Sasa wew kutajwa wakristo kwenye kuruani ndo ushahid kuwa ndo mna dini sema mda hautosh angejibu vizuri Hadi mngefulai kama ni dini m bona zipo nyingi hata kabla uklisto dini zilikwepo lakin Si za kweli
MAZINGE kajibu swali ijapokuw hajamaliz ktk kuzungumzia kwsbab y muda na unaona kabsa alivyokua na hamu ya kuendelea kujib. Af nyinyi wakristo msipende kujipa moyo mtaingia motoni bure..wachungaji wenu wameshindw kuleta andiko linalosema Ukristo ni dini af mnawatetea..wanatoa maandiko kweny Quran ambayo hakuna hata moja linalosema Ukristo ni dini.. wachungaji wenu wameulizw maswal kbao wameshindw kujibu Swali: 1.lete andiko linalosema Ukristo ni dini (usipindishe go straight) 2.wakat yesu anasulubiw je injil ilikua inapokelew na nani? 3.Je yesu alisulubiw saa3 au saa6
Fuatilia mdahalo vizuri @cocos nucifera. Acha kujilazimishia elimu ya muskitini hapa kama mazinge. Mwenyekiti wa kiislamu amesema nini baadaya mazinge kumaliza kuongea? Mazinge katapatapa bure tu na kuharibu muda wake kimakusudi, ilimradi akanushe kuwa manabii na dini iliyotangulia sio ya kikristo lakini ikashindikana. Mazinge hata apewe siku nzima hatokubali japokuwa imeandikwa kwenye Quran. Kajaribu kupinda lugha eti 'zilizo.... iliyo.....' kisha tena eti za uongo kama wewe @cocos. Siku ya nyani kufa miti yote huteleza. Mazinge huyo.
MAZINGE kajibu swali ijapokuw hajamaliz ktk kuzungumzia kwsbab y muda na unaona kabsa alivyokua na hamu ya kuendelea kujib. Af nyinyi wakristo msipende kujipa moyo mtaingia motoni bure..wachungaji wenu wameshindw kuleta andiko linalosema Ukristo ni dini af mnawatetea..wanatoa maandiko kweny Quran ambayo hakuna hata moja linalosema Ukristo ni dini.. wachungaji wenu wameulizw maswal kbao wameshindw kujibu Swali: 1.lete andiko linalosema Ukristo ni dini (usipindishe go straight) 2.wakat yesu anasulubiw je injil ilikua inapokelew na nani? 3.Je yesu alisulubiw saa3 au saa6
Nilivyo ona Kichwa cha habar nilipata hofu sn sababu sina muda mrefu toka nisilim, nikajua sasa nimepotea, kwl nyie wakristo hamna maskio kbs, maelezo alio toa yana eleweka hta na mtoto mdgo lkn mbal na hlo una ona kbs Shekh alikuwa bado anaendelea kutoa darasa, cjutii kamwe kusilim
Wakristo ndo wanamkataa Yesu, maana ametoa maelekezo lakini hamfuati Luka 4:8 (KJV) Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake. Kama kweli mnamfuata Yesu na amefundisha hivi, mbona hamtak kusujudu?
MAZINGE kajibu swali ijapokuw hajamaliz ktk kuzungumzia kwsbab y muda na unaona kabsa alivyokua na hamu ya kuendelea kujib. Af nyinyi wakristo msipende kujipa moyo mtaingia motoni bure..wachungaji wenu wameshindw kuleta andiko linalosema Ukristo ni dini af mnawatetea..wanatoa maandiko kweny Quran ambayo hakuna hata moja linalosema Ukristo ni dini.. wachungaji wenu wameulizw maswal kbao wameshindw kujibu Swali: 1.lete andiko linalosema Ukristo ni dini (usipindishe go straight) 2.wakat yesu anasulubiw je injil ilikua inapokelew na nani? 3.Je yesu alisulubiw saa3 au saa6
@@cocosnucifera5488 Duuuh!! Rafiki Maneno ya Yesu ndio injili Matukio Yoote aliyoyatenda Yesu ni Injili Soma Marko 1:1 Marko analopoti anasema Mwanzo wa Injili ya Yesu mwana wa Mungu, matukio Yoote aliyotenda Yesu yameandikwa Na Wale maswahaba Wake ndio walioandika, Ukristo ni ile hali ya Mkristo Kuenenda sawa sawa kile alichofundisha Yesu na Kuagiza Kitendeke, nisawa Usema Uislam nini uislam ni ile hali ya Muislam kuenenda sawa sawa na Kile kilichoandikwa ndani ya Qurani sawa sawa na Mafundisho, Kama Huelewe Soma Qurani 5:47 harafu pia naomba unisaide Aya iwe ndani ya Biblia au ndani ya Qurani Ishmaeli na kizazi chake Waliwahi kumuabudu Mungu wa baba Yao Ibrahimu maana Ahadi ya Mungu ni kwa isaka na kizazi Chake na sio Ishmael Mungu hajawahi kua na nabii au Mtume Mwarabu Soma Biblia nzima au Qurani Yoote uniambie Kama Ishmael na kizazi chake waliwahi kumuabudu Mungu Ishmael ndio Baba wawarabu Woote
mazinge ni mtu mzima lakini anaamua kufa na ukafiri wa waarabu ni wakati sasa arudi kwa Mungu wa kweli Yesu atampa maarifa ya Mungu wa kweli aijue injili aache kurukaruka kwenye mimmbari. sasa unajibu kila swali ukifikiri ndio umaarufu na hekima kumbe si swali linajibiwa unajipalia mkaa. swali rahisi tu unapotea kwa kuwa unataka kupotosha ukweli.
@@cocosnucifera5488 hivi unaelewa kweli wewe ama umeshalogwa kama mtume wako. hakuna hoja muislam anajibu kama inavyotakiwa. na hii ni kwa kuwa akili za anayeitwa profesa ni ujinga wa mtume.
@@cocosnucifera5488 mazinge alifikiri sauti ndio hoja anatumia sauti kubwa majibu hana. yaani wewe na akili zako zote hayo aliyojibu huyo mazinge mmeona ni majibu. sasa kama hayo kwenu ni majibu mnafikiri kuna muislam mwenye akili kweli?