Тёмный

Ust. juma Faki (Aqaz) -Ndoa ni Baraka 2021 

Juma Faki
Подписаться 51 тыс.
Просмотров 225 тыс.
50% 1

Usisahau kusubscribe nakushare kwa wengine link hii

Опубликовано:

 

27 ноя 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 250   
@MouniraMangilile
@MouniraMangilile 25 дней назад
Kun FAYAKUUN, hakuna wa kuzuia kilichotolewa na Allah 💯
@zainabhassan3456
@zainabhassan3456 2 года назад
Mashallah Walaah kaswida zako ni nzuri sana kaka angu Allah akujarie kila ufanyaro liwe lepesi kwako Inshaallah broo 🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@haydarhamad6532
@haydarhamad6532 2 года назад
Masha'Allah, Hujawahi kuimba Qaswida nzuri kushinda,hii😂😃kwanza hizi sauti ulizozitumia humu na miujiza hasaa,nakukubali Sana Maalim Juma.Allah akupe umri mrefu wenye kheir na ww😃😁
@princehalawa_official7980
@princehalawa_official7980 2 года назад
Mwalim hujawahi kusoea Ni SIIKA flani ivi🔥🔥🔥🔥
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Asante sana Hodari wangu Halawa
@watibf5731
@watibf5731 2 года назад
Mashallah Sh.Juma kwa kweli Allah kakupa kipaji cha aina yake ktk hii fani hujawahi kutoa kazi yako ikawa haina ubora wa hali ya juu
@abdallahjahoor193
@abdallahjahoor193 2 года назад
We juma mh!!! Htr hii💥🔥
@zaydmohamed-vn1ef
@zaydmohamed-vn1ef Месяц назад
mwalimu tutolee nyingine burudan inatufurahisha sana mungu akikuze kipaj chako uonekane dunia nzima 😎😎😎
@binallyamuz6895
@binallyamuz6895 2 года назад
Mwalim Juma Asante mzigo uko juu naupa 99% Ila Mawadah dah 20000% 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
😄😄😄😄😄😄😄 Mawadda iko juu
@binamubinamu1151
@binamubinamu1151 2 года назад
Mashallah hufananishwi na mtu wa nchii hii kwa uboraa wako mwalim juma hongeraa bwana weeeee
@khamisshehe1955
@khamisshehe1955 2 года назад
Bismillah Ma Sha Allah sichoki kuiskiliza Allah akuzidishie kipaji uzidi kutupa burdani ya Qaswida
@allyninja7082
@allyninja7082 5 месяцев назад
Kiukweli sijawahi kusikia mtu akisoma Siikaa kwa zanzibar hii lakin ndio kwanzaa nimekuskia ww na hii kazi khattar sanna wallah
@user-dy5eo2cy4m
@user-dy5eo2cy4m 11 месяцев назад
Ki kweli nakukubali sana ktk qasida zako zote. Na naipenda sana sauti yako dhahabu. ALLAH akuhifadhi na kila shari za dunia
@yaseenyaasir1772
@yaseenyaasir1772 2 года назад
Mashaallah Ustadh juma fakk unanifanya nilie kabsaa😚😚😚😋
@yussramussaame1401
@yussramussaame1401 Год назад
Allah akupe kila la kheir kwa kweli unatuburudisha ust jumaa💗💗
@rashidhamad9193
@rashidhamad9193 2 года назад
Kaz kakee hiyo
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Asant kake 😄😄
@mariamramadhan4296
@mariamramadhan4296 Год назад
Mashallah allah 🙏 akufanyie wepesi kila penye uzito
@stivualoycegwau6141
@stivualoycegwau6141 2 года назад
Mashaallah...Allah aendelee kukikuza vyema kipaji chako kaka faki
@UmmiMuhammad-hg2pe
@UmmiMuhammad-hg2pe Месяц назад
Mashallah fakih uko vema🎉
@mwanatumujuma4973
@mwanatumujuma4973 2 года назад
Masha Allah tabaraka Allah naomba no ya Muimbaji nahitaji kaswida kutungiwa Shukran
@idatally3846
@idatally3846 2 года назад
Aisee Mungu fundi wallah yani ukiamua kuhuzunisha had machoz ukiamua kufrai hadi tabassam linaonekana ww au bas acha tu mungu akulinde sana yani una kipaji cha pekee ktk znz hiii na hakuna wa kufanan nae ondoa wsws kbsaaaaa hakuna ....Nakpenda bure
@user-ef7mw5hj9p
@user-ef7mw5hj9p 9 месяцев назад
Mashaalaah nzuur cn
@mzurzamzam1877
@mzurzamzam1877 2 года назад
صوتك خلوة مشاري 📚🖊
@fatmanassor1504
@fatmanassor1504 Год назад
Nakoment kwa hasira mashaaallh unjuwa mpk unajuwa tna hujawahi kukosea allh mpe afya njema kiongozi wetu tunkupnda sanaaaaaaaa
@jumafaki1697
@jumafaki1697 Год назад
Ahsante punguza Hasira 😄😄 shukran sana sana
@alhajrahassan89
@alhajrahassan89 Год назад
Mashallah sheikh juma wajua sana Allah akubariki sana kwenye kazi zako amiin
@salehkhamis8653
@salehkhamis8653 2 года назад
ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎ لخیر
@saramohd8534
@saramohd8534 2 года назад
Allah Allah Allah maasha Allah hongera Sana qaswida nzur
@mohamadsuleimankhamis4627
@mohamadsuleimankhamis4627 2 года назад
Mashaallah
@zaitunimustapha9718
@zaitunimustapha9718 2 года назад
Kiukweli hujawai kuteleza hata siku moja ktk usomaj wako wa qasda Alla azindi kukupa nguvu izid kufanikiwa akufungulie milango ya kheri Allah akupe umri mrefu usidi kuelimisha jamii kuitia Kaz zako Allah akunusuru na mabalaa akulinde na husda za walimwengu hongera Sana Kaka juma 🙏🙏
@khamisshehe1955
@khamisshehe1955 2 года назад
Wallah mashaallah hii qaswida nzuri sauti na mnanda ipo poa sn naiskiliza mara 5 kwa siku Mungu akizidishie kipaji
@idatally3846
@idatally3846 2 года назад
Mashallah juma faki ...Naona unendelea kuibembeleza tasnia ya qaswida znz hongera
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Asant Sana kwa kutusapoti tuko pa1
@idatally3846
@idatally3846 2 года назад
Usjl hakika ww kwetu huna baya endelea kutufrahisha ila ww fundi wa tasnia ya qaswida yani hii qaswida htr na nusu aisee allah akupe umri mrf aaammmiin
@hadhiriddy2275
@hadhiriddy2275 Год назад
Mwamba namkubali mpk namkubali na tena wallah.. maa shaa Allah ❣️❣️❣️
@allyismail3927
@allyismail3927 2 года назад
Mwalim juma weeeeeee bac bac bac wewe nifundi wamengi
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Dah wewe ni fundi zaidi
@khaliddadi2063
@khaliddadi2063 2 года назад
My favorite❤ singer
@zakiaali79
@zakiaali79 2 года назад
Unajua nn fundi Wang....unajua half unajua tena half unajua sanaaaaaaaaa mashaallah 😍 pamja kindaki ndakiii
@jumaajambiamusa8214
@jumaajambiamusa8214 Год назад
Waaallah nime simama na kucheza mwenyewe maaan safiiiiîi sn tuuuu
@user-if4dc1ig9w
@user-if4dc1ig9w 7 месяцев назад
Unajuwa kutuburudisha kijan ishi tu kadri mungu alivyo kupangia
@mwanapilikaiama4013
@mwanapilikaiama4013 2 года назад
Hongera juma fiki Allah akuzidishie ishaallah 🙏 🙏
@shadidamossy5217
@shadidamossy5217 2 года назад
Mashallah juma faky 😍❤
@HawaKusaga-vv3lu
@HawaKusaga-vv3lu Год назад
Mashaaallah upo juu wangu hakika wewe ni mwamba mungu akuweke ishaallaha
@jamilahjuma9273
@jamilahjuma9273 2 года назад
Bismillah mashaallah 🔥🔥🔥 Hadi mwili wasisimka kwa mashairi tulivu ndani yake dah Kaka unajua Tena unajua sana
@smilefaty2093
@smilefaty2093 2 года назад
Maashallah hapaaa napataaaa burdani wenyeweeeee hasaaaaa naghmaaa zimepitaaaaa pengeweeee zikapenyaaaa kwenye Siqqa hasaaaaa kwakweliiii hapaaa salute nakupaaaaa Baba Muayyad 👌
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Duh 😃😃 Bado hujazisahau wewe kweli nizaidi ya dada
@muhsiniddi5174
@muhsiniddi5174 2 года назад
Mkuu maashaallah uko vizur sana yaani ktk kumbukumbu zangu hajuwahi kufeli, hiyo ni siqa ikishirikana na Nah-wandi na kiitikio kimeishia na bayati. Pamoja sana maalim wangu
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Shukran sana Alhabib
@omarabdalla165
@omarabdalla165 2 года назад
Yan nazid kutoa lang neno kwa hii qaswida mashaallah
@omarabdalla165
@omarabdalla165 2 года назад
Mashaallah yan ustadh mungu akupe umr mrefu mpk kufika kwenye ndoa yang ili ujekupg show,,,
@rukiaregeya5649
@rukiaregeya5649 2 года назад
Masha Allah Tabaraak Allah ❤️💖💗
@hamisimjaka8664
@hamisimjaka8664 2 года назад
hongera brother faki qasida nzuri👍👍👍👍👍💞💞🌹🌹❣️🙏
@kasimkombo1937
@kasimkombo1937 2 года назад
Maalim juma hii ndinga kali sana mashallah hadi rahaaa
@MahirRashid-ih1nz
@MahirRashid-ih1nz Год назад
Masha allah QASDA Tamuuuuuuuuuuu👋👍👍 then imebeba ujumbe mzito.....Big-Up
@NasmaMohammed-px4qs
@NasmaMohammed-px4qs Месяц назад
Mashaallah jamn nakupenda san jumaa big up
@sheikhsabaya7234
@sheikhsabaya7234 2 года назад
Wallah tunakuombea kwa m/mungu akuongoze na akuzidishie. Hii qaswida na kitu cha kufungia mwaka
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Shukran sana Mwalimu wangu
@timeabdi6116
@timeabdi6116 2 года назад
@@jumafaki1697 nahitaji kutungiwa sijui inakuaje gharama
@franknobre3485
@franknobre3485 Год назад
Juma Faki, your music and your serene spirit convey a sense of peace. May you live for many years and know old age so that you can reap all the blessings of your destiny.
@mansourmwadini7939
@mansourmwadini7939 2 года назад
Cjawahi jutia kukusikiliza cose unajuwa fundi wa mafundi Allah akubariki.
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Shukran Alhabib
@safiarashid8444
@safiarashid8444 Год назад
Ata sichoki kuisikiliza hii qaswida wallah😍
@kawtharmbaraidi5026
@kawtharmbaraidi5026 Год назад
MashaAllah Allah akuzidishie naipenda sanaaa hii kaswida
@wahidaame3779
@wahidaame3779 2 года назад
Huna mpinzan jivunie maalim Juma 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@ahmaditara8535
@ahmaditara8535 2 года назад
Hakika hii ni qaswida khaswa naomba utuletee km hizi tu hatariii sana sana
@abdul-malikothman5837
@abdul-malikothman5837 Год назад
Masha Allah kaswida nzuri sana Allah akubarik katika kazi yako
@allyninja7082
@allyninja7082 5 месяцев назад
Maalim hii siikaa hatari sanna wallah mashaallah
@khamisridhwan934
@khamisridhwan934 2 года назад
Mashallaaaaaaaaaaaaaaaaah da yani www huna mpizanu tznia hiiii
@bintmaghas8794
@bintmaghas8794 2 года назад
Maashaallah sauti yako huwa inanikosha
@nurasalimu2403
@nurasalimu2403 Год назад
Mwamba shekhe juma upo vizury
@ashurasaidy6568
@ashurasaidy6568 Год назад
Maashaanlaah 💗💗
@ZubedaAlly-uc4fg
@ZubedaAlly-uc4fg 2 месяца назад
Mashaallah mna qasweda nzuri
@user-fe8be8pd6l
@user-fe8be8pd6l Год назад
Mashallah 😊
@zainabimam9062
@zainabimam9062 Год назад
Mashaallah Allah akuzidishie kipaji
@khamisally6924
@khamisally6924 2 года назад
Mashaallah hongera kiongozi ww ni fundi wa AQz
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Shukran Alhabib usisahau kusubscribe
@alijabu6226
@alijabu6226 2 года назад
Ustaz juma fakih omar mm ww nakuita fundiiiiii
@haydarhamad6532
@haydarhamad6532 2 года назад
Maalim Juma Qaswida yako tangu asubuh mpaka sasa nishaisikiliza zaidi ya 15, wee si wakawaida, you're the most talented one😂
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Boss wangu unanifurahisha Asant kwaiyo cjawahi kusoma nzuri Kama hiyo 😄
@IBRAHIMALI-isal
@IBRAHIMALI-isal 2 года назад
Haijashinda mayatima
@allyismail3927
@allyismail3927 2 года назад
Narud tena kusema wewe unajuwa sana Mashallah
@nasrahussein887
@nasrahussein887 2 года назад
Baraq uwahu fiq.....
@ilhamsaid3809
@ilhamsaid3809 28 дней назад
Hii kaswid nzur sn
@maimunarobba2725
@maimunarobba2725 Год назад
Mashallah naipenda sn hii qaswida
@rahmakhamis3300
@rahmakhamis3300 2 года назад
Hongera kwa Qaswidah wewe huna mbaya
@kulthumabass9616
@kulthumabass9616 2 года назад
MashAllah Kila la kheri ustadh jms
@fahmialhatmyonline6093
@fahmialhatmyonline6093 2 года назад
Bismillah Maa shaa Allaah
@yusraadinan5795
@yusraadinan5795 2 года назад
Maa shaa Allah kaka juma🥀 yusra wa duce hap tup pamoja🤗
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Asant dada tupo pa1 😃
@hamadsuleimaan802
@hamadsuleimaan802 2 года назад
Ni khatariiii duh!!!!🥰🥰🥰🥰
@UkhtySauShamsiaMahonda
@UkhtySauShamsiaMahonda 2 года назад
Masha'ALLAH 🔥🔥🔥♥️ kaz matataaaaaaaaaaaaaaa HONGERA boss wa wengi TZ kwa ladha madhbuuuuuut
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Asant Sana boss wangu One T wewe unabalaa
@omarshirazy8946
@omarshirazy8946 Год назад
💥kunfayakun💥💥
@aishaali7207
@aishaali7207 2 года назад
mashaallah allah azid kukup kheri inshaallah 🙏🙏🙏
@aminadjuma7555
@aminadjuma7555 11 месяцев назад
Ni kaka omari na Dada ilihamu
@ilhamsaid3809
@ilhamsaid3809 28 дней назад
Na ilham ndio mie omary wngu yuwapi sasa😊
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 2 года назад
Mashaaallah hongera kwa Kasda Nzuri sana Allah Awazidishie
@maryamhamad494
@maryamhamad494 2 года назад
Wowowow mashaallah ❤
@farasimothman8528
@farasimothman8528 Год назад
Mashallah ustadh
@tauhidaally2147
@tauhidaally2147 2 года назад
Mashallah nyc song
@user-ph7yg2wp2e
@user-ph7yg2wp2e Год назад
Mashaallh
@abdulihakimu3816
@abdulihakimu3816 2 года назад
Safi babu una tisha
@mudkhamis3078
@mudkhamis3078 2 года назад
Ww ni fundi
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
Asante sana kiongozi Wang
@hawamakiya8476
@hawamakiya8476 2 года назад
MaashaAllah Wallah kaka Juma ww ni fundi tenaa wajua kutuelimisha na kutuburudisha Allah azid kukupa umri mrefu Inshaallah
@fakihmohammed3923
@fakihmohammed3923 2 года назад
Maa shaa allah pacha 😘Mola akuhifadhi
@bakathiri6999
@bakathiri6999 2 года назад
Syka khatariiiii...hongera kiongoz
@user-si2mp2io9t
@user-si2mp2io9t 9 месяцев назад
Aslm alykm Juma kunakaswida yenu ile ya udugu wetu na tuushike famili zetu tusizikate nimeitafuta RU-vid sijaipata au sijui nimeandika sivo ndio maana haikuja😭😭😭
@fatmasuleiman1237
@fatmasuleiman1237 2 года назад
Mashaallah Allah azid kukitunza kipaji chako
@aminadjuma7555
@aminadjuma7555 11 месяцев назад
Madhaalla
@athmankhatibu7976
@athmankhatibu7976 9 месяцев назад
Rejesha pacha Zango binafse
@yusrayusra8328
@yusrayusra8328 Год назад
Namukubali Sana bro💓💓
@yasirmtumwa4490
@yasirmtumwa4490 2 года назад
Huwa unakula nini kiongoz mbona sauti sio ya kawaida hii 🎵🎵 wewe fuundi bhaana
@hemednassor2362
@hemednassor2362 2 года назад
MashAllah ivi Prosucer wako nani Mwalim.Juma mbona Yuko Vizur kasida imeendana na Piano
@sheikhsharifmaduatz2871
@sheikhsharifmaduatz2871 2 года назад
Vitaaa kubwa mwamba sema nahitaji mawasiliano Yako ndugu Nina Jambo langu nahitaji kwa show shughurini kwangu Nijibu Tafadhali
@jumafaki1697
@jumafaki1697 2 года назад
0625876959
@UmmiMuhammad-hg2pe
@UmmiMuhammad-hg2pe 2 месяца назад
Mashaalah
@aishahasan327
@aishahasan327 2 года назад
Allah akubarik
@Hadiahudhud
@Hadiahudhud Год назад
Mashallah tabaraqah rahman❤
@ahmadjuma6083
@ahmadjuma6083 2 года назад
Hii qaswida nimeikubali (bayat ya kibabe mno)
Далее
Juma Fakih-Ndoa si Ajabu official Audio
11:46
Просмотров 23 тыс.
Aqaz
16:16
Просмотров 177 тыс.
ПОЮ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
3:19:41
Просмотров 1,8 млн
skibidi toilet 76 (full episode)
08:11
Просмотров 9 млн
QADIRIA/KHUTBA YA NDOA OFFICIAL VIDEO
9:03
Просмотров 1 млн
SHEIKH HAFIDH | DADA FATUMA - NEW QASWIDA 2019
11:28
Просмотров 597 тыс.
JUMA FAKI-KAKA NESTA OFFICIAL AUDIO 2024
8:14
Просмотров 30 тыс.
hatua kabla kuacha-madrasa qadiria kaswida
14:47
Просмотров 538 тыс.
ПОЮ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
3:19:41
Просмотров 1,8 млн