na mengine.
Hi I agree with your view I live in calgary When my son when to study in Vancouver I had to go and settle him I come from Makao makuu (Dodoma) I have been in Canada 30 years Mimi nime Toka Dodoma Nakubali Kabisa ulichosema Muhindi mwema
Hapo kwenye kupoteza muda wa kurudia masomo kwa kidato Cha Kwanza na pili vipi kwa Uganda wanakosoma kingereza tangu la Kwanza Mbona nao wana kidato Cha nne na sita hiyo imekaaje?
Nikweli form 4yetu kwao kam primary darasa la sita ukija na form yko utasoma tena cheti akuna nguvu sana ulaya kidogo ukiwa high school Nikweli kabisa 💯
Sijapenda, kuna kale karoho ukisha fanikisha kuona kama wenzio awapambani, watu wanapambana kaka mazingira tu yanawafeilisha, kwan scholarships inautumwa gani.!?
Form four yetu Haina maana ulaya. Imenisumbua Sana. Unahesabiwa kama hujamaliza secondary school ukienda ñchi za nnje. Ñchi . Kwa Hilo ndugu yangu nimefurahi Sana kwa kuwaelekeza. Elimu ya Tanzan I a ni hovyo Sanaa.
I wish were had more Tanzanians like this !!!! talk about victim of the environment!!! i really like that they kept kiswahili as the language but everything else is downhill!!!!!
NAOMBA KUULIZA, ADVANCED DIPLOMA YA TANZANIA, KWA NCHI KAMA USA, INAJULIKANA KAMA DEGREE AU? JE, INA QUALIFY TO MASTERS AU NA SCHOLARSHIP ZA HUKO? YAANI UNAIONGELEA VIPI ADVANCED DIPLOMA KAMA ZILE ZILIZOKUWAGA IFM, CBE, NA KWINGINE
Huyo anaenda si lazima akasome masters akasome degree yoyote masters ni gharama zaidi lskini hata ukienda kusoma degree wanakwambia uanzie associate degree ndiyo uendelee na degree we usijali mradi ameenda akadome huku akipiga kazi wangu kaenda hivyo na ana degree