Mashine zina umuhimu mkubwa sana kwa taifa letu ningeshauri serikali iweke mkazo katika maswala haya na ningependa kuona wamiliki wawe ni watanzania ama serikali yetu . upande wa bei ya mashine hizi kwetu sio rafiki Ila natamani kuona watanzania wakimiliki na kuzifanyia kazi ipasavyo ninaimani tutajiweka katika nafasi nzuri na kupunguza gharama .. Yote kwa yote Hongereni sana Hivi ndo vitu tunavyotaka kuviona katika nchi yetu ila inabidi mtengeneze mazingira kwetu vijana pwent yangu kubwa nalenga kwetu watanzania tuwe ndo wamiliki