Kajala kwenyewe aliingiya ni mbali saaana ila atumikishe hakili sababu siku ule kaka atachoka na yeye ndo ata tamani warudiane labada itakuwa haiwezekani tena. Kama anao washauri wamu shauri vizuri na awaze mara mbili. Akumbuke kipindi Ali fulia ila radjabu kamu rundisha kwenye game.
Umeongea fact konde familia itazanwe Sana ya maunda zolo cz maunda ndo alikuwa nguzo ya familia xa kaondoka kaiachia majonzi familia yake Rest in peace maunda Zoro 👏👏👏