Тёмный

WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA 

Straight Path Dawah
Подписаться 66 тыс.
Просмотров 11 тыс.
0% 0

‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 90   
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 17 дней назад
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@MohamedMeja
@MohamedMeja 17 дней назад
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 16 дней назад
Amiin
@aishaali9583
@aishaali9583 11 часов назад
Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema
@josemu870
@josemu870 17 дней назад
Barikiweni sana sana
@morallyify
@morallyify 4 дня назад
Subhanallah
@twaine40
@twaine40 16 дней назад
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 17 дней назад
Mashaallah Allha 💖
@Jingajinga64
@Jingajinga64 17 дней назад
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@azizashiundu5778
@azizashiundu5778 17 дней назад
Mashallah
@dominicwafula3997
@dominicwafula3997 14 дней назад
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@MohammediSemndili
@MohammediSemndili 17 дней назад
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 17 дней назад
insha'Allah
@ashrafnuru6402
@ashrafnuru6402 6 дней назад
Yaaan Bibilia n mtihani
@adanabdi5249
@adanabdi5249 17 дней назад
Sawa
@seifissa9705
@seifissa9705 17 дней назад
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@morallyify
@morallyify 4 дня назад
😊
@Mimein-vn7or
@Mimein-vn7or 16 дней назад
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 17 дней назад
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 16 дней назад
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@nassrasalemu1403
@nassrasalemu1403 7 дней назад
Qql0) mm​@@StraightPathDawah
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 17 дней назад
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@user-rk1cp5qs9d
@user-rk1cp5qs9d 13 дней назад
Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊
@user-fc6uf6be5u
@user-fc6uf6be5u 14 дней назад
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 15 дней назад
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@mohamedmaina2279
@mohamedmaina2279 16 дней назад
Shukuran
@peterthuo1404
@peterthuo1404 11 дней назад
Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 16 дней назад
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 15 дней назад
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-ng1po1dh4z
@user-ng1po1dh4z 16 дней назад
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@morallyify
@morallyify 4 дня назад
Haoni haya nawe
@Adm9464
@Adm9464 17 дней назад
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@MullasKhamis
@MullasKhamis 8 дней назад
Dalodi
@muddathirkassim2407
@muddathirkassim2407 17 дней назад
Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂
@samxx411
@samxx411 17 дней назад
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain4114
@zainabhussain4114 17 дней назад
Kweli 😂😂
@Abadadoa
@Abadadoa 17 дней назад
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 15 дней назад
Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 15 дней назад
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 15 дней назад
SubhanaAllah.
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 11 дней назад
Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.
@AzizaNurdin
@AzizaNurdin 7 дней назад
Vita ni Vita muraa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 7 дней назад
@@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 7 дней назад
Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 7 дней назад
@@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.
@namasakajuniorke3886
@namasakajuniorke3886 16 дней назад
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@Inagole4233
@Inagole4233 13 дней назад
Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,
@akonkwojryorondo4504
@akonkwojryorondo4504 9 дней назад
hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 14 дней назад
Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa
@wakeshojana
@wakeshojana 17 дней назад
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambe
@abdulJambe 17 дней назад
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 17 дней назад
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@softymoha5484
@softymoha5484 17 дней назад
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx411
@samxx411 17 дней назад
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 17 дней назад
​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge
@benwambua902
@benwambua902 13 дней назад
Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans
Далее
МИГРАНТ ВА ПОЛИЦИЯ 😂👍
00:12
Просмотров 289 тыс.
WACHUNGAJI WATATU WAKIMBIA HOJA NA KUACHA KONDOO WAO
56:36
JE YESU NI MUNGU?  | MAZINGE VS NDACHA +254705602959
1:47:13