Sofi nimemkubali by the way watu wanavyomchukulia ni tofaut na maisha yake kwa styl yake tu nilifikiria ataanza ubajet pesa ndefu kama aisha feruz kumbe wala hana mbwembwe kama mtu anatumia pesa hiyo kwa mwezi na Ana mishe kibao mwengine angesema m10 😂😂😂
Kila mtu na uzuri wake kajala ana uzuri gani mi namonaga wakawaida sana kuna wasichana wazuri jamani ila sofii zimejaa kichwan ndi mana anakwambia hela zake zinamatumizi mengine sio uturuku afu kitu kingine mashabiki ndo mnafanya kajala ajione bado mtoto umri umeenda kajala jamani rika na mimi
Kakona kielele mingi na venye kakona sura baya,,,,kuwa mrembo kwa matako tutatafuta badaye na tena kajali uwezi kumfikia ata kdogo mdo tu ndo ukonayo na matako ya mafi
Jamani ww sofi usijione mzuli au usitake ktk kajala humfikii ww jamani kajala mazuli jiangalie sula yako shep keli unayo kajala yupo juu ww una nn wakudanga tu
binafsi ninampenda wanawake dizaini hii sio wakudet deti hovyo ni story tu mapenzi kwenu.mara mojamoja sana sio watu wa kupenda sanaa mapenz.machachari yake tu.
Sophy unamiaka 22 na Kajala ana miaka 39.Sophy,wakati Kajala ana miaka 22 alikuwa mzuri mno hadi leo bado linavutia.Nakuwaza hapa,ukifikisha miaka 39 utafananaje🤔