Samahanini comment zangu ziko nyingi kweli naomben like zenu nimecheka baada ya kusikia watoto mapacha watatu wote wa kike nimecheka kwa sauti kiasi kwamba hata watu nilikuwa nao walinishangaa na kuniangalia kwa ajabu haaa. Kumbe wewe ndio unambegu za watoto wa kike nimegundua chekooo wapiiiii😁😁😂🤗🤗😁😂Asante Mungu
I like this movie za kp na zebuu. Kwasababu zinafurahisha na kuchangamsha😂😂kp malipo ni apa apaduniani adhere ni hesabu.halafu kazi ya kumeesha ni yako ww😊😊😂😂😂❤❤❤❤nice 👌
Kp mjinga sana😂😂 mbegu za watoto si zinatoka kwako wewe ndo una mpa mtoto wa watu watoto wakike yeye anapokeya tu hapo ndo naonaka ujinga wa wanaume❤❤❤❤